Msiba Dodoma injinia Dkt Peter A. Mokiwa afariki dunia

  injinia Dkt Peter A. Mokiwa Katibu mkuu wizara ya Maji , anasikitika kutangaza kifo cha Injinia Dkt. Peter A.Mokiwa, Mkurugenzi M...



 injinia Dkt Peter A. Mokiwa
Katibu mkuu wizara ya Maji , anasikitika kutangaza kifo cha Injinia Dkt. Peter A.Mokiwa, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi  wa mazingira Mjini Dodoma ( DUWASA) kilichotokea usiku wa kuamkia         tarehe  12 Sept, 2014 katika hosipitali ya Rufaa ya  Mkoa wa Dodoma.
Habari ziwafikie Wafanyakazi  wote Secta ya Maji, Ndugu Jamaa na Marafiki popote pale walipo.
Msiba uko nyumbani kwa Marehemu  eneo la Kilimani mjini Dodoma  na mazishi yatafanyika  kijijini  kwao Mgombezi Wilayani Korongwe Tanga , siku ya Jumatatu  ya tarehe  15.09.2014.
“Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe”.
Amina


WASIFU WA MAREHEMU INJ. DKT. PETER ANDREW MOKIWA



1. KUZALIWA

Marehemu Inj. Dkt. Peter A. Mokiwa alizaliwa tarehe 27/12/1952 katika kijiji cha Mgombezi, tarafa ya Mgombezi, wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga.

2. ELIMU

 Marehemu Inj. Dkt. Peter A. Mokiwa alipata elimu ya sekondari ya kidato cha I-IV katika shule ya Ufundi ya Sekondari ya Tanga mwezi Januari mwaka 1969 hadi mwezi Oktoba mwaka 1972.

 Kwa upande wa elimu ya kidato cha V-VI, marehemu Inj. Dkt. Peter A. Mokiwa alisoma katika shule ya Mkwawa mwezi Machi mwaka 1973 mpaka mwezi Oktoba mwaka 1974.

 Mwezi Agosti mwaka 1975 hadi mwezi Juni mwaka 1979, marehemu Inj. Dkt. Mokiwa alisomea na kupata shahada ya uhandisi ya masuala ya ujenzi katika Chuo Kikuu cha Roorkee nchini India.

Mwezi Septemba mwaka 1981 hadi mwezi Oktoba 1982 alipata “Postgraduate Diploma”, ya masuala ya Hydraulics and Environmental Engineering katika Chuo cha UNESCO-IHE Institute for Water Education, Delft, The Netherlands.

Mwezi Septemba mwaka 1985 hadi mwezi Oktoba mwaka 1985, marehemu Inj. Dkt. Mokiwa alihudhuria kozi ya Water Resources Assessment and Development na kupata cheti katika Chuo cha Sophia Antipolsi kilichoko Ufaransa.

Mwezi Juni 1991 hadi mwezi Juni 1992, marehemu Inj. Dkt. Mokiwa alihudhuria kozi ya Organization Management and Human Resources
Development na kupata cheti katika Chuo Kikuu cha Texas (Hurbert Humphrey Fellowship) kilichoko Marekani.

Mwaka 2009 hadi mwaka 2013, marehemu Inj. Dkt. Mokiwa alihitimu Shahada ya juu ya Uzamivu ya Masuala ya Rasilimali Watu katika Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira yaani Doctor of Philosophy (PhD) in Human Resources Mangement in Water Supply and Sanitation Authorities katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na alitakiwa kuhudhurishwa (graduate) mwezi Oktoba mwaka 2014.

Aidha, marehemu Inj. Dkt. Mokiwa amehudhuria mafunzo mbalimbali ya masuala ya fedha, utawala na uongozi ndani na nje ya nchi. Kwa watumishi wengi nchini na hasa wale wa sekta ya maji watamkumbuka marehemu Inj. Dkt. Mokiwa kama Mwalimu, Mlezi na Kiongozi.

3. AJIRA NA UZOEFU WA KAZI

Kuanzia mwezi Juni mwaka 1979 hadi mwezi Septemba mwaka 1981,marehemu aliajiriwa na kufanya kazi Wizara ya Maji, Nishati na Madini kama Mhandisi Mkazi kwenye mradi wa maji wa Mwamashimba mkoani Mwanza.

Mwaka 1982 hadi mwaka 1984 alifanya kazi kama Mhandisi wa Ujenzi wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini.

Mwezi Machi 1984 hadi mwezi Machi 1988, alifanya kazi kama Mhandisi wa Ujenzi wa Kanda wa Wizara ya Maji, Nishati na Madini kwa mikoa ya
Mwanza, Tabora, Shinyanga, Mara na Kagera.

Mwezi Machi 1988 hadi mwezi oktoba 1992 alifanya kazi kama Mhandisi wa Maji wa Mkoa wa Lindi.

Mwezi Oktoba 1992 hadi mwezi Juni 1998 alifanya kazi kama Mhandisi wa Maji wa Mkoa wa Pwani.

Mwezi Juni 1998 mpaka sasa amekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (DUWASA). Marehemu
atakumbukwa sana kwa mafanikio aliyoyaleta DUWASA kwa kushirikiana na WanaDUWASA kwenye maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na:

Kuiwezesha DUWASA kuondokana na tatizo la huduma ya maji nakuwa na huduma ya maji nzuri yenye wastani wa saa 24 kwa siku.

Kuiwezesha DUWASA kupanda daraja kutoka C hadi A bila kupitia B mwezi Julai mwaka 2003.

Kuwezesha Chuo Kikuu cha Dodoma kupata huduma ya uhakika ya maji kuanzia hatua ya ujenzi hadi uendeshaji na kuwa na huduma ya
uhakika ya uondoshaji wa majitaka kwenye maeneo yote ya chuo.

Kusimamia mradi mkubwa wa uboreshaji wa huduma ya majisafi uliokamilika mwaka 2003 ambao ulifadhiliwa na Serikali ya Jamhuri ya
Watu wa China.

Kusimamia mradi mkubwa wa uboreshaji wa huduma ya majisafi unaogharamiwa na Serikali ya Tanzania kupitia mkopo wenye masharti
nafuu kutoka Serikali ya Jamhuri ya Korea ambao unatarajiwa kukamilika mwezi Januari 2015.

Kuunganisha WanaDUWASA wote na Wadau kwa manufaa ya huduma kwa wananchi.

Marehemu Inj. Dkt. Mokiwa amesimamia na kufanya kazi mbalimbali za uhandisi na ujenzi kwenye maeneo mbalimbali nchini ikiwemo: jengo la
ghorofa moja la Mwenge Engineering Unit, mradi wa maji wa Mwamashimba

– Mwanza, mradi wa maji wa Liwayawaya Lindi, mradi wa maji wa Wami-Ruvu ambao unahudumia maeneo ya Mbwewe, Miono, Msata, Lugoba na Chalinze mjini.

4. VYAMA VYA KITAALUMA NA VYA KIJAMII

Marehemu Inj. Dkt. Mokiwa alikuwa mwanachama wa vyama vya kitaaluma na vya kijamii kama ifuatavyo:
• American Society of Civil Engineers (MASCE).
• Mhandisi namba 448 aliyesajiriwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi Tanzania (ERB).
• Mhandisi namba 1206 wa Taasisi ya Wahandisi Tanzania (MIET).
• Mwanachama na Kiongozi wa Mwalimu Nyerere Rotary Club Dodoma.
• Amewahi kuwa Mjumbe wa Bodi wa shule ya Jamhuri Sekondari.
• Amewahi kuwa Mjumbe wa Bodi wa ofisi ya Bonde la Wami-Ruvu.
• Alikuwa Mjumbe wa Bodi wa Umoja wa Watoa Huduma za Maji (ATAWAS).
• Marehemu amekuwa mzee wa Kanisa tangu mwaka 2000 hadi alipofariki. Pia alikuwa Mjumbe wa Halmashauri ya Kanisa na Mjumbe wa Kamati ya Fedha
ya Kanisa la Anglikana Dodoma hadi alipofariki.

5. KUUGUA NA KUFARIKI

Marehemu Inj. Dkt. Mokiwa aligundulika kuwa na matatizo ya figo mwaka 1998 na alipata matibabu mara kadhaa na kuwa katika afya njema. Marehemu
aliendelea kufanya kazi kama vile hana tatizo la figo na alifanya kazi kwa weledi mkubwa kuliko hata wafanyakazi wazima.

Mnamo tarehe 10 Septemba 2014, marehemu aliugua ghafla na kupata tatizo la kushindwa kupumua na ndipo alipelekwa hospitali ya UDOM kwa matibabu na baadaye kuhamishiwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma.

Marehemu Inj. Dkt. Mokiwa alifariki Ijumaa tarehe 12 Septemba 2014 majira ya saa 6.00 za usiku katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General Hospital).

6. HITIMISHO

Marehemu Inj. Dkt. Mokiwa ameacha Mjane, watoto 3 na wajukuu 3.
“BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA

LIHIMIDIWE”

Maziko
Mwili wa marehemu unatarajiwa kupumzishwa katika nyumba ya milele kijijini kwao Mgombezi, Korogwe Tanga kesho.
 

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4811,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Msiba Dodoma injinia Dkt Peter A. Mokiwa afariki dunia
Msiba Dodoma injinia Dkt Peter A. Mokiwa afariki dunia
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAodlzurw3S9Hey0HTBQAnRnH1ODdoFzY56tTPhFk2FpxsMFQhnB1AVEz0zBFh6NyC88Wrlj3M5FhMBXcphyphenhyphendH5YD_9RntZXd3b8ZGB04ca36sC9SvixyqndXxGeFIKcFQGunEUGtAmWM/s1600/duwasa.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAodlzurw3S9Hey0HTBQAnRnH1ODdoFzY56tTPhFk2FpxsMFQhnB1AVEz0zBFh6NyC88Wrlj3M5FhMBXcphyphenhyphendH5YD_9RntZXd3b8ZGB04ca36sC9SvixyqndXxGeFIKcFQGunEUGtAmWM/s72-c/duwasa.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2014/09/msiba-dodoma-injinia-dkt-peter-mokiwa.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2014/09/msiba-dodoma-injinia-dkt-peter-mokiwa.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy