Hadithi: Utamu wa Sukari Guru 16

Naam ugomvi kati ya Kibua na Semie umeshamalizika na kwa maneno yake mwenyewe Kibua amekubali yaishe.Je kuna jipya gani litazuka hasa...



Naam ugomvi kati ya Kibua na Semie umeshamalizika na kwa maneno yake mwenyewe Kibua amekubali yaishe.Je kuna jipya gani litazuka hasa ukizingatia kwamba Kibua anajua baba yake amemkataa. Kumbuka safari iliyopita kuliletwa kondoo pale nyumbani kwa akina Kibua.Ambatana name kwenye simulizi hili lenye mihemko ya mapenzi.


KIBUA aliporejea nyumbani kutoka kwa akina Semie alikuwa amechoka sana.Hii ilitokana na ukweli kuwa alikuwa ametumia nguvu za ziada kumwadhibu Semie na mume wake.Ni matumizi ya nguvu hizo zilimfanya arejee nyumbani pale kimya kimya, akamsalimia mama yake na kwenda kulala bila kuoga.
Katikati ya usiku ndoto zilimwamsha, zilikuwa si ndoto rafiki  akakumbuka kwamba katika maisha yake hajawahi kulala na janaba na ndio maana akili ilimcheza, akatoka akaenda jikoni akakuta mama yake ameinjika maji katika chungu na vijinga vya moto vilikuwa bado vinawaka.Asingeliweza kulala hadi asubuhi, kwani mwili wa Kibua ulikuwa si wa kawaida, uligombana mno na uchafu.
Akachukua maji yale akayachanganya vyema na kuelekea uani, mwanga wa mbalamwezi ulimpa kampani kubwa akaamua kujiogea nje kwani hakuna haja ya kwenda bafuni katika usiku huo mkubwa.Akasaula nguo zake akazitupa upenuni, akaanza safari ya kujiogesha, ilikuwa safari ndefu na aliifanya kwa utaratibu sana.
Pale alipokua akiogea palikuwa karibu sana na chumba ambacho mama yake analala, zile kelele za maji zilimwamsha bi mkubwa Yule.Huku akipepesuka kwa usingizi alikwenda  kufungua mlango wake akatoka nje na kuona mlango wa nje umesindikwa tu.Akaufungua na kumuona mtoto wake akioga kwa taratibu sana, hakutaka kumshtua kwani alionekana kama vile yuko mbali sana. Kila kata ya maji ilionekana kuwa na kusudio fulani katika mwili wake.
Alimsubiri amalize, lakini ilionekana kwamba itamchukua muda mrefu sana. Alipoona sasa anakwenda kasi akajua kwamba akili imemrejea na akaamua kumuita.
“Kibua”
“Unasemaje mama” alijua ni mama yake.
“mbona chilo chikulu (usiku mkubwa)vipi mwanangu?”
“mama nilirudi nimechoka sana, nikasema nijipumzishe kumbe ndio nimelala.Nimeshtuka nikiwa naota ndoto mbaya sana,nikagundua ahaa kunbe sijaoga ndio naoga mama”
“umechukua muda mrefu sana mama kuoga”
“Ha mama yaani kumbe muda wote huoupo unaniangalia tu?Nimekuwa mwanasesere?”
“Kwangu mimi wewe ni mwanasesere, kwa wengine wewe ni mtoto  na kwa wanaume wewe ni mwanamke.Haya tuache hayo.Nilikuwekea ugali na mboga ya beze ikichanganyika na konge.Konge lakini lipo peke yake .Utahitaji kula si vyema kulala na njaa, bado sijafa.Kabla sijasahau kesho kuna ugeni hapa nyumbani usiondoke.”
“Enhee kuna ugeni gani mama wa mwanasesere?”
“Kwani lazima uujue mama”
“kweli kabisa si lazima niujue, lakini si unanijua mwanao ninapokuwa na mambo yangu hakafu kuna vitu ambavyo si vya lazima kuvifanya?”
“Najua”
“Haya”
“Sikia Kibua nadhani hapana usitoke.Nadhani ni vyema ukabaki.Nadhani kuna mambo baba yako anataka kusema nawe”
“Achana naye mama.Nimeenda kanizodoa, sina shida naye. Nimemjua,nimemwelewa. Yangu kuanzia sasa ni macho tu”
“hapana mama nadhani kuna kitu anataka kukifanya kwako.Kaletwa mnyama hapa ni dalili kwamba baba yako anataka kupata nawe.”
“Hapana mama nilimwambia kwamba kama yeye si baba yangu basi amruhusu Siri alete posa, hiyo ni posa mama”
“Haiwezekani si posa! Wale ni wanyama wa tambiko walioletwa hapa”
“Ndio mama, tambiko la kutenganisha ukoo,sijui nitazaa Mtitu mimi Dah”
“kama hilo sitakubaliana nalo”
“Ndio maana nikasema wala usimsikilize alishamaliza mambo yake”
Mama Kibua alimtazama mwanae akamuona ametulia sana.Akajua kwamba sasa mwanae huyo wa pekee ataanza kufanya maamuzi kama aliyoyafanya yeye na lile lilimpatia shida, hakuyapenda na hajawahi kupenda maamuzi yale.
“Sikiliza Kibua”
“Unasemaje mama?”
“Nenda kale, kisha kalale nina hakika mpaka kesho utajisikia vyema sana. Wala usiondoke tuwangoje tuwasikilize”
Hakusubiri amjibu aliondoka kurejea chumbani kwake akimwacha Kibua akipiga mwayo huku naye akienda jikoni kupata chakula kama mama yake alivyomshauri.
XXX
Huku Dar es salaam mambo hayakuwa kama vile yalivyokuwa yakitarajiwa kuwa.Mtotobaba mwenye nyumba kama baba mwenyewe alivyokuwa alianza kuchongeka. Na kikubwa alichokuwa anakifikiria ni jinsi alivyomkosa Kibua , mwanamke wa haja ambaye alidhani kwamba anafaa sana kuwa  mtu wa kumkosha katika nafsi yake ya upweke kwa jinsi binadamu walivyoumbwa.
Wakati wa mtoto anachongeka akiakili na kimwili kwa ajili ya Kibua na hasa akitafakari maneno ya baba yake,  kwamba Kibua ni mama yake mdogo na hana la kufanya,baba mtu naye aliona miezi minne kama mwaka. Hali haikuwa njema ingawa mkewe kwa mara ya kwanza alianza kuwapo nyumbani kwa muda mwingi sana kuliko awali na alikuwa akijitahidi kupika walimu mtamu ambao yeyhe alijua kabisa ameukozesha nazi.
Mama alijitahidi sana kuhakikisha kwamba tui analotengenezea wali limekoza na lipo shatashata lakini mzee mzima kila akila wali ule alikuwa kama vile anataka kuutema.Ilifika siku akaamua kumuondolea uvivu na kumchana laivu.
“Enhee nambie kanali wa jeshi, komando” akajenga uso wa tabasamu kisha akaendelea siriazi kidogo;” kuna tatizo gani siku hizi mbona kila ukila unazidi kunyong’onyea?”
Alimtazama, yale macho ambayo baba mwenye nyumba anayajua, ya baridi. Hakumuelewa.
“Sina tatizo lolote lile kwani vipi?”
“Asiyekujua atasema upo sawa, sisi wengine tunakujua.Tueleze baba chanja tatizo nini?”
“sina tatizo mama”
“Kweli kabisa?”
“Ndiyo”
“Au ndio mawazo ya Kibua.Yule mtoto kakupa nini hasa?”
“ushaanza”
“Wala Mwaya!Lakini dawa ya maradhi  yasikuue kwanza ni kuyakubali, kisha kutafuta dawa yake, kuyakataa wakati yanakutesa si sahihi.Nataka kusema hivi baba chanja dawa ya maradhi yako ni kukiri, usipofanya hivyo utakufa utaacha kila kitu pamoja na Kibua mwenyewe”
“unanitaka nini?”
“Mimi nauliza Yule mtoto kakupa nini mpaka unachanganyikiwa?”
“Mbona hivyo mama watoto?”
“kuna mawili ama wewe ni mjinga ama hutaki kukubali hofu yako.Utakufa kw akihoro mpenzi”
“kama hakuna maongeze hapa sebuleni ila hayo, basi naomba twende tukalale”
“huwezi wewe”
“Kwanini siwezi”
“Nikuambie ukweli?”
“Nambie”
“Sasa hivi staili na miondoko ni ya Kibua. Umekwisha wewe!Hufurukuti”
“Mhh”
“Mhh nini?Kila siku ukikolea unaliita jina lake na halafu unasema hivi..” akaaenda kumnong’oneza sikioni.
“Sio kweli”
“Ukweli ni nini laazizi?Nambie basi”
“Ninachotaka kusema unachosema si cha kweli mimi si mvulana bana”
“Unaona sasa?”
“Ninaona nini”
“mimi nishampoteza mpenzi na mapenzi yako kule.Siku zote hizi unajisikia kuniamrisha kama jeshini fanya hivi, kaa hivi kama unapiga picha ya mmodo khaa,”
“na wewe unafanya”
“Nifanyeje na bwana mkubwa kesha jenga mazoea.Tusipofanya si tutaharibu picha nzima”
“Mazoea?Mazoea gani”
“Hivyo unavyoagiza”
“Sikiza…” akakatwa kauli.
“Nisikilize mimi babachanja.Simchukii mtoto Yule! Lakini jinsi unavyokwenda na damu changa ile utatuletea majanga nyumba hii! We endekeza tu” akanyanuka kuelekea chumbani.
Hakujibu lilikuwa limepigwa chini ya mkanda mzee mzima ilibidi atulie kusikilizia maumivu.Akagundua kwamba  hawezi tena kuficha mkewe alikuwa anamjua alipolala na alipoamkia.
Itaendelea




COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,301,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,23,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Hadithi: Utamu wa Sukari Guru 16
Hadithi: Utamu wa Sukari Guru 16
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh64E02qxREw9E_RyecBmhj1uzCYVa2bDV4GAIxEK1vnxQ1sJCq0-HuzyJ8ghedqAtyYUwjkeBStyVV2R-E_hTmibyLPMRPzAmp9OhkqQQyxJzy7lSK8MQewedtwzisSpfwavoO6sKiUsA/s1600/mapenzi.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh64E02qxREw9E_RyecBmhj1uzCYVa2bDV4GAIxEK1vnxQ1sJCq0-HuzyJ8ghedqAtyYUwjkeBStyVV2R-E_hTmibyLPMRPzAmp9OhkqQQyxJzy7lSK8MQewedtwzisSpfwavoO6sKiUsA/s72-c/mapenzi.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2015/01/hadithisukari-guru-16.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2015/01/hadithisukari-guru-16.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy