Dk Shein aagiza wizara ya ardhi kwenda kwa wananchi

STATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE   Zanzibar                                             ...




STATE HOUSE ZANZIBAR
OFFICE OF THE PRESS SECRETARY
PRESS RELEASE
  Zanzibar                                                                         6.09.2016
---
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza haja kwa uongozi wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira kuwafuata wananchi katika maeneo yao wanayoishi ili kutambua mahitaji yao katika upatikanaji wa huduma muhimu zilizopo katika Wizara hiyo.

Dk. Shein alieleza kuwa iwapo viongozi wa Wizara hiyo watakwenda katika maeneo wanayoishi wananchi wataweza kufanya kazi zao kwa ufanisi zaidi na kuwataka kutokaa maofisini na badala yake wawafuate wananchi katika maeneo yao kwani Serikali imo katika kutekeleza jukumu lake la kuwahudumia wananchi wote wa Zanzibar popote pale walipo.

Dk. Shein aliyasema hayo wakati  alipokutana na uongozi wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira wakati ukitoa taarifa ya Utekelezaji wa Programu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na ahadi za Rais kwa muda wa miaka mitano (2015-2020) huko Ikulu mjini Zanzibar.

Katika maelezo yake Dk. Shein alisisitiza juu ya uwajibikaji kwa viongozi hao katika kutekeleza majukumu yao ili kuwahudumia wananchi ipasavyo sambamba na kutambua vyema majukumu yao katika maeneno yao ya kazi.

Dk. Shein alitumia fursa hiyo kutoa pongezi kwa viongozi na watendaji wa Wizara hiyo katika kutekeleza ipasavyo majukumu yao katika kutoa huduma kwa wananchi hali ambayo imepelekea huduma hizo kuimarika zaidi Unguja na Pemba.

Aidha, Dk. Shein aliwataka viongozi hao kutotumia muda wao mwingi kukaa maofisini na badala yake waende kwa wananchi ili kutafuta changamoto zinazowakabili katika kupata huduma zitokanazo na Wizara hiyo.

Nao uongozi huo kwa upande wake ulieleza juhudi inazozichukua katika kutekeleza majukumu yake ikiwa ni pamoja na mafanikio makubwa iliyoyapata katika kuwapelekea huduma bora na muhimu wananchi zikiwemo huduma za maji na umeme.

Katika maelezo yao viongozi hao walieleza kuwa tayari Shehia zote za Unguja na Pemba zimeshafikishiwa huduma za umeme na hivi sasa zimebaki Shehia mbili tu ambazo ni Fundo na Minazini zilizopo Kiswani Pemba ambazo nazo hivi sasa zimo katika mchakatoya kupelekewa huduma hiyo.

Aidha, uongozi huo ulieleza kuwa kwa upande wa visiwa vidogo vidogo tayari vyote vimeshapelekewa huduma ya umeme na kisiwa kilichobaki ni kiswa cha Fundo na visiwa vidogo vya Uvinje, Okota na Njao ambavyo navyo vitapata huduma hiyo katika kipindi kifupi kijacho.

Katika programu hiyo ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020 uongozi huo ulieleza kuwa umo katika jitihasda za kupunguza migogogro ya ardhi kwa kuimarisha huduma za mahakama za ardhi katika mikoa yote ya Unguja na Pemba.

Pamoja na hayo, uongozi huo ulieleza juhudi zinazoendelea kuchukuliwa katikan kuandaa Sera na Sheria ya Mafuta na Gesi Asilia ikiwa ni pamoja na jitihada za kuwajengea uwezo watendaji pamoja na kuhamasisha vijana kujiunga na masomo ya fani ya Mafuta na Gesi Asilia.

Kwa upande wa suala zima la mazingira uongozi huo ulieleza kuwa hatua inazozichukua katika kusimamia Sera na Sheria ya Mazingira pamoja na ushirikishwaji wa jamii katuika utunzaji wa Uhifadhi wa Mazingira kwenye maeneo yao ikiwa ni pamoja na kusimamia mabadiliko ya tabianchi na elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa utunzaji wa mazingira.

Wakati huo huo, Dk. Shein alikutana na uongozi wa Wizara ya Biashara, Wiwanda na Masoko hapo Ikulu mjini Zanzibar kwa lengo hilo hilo la kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Programu ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020 iliyotolewa na Wizara hiyo.

Katika taarifa yake Wizara hiyo ilieleza kuwa majukumu yake makubwa ni kusimamia na kuendeleza sekta ya biashara na sekta ya viwanda hapa Zanzibar.

Aidha, uongozi huo ulieleza kuwa Wizara hiyo inatekeleza malengo hayo ambayo kwa ujumla yanajielekeza katika malengo makuu ya Mkakati wa Kukuza Uchumi Zanzibar pamoja na kuweza Mazingira ya Ukuaji Uchumi, Kujenga Uchumi Endelevu na mpana ili kuondoa umasikini pamoja na kujenga sekta binafsi iliyo imara kwa lengo hilo la kukuza uchumi.

Nae Dk. Shein kwa upande wake aliwataka viongozi na watendaji wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa mashirikiano zaidi katika kuhakikisha malengo yaliokusudiwa yanafikiwa huku akipongeza juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na Wizara hiyo katika kuimarisha sekta zake.

Sambamba na hayo, Dk. Shein aliendelea kusisitiza suala zima la uwajibikaji kwa viongozi na watendaji wa Wizara hiyo sambamba na kuzitafutia ufunmbuzi changamoto zilizopo kwa lengo la kuendelea kupata mafanikio zaidi katika sekta za biashara, viwanda na masoko ili kuendelea kukuza na kuimarisha uchumi wa Zanzibar.

Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar
Postal Address: 2422 Tel.:0777427449. Fax: 024 2231822
E-mail: rajabmkasaba@yahoo.co.uk

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Dk Shein aagiza wizara ya ardhi kwenda kwa wananchi
Dk Shein aagiza wizara ya ardhi kwenda kwa wananchi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvE-hlSHodaw7fSJg4lTtfXEmF07LO7JHtf95OqWBk0ADS-wnrfcRtRoOihHMHGh5opih2I46Ae-Ce9FsKFBzAliqxwoG81gdwRTDNNNqJ_XyIvsmeiOHWrDlE3UynnS9Da3XQzBpxPaE/s1600/dk+shein.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvE-hlSHodaw7fSJg4lTtfXEmF07LO7JHtf95OqWBk0ADS-wnrfcRtRoOihHMHGh5opih2I46Ae-Ce9FsKFBzAliqxwoG81gdwRTDNNNqJ_XyIvsmeiOHWrDlE3UynnS9Da3XQzBpxPaE/s72-c/dk+shein.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/dk-shein-aagiza-wizara-ya-ardhi-kwenda.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/dk-shein-aagiza-wizara-ya-ardhi-kwenda.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy