SBL watoa udhamini kwa mshiriki wa Mr Universe







KUNDI la mwisho la Wanajeshi wa Tanzania waliobaki katika kisiwa cha Anjouan kuimarisha ulinzi na kusimamia uchaguzi limerejea nchini wiki hii.
Leo ni siku mbaya kabisa katika jiji la Dar es salaam lakini kwa jiji la watu zaidi ya milioni tano pengine hawajui kumetokea nini.Leo makubwa mawili ya asubuhi chapchap yametokea.

.jpg)
.jpg)
.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameonya kuwa tabia ya baadhi ya waajiri nchini kuwalipa mishahara kidogo wafanyakazi wao itazua migogoro kati yao na wafanyakazi wao.




Fayette County residents on the race issue"I'm not voting for Obama, he's black."
dear wananet, wanabloga
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Goethe-Institut inakualika kwenye maonyesho ya picha Movement Frozen in Time. Exhibition of Dance Images In line with the Visa 2 Dance Festival .



Vipi Msimbe
RISASI za moto zilitumika leo kutawanya walimu na kuokoa viongozi wao ambao walikuwa wakipigwa kwa mawe na chupa na walimu waliochukizwa na kauli yao kuhusu tamko la mahakama la kusitisha mgomo.


GTV, kampuni kubwa ya televisheni ya kulipia barani Afrika inazindua kadi ya kukwangua ambayo itawawezesha wateja wake kulipia huduma za televisheni kila mwezi kwa kutuma namba iliyoko kwenye kadi. Kadi hiyo ijulikanayo kama G-UP.
Zimbabwean President Robert Mugabe has allocated key ministries to his own party - in defiance of a power-sharing deal, reports say.

HABARI ZA KAZINAOMBA NIWEKEE TANGAZO HILI KWENYE BLOG YAKO. NDUGU WADAO WA BLOG NAOMBA MJUMUIKE NAMI KATIKA BLOG YANGU MPYA INAYOITWA http://ushaurinamsuya.ning.comHUMU NDANI UTAKUTANA NA MARAFIKI TUTASHAURIANA IKIWA NI PAMOJA NA MADA MBALI MBALI UTAKUTANA NA FUNNY VIDEO PICTURE PIA UNAWEZA KUCHATI NA NDUGU NA JAMAA KARIBUNI WOTE TUNDELEZE KIJIJI CHETU AMBACHO NI DUNIA KUPITIA MTANDAO MWALIKE NA MWENZIO ASANTENI
JESHI la polisi Mkoani Ruvuma limewatia mbaroni watu wanne kwa tuhuma za kutaka Nywele za Albino kwa ajili ya matibabu ya Mgongo.
Umekisikia kibao cha Samba Mapangala (Orchestra Virunga) kwa jina "Obama Ubarikiwe"? 'That one'.... "my frienchs....." sikiliza: http://nukta77.com/matangazo.aspxSubi
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
BARAZA Kuu la Taifa la Chama cha Walimu Tanzania (CWT) leo lilipitisha tamko la kuanza mgomo mfululizo wa walimu kuanzia Jumatano ijayo iwapo serikali itakuwa haijawalipa madai yao yote.



wapenzi wasomaji
Kwenye visiwa utalii hushamiri sana. lakini pamoja na utalii kuna mambo ambayo yanaambatana nayo, kumomong'onyoka kwa maadili na kuingia kwa utalii unajihusisha na ngono. Madagascar wameliona hilo na wamechukua hatua.Je Zanzibar inaweza kujifunza nini kutoka Madagascar? Yapo mengi hasa ikizingatiwa kuwa sasa hivi pamoja na ukimya wetu Unguja imegeuka kisiwa cha ngono, wanaokuja wanajua namna ya kupata ngono wanazohitaji.Hii ni taarifa ya IRIN.

HABARI za kuudhi zinaendelea kumiminika kuhusiana na mkasa mzito wa kupoteza watoto 19 kwa mpigo wakati wa disko mjini Tabora kwenye sikuku ya Idd.



WATU wengine wawili wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na tukio lililosababisha vifo vya watoto 19 waliokufa wakati wanacheza muziki siku ya Idd Mosi.
WATU wawili wafuasi wa CCM na Chadema wamekufa kwa kukatana kwa panga na kisu baada ya kutofautiana kimtazamo kuhusu ushabiki kwa vyama vyao jana usiku.



BASI la Buffalo ambalo lilikuwa safarini kutoka Bukoba kagera kuja Dar es salaam leo asubuhi lilitekwa na majambazi kwa dakika kadhaa na katika majibizano ya risasi kati ya askari polisi wanaosindikiza gari hilo na majambazi hao raia mmoja wa Madagascar amepoteza uhai wake.