Serikali yazindua matangazo mapya ya utalii Uingereza

Na Mwandishi Maalum SERIKALI ya Tanzania imezindua kampeni kubwa ya matangazo ya utalii kwenye vituo vya treni ya chini ya ardhi na London t...




Na Mwandishi Maalum


SERIKALI ya Tanzania imezindua kampeni kubwa ya matangazo ya utalii kwenye vituo vya treni ya chini ya ardhi na London tax nchini Uingereza yaligharimu Sh.milioni 800, yatatakayodumu kwa miezi sita.Katika uzinduzi huo uliofanywa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwanguga, katikati ya jiji la London katika sehemu ya maarufu ya watalii ya "London Eye" iliyopo karibu na ukumbi wa bunge la Ungereza.


Waziri Mwangunga alikata utepe kwenye tax mbili zenye matangazo hayo zilizokuwa katika eneo hilo, kuashilia kuzinduliwa rasmi kwa tangaz hilo na baada ya hapo na ujumbe wake walikwenda katika kituo kikubwa cha treni cha Victoria kuangalia moja ya matangazo ya vituo vya treni.


Mkurugenzi wa kampuni ya Jambo Publications, Bw.Juma Pinto iliyoratibu matangazo hayo alisema Serikali imelipia matangazo 25 tu kwenye vituo vya treni, lakini imepata matangazo ya ziada kwenye vituo vitano zaidi na kufanya matangazo hayo makubwa kufikia 30.


Bw. Pinto alisema kampuni ya CBS inayoratibu matangazo hayo ya vituo vya treni imetoa matangazo mengine 15 kwenye vituo vya treni ya DLR na matangazo 1,000 ndani ya treni.Matangazo hayo yote yatadumu kwa miezi mitatu.


Mkurugenzi huyo wa Jambo alisema matangazo mengine yaliyopo kwenye mkataba huo ni London Tax 100 "Black Cab" na matangazo 200 yatakakuwa ndani ya hizo tax yametolewa bure.Matangazo hayo ya London Tax yatadumu kwa miezi sita na yanatarajiwa kumalizika mwezi Mei mwakani.


Awali mwaka mwaka huu mwezi Machi, Tanzania iliweka matangazo 100 kwenye mabasi ya London na matangazo sita katika uwanja wa ndege wa Heathrow, lakini baadhi ya watu wakidai kuwa hakuna matangazo yoyote yaliwekwa London.


"Mimi nadhani wanasiasa walikuwa wanataka kucheza mchezo wao mchafu kwenye haya matangazo, jambo ambalo haliingi akilini kusema kuwa hakuna matangazo wakati hadi leo kuna matangazo yetu pale Heathrow," alisema


Bw. Pinto.Alisema mwezi mMachi mwaka huu Serikali ililipia matangazo manne na tukaongezewe mawili na kuwa sita pale sehemu ya kuchukulia mizigo termian 4, matangazo yale yalikuwa yaishe mwezi Julai mwaka huu, hadi leo matangazo yapo na ndio yaliyoghalimu pesa nyingi."Haya matangazo ya Tanzania tunayafanya kwa umakini mkubwa kama daktari anaemfanyia mgonjwa operasheni, lakini kila siku panapokuwa na ukweli uongo unajitenga, sisi tunaendelea na kazi na watafute lingine," alisema Bw. Pinto.


Akizungumza katika uzinduzi kampeni hiyo, Waziri shamsa alisema Serikali ilishaweka bajeti yake ya matangazo tangu mwaka uliopita wa fedha na sasa kinachofanyika ni utekelezaji.


Wazir shamsa alisema awali Serikali ilizindua kampeni kama hii kule Marekani mapema mwezi uliopita kwenye televisheni ya CNN, hivyo awamu iliyobaki ilikuwa ni Ulaya na kuichagua Uingereza.matunda ya matangazo hayo yameanza kuonekana baada ya Marekani sasa kuongoza kupeleka watalii badala ya uingereza.


Alisema hivi sasa Tanzania imeamua kujitangaza na kuvitangaza vivutio vyake katika kuhakikisha tunapata watalii wengi zaidi ili tuweze kuongeza pato la Taifa na pia matangazo kama haya yanatumika kuitangaza nchi pia.


"Kweli tunaishukuru sana kampuni ya Jambo Publications kwa kutufanyia kazi hii, kweli imefanyika kama sisi tulivyotaka na tuna imani hata huko siku za baadae tutaendelea kufanya nao kazi na hata kama kulikuwa na matatizo kidogo basi ya kibinadamu tu, alisema Waziri Shamsa.


Alisema Serikali inakusudia kuongeza matangazo zaidi ya utalii kwa duniani kwa sababu imekuwa ikichangia sehemu kubwa ya pato la Taifa kutokana na watalii wengi sasa wanaongia nchini, hali inayofanya idadi yao kuongezeka mwaka hadi mwaka.


Alitoa tathmini ya watalii wa Uingereza wanaotembelea Tanzania alisema mwaka 1997 walifika watalii 25,000 hadi 2006 walifika 69,160 na mwaka 2007 idadi hiyo iliongezeka na kuamini idadi hiyo itaongeza mwaka huu."Tutashilikiana na balozi zetu kuhakikisha tunafanya juhudi kubwa za kuhakikisha tunafanikiwa katika kuutangaza utalii na kuna mikakati mingi tumeifanya na sasa ni utekelezaji wake unaendelea," alisema Blandina Nyoni.


Alisema sasa wanaelekeza nguvu kwa nchi za Ulaya na hapa Uingereza ndiyo sehemu muhimu hapa Ulaya, kwani ndiyo nchi ambayo inapokea wageni wengi kuliko nchi nyingine yoyote hapa Ulaya, hivyo kujitangaza hapa ni sawa na kujitangaza duniani.


Awali Balozi wa Tanzania Uingereza, Mwanaidi Senare Maajar alisema tayari ubalozi wake umekuwa ukifanya kazi kwa karibu na wizara ya utalii tangu mwaka jana.Balozi Maajar alisema Uingereza ni ufunguo muhimu katika sekta ya utalii wa Tanzania, hivyo wameweka mikakati mikubwa ya kufanyia kazi soko la utalii ili kuongeza idadi ya watalii na pia lengo la pili ni kuitangaza Tanzania.


"Tanzania tuna vivutio vingi sana ambavyo vinahitajika kutangazwa,na haya yaliyotangazwa katika matangazo ya sasa ni vichache tu kati ya vivutio vingi,serikali yetu inafuata misingi ya demokrasia na hata hali ya kisiasa ni nzuri na wananchi wake wana upendo mkubwa sana," alisema Balozi Maajar.


Mbali na Waziri Shamsa,Balozi Maajr, wengine waliohudhulia uzinduzi huo ni Katika Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi Blandina Nyoni, Mkurugnezi Mkuu wa Bodi ya Utalii, Bw. Peter Mwenguo, Balozi Msaidizi,Bw.Chabaka Kilumanga,Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Bw.Gerald Bigurube wa Tanzania na kundi zima la kundio la utamaduni la sisi Tambala.


Baada ya shughuli hiyo ya uzinduzi, Bazozi Maajar aliandaa tafrija fupi ya chakura cha mchana ubalozini na baadae kutoa utambulisho kwa Waziri kwa wafanyakazi wa ubalozi na wale kampuni ya Jambo Publications na baadae Katibu mkuu, Blandina Nyoni kutoa utambulisho kwa msafara wa wizara hiyo.


Mwisho


Caption


Pichani ni


Waziri Shamsa Mwangunga akikata utepe kuashilia uzinduzi rasmi wa London Tax 100 zinataokuwa na matangazo ya Tanzania kwa miezi sita.Wa Kwanza kushoto ni Katibu Mkuu wa Utalii, Bi Blandina NyoniKatika sherehe hizo zilifanyika katika sehemu ya watalii ya London Eye juzi.(Picha kwa hisani ya Jambo).




Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Bw. Peter Mwenguo kulia akiwa na Mkurugenzi wa masoko, Bw. Mcha katika picha ya pamoja huku nyuma likionekana tangazo la Tanzania lilolokuwa katika kituo hca treni cha Victoria juzi.

COMMENTS

BLOGGER: 1
Loading...
Name

Anga,12,Arusha,27,batiki,1,Burudani,447,burundani,2,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,287,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,habar,3,Habari,7051,habari dodoma,39,habari. dodoma,32,habaria,1,hadithi,23,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,6,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,739,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,miochezo,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,376,muziki na fasheni,20,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,9,SAYANSI ANGA,12,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,17,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,urembo,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTALII,1,UTAMADUNI,4,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Serikali yazindua matangazo mapya ya utalii Uingereza
Serikali yazindua matangazo mapya ya utalii Uingereza
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinxsRCdG3ZKhF5wUgQ4WhZ_MrO-jRgld-M1MKVGDRfFcTQ4zk2lwsHuBtEeoJzIROPvQ8bv_SDIfFHDw7mbVQ-6YlgdmtcZyv5XNXIl9RbU1nq8DZ1YEgvpcF7Fg5h2r_FpAz5wJAXkkk/s320/london1.bmp
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinxsRCdG3ZKhF5wUgQ4WhZ_MrO-jRgld-M1MKVGDRfFcTQ4zk2lwsHuBtEeoJzIROPvQ8bv_SDIfFHDw7mbVQ-6YlgdmtcZyv5XNXIl9RbU1nq8DZ1YEgvpcF7Fg5h2r_FpAz5wJAXkkk/s72-c/london1.bmp
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2008/11/serikali-yazindua-matangazo-mapya-ya.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2008/11/serikali-yazindua-matangazo-mapya-ya.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy