SHANTA GOLD MINING YALIPA FIDIA AWAMU YA KWANZA

Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mine Ltd mkoani Singida Philbert Rweyemamu akitoa maelekezo ya awali kabl...

Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mine Ltd mkoani Singida Philbert Rweyemamu akitoa maelekezo ya awali kabla ya kuanza kwa zoezi la kuwalipa fidia wanufaika wote

Watendaji wa kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mine Ltd wakifanya maandalizi ya malipo hayo katika ukumbi wa mikutano Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ikungi
 Baadhi ya wananchi wakisubiri maandalizi yakamilike ili wakabidhiwe mlungula wao

Dear Mama Exp ndio ndinga iliyotumika kuwafikisha wananchi hao eneo la tukio la kukabidhiwa cheki za malipo kwa wanufaika wote wa Mradi huo
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akizungumza na Mwandishi wa habari wa kituo cha ITV Elisante Mkumbo kuhusu mchakato wa malipo utakavyo wanufaisha wananchi kupoitia mradi wa uchimbaji madini ya Dhahabu
Bi Juliana Kidamwe mkazi wa Kijiji cha Mlumbi akihakiki malipo yake kabla ya kukabidhiwa mbele ya Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Male Samson
Kushoto ni mwasibu wa Shanta Gold Mining Ltd Caroline na Mwanasheria wa kampuni ya Shanta Gold Mining David Rwechungura wakikagua fomu zote za wanufaika kabla ya kuanza zoezi la kuwapatia cheki wanufaika wote wa Mradi huo
Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mine Ltd mkoani Singida Philbert Rweyemamu akitoa maelekezo kwa wanufaika wote ya namna mchakato mzima utakavyokwenda

Kizito Ramadhani mkazi wa Kijiji cha Mlumbi akikagua fomu za malipo yake mbele ya Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Male Samson kabla ya malipo
Kutoka kushoto ni Andrea Mtarim Mwenyekiti wa kijiji cha Kinyamberu, Ramadhani Mkuki Mwenyekiti wa Kijiji cha Mlumbi, Selemani Hema Mtendaji wa Kijiji cha Mlumbi,na Jumanne Gwaye Mtendaji wa Kata ya Mang'onyi wakifatilia kwa makini zoezi la ulipaji fidia
Kushoto ni Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mine Ltd mkoani Singida Philbert Rweyemam na Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Male Samson wakisisitiza jambo wakati wakizungumza na wanufaika.
 Wananchi wakisikiliza kwa makini maelezo ya malipo yao
Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mine Ltd mkoani Singida Philbert Rweyemamua akikusanya vitambulisho kwa wananchi waliofika ili kurahisisha zoezi la malipo yao

Wanufaika wakipongezana mara baada ya kukamata cheki zao kwa ajili ya malipo ya fidia

Na Mathias Canal, Singida

Katika miezi miwili ijayo kampuni ya Uchimbaji wa Madini ya dhahabu (Shanta Gold Mining  Limited) iliyopo katika kijiji cha Sambaru Kata ya Mang’onyi Wilayani Ikungi, Mkoani Singida huenda ikaanza uchimbaji wa madini ya dhahabu baada ya kuanza kulipa fidia ya zaidi ya Milioni mia nane (800,000,000) wanufaika awamu ya kwanza.

Malipo hayo yamekabidhiwa kwa wahusika ikiwa ni siku tatu tu zimepita tangu Meneja wa Mradi huo Philbert Rweyemamu alipotoa ahadi ya kuwalipa mwishoni mwa wiki hii ili kupisha shughuli za uchimbaji kuanza.

Wanufaika waliolipwa fedha hizo ni wale ambao wanatokanana na mazoezi mawili ya uthamini yaliyofanywa kwenye eneo la mradi kwa ajili ya upanuzi wa kambi.

Hafla ya malipo hayo imefanyika kwenye ukumbi wa mikutano kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu ambapo wananchi 39 wamejipatia kitita chao huku wengine wakishindwa kufika hivyo watakabidhiwa malipo yao wakati watakapoyahitaji.

Malipo hayo yanakamilisha umiliki wa maeneo hayo kwa Kampuni ya Shanta Gold mining kwa ajili ya uchimbaji na kuwafanya wananchi hao kupisha mradi wa uchimbaji dhahabu pasina kinyongo chochote.

Akizungumzia mchakato huo wa malipo hayo Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mine Ltd mkoani Singida Philbert Rweyemamu amesema kuwa umefika wakati wa wananchi wa Wilaya ya Ikungi na taifa kwa ujumla kunufaika na mradi huo utakaoongeza Wigo ya ajira na mzunguko mkubwa wa pesa utakaotokana na wingi wa watu watakaodhuru Mkoani Singida kwa ajili ya shughuli za kazi.

Rweyemamu alisema kuwa Mradi huo utakuwa na mahusiano chanya kwa wananchi kwani pamoja na kuchelewa kuanza kwa uchimbaji lakini imeshiriki ujenzi wa Kituo cha Polisi Mang’onyi ulioanza mwezi May 2013 na kukamilika mwanzoni mwa mwaka 2014 na hatimaye kuzinduliwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Parseko V. Kone.

Akielezea ujenzi wa Kituo hicho Rweyemamu alisema kuwa Kituo hicho kimegharimu kiasi cha shilingi milioni mia mbili ishirini na tisa, laki tisa sabini na sita elfu na mia mbili thelathini (229,976,230) huku lengola ujenzi huo likiwa ni kwa ajili ya kusogeza huduma ya usalama karibu na wananchi.

Naye Mwanasheria wa Mradi huo wa uchimbaji Madini ya Dhahabu mkoani Singida David Rwechungura amesema kuwa Hadi sasa Shanta imewekeza takribani dola za Marekani milioni ishirini na tano hapa Singida yaani bilioni hamsini za fedha za Tanzania na bado gharama za kujenga mgodi ambazo hazitapungua dola milioni mia moja.

Alisema Mgodi wa Shanta huko Chunya Mkoani Mbeya unazalisha takribani kilo 2700 za dhahabu kwa mwaka ambapo pia umetoa ajira kwa wafanyakazi 800, licha ya wale ambao wanafaidika kwa kuuza vyakula mgodini na kadhalika.

Pamoja na kushiriki ujenzi wa Kituo cha Polisi Mang’onyi, lakini pia Kampuni ya Shanta imeanzisha Mradi wa maji  kijiji cha Mangonyi (Kisima kimoja kirefu kina meta 60, miundombinu ya kusambaza maji yenye urefu wa kilomita 1.3, injini na pampu ya kusukuma maji kwenda kwenye tenki la kijiji na polisi, imechangia Madawati 100, sawia na Samani (yaani vifaa vya ofisi) ya Kijiji hicho.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu ameipongeza Kampuni ya Shanta kwa kutekeleza ahadi yao kwa wakati kwa kuanza kuwalipa wananchi hao fedha zao za fidia kwa wamiliki wa mashamba zaidi ya 130 ambapo zaidi ya watu 85 ndio watakaonufaika  na kuifanya leseni ya kampuni hiyo itaanza kufanya kazi.

Dc Mtaturu amesisitiza agizo lake alilolitoa la kuitaka Kampuni hiyo kuwalipa fidia wananchi 69 wakati wa kikao cha pamoja kilichohudhuriwa na Wawakilishi wa kampuni ya Shanta Gold Mine Ltd, Wananchi wawakilishi kutoka Kijiji Cha Mlumbi na Uongozi wa kikosi kazi ambacho kilipewa jukumu la kuhakikisha wananchi wote ambao watapitiwa na mradi huo wanalipwa fidia sambamba na kusimamia uhamishaji wa makazi.

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: SHANTA GOLD MINING YALIPA FIDIA AWAMU YA KWANZA
SHANTA GOLD MINING YALIPA FIDIA AWAMU YA KWANZA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiR0I3rUpC2PlYStBZZOKkN8Gblk8KcjbRadJeKweBUbqN5SUuhAsXAa58a0XyMzH6l4iS8rdGmr66o606V35Ri0lgkjTad1300HkcRHGWUXxzxI6_xyGn9EiCCSnekHjgW-EYkK9gF7RRA/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiR0I3rUpC2PlYStBZZOKkN8Gblk8KcjbRadJeKweBUbqN5SUuhAsXAa58a0XyMzH6l4iS8rdGmr66o606V35Ri0lgkjTad1300HkcRHGWUXxzxI6_xyGn9EiCCSnekHjgW-EYkK9gF7RRA/s72-c/1.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/shanta-gold-mining-yalipa-fidia-awamu.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/shanta-gold-mining-yalipa-fidia-awamu.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy