The Washington Post Moja ya magazeti yaliyoshiba umri nchini Marekani na linalojipambanua kwa namna linavyoripoti masuala ya siasa nchini h...
The Washington Post Moja ya magazeti yaliyoshiba umri nchini Marekani na linalojipambanua kwa namna linavyoripoti masuala ya siasa nchini humo limesema kwamba Hillary Clinton ndiye anayefaa kuwa Rais wa taifa hilo na watampigania.
Gazeti hilo ambalo linaingia katika miongoni mwa magazeti yaliyomkubali mdada huyo kuwa Rais wa Marekani wamesema kwamba chaguo lao linatokana mdada huyo kuonesha umahiri mkubwa.
Gazeti hilo katika maoni yake ya mhariri limesema kwamba Hillary Clinton ana uwezo mkubwa wa kuwa rais wa Marekani na wanampitisha bila hofu wala kusita. Maoni hayo yalisema mapungufu yake yamepitwa na uzuri anaouweza kuuleta kw amarekani kwa kuangalia uwezo wake.
Wamesema hawafanyi hivyo kwa sababu ya kumuona mpinzani wake ni dhaifu au mkorofi lakini kutokana na jinsi mdada huyo alivyoonesha umahiri wake.
Gazeti hilo limeandika, adding, "no, we are not making this endorsement simply because Ms Clinton's chief opponent is dreadful."
Clinton, the Democratic presidential nominee "is dogged, resilient, purposeful and smart," the newspaper wrote while acknowledging her many political and personal missteps of the past -- failings it said are outweighed by her strengths.
"She has executive experience. She does not let her feelings get in the way of the job at hand. She is well positioned to get something done," the daily wrote.
The newspaper took note of the former first lady's litany of shortcomings, writing: "We recognize that many Americans distrust and dislike Ms Clinton. The negative feelings reflect in part the bitter partisanship of the nation's politics today; in part the dishonest attacks she has been subjected to for decades; and in part her genuine flaws, missteps and weaknesses.
"We are not blind to those," wrote The Post, which nevertheless gave Clinton its full-throated support.
Kwa maoni hayo toka moja ya magazeti yenye umri mrefu likiwa limeanzishwa Desemba 6,1877 na likiwa limejishindia tuzo 47 za Pulitzer, waandishi wak wakishinda tuzo 18 za Nieman na wakiwa na tuzo 368 za Ikulu ya Marekani ni dalili wazi kwamba marekani imtarajie Rais wa Kwanza mwanamke kama walivyomtarajia rais wa kwanza Mweusi.
Gazeti hilo ndilo lililoibua kashifa ya Watergate iliyomfanya rais Richard Nixon ajiondoe .
Gazeti la The Washington Post linatambulika kuwa moja ya magazeti yanayoongoza Marekani sanjari na The New York Times na The Wall Street Journal. Linatambulika zaidi katika taarifa za kisiasa, Ikulu ya Marekani, Bunge na masuala ya serikali.
Gazeti hilo ambalo linaingia katika miongoni mwa magazeti yaliyomkubali mdada huyo kuwa Rais wa Marekani wamesema kwamba chaguo lao linatokana mdada huyo kuonesha umahiri mkubwa.
Gazeti hilo katika maoni yake ya mhariri limesema kwamba Hillary Clinton ana uwezo mkubwa wa kuwa rais wa Marekani na wanampitisha bila hofu wala kusita. Maoni hayo yalisema mapungufu yake yamepitwa na uzuri anaouweza kuuleta kw amarekani kwa kuangalia uwezo wake.
Wamesema hawafanyi hivyo kwa sababu ya kumuona mpinzani wake ni dhaifu au mkorofi lakini kutokana na jinsi mdada huyo alivyoonesha umahiri wake.
Gazeti hilo limeandika, adding, "no, we are not making this endorsement simply because Ms Clinton's chief opponent is dreadful."
Clinton, the Democratic presidential nominee "is dogged, resilient, purposeful and smart," the newspaper wrote while acknowledging her many political and personal missteps of the past -- failings it said are outweighed by her strengths.
"She has executive experience. She does not let her feelings get in the way of the job at hand. She is well positioned to get something done," the daily wrote.
The newspaper took note of the former first lady's litany of shortcomings, writing: "We recognize that many Americans distrust and dislike Ms Clinton. The negative feelings reflect in part the bitter partisanship of the nation's politics today; in part the dishonest attacks she has been subjected to for decades; and in part her genuine flaws, missteps and weaknesses.
"We are not blind to those," wrote The Post, which nevertheless gave Clinton its full-throated support.
Kwa maoni hayo toka moja ya magazeti yenye umri mrefu likiwa limeanzishwa Desemba 6,1877 na likiwa limejishindia tuzo 47 za Pulitzer, waandishi wak wakishinda tuzo 18 za Nieman na wakiwa na tuzo 368 za Ikulu ya Marekani ni dalili wazi kwamba marekani imtarajie Rais wa Kwanza mwanamke kama walivyomtarajia rais wa kwanza Mweusi.
Gazeti hilo ndilo lililoibua kashifa ya Watergate iliyomfanya rais Richard Nixon ajiondoe .
Gazeti la The Washington Post linatambulika kuwa moja ya magazeti yanayoongoza Marekani sanjari na The New York Times na The Wall Street Journal. Linatambulika zaidi katika taarifa za kisiasa, Ikulu ya Marekani, Bunge na masuala ya serikali.
COMMENTS