SYRIA INAPOENDELEA KUIUMIZA KICHWA JUMUIA YA KIMATAIFA

Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Nchi za Kiarabu kuhusu Syria, Mhe, Kofi Annan akisalimiana na Meja Jenerali Robert Mood r...

Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Nchi za Kiarabu kuhusu Syria, Mhe, Kofi Annan akisalimiana na Meja Jenerali Robert Mood raia wa Norway ambaye ni Kiongozi wa Timu ya Ulinzi ya Umoja wa Mataifa itakayokwenda nchini Syria kusimamia uondoaji wa wanajeshi na silaha katika maeneo ya watu.


Licha ya kwamba serikali ya Syria imekubali kutekeleza mapendekezo ya kumaliza vurugu yaliyotolewa na Mjumbe Maalum wa Pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Nchi za Kiarabu, Mhe. Kofi Annan. Damu bado inaendelea kumwagika nchini humo.
Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon wakati Baraza Kuu la 66 la Umoja wa Mataifa, lilipokutana siku ya Alhamisi katika mkutano wake usio rasmi ili kupokea taarifa ya maendeleo ya juhudi zinazofanywa na Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa nchi za Kiarabu, Mhe. Kofi Annan.

Na kwa sababu hiyo Ban Ki Moon ametoa wito kwa Jumuiya ya Kimataifa kuunga mkono na kusaidia juhudi za mjumbe huyo maalum. Huku akilitaka Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuendelea kutoa shinikizo kwa pande zote zinahohusika na mgogoro huo kukomesha vita na mateso.

Mkutano huo uliitishwa na Rais wa Baraza Kuu la 66 la Umoja wa Mataifa, Bw Nassir Abdulaziz Al Nasser ambapo Mhe. Kofi Anna alizungumza kwa njia wa Video-Link kutokea Geneva

“ Pamoja na serikali ya Syria kukubali mpango na mapendekezo ya awali ya Mjumbe Maalum ya kutatua mgogoro huo, ghasia na mashambulizi katika maeneo ya raia hayaja simamishwa. Hali katika nchi hiyo inaendelea kuzorota” akasema Ban Ki Moon.

Akawaeleza wajumbe wa UM kwamba Mhe. Annan aliwasilisha mapendekezo Sita wakati alipokuwa Damascus (Syria )mwezi uliopita. Baadhi ya mapendekezo hayo ni kusitisha ghasia na mauaji, kutoa fursa kwa mashirika ya kimataifa kutoa misaada ya kibinadamu, kuachia wafungwa na kuanzisha majadiliano ya kisiasa.

“ Serikali ya Syria ilimtaarifu Mjumbe Maalum kwamba itakuwa imekamilisha kuondoa askari na silaha nzito kutoka katika maeneo ya watu ifikapo April 10 mwezi huu. Mamlaka ya Syria inawajibu sasa wa kutekeleza kwa vitendo ahadi hiyo kwa ukamilifu na bila ya masharti yoyote” akasisitiza Katibu Mkuu.

Akatoa wito kwa Rais wa Syria Bashar al- Assad, serikali yake na wote wanaohusika kuonyesha utashi wa kiuongozi na pia akatoa wito kwa upande wa upinzani nao kuwa tayari kusitisha mapigano na unyanyasaji kama ilivyoanishwa kwenye mpango wa Mhe. Annan.

“ wengi wenu mliopo hapa mmetaka kuwapo kwa juhudi za mwisho za kuutatua mgogoro huu kwa njia za amani. Na baadhi yenu mmeonyesha wasi wasi wenu kwamba vita kamili inaweza kujitokeza ikiwa juhudi za kidiplomasia zitashindwa. Ni kweli hali nchini Syria inaendelea kuzorota. Ninawaomba muunge mkono juhudi za Mhe. Annan katika kipindi hiki kigumu” akasihi Ban Ki Moon.

Aidha Ban Ki Moon amebainisha kwamba matumizi ya kijeshi nchini Syria hayatakuwa na manufaa yoyote na badala yake amesisitiza kuanza kwa mchakato wa mazungumzo na kwamba muda wa maneno umekwisha na jumuia ya kimataifa inaonyeshe kwamba iko pamoja na wananchi wa Syria.

Kwa upande wake Mjumbe Maalum Kofi Annan amesema serikali ya Syria na upande wa wapinzani lazima sasa waache mapigano na vitendo vyote vya unyanyasaji.

Na kuongeza kwamba kama ilivyokubaliwa na mamlaka ya Syria timu ya umoja wa mataifa, ikiwa ni pamoja maofisa kutoka Idara ya Operesheni za Kulinda Amani (DPKO), watakwenda nchini humo ili kuanza maandalizi ya kiufundi kwa ajili ya kupeleka waangalizi wakufuatilia usitishaji wa vita vya kutumia silaha na utekelezaji kamili wa mapendekezo yake sita ya kuleta amani.

“ Naomba makamanda wa serikali na upinzani kutoa maelekezo ya wazi kwa walinzi wa amani wa umoja wa mataifa wakishafika nchi humo kusimamia uondoaji wa majeshi” akasema Annan”

Wajumbe wa Baraza Kuu la 66 la Umoja wa Mataifa katika mkutano wao ambao haukuwa rasmi, ambapo walipokea taarifa ya Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Nchi za Kiarabu, Mhe. Kofi Annan ambaye amepewa jukumu la kushughulia mgogoro unaoendelea nchini Syria. katika mkutano huo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon amesema serikali ya Syria licha ya kukubali kutekeleza mapendekeo sita yaliyotolewa na mjumbe maalum, bado hali ni tete na damu inaendelea kumwagia. Kwa upande wake kofi Annan aliyezungumza kwa njia ya Video-Link kutokea Geneva anasema wakati umefika kwa pande zote mbili kusitisha mapigano mara moja na kuondoa majeshi yao kwenye maeneo ya watu na kupisha mazungumzo ya kurejesha amani.
Akasisitiza kwamba serikali ya Syria ilimhakikishia kwamba ifikapo Aprili 10 itakuwa imeondoka vikosi vyake katika makazi ya watu.

“ Baada ya serikali kukamilika kwa zoezi la kuondoka majeshi hapo Aprili 10. Pande zote zitatakiwa kusitisha kabisa mapigano ifikapo saa 0600 kwa saa za Damascus alhamisi, Aprili 12. Akasema Mjumbe Maalum

Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa zaidi ya watu 8,000, wengi wao wakiwa raia wameuawa,pamoja na wengine milioni wakihitaji misaada ya kibinadamu ndani ya Syria huku maelefu wengine wakiwa wameyakimbia makazi yao tangu mapigano yalipoanza nchi humo.

source

Maura Mwingira
Permanent Mission of the United Republic of Tanzania
to the United Nations
201 East 42nd Street, Suite 1700
New York, NY 10017
Tel: 212-972-9160 ext 19
Fax: 212-682-5232

COMMENTS

Name

Anga,12,Arusha,27,batiki,1,Burudani,447,burundani,2,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,287,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,habar,3,Habari,7051,habari dodoma,39,habari. dodoma,32,habaria,1,hadithi,23,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,6,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,739,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,miochezo,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,376,muziki na fasheni,20,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,9,SAYANSI ANGA,12,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,17,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,urembo,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTALII,1,UTAMADUNI,4,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: SYRIA INAPOENDELEA KUIUMIZA KICHWA JUMUIA YA KIMATAIFA
SYRIA INAPOENDELEA KUIUMIZA KICHWA JUMUIA YA KIMATAIFA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1FqY2Pa6GP9hrBQoykl5zo-ZTA9I6_XfGygFIpja7ToXBSwvvir77DSHbyttpZ0_7Jk10QGAXrLO4V2Yu-BNap9wg8GWQFpkW6u4S9fCAvBahftS9dDyA865mtoJHk6vJED_k3s5ZbrIF/s320/509407+%25281%2529+kofi.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1FqY2Pa6GP9hrBQoykl5zo-ZTA9I6_XfGygFIpja7ToXBSwvvir77DSHbyttpZ0_7Jk10QGAXrLO4V2Yu-BNap9wg8GWQFpkW6u4S9fCAvBahftS9dDyA865mtoJHk6vJED_k3s5ZbrIF/s72-c/509407+%25281%2529+kofi.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2012/04/syria-inapoendelea-kuiumiza-kichwa.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2012/04/syria-inapoendelea-kuiumiza-kichwa.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy