AGRA yashawishi matumizi ya teknolojia kuongeza tija katika kilimo

Waziri Mkuu  akisalimiana na Dk Mary Mgonja viwanja vya Mwakangale . Kwa miaka 10 imetumia dola za Marekani milioni 51 kuendeleza...


Waziri Mkuu  akisalimiana na Dk Mary Mgonja viwanja vya Mwakangale


. Kwa miaka 10 imetumia dola za Marekani milioni 51 kuendeleza kilimo

TAASISI ya Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika (AGRA)  imetoa wito kuwapo kwa matumizi zaidi ya teknolojia kwa wakulima wadogo ili kuwa na uhakika na usalama wa chakula huku wakiingiza ziada katika soko. 
Mtendaji wa taasisi hiyo nchini Tanzania Dk Mary Mgonja alisema hayo akizungumza na waandishi wa habari katika maonesho ya wakulima ya nanenane katika viwanja vya John Mwakangale mjini hapa hivi karibuni. 
Katika mkutano huo taasisi zinazoshirikiana na AGRA katika kuleta mabadiliko kwa wakulima zipatazo 10 zilikuwapo.
Dk Mgonja alisema ana matumaini makubwa na hali ya baadae ya kilimo nchini Tanzania na kuongeza kwamba matumizi zaidi ya teknolojia ndio njia pekee ya kuwainua mamilioni ya wakulima wadogo kutoka katika lindi la umaskini.
“Tanzania kuanzia mwaka 2006 imekuwa ikipewa kipaumbele na AGRA na kwamba miradi 96 imepewa ruzuku inayofikia dola za Marekani milioni 51,” alisema.
Kwa mujibu wa Dk Mgonja ruzuku hizo zimetoa mchango mkubwa katika kukabiliana na changamoto za wakulima wadogo katika mnyoror wa thamani wa shughuli zao kuanzia masuala ya mbegu, udongo, soko, sera hadi fedha.
Sehemu ya uwekezaji huo imezaa matunda kwa kupata aina tofauti za mbegu zilizoboreshwa kukabiliana na hali za maeneo; matumizi sahihi ya mbolea; utunzaji baada ya mavuno; teknolojia ya hifadhi za nafaka na ubunifu wa upatikanaji wa fedha kwa ajili ya kuinua kilimo.
“Ninatoa wito kwa wakulima kukumbatia njia mpya za teknolojia katika kilimo ili kupata tija zaidi ;kuanzia matumizi ya mbegu bora zilizoboreshwa  mashambani hadi kwenye matumizi ya teknolojia mpya ya kuhifadhi mavuno; Njia hizo kama zitatumika vyema zitaongeza uzalishaji na kupunguza upotevu wa mavuno. Mambo hayo ni muhimu ili wakulima wadogo wajinasue kiuchumi,” alisema Dk Mgonja.
Tangu kuingizwa kwa teknolojia ya mifuko maalumu ya kuhifadhi nafaka na bidhaa jamii ya mikunde, kampuni tatu zinashughulika na kutengeneza hifadhi hizo, huku  zikiuzwa na kuwafikia mamia kwa maelfu ya wakulima.
Aidha Dk Mgonja  aliipongeza  serikali ya Tanzania kwa kupiga hatua kwenye kuboresha sera ya kilimo yenye lengo la kukabiliana na  changamoto za wadau mbalimbali katika sekta ya kilimo.
“AGRA itaendelea kushirikiana na wizara ya kilimo, mifugo na uvuvi kuhakikisha kwamba shughuli za AGRA nchini zinakwenda sambamba na juhudi za serikali ya Tanzania katika kuboresha kilimo,” alisema Dk Mgonja.
Aidha aliongeza kwamba mchango mkubwa wa AGRA umekuwepo katika Matokeo Makubwa sasa na Kilimo Kwanza.
Alisema taasisi ambazo zilisaidiana na AGRA kuleta mapinduzi ya kilimo katika kipindi cha muongo mmoja uliopita ni  pamoja na Tanzania Seeds Trade Association (TASTA), CSDI, Equity Bank, Unyiha Associates, BRITEN, RUDI, AGROZ. Nyingine  ambazo zilikuwa ni taasisi za umma ni pamoja na ARI Uyole, Chollima AGRO, ARI Mlingano  na kituo cha SAGCOT .

Dondoo za Shuhuda

Kwa muda AGRA imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kwamba kunakuwa na mazingira mazuri ya biashara ya mbegu kupitia mradi wa Micro Reforms for African Agribusiness (MIRA) : Mradi huu ulizaa matunda mema kwani kuanzia Juni 2016, kumekuwepo na sera mpya ya mbegu.
 Mkurugenzi Mtendaji  Tanzania Seeds Trade Association (TASTA), Bw. Baldwin Shuma. Alieleza kufurahishwa na Sera hiyo ilitengenezwa kwa namna  pekee ambapo inaruhusu sasa makampuni ya mbegu kuzalisha mbegu ambazo zilifanyiwa utafiti na taasisi za umma.
Naye Dk Matilda Kalumuna, wa Taasisi ya utafiti wa kilimo ya Mlingano –Tanga, amesema kwamba AGRA imesaidia taasisi yake kwa kuipa ruzuku ya dola za Marekani 400,000 kusaidia kuimarisha mifumo yake ya kuangalia ubora wa mbolea.
“Kupitia mradi huu taasisi ilifundisha wakaguzi wa mbolea 100; wachambuzi 15 wauzaji pembejeo wenye uelewa 338 na wadau 8000.
Kutokana na mradi huo makampuni mbalimbali na wauzaji wa pembejeo za kilimo waliamua kwa hiari yao kujisajiri na TFRA;mbolea iliyoko sokoni inasajiliwa, kukaguliwa na kuchambuliwa kwa lengo la kuona mbolea zisizokidhi viwango zinajulikana na kuondolewa sokoni.
“Benki ya Equity Tanzania imeingia ubia na AGRA kuanzisha mfuko ambao utasaidia kununuliwa kwa vifaa vya hifadhi ya nafaka. Katika mradi wa majaribio Njombe, Morogoro na Iringa, tutatoa mikopo ya sh kuanzia milioni 5 hadi 30  ili kununua mifuko maalumu ya kuhifadhia nafaka; vihenge vya chuma na vifukofuko (cocoons), kuanzia mwezi huu,“ alisema Mkuu wa biashara ya kilimo  wa benki ya  Equity, Enesto Josephat
 Mtaalamu wa viazi mviringo Owekisha Kwigizile, kutoka kituo cha utafiti wa viazi cha SAGCOT  katika mazungumzo yake alisema: “hapa nchini Tanzania tuna aina tatu viazi mviringo zinazotambuliwa kisheria pamoja na kwamba viazi mviringo ni chakula kikuu nchini. SAGCOT na wadau wengine wa AGRA tunafanya juhudi kuongeza vipando bora zaidi ambavyo vitatoa tija kubwa na kuongeza mavuno”
mwisho

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: AGRA yashawishi matumizi ya teknolojia kuongeza tija katika kilimo
AGRA yashawishi matumizi ya teknolojia kuongeza tija katika kilimo
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRcu8z9AKfJcyo4OeHbZdUMifoZX0m2nom66nWp3k2Vl0xn8sg9d8zjSBC2XMUtW85WhM9EcNLuVwtyYoPbfhzjjyNVX0cjydzXohM7e0U_AWneECGchHI2CbW512nDsOd3i8D-Qp8ZQQ/s320/mikono.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRcu8z9AKfJcyo4OeHbZdUMifoZX0m2nom66nWp3k2Vl0xn8sg9d8zjSBC2XMUtW85WhM9EcNLuVwtyYoPbfhzjjyNVX0cjydzXohM7e0U_AWneECGchHI2CbW512nDsOd3i8D-Qp8ZQQ/s72-c/mikono.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/08/agra-yashawishi-matumizi-ya-teknolojia.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/08/agra-yashawishi-matumizi-ya-teknolojia.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy