MFUMO WA JAZIA DAWA,VIFAA TIBA NA VITENDANISHI ‘PRIME VENDORS SYSTEM’ WAZINDULIWA SHINYANGA

Mkoa wa Shinyanga kwa kushirikiana na mradi wa Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na shirika serikali ya Uswizi leo Jumanne Desemba 13,2...

Mkoa wa Shinyanga kwa kushirikiana na mradi wa Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na shirika serikali ya Uswizi leo Jumanne Desemba 13,2016 umezindua Mpango wa Mzabuni teule “Mfumo wa Jazia Dawa,Vifaa Tiba na Vitendanishi”.
Mfumo wa Jazia dawa,vifaa tiba na vitendanishi kwa kutumia mzabuni Teule Mmoja ‘Prime Vendor’ ni moja ya mafanikio ya ushirikiano wa sekta binafsi na serikali ukiwa na lengo la kujazia upatikanaji wa dawa,vifaa tiba na vitendanishi katika vituo vya umma vya kutolea huduma za afya.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga,katibu tawala wa mkoa huo Albert Msovela aliyekuwa mgeni rasmi alisema lengo la mfumo huo ni kuziba pengo linalosababishwa na ukosefu wa dawa,vifaa tiba na vitendanishi katika vituo vya afya kutoka Bohari kuu ya dawa.
Alisema kutokana na bohari ya dawa ya serikali kutokidhi mahitaji kila halmashauri hununua dawa kutoka kwa wazabuni wanaowataka matokeo yake bei ya dawa inakuwa kubwa,mlolongo mrefu wa manunuzi na kukosekana kwa njia rahisi ya usimamizi wa mfumo wa ugavi na usambazaji.
"Mkoa wa Shinyanga kwa kushirikiana na mradi wa Tuimarishe Afya( HPSS Project) unaofadhiliwa na serikali ya Uswizi kupitia shirika lake la Maendeleo (SDC) umeamua kutafuta njia ya kuziba pengo linalosababishwa na ukosefu wa dawa,vifaa tiba na vitendanishi kutoka bohari kuu ya dawa kwa kutumia mfumo wa manunuzi ya nje ya bohari kuu unaohusisha mzabuni mmojatu kwa mkoa mzima,ambaye sasa Bahari Pharmacy Limited",alieleza Msovela.
Naye mwakilishi wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Siana Mapunjo alisema mkoa wa Shinyanga ni wa pili baada ya Mkoa wa Dodoma kuanza kutekeleza Mpango wa Mzabuni teule huku akisisitiza halmashauri kusimamia matumizi bora ya dawa na wazee kuendelea kupewa kipaumbele.
Uzinduzi huo umehudhuriwa na wakuu wa wilaya,Mkurugenzi wa Mradi wa Tuimarishe Afya (HPSS),mkurugenzi wa MSD,Mfamasia mkuu wa serikali,mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga,wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri,waganga wakuu wa halmashauri na wageni mbalimbali.
Mwandishi mkuu wa Malunde1 blog,Kadama Malunde ametusogezea picha 40 kutoka kwenye uzinduzi huo….Tazama Hapa Chini
Kwa kwanza kushoto ni Meneja wa mradi wa Tuimarishe Afya mkoa wa Shinyanga Dr. Harun Kasale,katikati ni mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dr. Ntuli Kapologwe na katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga leo Jumanne Desemba 13,2016 wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa Mzabuni Teule “Prime Vendor System” yaani Mfumo Jazia Dawa,Vifaa Tiba na Vitendanishi
Mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dr. Ntuli Kapologwe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mfumo Jazia Dawa,Vifaa Tiba na Vitendanishi ambapo alisema mfumo huo utapunguza kwa kiasi kikubwa changamoto ya upatikanaji wa dawa,vifaa tiba na vitendanishi katika mkoa wa Shinyanga .Aliongeza kuwa bohari ya dawa ina uwezo wa kuhudumia wateja kwa asilimia 57 pekee katika mkoa wa Shinyanga.
Wa kwanza kulia ni kaimu mkurugenzi wa idara ya Ununuzi na Ugavi ofisi ya rais TAMISEMI Datus Matuma,katikati ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya afya ofisi ya rais TAMISEMI Deogratius Maufi.Wa kwanza kushoto ni mwakilishi wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Siana Mapunjo 
Wadau mbalimbali wa afya mkoani Shinyanga 
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa Mzabuni Teule “Prime Vendor System” yaani Mfumo Jazia Dawa,Vifaa Tiba na Vitendanishi una lengo la kujazia dawa kwenye vituo vya serikalivya kutolea huduma za afya.
Kulia ni kaimu mkurugenzi wa idara ya Ununuzi na Ugavi ofisi ya rais TAMISEMI Datus Matuma,katikati ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya afya ofisi ya rais TAMISEMI Deogratius Maufi.Wa kwanza kushoto ni mwakilishi wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Siana Mapunjo wakifuatilia kilichokuwa kinaendelea ukumbini
Wakuu wa wilaya ya Kishapu Nyabaganga Talaba,Shinyanga Josephine Matiro na Kahama Fadhili Nkurlu wakiwa ukumbini
Mbele ni makatibu tawala wa wilaya ya Kishapu,Kahama na Shinyanga
Wenyeviti wa halmashauri za wilaya katika mkoa wa Shinyanga wakiwa ukumbini
Kaimu Mkurugenzi Idara ya afya ofisi ya rais TAMISEMI Deogratius Maufi akizungumza wakati wa wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa Mzabuni Teule “Prime Vendor System
Kushoto ni katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela akiwa na Mkuu wa Masoko kutoka Bahari Pharmacy Limited Richard Olotu kutoka jijini Dar es salaam ambaye ndiye mzabuni mteule aliyeshinda kati ya wazabuni 14 walioomba kuwa wasambazaji wa dawa,vifaa tiba na vitendanishi katika mkoa wa Shinyanga
Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela akisaini mkataba kati ya mkoa wa Shinyanga na Mzabuni "Bahari Pharmacy Ltd" ambao watakuwa wasambazaji wakuu wa dawa katika vituo vya afya vya serikali mkoani Shinyanga
Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela akisaini mkataba
Zoezi la kusaini mkataba linaendelea
Mwanasheria kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga Lightness Tarimo akisaini mkataba huo
Zoezi la kusaini mkataba linaendelea
Mkuu wa Masoko kutoka Bahari Pharmacy Limited Richard Olotu kutoka jijini Dar es salaam akisaini mkataba
Viongozi wa halmashauri za wilaya wakisaini mktaba huo
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kishapu Stephen Magoiga akisaini mkataba huo
Viongozi wa halmashauri mbalimbali wakiendelea kusaini mkataba huo
Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela (kushoto) akikabidhiana mkataba na Mkuu wa Masoko kutoka Bahari Pharmacy Limited Richard Olotu 
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Ngassa Mboje akichangia hoja ukumbini
Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa Jazia dawa,vifaa tiba na vitendanishi kwa kutumia mzabuni Teule Mmoja ‘Prime Vendor’
Uzinduzi unaendelea
Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga akionesha mkataba baada ya uzinduzi
Kushoto ni Mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dr. Ntuli Kapologwe akipongezana na Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Msovela baada ya uzinduzi
Uzinduzi umamelizika
Tunafuatilia kinachoendelea ukumbini......
Wadau wa afya wakiwa ukumbini
Mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhili Nkurlu akizungumza baada ya uzinduzi huo
Meneja wa mradi wa Tuimarishe Afya mkoa wa Shinyanga Dr. Harun Kasale akizungumza ukumbini
Mwakilishi wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Wazee na Watoto Siana Mapunjo akiwa na Meneja wa mradi wa Tuimarishe Afya mkoa wa Shinyanga Dr. Harun Kasale
Katikati ni Meneja wa mradi wa Tuimarishe Afya mkoa wa Shinyanga Dr. Harun Kasale akisisitiza jambo
Mganga mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dr. Ntuli Kapologwe akiwa ukumbini
Mkuu wa Masoko kutoka Bahari Pharmacy Limited Richard Olotu akielezea namna alivyojipanga kuhakikisha kuwa dawa nyingi zinawafikia walengwa mkoani Shinyanga hivyo kuomba ushirikiano wa dhati kutoka kwa viongozi wa mkoa ili kufanikisha malengo yao.
Picha ya pamoja viongozi mbalimbali wa kitaifa,mkoa na wilaya za mkoa wa Shinyanga
Picha ya pamoja
Picha zote na Kadama Malunde- Malunde1 blog

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4811,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: MFUMO WA JAZIA DAWA,VIFAA TIBA NA VITENDANISHI ‘PRIME VENDORS SYSTEM’ WAZINDULIWA SHINYANGA
MFUMO WA JAZIA DAWA,VIFAA TIBA NA VITENDANISHI ‘PRIME VENDORS SYSTEM’ WAZINDULIWA SHINYANGA
https://2.bp.blogspot.com/-x_Tf8yXgO6g/WFAAM9_mCzI/AAAAAAAALZY/x5XNRBP5Ju0F-sR8g03GTaygTnDwgDsuACEw/s640/UF3A0518.JPG
https://2.bp.blogspot.com/-x_Tf8yXgO6g/WFAAM9_mCzI/AAAAAAAALZY/x5XNRBP5Ju0F-sR8g03GTaygTnDwgDsuACEw/s72-c/UF3A0518.JPG
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/12/mfumo-wa-jazia-dawavifaa-tiba-na.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/12/mfumo-wa-jazia-dawavifaa-tiba-na.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy