Ndege kongwe zanogesha utalii Z'bar

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Rubani wa kike mdogo ku...

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Rubani wa kike mdogo kuliko marubani wote wa ndege ya zamani, Sara Meehan (18), jinsi injini ya ndege hiyo kutoka Botswana inavyofanya kazi, wakati wa mapokezi  ya ndege hizo 'Vintage Air Rally' kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume, Zanznibar jana. Ndege hizo zilitengezwa kati ya mwaka 1920 na 1930. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto), akisalimiana na rubani wa ndege ya zamani Pedro Langton kutoka Canada, wakati wa mapokezi ya mashindano ya ndege 22 za zamani 'Vintage Air Rally' kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume, Zanznibar jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar, Dk. Miray Ussi
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto), na Mkurugenzi wa Masoko wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar, Dk. Miray Ussi wakiangalia ndege ya zamani kutoka Canada, wakati wa mapokezi ya mashindano ya ndege 22 za zamani 'Vintage Air Rally' kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume, Zanznibar jana.
 Rubani akishuka kutoka kwenye ndege
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto) na Mwenyekiti wa Bodi ya Puma, Ben Moshi wakiangalia moja ya ndege hizo za zamani, wakati wa mapokezi ya mashindano ya ndege 22 za zamani 'Vintage Air Rally' kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume, Zanznibar
 Ndege ya zamani ya Afrika Kusini ikiwasili Zanzibar
 Ndege ya zamani ya Uingereza ikiwasili uwanajani Zanzibar
 Ndege ya zamani ya Canada ikiwasili Zanzibar
 Baadhi ya ndege kongwe zikiwa zimejipanga Uwanja wa Ndege wa Abeid Aman Karume

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto), na Mkurugenzi wa Masoko wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar, Dk. Miray Ussi wakiangalia ndege ya zamani
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto), akizungmza na mmoja wa marubani wa ndege hizo
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti (kushoto), akihutubia wakati wa mapokezi ya ndege hizo.
 Mkurugenzi wa Masoko wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar, Dk. Miray Ussi, akitoa shukrani kupangwa kwa ndege hizo kutua Zanzibar
 Mkurugenzi wa mashindano na ndege hizo Vintage Air Rally, Sam Rutherford akielezea kuhusu mashindano hayo pamoja na kutoa shukrani kwa Kampuni ya Puma kuwafadhili kwa kutoa mafuta kwenye ndege hizo
 Wakati wa mkutano huo
  Meneja Rasilimali Watu wa Puma Tanzania Bi Loveness Hoyange (kulia) akiwa na Rubani wa kike mdogo kuliko wote katika mashindano hayo, Sara
  Meneja Rasilimali Watu wa Puma Tanzania Bi Loveness Hoyange (kulia0 akiwa na mfanyakazi mwenzie wakati wa mapokezi ya ndege hizo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Phillipe Corsaletti na Wafanyakazo wa kampuni hiyo wakiwa katika puicha ya pamoja na marubani wa ndege hizo.
 Watalii wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Abeid Aman Karume, Zanzibar

 Ndege ya zamani ya Uingereza ikiwasili uwanjani
Moja ya ndege kubwa ya zamani ikiwasili kwenuy e Uwanja huo


Zanzibar, 30 Novemba 2016 – Mashindano ya “Vintage Air Rally’ yamewasili  salama Tanzania tarehe 28/11/2016 wakitokea uwanja wa Ndege wa Wilson, Nairobi kama ilivyokuwa imepangwa, na wafanyakazi wa Puma Energy Tanzania kitengo cha mafuta ya ndege walizihudumia ndege hizi kwa kuzijaza mafuta aina ya Avigas katika uwanja wa Ndge wa Arusha. Baada ya hapo ndege hizo ziliruka hadi mbuga ya wanyama ya Ngorongoro ambapo ilikuwa sehemu ya safari yao. Leo wanaporuka kuja Zanzibar, Kampuni ya Puma Energy Tanzania inajisikia fahari kuyakaribisha haya mashindano katika visiwa vizuri vya marashi ya Zanzibar, ambapo waalikwa mbalimbali kutoka Serikalini, Balozi mbalimbali, Puma Energy yenyewe, na wageni mbalimbali watakua na fursa ya kukutana na marubani wanaoshiriki shindano hili pamoja na ndege zenyewe, na baadaye kuwa na tafrija ya pamoja katika Hoteli ya Hyatt iliyoko mji Mkongwe.
Kampuni ya Puma Energy inayofuraha kuwa mwenyeji wa mashindano haya.   Tumejikita katika kuendelea kufanya vyema na pia kuwa na uhakika wa upatikanaji wa bidhaa ya mafuta na tunafuraha kutoa mchango wetu katika kuhakikisha kwamba mashindano yanafanyika vyema. Jukumu letu katika kusaidia kuendeleza utalii ndani ya nchi yetu linabaki kuwa sehemu muhimu sana katika masuala yetu ya kijamii kama kampuni katika kutimiza majukumu yetu ya kila siku”, Alisema Philippe Corsaletti, Meneja Mkuu wa Puma Energy Tanzania.
Vintage Air Rally inahusisha ndege za zamani za kati ya miaka ya 1920 na 1930 ambazo zinarushwa na marubani wenye uzoefu mkubwa kutoka sehemu mbalimbali duniani, wakiruka kukatisha Afrika kutoka katika visiwa vya Crete nchini Ugiriki hadi Cape Town Afrika ya Kusini. 
Shindano hili lilianza tarehe 12/11/2016 kule Crete, Ugiriki na safari yote itachukua siku 35  wakipita katika jumla ya nchi 10 ambazo ni Ugiriki, Misri, Sudan, Ethiopia, Kenya, Tanzania na kuendelea Zambia, Zimbabwe, Botswana na Afrika ya Kusini. 
Kampuni ya Puma Energy Tanzania imejiandaa vizuri kupokea ugeni huu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha huduma zote za kujaza mafuta ili kuhakikisha urukaji ulio salama. Ndege hizi zinatumia mafuta aina ya Avgas tu na kampuni ya Puma ambayo pekee inayotunza mafuta hayo hapa Nchini, itazihudumia ndege hizi wakati wote zitakapokuwa nchini. 
“Timu ya watu wetu imejiandaa kupokea na kuhudumia msafara mzima katika kiwango cha juu cha ubora na ufanisi. Uwepo wa bohari zetu za mafuta ya ndege katika maeneo mbalimbali nchini unafanya iwe rahisi kuhudumia ndege hizo ambao msafara huu utapita,” Alisema Corsaletti. 
Kwa hapa Tanzania, Vintage Air Rally Aircrafts zitatua ili kujaza mafuta Kilimanjaro, Arusha, Dar es salaam, Zanzibar, Dodoma, and Songwe kabla ya kuelekea Zambia ambapo watapokelewa na kuhudumiwa na wenzetu wa Puma Zambia. 
Tanzania itaweka historia kwa kuwa moja ya nchi chache duniani ambapo mashindano haya yatapita. “Tunawakaribisha wananchi wote katika tukio hili la kihistoria wakati ndege za Vintage zitakapokua zikipita maeneo yao kwa kuwa tukio hili litasaidia kukuza utalii”. 

Kuhusu njia itakayotumika:
Njia inayotumika ni sawa kabisa na ufuatishaji wa safari ya shirika la ndge la Imperial ya mwaka 1931 “safari ya Afrika” ambapo ndege itakua ikiruka chini kupitia Nile kutokea Kairo hadi Khartoum, kupitia milima ya Ethiopia, uwanda wa chini wa Kenya,  na hatimaye sehemu yenye changamko sana ya Afrika Mashariki.  Baada ya hapo itaondoka tena kupitia Kilimanjaro hadi Serengeti, na hatimaye hadi kwenye visiwa vya marashi ya Zanzibar na hadi chini Zaidi, kupitia Zambia, juu ya maporomoko ya Victoria, hadi Bulawayo Zimbabwe. Siku za mwisho za safari hii ndefu inayohitaji pumzi nyingi itawafikisha Botswana na Afrika ya Kusini - Capetown ambapo utakua mwisho wa safari. 
Kampuni ya Puma Energy ni kampuni ya kimataifa ya viwango vya kati ambayo imejikita katika kusafisha mafuta ghafi, kutunza na kusambaza mafuta masafi kwa watumiaji katika zaidi ya nchi 45 duniani. Puma ilingia Tanzania mwaka 2012 na hadi sasa inaongoza katika  soko na pia kampuni pekee yenye uwepo katika viwanja vinane hapa Tanzania  ambavyo ni Kilimanjaro, Zanzibar, Songwe, Mwanza, Tabora, Dodoma, Arusha, na Julius Nyerere. 

Philippe Corsaletti
Meneja Mkuu

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4811,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Ndege kongwe zanogesha utalii Z'bar
Ndege kongwe zanogesha utalii Z'bar
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxgbq3qMWzYbVMvmh7EsdWfUD_5N35vCvTZVBR9i_7pSBUQjJKPo3C9TpLZgs6cyv_kQ_En-VpVKZNmyGVQbM9bNMcC01h3Z9CX4M9QQaMJJw0eZLHlUdDRlgDckV4KIzSL9OQHAP3Ecw/s640/01.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxgbq3qMWzYbVMvmh7EsdWfUD_5N35vCvTZVBR9i_7pSBUQjJKPo3C9TpLZgs6cyv_kQ_En-VpVKZNmyGVQbM9bNMcC01h3Z9CX4M9QQaMJJw0eZLHlUdDRlgDckV4KIzSL9OQHAP3Ecw/s72-c/01.JPG
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/12/ndege-kongwe-zanogesha-utalii-zbar.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/12/ndege-kongwe-zanogesha-utalii-zbar.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy