JK AONGOZA KIKAO CHA NEC WAJUMBE WAPITISHA JINA LA RAIS DK. MAGUFULI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimuongoza Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuingia ukumbini, kwa ajili ya kuendes...

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimuongoza Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuingia ukumbini, kwa ajili ya kuendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) leo katika ukumbi wa Sekretarieti uliopo katika Jengola White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo. Wanaofuata ni Mwenyekiti wa CCM mtarajiwa , Rais Dk. John Magufuli na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa ,Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein. Kikao hicho kilikuwa na ajenda moja, ya kupokea jina la Rais Dk. Magufuli ili kuliafiki au kulikataa kuwa Mwenyekiti wa CCM wa awamu ya tano kufuatia Mwenyekiti wa sasa atakapostaafu na kumwachia kijiti cha uongozi huo wa Chama katika mkutano mkuu maalum wa CCM utakaofanyika kesho katika Ukumbi wa Dodoma Convetion.
 Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan (kuashoto) akiingia ukumbini kushiriki katika kikao hicho
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akiongoza shamra shamra baada ya yeye na viongozi wenzake kuwasili ukumbini kwa ajili ya kikao hicho
 Wajume wakiwa wamesimama kumlaki Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete baada yeye na viongozi wenzake kuwasili ukumbini kwa ajili ya kikao hicho cha NEC
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wakiwa tayari meza kuu kuendesha kikao hicho. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM, mtarajiwa Rais Dk John Magufuli, Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein na kulia niMakamu Mwenyekiti wa CCM-Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, kilichofanyika leo. Kulis ni Mwenyekiti wa CCM Mtarajiwa Rais Dk. John Magufuli na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mweyekiti wa CCM mtarajiwa Rais Dk. John Magufuli na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein wakati wa kikao hicho cha NEC kilichofanyika leo.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein akijadili jambo na Mwenyekiti wa CCM mtarajiwa, Rais Dk. John Magufuli wakati wa kikao hicho cha NEC kilichofanyika leo.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhwavi akitoa taarifa ya maandalizi ya mkutano mkuu maalum wa CCM utakaofanyika kesho, Julai 23, 2016, wakati wa kikao hicho cha NEC. 
 Wajumbe wa NEC na Wajume waalikwa wa NEC, wakiwa kwenye kikao hicho. Kutoka kulia ni Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Raijab Luhwavi, Katibu wa NEC Oganaizesheni Mohammed Seif Khatib na Katibu wa NEC Uchumi na Fedha Zakia Hamdan Meghji
 Katibu wa NEC Itikasi na Uenezi na Msemaji Mkuu wa CCM, Christopher Ole Sendeka wakijadiliana jambo wakati wa kikao hicho cha NEC
  Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana wakati wakijadili jambo wakati wa kikao hicho cha NEC kilichofayika leo
 Kiti alichokuwa amekalia Mwenyekiti wa CCM mtarajiwa Rais Dk. John Magufuli (kushoto), kikiwa wazi baada ya Dk. Magufuli kutoka ukumbi kutoa nafasi ya jina lake kutajwa na Mwenyekiti wa CCM Dk Jakaya Kikwete (wapili kushoto), kwa wajumbe wa NEC leo, Kama lilivyopendekezwa na Kikao Cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika jana kwa kumpendekeza Dk. Magufuli kuwa Mweneyekiti wa CCM wa awamu ya tano. Kulia ni Makamu Kwenyekiti wa CCM Bara na Katibu Mkuu wa CCM Abduulrahman Kinana
 Wajumbe wa NEC wakiwa wamenyoosha mikono kushirikia kulipitisha jina la Rais Dk. Magufuli kuwa Mwenyekiti wa CCM, kufuatia kulipitisha, jina hilo kesho litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa CCM ili kupigiwa kura ya ndiyo au hapana.
 Wajumbe wa NEC wakiwa wamenyoosha mikono kushirikia kulipitisha jina la Rais Dk. Magufuli kuwa Mwenyekiti wa CCM, kufuatia kulipitisha, jina hilo kesho litapelekwa kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa CCM ili kupigiwa kura ya ndiyo au hapana.
 Viongozi wa Meza Kuu wakiwa wamesimama kuwaunga mkono wajumbe waliosimama na kuamsha shamrashamra baada ya jina la Rais Dk John Magufuli kupitishwa na wajumbe katika kikao hicho cha NEC
 Wajumbe wakiwa wamesimama kwa shamrashamra hizo
 Mwenyekiti wa CCM mtarajiwa Rais Dk. John Magufuli akitoa neno la shukurani baada ya jina lake kupitishwa na wajumbe wa NEC wakati wa kikao hicho cha NEC
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akimpongeza, Mwenyekiti wa CCM mtarajiwa Rais Dk. John Magufuli baada ya maelezo yake mazuri wakati akitoa neno la shukurani baada ya jina lake kupitishwa na wajumbe wa NEC
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein,akimpongeza, Mwenyekiti wa CCM mtarajiwa Rais Dk. John Magufuli baada ya maelezo yake mazuri wakati akitoa neno la shukurani baada ya jina lake kupitishwa na wajumbe wa NEC 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akionyesha katarasi itakayotumiwa na wajumbe wa mkutano Mkuu Maalum wa CCM kupiga kura 
 Juma Borafya kutoka Zanzibar akisimama baada ya kuteuliwa kukubali au kukataa jina la Dk. Magufuli litakapowasilishwa kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa CCM
 Mjumbe wa NEC, Waziri Kiongozi Mstaafu, Shamsi Vuai Nahodha akitoa neno la shukrani mwishoni mwa kikao hicho.
 Makatibu wa NEC wakiwa kazini kuhakikisha kila jambo la muhimu  la kwenye kikao hicho linanukuliwa vema.
 Wajumbe wakiwa amejaa ukumbini
 Mweneyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akimpongeza Nahodha kwa neno lake la shukurani
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akionyesha furaha yake kabla ya kufunga kikao hicho baada ya ajenda kumalizika hatua kwa hatua.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akikifunga kikao hicho cha NEC ambacho ni cha mwisho kwake kama Mwenyekiti, PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO, KWA PICHA NYINGINE KEM-KEM ZA KIKAO HICHO >>GONGA HAPA

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: JK AONGOZA KIKAO CHA NEC WAJUMBE WAPITISHA JINA LA RAIS DK. MAGUFULI
JK AONGOZA KIKAO CHA NEC WAJUMBE WAPITISHA JINA LA RAIS DK. MAGUFULI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisi_sx_ogpMeOWC2o6QpB9OETGYBtHKqryqr3CK_Hr1X5dShbJcyOkGfJ0soKxBQdf0ms-9HnenBDhlUxgauPhgIlQD6gd00mGdtnHFw4ANcUDHHyzNmz78NCK8sCAVY-wwBde1JuAb8XI/s640/5T7A2049.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisi_sx_ogpMeOWC2o6QpB9OETGYBtHKqryqr3CK_Hr1X5dShbJcyOkGfJ0soKxBQdf0ms-9HnenBDhlUxgauPhgIlQD6gd00mGdtnHFw4ANcUDHHyzNmz78NCK8sCAVY-wwBde1JuAb8XI/s72-c/5T7A2049.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/07/jk-aongoza-kikao-cha-nec-wajumbe.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/07/jk-aongoza-kikao-cha-nec-wajumbe.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy