WASIFU WA HAYATI BOB NYANGA MAKANI

WASIFU WA HAYATI BOB NYANGA MAKANI Hayati Bob Nyanga Makani alizaliwa mwaka 1936 katika Hospitali ya Kolandoto, Shinyanga.   Alikuwa...


WASIFU WA HAYATI BOB NYANGA MAKANI

Hayati Bob Nyanga Makani alizaliwa mwaka 1936 katika Hospitali ya Kolandoto, Shinyanga.  Alikuwa ni mmoja wa watoto wengi katika familia ya Mzee Makani.
Alipokuwa na umri wa miaka sita, alianza masomo yake kwenye shule ya Msingi Ibadakuli, Shinyanga. Kama ilivyokuwa kawaida ya Serikali ya Mkoloni Muingereza hapa Tanzania wakati huo, watoto wa Machifu walipelekwa kusoma Shule ya Sekondari Tabora, ndivyo ilivyokuwa kwa Hayati Bob pia.
Kutokana na uhodari wake katika masomo, Mheshimiwa Bob Makani  alifaulu na kupelekwa Chuo Kikuu Cha Makerere, wakati huo kikiwa ni Chuo Kikuu cha pekee Afrika Mashariki, ambako alifuzu na kupata Shahada ya Kwanza katika Uchumi  (BA Economics).
Hakuridhika na shahada hiyo. Mwaka wa 1961 alikwenda Chuo Kikuu cha Liverpool, nchini Uingereza na 1965 akatunukiwa Shahada ya Sheria (LLB). Kwa mujibu wa Sheria za Uingereza, anayehitimu Shahada ya Sheria ni lazima vilevile apasi mitihani ya Sheria kwenye Middle Temple, London, Uingereza na Mheshimiwa Bob Makani alifanikisha hiyo mwaka huo huo na kurejea nyumbani Tanzania.
Aliporudi Tanzania aliajiriwa na Serikali kama Mwanasheria wa Serikali kwa muda mfupi kabla hajapandishwa cheo na kuwa Exchange Control Manager wa Benki Kuu.
Hapo ndipo alipokutana na kuwa karibu na Mhe. Edwin Mtei aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu wakati huo.  Ndiyo maana haikuwa ajabu lilipoanza vuguvugu la siasa za mabadiliko nchini mwaka 1966, Mhe. Makani na Mhe. Edwin Mtei walikuwa pamoja.
Mwaka wa 1992 mfumo wa vyama vingi vya siasa ulipokubaliwa rasmi nchini, Mhe. Bob Makani na Mhe. Edwin Mtei walikuwa mstari wa mbele kwenye uundwaji wa chama cha siasa.    Mwaka huo Mhe. Bob Makani alistaafu kazi yake ya Unaibu Gavana wa Benki Kuu ili aweze kuelekeza shughuli zake zote kwenye uanzishaji wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Mheshimiwa Bob Makani ni mwasisi wa CHADEMA na ana kadi ya Chama Namba tatu baada tu ya Mhe. Edwin Mtei, No. I na Marehemu Brown Ngilulupi Kadi No. 2.
Tangu mwanzo kabisa, CHADEMA kilifaidi mengi kwa utumishi uliotukuka toka kwake Bob Makani.  Kwanza kabisa, CHADEMA kilifaidika na utaalam wake wa Sheria ambao pamoja na busara zake zilikisaidia chama kutengeneza Katiba na taratibu za Uongozi/Administrative Structure) ambayo hadi sasa ni msingi wa aina ya uongozi tuliojenga ndani ya CHADEMA.
Jambo la pili ni kuwa Mhe. Bob Makani kwanza kwa asili na pili kwa maumbile yake, alikuwa mtu wa watu.   Ijapo ameshika vyeo vikubwa ndani ya Serikali, Bob alikuwa na kipaji cha kuwaelewa wananchi na kuungana nao katika kutafuta ubora wa maisha kwa ujumla.  Urefu aliomjalia Mwenyezi Mungu, ulihakikisha anaonekana!  Hali kadhalika, kwa ucheshi wake.  Alisikika na kueleweka.
Ni kwa kutambua uwezo na vipaji vyote hivi, ndiyo maana hapo hapo kwenye kikao cha Mkutano Mkuu wa kwanza wa CHADEMA Desemba 1991, ndipo Mhe. Bob Makani akachaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa kwanza wa CHADEMA.
Hali kadhalika, kutokana na usemi uliopo kuwa KAZI NGUMU MPE MSUKUMA, Chama nacho hakikuchelewa kumpa Bob Makani kazi ngumu ya kueneza Chama kipya Tanzania nzima.
Mhe. Bob Makani alipewa kazi maalum ya kukipeleka chama mikoa ya Morogoro, Kigoma, Tabora, Singida, Mwanza na Rukwa.  Hapa ikumbukwe kuwa wakati huo, kuanzisha chama kipya ilionekana kama ni uasi au uhaini na kwenye mikutano mingi ya hadhara kwenye mikoa hiyo, alipokelewa kwa matusi na mara nyingine matusi na mawe.
Kwenye mazingira haya magumu na ikizingatiwa kuwa chama hakikuwa na ruzuku, alitumia rasilimali zake bila uchoyo ili kukijenga kile alichokiamini kuwa ni chombo cha ukombozi wa wananchi kwa ajili ya maendeleo ya watu.
Sisi tuliopo CHADEMA leo, tunajua na kuamini kuwa tokana na ujasiri wa uongozi wa Mhe. Bob Makani kama Katibu Mkuu wa kwanza wa chama, ndipo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliweza kutamka wazi kuwa CHADEMA ndicho chama pekee cha upinzani alichoona kina sera na mwelekeo sahihi. Akakitumia kama mfano wa kukiasa chama chake, CCM kuiga utengenezaji wa sera zinazoweza kutekelezwa.
Mwaka wa 1998, Mhe. Bob Makani akachaguliwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA, wadhifa alioshika hadi 2003 alipomaliza muda wake na wakati huo akaendelea na kazi zake kama mwanasheria wa kujitegemea lakini akibaki kuwa kiongozi na mshauri wa chama hadi kifo kilipomfikia.
Katika uhai wake Mhe. Bob Makani tokana na uadilifu na utaalam wake aliteuliwa kukshika nafasi nyingi za uongozi zikiwemo:-
1.      Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Ndege Tanzania.
2.      Mkurugenzi wa Bodi ya Williamson Diamonds
3.      Mkurugenzi Bodi ya Tanzania Breweries
4.      Mkurugenzi Bodi ya Benki ya Taifa ya Biashara
5.      Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika Law Society
Marehemu alianza kusumbuliwa na uogonjwa wa moyo tangu 2009.   Mwaka uliofuata 2010 alipelekwa India kwa matibabu na alipata nafuu kwa muda.  Mwaka huu, Bob Makani alipelekwa Nairobi kwa Operation ndogo lakini baada ya hapo hakuweza kuendelea na kazi.
Mnamo saa za jioni tarehe 9 Juni alizidiwa na kukimbizwa Hospitali ya Aghakhan ambapo alifariki saa saba usiku.  Marehemu ameacha wajane, watoto saba na wajukuu wanane.
Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya Marehemu Bob Nyanga Makani.
AMINA.

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: WASIFU WA HAYATI BOB NYANGA MAKANI
WASIFU WA HAYATI BOB NYANGA MAKANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgALCFM5JhdE_phu3AFf8aVoQJrvZ81J9SfaMOB-zWRFVQ3emqpuRCTxKLQfTUkbzCO4b8p2zNn2TQoHNv3HlCamwpFSdpE_AcCcwJT8aoZHpLDP5gSieDtLObu08_pYVRf-cCKizDaMhq9/s320/BOB.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgALCFM5JhdE_phu3AFf8aVoQJrvZ81J9SfaMOB-zWRFVQ3emqpuRCTxKLQfTUkbzCO4b8p2zNn2TQoHNv3HlCamwpFSdpE_AcCcwJT8aoZHpLDP5gSieDtLObu08_pYVRf-cCKizDaMhq9/s72-c/BOB.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2012/06/wasifu-wa-hayati-bob-nyanga-makani.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2012/06/wasifu-wa-hayati-bob-nyanga-makani.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy