RAIS MAGUFULI AKIFUNGUA VIWANDA VIWILI MKOANI SHINYANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa Januari 13,2017 amefungua rasmi viwanda viwili mkoani Shinyan...

Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Ijumaa Januari 13,2017 amefungua rasmi viwanda viwili mkoani Shinyanga. 
Rais Magufuli amefungua Kiwanda cha kutengeneza vifungashio vya bidhaa mbalimbali ikiwemo mifuko ya Sandarusi cha Fresho Investment Company Limited na kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited kinachojihusisha na uzalishaji wa vinywaji baridi ikiwemo soda,juisi na maji. 
Mwandishi mkuu wa Malunde1 blog,ndugu Kadama Malunde ametusogezea picha 45 wakati wa uzinduzi wa viwanda hivyo
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Katikati ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika kiwanda cha kutengeneza vifungashio vya bidhaa mbalimbali ikiwemo mifuko ya Sandarusi cha Fresho Investment Company limited kilichopo katika manispaa ya Shinyanga,kulia ni mkurugenziwa kiwanda hicho Freddy Shoo.
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika kiwanda cha kutengeneza vifungashio vya bidhaa mbalimbali ikiwemo mifuko ya Sandarusi cha Fresho Investment Company Limited kilichopo katika manispaa ya Shinyanga
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia kwa kuwapungia mkono wananchi wa mkoa wa Shinyanga waliofika katika kiwanda Fresho Investment Company Limited kushuhudia uzinduzi rasmi wa kiwanda hicho 
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika kiwanda hicho.Kulia kwake ni mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainab Telack,akifuatiwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro na Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga ACP Muliro Jumanne Muliro
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na kushikana mkono na mkurugenzi wa kiwanda cha Fresho Investment Company limited Freddy Shoo baada ya kuweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi wa kiwanda hicho
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijiandaa kukata utepe kuashiria kufungua rasmi kiwanda cha kutengeneza mifuko ya sandarusi cha Fresho Investment Company Limited.
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais Magufuli akikata utepe kuashiria kufungua rasmi Kiwanda cha kutengeneza mifuko ya Sandarusi cha Fresho Investment Company Limited cha Mkoani Shinyanga.Kushoto wa kwanza kushoto ni mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini Stephen Masele,wa tatu ni mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.Wa kwanza kulia ni mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainab Telack,akifuatiwa na mbunge wa jimbo la Kishapu Suleiman Nchambi,mkurugenzi wa kiwanda hicho Freddy Shoo
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ndani ya kiwanda cha Fresho Investment Company Limited akiongozwa na mkurugenzi wa kiwanda hicho Freddy Shoo
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Mkurugenzi wa kiwanda cha Fresho Investment Company Limited Freddy Shoo (kushoto) akimwonesha rais Magufuli jinsi uzalishaji wa vifungashio/mifuko ya sandarusi unavyofanyika katika kiwanda hicho
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais Magufuli akiangalia mifuko ya sandarusi katika kiwanda hicho
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais Magufuli akiangalia mifuko/vifungashio vya bidhaa mbalimbali vilivyotengenezwa katika kiwanda hicho
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Mkurugenzi wa kiwanda cha Fresho Investment Company Limited Freddy Shoo akimwelezea rais Magufuli namna mitambo ya kisasa iliyopo katika kiwanda hicho inavyofanya kazi katika kiwanda hicho
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Mkurugenzi wa kiwanda cha Fresho Investment Company Limited Freddy Shoo akiteta jambo na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza baada ya kufungua kiwanda cha Kiwanda cha kutengeneza vifungashio vya bidhaa mbalimbali ikiwemo mifuko ya Sandarusi cha Fresho Investment Company Limited ambapo alisema kiwanda hicho ni kizuri na cha kisasa huku akimpongeza mmiliki wa kiwanda hicho Freddy Shoo ambaye ni Mtanzania kwa kuunga mkono jitihada za serikali kuifanya Tanzania kuwa ya viwanda
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Viongozi mbalimbali wakimsikiliza rais Magufuli ambaye alitumia fursa hiyo kuwataka watanzania wengine wenye pesa kujitokeza kuwekeza katika viwanda ili kuhakikisha kuwa uchumi wa nchi unakua na wananchi wanapata ajira
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Tunamsikiliza rais Magufuli
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Viongozi mbalimbali wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainab Telack (mwenye ushungi mweupe katikati) wakimsikiliza rais Magufuli
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blogHapa ni ndani ya kiwanda cha kutengeneza vinywaji baridi ikiwemo soda,maji na juisi cha Jambo Food Products Company Limited.Katikati ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia mitambo ya kisasa iliyopo katika kiwanda hicho ambacho awamu ya kwanza ya ujenzi wake ulianza mwaka 2015 na kukamilika Juni 2016 kwa kuanza na uzalishaji wa vinywaji baridi ikiwemo soda,Malta,Fresh Juice,Energy drinks na maji kikiwa na uwezo wa kuzalisha tani 200 kwa siku 
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Kushoto ni mkurugenzi wa kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited Salum Khamis maarufu Salum Mbuzi akimweleza rais Magufuli namna kiwanda hicho kinavyofanya kazi.Pamoja na mambo mengine alisema awamu ya pili ya ujenzi itakamilika Oktoba 2017 ambapo kiwanda hicho kitaweza kusindika na kufungasha matunda yote yaliyopo kanda ya ziwa Victoria
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Mkurugenzi wa kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited Salum Khamis maarufu Salum Mbuzi ambaye ni mbunge wa Meatu mkoani Simiyu akimwelezea rais Magufuli jinsi mfumo wa komputa unavyofanya kazi katika shughuli za uzalishaji katika kiwanda hicho cha vinywaji baridi 
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais Magufuli akiwa katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited cha mkoani Shinyanga ambacho asilimia 100 ya umiliki wake ni watanzania wazawa
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blogRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia soda zilizozalishwa katika kiwanda hicho zikiwa tayari kwa ajili ya matumizi
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Mkurugenzi wa kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited Salum Khamis maarufu Salum Mbuzi akitoa hotuba fupi kuhusu kiwanda hicho.Alisema uwekezaji utakapokamilika mwezi Oktoba mwaka huu,utakuwa na thamani ya dola 125,000,000.Mbuzi aliwataja waliofanikisha katika ujenzi wa kiwanda hicho kuwa ni Benki ya CRDB (Tanzania),COMMERZ Bank (Germany),Krones (Germany),Volvo(Tanzania) na EKN Bank ( Sweden) 
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Mkurugenzi wa kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited Salum Mbuzi alimshukuru rais Magufuli kufungua kiwanda hicho na kuahidi kuendelea kuunga mkono kwa vitendo jitihada za serikali ya awamu ya tano kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda 
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Wananchi wakimsikiliza Mkurugenzi wa kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited Salum Mbuzi ambapo alisema tayari kiwanda hicho kimetoa ajira rasmi 365 na zisizo rasmi 500 na matarajio ni kufikia ajira 2500 pindi uwekezaji utakapokamilika na kwamba hivi sasa bidhaa zao wanauza ndani ya nchi na wanatarajia kupanua masoko ya nje ya nchi kwa nchi za Burundi,Rwanda na Kongo
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited ambapo aliupongeza uongozi wa kiwanda hicho kumuunga mkono kwa vitendo kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa nchi ya viwanda badala ya kuendelea kutegemea viwanda vya nje ya nchi. 
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alieleza furaha yake kuona mkoa wa Shinyanga ukiwa kituo cha uzalishaji wa vinywaji huku akiwapongeza viongozi wa mkoa wa Shinyanga kwa kumuunga mkono kwa vitendo na kuahidi kuwasaidia wawekezaji wazawa kupata mikopo katika benki mbambali ili wawekeze zaidi wananchi wapate ajira
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais Magufuli alisema wawekezaji wazawa katika viwanda viwili alivyovifungua mkoani Shinyanga wameonesha uzalendo wa kweli kwa nchi yao na kuwataka watanzania kutoogopa kuanzisha viwanda hata kama vingekuwa vidogo namna gani
Wananchi wakimsikiliza rais Magufuli
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Kulia ni mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainab Telack akifuatiwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro na Mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafeez Mukadam ambaye pia ni mwenyekiti wa ALAT taifa wakimsikiliza rais Magufuli 
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Wa kwanza kulia ni mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Stephen Masele akifuatiwa na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Erasto Kwilasa na mkurugenzi wa kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited Salum Mbuzi wakifuatilia hotuba ya rais Magufuli
Wananchi wakimsikiliza rais Magufuli
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Katikati ni Kamanda wa polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Muliro Jumanne Muliro akiwa na askari polisi wakati rais Magufuli akizungumza katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akigawa soda kwa wananchi zilizozalishwa katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited kilichopo katika manispaa ya Shinyanga 
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wananchi wakati akigawa soda kwa wananchi zilizozalishwa katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais Magufuli akiendelea kugawa soda kwa wananchi
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akigawa soda kwa viongozi mbalimbali wa mkoa wa Shinyanga wakiwemo viongozi wa madhehebu ya dini
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea kugawa soda
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais Magufuli akiendelea kugawa soda
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais Magufuli akigawa soda kwa kikundi cha wacheza ngoma
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifungua soda kutoka katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akinywa soda kutoka katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited cha mkoani Shinyanga-Picha na Kadama Malunde-Malunde1 blog
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia utamu wa soda kutoka katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha soda kutoka katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited
Rais John Pombe Magufuli viwanda Shinyanga malunde1 blog
Wananchi wakiwa wamesimama baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuondoka katika kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited baada ya kufungua kiwanda hicho
Picha zote na Kadama Malunde- Malunde1 blog

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4811,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: RAIS MAGUFULI AKIFUNGUA VIWANDA VIWILI MKOANI SHINYANGA
RAIS MAGUFULI AKIFUNGUA VIWANDA VIWILI MKOANI SHINYANGA
https://1.bp.blogspot.com/-Yv6PuGlnnKU/WHjirTv-6-I/AAAAAAAAL9I/dM3eEdhHNeo2o0o9fQyT10bumI6KDz_AACLcB/s640/UF3A1711.JPG
https://1.bp.blogspot.com/-Yv6PuGlnnKU/WHjirTv-6-I/AAAAAAAAL9I/dM3eEdhHNeo2o0o9fQyT10bumI6KDz_AACLcB/s72-c/UF3A1711.JPG
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2017/01/rais-magufuli-akifungua-viwanda-viwili.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2017/01/rais-magufuli-akifungua-viwanda-viwili.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy