KIONGOZI wa kanisa katoliki duniani, papa Francis amekutana na rais wa Marekani Trump , katika maktaba ya kiongozi huyo mjini Vatican. Vi...
KIONGOZI wa kanisa katoliki duniani, papa Francis amekutana na rais wa Marekani Trump , katika maktaba ya kiongozi huyo mjini Vatican.
Viongozi hao wawili wenye mawazo tofauti kuhusu dunia walikutana uso kwa uso.
Majira ya saa 2:20 asubuhi, msafara wa Rais Trump akiwa na mke wake Melania uliingia katika makao makuu ya papa na kupokea na gadi ya walinzi wa Kiswisi.
Dakika chache kabla ya kuingia kwa Trump makao makuu hayo, papa aliwasili akiwa ndani ya gari aina ya Ford Focus ya bluu.
Kwa Trump, ambaye aliwasili Rome baada ya kufanya ziara Saudi Arabia na Israel anakamilisha ziara ya maeneo ya dini kuu tatu duniani zinazoamini Mungu mmoja.
Aidha viongozi hao wanakutana wakati pia Papa Francis alifanya ziara yenye heshima kubwa mwezi uliopita nchini Misri.
Aidha itakuwa ni mara ya pili kwa Rais wa taifa la Marekani kutembelea Vatican. Rais wa kwanza alikuwa Barack Obama mwaka 2014.
Gazeti la New York Time, Online edition limeandika kwamba mazungumzo ya faragha kati ya viongozi hao wawili yalikamilika majira ya saa tatu asubuhi.
Mara tu baada ya kengele kulia kuonesha kukamilika kwa mazungumzo, mke wa Trump aliingia chumba cha mazungumzo ambacho kinaitwa studio ya papa.
Baada ya mazungumzo Trump alipata nafasi ya kutambulisha familia yake na papa aliwapa rozari kabla ya kupiga picha ya pamoja.
Pamoja na mke wake, Rais pia alikuwa na binti yake, Ivanka, na mume wake Kushner.
Mr. Trump is the scion of a real estate developer and a thrice-married lover of all things gilded. Pope Francis has made a calling card out of modesty.
When, in 2013, he paid his own hotel bill after being elected pope, Mr. Trump wrote on Twitter: “I don’t like seeing the Pope standing at the checkout counter (front desk) of a hotel in order to pay his bill. It’s not Pope-like!”
The two have fundamentally different views about how to restore balance to a global economic system they consider broken, with Mr. Trump focusing on the engines of capitalism and Pope Francis fighting to protect the workers and the disadvantaged from dehumanizing forces of the modern world.
“The thing they have in common is a major responsibility to govern,” said Antonio Spadaro, a Jesuit priest who edits the Vatican-approved journal La Civiltà Cattolica. “The pope is an actor on the world stage and Trump is the president of a country with a huge impact on the world.”
Pope Francis, a savvy political operator, had signaled in the days leading up to the meeting that he was not seeking a confrontation.
Speaking on the papal plane after a recent trip to Fátima, Portugal, Francis was asked what he expected from the meeting. “In our talk, things will come out, I will say what I think, he will say what he thinks, but I never, ever, wanted to make a judgment without hearing the person,” he said.
That is a far cry from his previous remarks about Mr. Trump. In February 2016, Francis responded to a question about the president’s hard line against immigrants and his desire to build a wall along the border with Mexico, telling reporters, “A person who only thinks about building walls, wherever they may be, and not building bridges, is not Christian.”
Mr. Trump, a candidate at the time, swiftly returned fire. “For a religious leader to question a person’s faith is disgraceful,” he said at a campaign rally in South Carolina.
“No leader, especially a religious leader, should have the right to question another man’s religion or faith,” he continued. “If and when the Vatican is attacked by ISIS, which as everyone knows is ISIS’ ultimate trophy, I can promise you that the pope would have only wished and prayed that Donald Trump would have been president.”
Viongozi hao wawili wenye mawazo tofauti kuhusu dunia walikutana uso kwa uso.
Majira ya saa 2:20 asubuhi, msafara wa Rais Trump akiwa na mke wake Melania uliingia katika makao makuu ya papa na kupokea na gadi ya walinzi wa Kiswisi.
Dakika chache kabla ya kuingia kwa Trump makao makuu hayo, papa aliwasili akiwa ndani ya gari aina ya Ford Focus ya bluu.
Kwa Trump, ambaye aliwasili Rome baada ya kufanya ziara Saudi Arabia na Israel anakamilisha ziara ya maeneo ya dini kuu tatu duniani zinazoamini Mungu mmoja.
Aidha viongozi hao wanakutana wakati pia Papa Francis alifanya ziara yenye heshima kubwa mwezi uliopita nchini Misri.
Aidha itakuwa ni mara ya pili kwa Rais wa taifa la Marekani kutembelea Vatican. Rais wa kwanza alikuwa Barack Obama mwaka 2014.
Gazeti la New York Time, Online edition limeandika kwamba mazungumzo ya faragha kati ya viongozi hao wawili yalikamilika majira ya saa tatu asubuhi.
Mara tu baada ya kengele kulia kuonesha kukamilika kwa mazungumzo, mke wa Trump aliingia chumba cha mazungumzo ambacho kinaitwa studio ya papa.
Baada ya mazungumzo Trump alipata nafasi ya kutambulisha familia yake na papa aliwapa rozari kabla ya kupiga picha ya pamoja.
Pamoja na mke wake, Rais pia alikuwa na binti yake, Ivanka, na mume wake Kushner.
Mr. Trump is the scion of a real estate developer and a thrice-married lover of all things gilded. Pope Francis has made a calling card out of modesty.
When, in 2013, he paid his own hotel bill after being elected pope, Mr. Trump wrote on Twitter: “I don’t like seeing the Pope standing at the checkout counter (front desk) of a hotel in order to pay his bill. It’s not Pope-like!”
The two have fundamentally different views about how to restore balance to a global economic system they consider broken, with Mr. Trump focusing on the engines of capitalism and Pope Francis fighting to protect the workers and the disadvantaged from dehumanizing forces of the modern world.
“The thing they have in common is a major responsibility to govern,” said Antonio Spadaro, a Jesuit priest who edits the Vatican-approved journal La Civiltà Cattolica. “The pope is an actor on the world stage and Trump is the president of a country with a huge impact on the world.”
Pope Francis, a savvy political operator, had signaled in the days leading up to the meeting that he was not seeking a confrontation.
Speaking on the papal plane after a recent trip to Fátima, Portugal, Francis was asked what he expected from the meeting. “In our talk, things will come out, I will say what I think, he will say what he thinks, but I never, ever, wanted to make a judgment without hearing the person,” he said.
That is a far cry from his previous remarks about Mr. Trump. In February 2016, Francis responded to a question about the president’s hard line against immigrants and his desire to build a wall along the border with Mexico, telling reporters, “A person who only thinks about building walls, wherever they may be, and not building bridges, is not Christian.”
Mr. Trump, a candidate at the time, swiftly returned fire. “For a religious leader to question a person’s faith is disgraceful,” he said at a campaign rally in South Carolina.
“No leader, especially a religious leader, should have the right to question another man’s religion or faith,” he continued. “If and when the Vatican is attacked by ISIS, which as everyone knows is ISIS’ ultimate trophy, I can promise you that the pope would have only wished and prayed that Donald Trump would have been president.”
COMMENTS