Wafanyabiashara ya mafuta watoa nyongo

Wadau na wafanyabiashara wa mafuta wamedai kuwa kero ya kuchakachua mafuta imezungukwa na mazingira ya rushwa na kuitaka serikali kuchukulia...

Wadau na wafanyabiashara wa mafuta wamedai kuwa kero ya kuchakachua mafuta imezungukwa na mazingira ya rushwa na kuitaka serikali kuchukulia hatua za haraka ili kudhibiti hasara ya mabilioni inayosababishwa na uchakachuaji huo.

Wakitoa mapendekezo yao katika Kamati ya kudumu ya bunge ya Nishati na Madini jana wafanyabiashara hao kutoka Umoja wa Wasafirishaji wa Shehena kwa Njia za barabara nchini na nchi jirani ( (TATOA) na chama cha Waagizaji na wasambazaji wa mafuta (TAOMAC) walisisitiza kuwa njia pekee ya kudhibiti uchakachuaji wa mafuta ni kupandisha kodi ya mafuta ya taa.

Walisema yapo mazingira yanayoashiria kuwa fedha nyingi zinazotokana na uchakachuaji wa mafuta hayo zinatembea mikononi mwa watu wachake na kutumika kutoa rushwa kwa baadhi ya wanasiasa na watendaji katika mamlaka mbalimbali zinazohusika na nishati hiyo ya mafuta ikiwemo Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kampuni ya Global Fluids International (GFI).

Akielezea sababu na hasara inayotokana na uchakachuaji wa mafuta, Mkurugenzi Mtendaji wa TAOMAC Salum Biasarara alisema matufa ya diseli yanayotozwa kodi ya sh. 520. 80 wakati mafuta ya taa yanatozwa kodi ya 59.10 jambo ambalo linasababisha wafanyabiashara wasiowaaminifu kuchanyanga mafuta ya taa na diseli kwa lengo la kupata faida kubwa.

“Tofauti ya sh. 461.70 ni kubwa sana hivyo njia pekee ni kupandisha kodi ya mafuta ya taa ili kuepuka kuliingizia taifa hasara ya zaidi y ash. Bilioni 25 kila mwezi inayosababishwa na uchakachuaji,” alisema Biasarara.

Naye Mwenyekiti wa TATOA Seif Ally Seif alisema ingawa serikali iliamua kushusha bei ya mafuta ya taa kwa lengo la kuwapunguzia mzigo wananchi wa kipato cha chini, hasara inayotokana na uchakachuzi wa mafuta inalisababishia Taifa hasara kubwa ambayo inawaathiri watu hao hao wa kipato cha chini.

Alisema badala ya serikali kuendelea kupoteza zaidi sh. Bilioni 25 sawa na bilioni 300 kwa mwaka kutokana na hasara ya uchakachuaji mafuta ni vyema kodi ya mafuta ipandishwe kisha fedha hizo zipelewe Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa lengo la kuboresha nishati kwa watu wa vijijini ambao ndio wateja wakubwa wa mafuta ya taa.

“Mtanzania wa leo sio wa kuendelea kutumia koroboi ambazo zina adhari kubwa kwa afya ya binadamu. Hatuoni ni kwa nini Serikali inasita kupandisha bei ya mafuta ya taa kisha kutumia fedha hizo kuwawezesha watanzania kutumia taa zinazotumia nishaji ya jua,” alisema Seif.

Alisema chama chake kinashindwa kuelewa ni kwa nini serikali inatumia fedha nyingi kuthibiti vitendo vya uchakachuaji mafuta wakati njia iko wazi na inaeleweka na kutaka kamati ya Bunge kufuatilia suala hilo kwa makini.

Alidai suala la udhibiti wa biashara haramu ya mafuta yaliyochakachuliwa imegubikwa na rushwa na kuingiliwa na masuala ya kisiasa na kutoa mfano wa madereva wa malori ya matufa waliokamatwa nchi jirani kutokana na shutuma za kushiriki katika biashara haramu ya uchakachuaji wa mafuta lakini walipoachiwa walipokelewa kama mashujaa.

“Madereva wanaondoka wakiwa na mafuta masafi na kuyabadilisha huko njiani lakini watu hawataki kukubali kuwa wanahusika katika biashara hiyo jambo ambalo linasababisha udhibiti kuwa mgumu,” alisema.

Alisema baadhi ya malori ya kampuni yake yaliwahi kukamatwa yakiwa yamebeba mafuta yaliyochakachuliwa lakini alipoitwa wadereva walimuambia akaye pembeni kwa kuwa jambo hilo halimhusu na baada ya muda akasikia kuwa malori hayo yameshavuka mpaka.

“Nilipouliza imekuwaje watu wa EWURA walinijibu kuwa yalikuwa yamekamatwa kwa makosa....jamani ni vigumu kudhibiti hizo bilioni 25 zinazozunguka hapa katikati kama serikali itaamua kuendelea kutotusikiliza,” alisema Seif.

Alisema sekta ya ushafirishaji wa Shehena kwa Njia za barabara nchini na nchi jirani ni ya tatu kwa kulipatia taifa fedha za kigeni na kwamba hivi sasa iko katika hatari ya kuporomoko kwa sababu wafanyabiashara wa nchi za jirani wanakosa imani na Watanzania hivyo kusita kutumia bandari ya Dar es Salaamu kwa sababu ya wafanyabiashara wachache wasiokuwa waaminifu.

Mjumbe mwingi alilalamika kwamba alipobaini kuwa magari yake yamebeba mafuta yaliyochakachuliwa alitoa taarifa kwa Mamlaka ya Mapato (TRA) ili idhibiti mafuta hayo lakini baadaye aliamuriwa kuyalipia kodi.

“Naomba kamati hii ya Bunge itusaidie...kama leo natoa taarifa juu ya magari yangu kushiriki katika biashara ya mafuta haramu kisha adhabu napewa mimi mtoa taarifa kesho nikiona nitatoa? Aliuliza mjumbe huo.

Pia walidai kuwa kampuni ya Global Fluids International (GFI) iliyopewa mamlaka ya kupima sampuli mafuta haifanyi kazi yake ipasavyo kwa kuwa baadhi ya watendaji wake wanauza vinasaba ya kupimia mafuta kwa njia ya magendo hivyo huweka kiasi kidogo cha vinasaba hivyo katika mafuta hivyo kusababisha mkakati mzima wa kuthibiti uchakachuaji wa mafuta kuwa mgumu zaidi.

Walisisitiza kuwa njia pekee ya kudhibiti mlolongo mrefu wa mianya ya rushwa katika sakata nzima la uchakachuaji wa matufa ni kupandisha kodi ya mafuta.

Pia wafanyabiashara hao walilalamikia utitiri wa kodi na vizuizi vingi barabarani ambayo vimekuwa kikazo kwa wawekezaji wa mafuta na kupunguza uwezo wa Tanzania kumudu ushindani katika soko la Afrika Mashariki.

Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, January Makamba alisema kuwa alisema jumatano ijao kamati yake itaitisha kikao kitakachoshirikisha wadau wote ili kujadili suala hilo kwa upana na hatimaye kupata suluhisho kwa manufaa ya Taifa.

COMMENTS

Name

Anga,12,Arusha,27,batiki,1,Burudani,447,burundani,2,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,287,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,habar,3,Habari,7051,habari dodoma,39,habari. dodoma,32,habaria,1,hadithi,23,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,6,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,739,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,miochezo,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,376,muziki na fasheni,20,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,9,SAYANSI ANGA,12,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,17,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,urembo,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTALII,1,UTAMADUNI,4,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Wafanyabiashara ya mafuta watoa nyongo
Wafanyabiashara ya mafuta watoa nyongo
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2011/03/wafanyabiashara-ya-mafuta-watoa-nyongo.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2011/03/wafanyabiashara-ya-mafuta-watoa-nyongo.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy