HADITHI: Utamu wa Sukari Guru-14

WIKI iliyopita tuliona majibu ya mama Kibua kwa mwane kuhusu udugu wake na Silvesta na kulitokea nini baada ya yeye kuachana na mzazi...



WIKI iliyopita tuliona majibu ya mama Kibua kwa mwane kuhusu udugu wake na Silvesta na kulitokea nini baada ya yeye kuachana na mzazi mwenzake. Je kunaendelea nini katika maisha ya Kibua. Beda Msimbe anasimulia zaidi.

“Sikia baba wewe ndiwe unayenianzishia matanga katika maisha yangu ningali hai” alisema Kibua kwa hasira baada ya baba yake kusema kwamba hawezi kuwa na mtoto kahaba, bazazi kama yeye.
Maneno ya baba yake yalimchoma kama mkuki moyoni hasa baada ya m zee huyo akiwa na mkewe, kumzodoa  Kibua ambaye alifika hapo baada ya mama yake kumweleza ukweli kuwa juhudi za kumpeleka baba yake pale nyumbani zimeshindikana na hataki hata kusikia kwamba ana mtoto kwa jinsi anavyotia kinyaa.
Baada ya mama yake kusema hayo Kibua hakutaka hata kumjibu, alichofanya aliingia ndani akavaa nguo za ushauri akajitanda mtandio na kuelekea kwa baba yake ambaye hajawahi kumuona wala kumsikia kwa miaka yote.
Alipofika pale alimkuta Silvesta ambaye alikuwa  akifunga mbuzi kisha kumwamkua alimkaribisha nyumbani pale na kwenda kuwaita wazazi wake ambaow alikuwa katika nyumba ya jiko.
Alipomuona,mama yake Silvesta aliiona sura ya mtoto wake pale akashindwa kuelewa.
“karibu ndani”
Kauli ya karibu ilimuingiza Kibua ndani ambaye aliwasalimia wazazi wake wale kwa adabu kubwa.
“Mimi naitwa Kibua, nimefika hapa kuzungumza na baba ambaye hanitambui tangu kuzaliwa kwangu hadi leo”
“Taratibu mwali, umesema unaitwa Kibua”
“Ona mai (ndio mama) “ alisema kwa kikwao akiachana na kiswahili tena kwa adabu kubwa.
“Mtoto wa nani?” aliuliza tena.
Hakumjibu na badala yake akamtazama baba yake na kunyanyua mdomo.
“Baba unaweza kujibu?”
Hapo ndipo maneno ya hovyo yalipoanza kumtoka Baba Slivesta, maneno ambayo yalimkera sana binti huyo ambaye alishakuwa kama mwehu  kutokana na kusimangwa.
“Sikia baba umesema maneno mengi sana. Naweza kuwa mtovu wa adabu kukukaripia kwa kushindwa kunirejesha kitandani wewe na mwenzako, kukataa kabisa kumuona mama yangu pamoja na kumtafadhalisha kwamba utaendelea kumpenda. Umenikana kiasi ya mama kutokusema kitu bali baba yangu amekufa”
“Ndio baba yako amekufa”
“We mzee we usilete majanga hapa duniani.Usinifanyie matanga katika maisha, mimi bado nipo hai , usibane maisha yangu  kwa starehe zako.”
“Starehe zangu, hebu ondoka hapa” alisema kwa ghadhabu na kutaka kuinuka akashikwa na  mkewe pale.
“Mama wala usimshike.Mwache aje anipige kama kuna tusi nimemfanyia kuliko yeye. Sikuja hapa kumdai kitu chochote. Nimekuja hapa aniambie mimi ni mwanae au si mwanae na kama mimi si mwanae nijue nitampata wapi baba yangu, kwani lazima nitambike na lazima watu waje kula mahali.”
Baba akawa anatetemeka.
Akaketi chini na kumwangalia. Hakujibu.
“Sikia baba kama mimi si mwanao, mruhusu Silvesta aje atoe mahali. Alisema mwenyewe amependa bodi hili”
Akasema kwa maringo.
“Unasemaje?” alimaka.
“Silvesta  juzi ulisema nini pale mgahawani?”
“Lakini sista   si tulimaliza pale pale?”
“Hatujamaliza, baba anasema mimi si mwanae.Lete posa nitaikubali” alinyanyuka na kuanza kuondoka.
“Sista haiwezekani.Nimepewa taarifa zote. Baba anaweza kusema hakujui. Mimi nimefurahi kwamba nina dada nilidhani nipo peke yangu.”
Akamtazama, akatabasamu.
“Msikilize baba yako, mimi nakuachia huru kuamua kuja kunioa kama ulivyotaka au kwa vyovyote vile. Karibu kwetu.Lakini ukija ujuwe umemsikia baba yako”
Akajitupia khanga yake na kwa maringo  akaondoka katika eneo lile taratibu akijua kuwa ameshinda vita, kwa kuangalia sura ya baba yake na mama yake na hasa ya kaka yake.
Jinsi alivyokuwa amejawa na hasira alienda moja kwa moja nyumbani akabadilisha nguo na kuamua kwenda kimbinyiko alikuwa na kazi ya kufanya kabla hajafanya kitu chochote, kulipiza kisasi.
Alipofika nyumbani, mama yake alikuwa na kila sababu ya kuzungumza lakini yeye alimwambia kwamba hawatazungumza kwa kuwa anakitu cha muhimu sana anataka kukifanya, aliondoka.
“Mama naenda zangu kwenye mambo yangu naomba tu usiniulize” akaondoka bila kusubiri jibu.
Wakati anafika Dawilo, kaka yake Silvesta alikuwa anaingia katika makazi yake lughongo akiwa na kondoo alikuwa kondoo wa tambiko.
Silvesta alifika pale na kuangalia zizi lililipokuwepo akamfunga kondoo yule bila kumsalimia mtu akaondoka zake taratibu, alijua wanajua nini kinatakiwa itakuwa kazi yao kuwaita wajomba.
Wakati anaondoka pale Kibua, mzozo mkubwa ulizuka kati ya Silvesta na baba yake, mzozo ambao uliamualiwa na mama yake.
“Mama nimesikia mlivyomtukana dada, lakini amefanana sana na baba pengine kuliko mimi, baba hawezi kunikatalia dada yangu. Mbaya zaidi nusura nifanye faulo kama tusingeambiwa na mtu anayetufahamu sote.Nilikuwa naleta aibu kubwa katika ukoo baba hata kama mlikuwa na hitilafu zenu na mama mkubwa”
Maneno yaliyomtoka Silvesta yalikuwa makali na mama yake alimshauri kutogombana na baba yake kwani wakati huo haukuwa sawa.Alitulia, lakini kilichomtuliza sana, ni kule kuambiwa akamate kondoo na kwenda kumfunga nyumbani kwa akina Kibua.
Itaendelea

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,301,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,23,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: HADITHI: Utamu wa Sukari Guru-14
HADITHI: Utamu wa Sukari Guru-14
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYcASgeTtQ8oe7Cs7KPQtUcyqLyUQJJLe68gaIuULGu6xgAmykeQ2X25ld364ijjp1MgfAk-lsw6Bb3CGCUtqzFg_omafQCzZ_rMVziwW6VLnVNiw2zqwv9LeiEL6T9u0E8yVLDtEvtAI/s1600/maneno+maneno.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYcASgeTtQ8oe7Cs7KPQtUcyqLyUQJJLe68gaIuULGu6xgAmykeQ2X25ld364ijjp1MgfAk-lsw6Bb3CGCUtqzFg_omafQCzZ_rMVziwW6VLnVNiw2zqwv9LeiEL6T9u0E8yVLDtEvtAI/s72-c/maneno+maneno.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2014/11/hadithi-utamu-wa-sukari-guru-14.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2014/11/hadithi-utamu-wa-sukari-guru-14.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy