EXIM BENKI YATOA MSAADA WA VITANDA 500 NA MAGODORO KWENYE HOSPITALI ZA RUFAA

Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki ya Exim Tanzania, Stanley Kafu kushoto akimkabidhi sehemu ya vitanda 40 magodoro 40 na Kaimu M...






Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki ya Exim Tanzania, Stanley Kafu kushoto akimkabidhi sehemu ya vitanda 40 magodoro 40 na Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Dkt Clemence Marcel  ikiwa mpango wao kupitia kampeni ya benki ya exim ya miaka 20 ya kujali jamii wa pili kulia ni Kaimu Mganga Mfawidhi wa
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Dkt Mohamed Abdallah kushoto ni Meneja wa Benki ya Exim mkoa wa Tanga,Emanuel Mwamkinga.



Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Dkt Clemence Marcel akiwa na Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki ya Exim Stanley Kafu wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukabidhi vitanda  na magodoro 40 kwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga Bombo.
Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki ya Exim Tanzania, Stanley Kafu akizungumza wakati wa halfa hiyo  kulia ni Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Dkt Clemence Marcel kushoto ni Meneja wa Exim Benki Mkoa wa Tanga Emanuel Mwamkinga
Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Dkt Clemence Marcel akizungumza katika halfa hiyo kulia ni Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga  Bombo Mohamed Abdallah kushoto ni Mkuu wa Idara ya Masoko ya Benki ya Exim Stanley Kafu



Muuguzi mfawidhi wa Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga Bombo Beatrice Rimoy akizungumza kuishukuru benki ya Exim kwa kuwapatia msaada huo wa vitanda na magodoro 40


Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Mohamed Abdallah akizungumza wakati wa halfa hiyo ya makabidhiano ya vitanda na magodoro 40 iliyofanyika katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga Bombo
 Sehemu ya vitanda na magodoro vilivyotolewa

 Sehemu ya watumishi wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo wakifuatilia matukio hayo
BENKI ya Exim Tanzania imetoa msaada wa vitanda 500 na magodoro kwa hospitali za rufaa kwenye mikoa 13 hapa nchini ikiwa ni sehemu ya kampeni yake yenye lengo la kusheherekea miaka 20 ya kuitumikia jamii.
Hayo yalibainishwa leo na Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki hiyo, Stanley Kafu wakati akikabidhi vitanda na magodoro 40 kwa ajili ya hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo inayolengo la kusaidia  upungufu wa vitanda katika hospitali nchini.
Alisema ili kukabiliana na hali hiyo ndio maana waliamua kutoa msaada ili kuweza kusaidia tatizo la ukosefu wa dawa, vifaa na vitanda hasa katika hospitali za rufaa katika kukabiliana na uhaba unaosumbua Taifa.
“Benki ya Exim Tanzania iliadhimisha miaka 20 ya huduma mwezi wa Agosti mwaka jana,kwa kuzindua kampeni ya mwaka mzima uuitwao ‘Miaka 20 ya kujali jamii”ambao benki hiyo itawekeza katika sekta ya Afya Tanzania…Sisi kama Benki ya Kitanzania iliyoanzishwa mwaka wa 1997 hivyo benki hiyo inafafanua mafanikio yake jinsi inavyoleta mabadiliko kwa wateja na jamii kwa ujumla “Alisema.
“Hospitali ya rufaa mkoa wa Tanga ni hospitali ya saba kupokea mchango huu, baada ya hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya mwezi uliopita, Hospitali ya Mount Meru mkoani Arusha mwezi Desemba, Hospitali ya rufaa Dodoma mwezi Novemba, Hospitali ya rufaa Ligula mkoani Mtwara mwezi Octoba,Hospitali ya Mnazi mmoja Unguja Visiwani Zanzibar mwezi Septemba na hospitali ya rufaa ya Temeke mkoani Dar es Salaam mwezi wa nane mwaka huu”Alisema
Katika halfa hiyo tukio hilo la makabidhiano ya msaada huo yalifanyika kwenye ukumbi wa mikutano na mgeni rasmi alikuwa ni Afisa Matibabu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Dkt Clemence Marcel pamoja na Kaimu Mganga mkuu wa hospitali Dkt Mohamed Abdallah.
“Katika kipindi cha miaka 20 benki imetambua umuhimu wa jamii zinazozunguka eneo la biashara yetu na ndio maana shughuli za kijamii ni muhimu sana kwa kwa benki ya Exim…..Tunaamini kwamba tuna nafasi kubwa katika kuchangia mabadiliko chanya katika sekta mbalimbali kwa jamii zetu “Alisema
“Lakini pia benki iliamua kusheherekea miaka hiyo kwa kusaidia jamii kwa njia ya kampeni inayoitwa “Miaka 20 ya kujali Jamii” kuonyesha jinsi tunavyowashukuru kwani benki hiyo imekwisha kutoa vitanda na magodoro ya hospitali kwa hospitali nchini kote kila mwezi kwa mwaka mzima”Alisema
Kwa upande wake, Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Dkt Clemence Marcel aliipongeza Exim benki kwa juhudi zake za kusaidia kukabiliana na upungufu wa vitanda kwenye hospitali ambao umekuwa ukijitokeza mara kwa mara.
Alisema upungufu wa vitanda katika hospitali umekuwa ni changamoto kubwa hivyo kukabidhiwa vitanda 40 na magodoro utasaidia sana kupunguza vikwazo vya namna hiyo kwa jamii.
Benki ya Exim inatambuliwa kama Mwajiri bora wa kitanzania mwaka 2017 na taasisi ya The Banker ya Afrika mashariki na sasa inasheherekea miaka 20 ya mafanikio,ukuaji na kuwa kiongozi katika kuingia katika masoko mapya barani Afrika.
“Exim Benki iliyoanzishwa mwaka 1997 na imetanua soko lake kwa kufungua kampuni tanzu katika nchi za Comorro(2007),Djibouti(2010) na Uganda (2016) lakini pia benki hiyo inajuivunia kuwa benki ya kwanza kubwa ya kitanzania nay a kwanza kuingia katika masoko ya nje ya nchi.(Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: EXIM BENKI YATOA MSAADA WA VITANDA 500 NA MAGODORO KWENYE HOSPITALI ZA RUFAA
EXIM BENKI YATOA MSAADA WA VITANDA 500 NA MAGODORO KWENYE HOSPITALI ZA RUFAA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOQ3JEwdnU28C6zOkrFnKXL1AJMWJ6gzX1JzaonSuTi0cdJavGNFpdKfBnbvTvNxZzhtsW1VyLmHP1jCb5wA_1nXPWlJpeBMWLF1KURjBZCKsEN6snnIAdoG-ARRdGgGgHEidwFhr9tTw/s640/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOQ3JEwdnU28C6zOkrFnKXL1AJMWJ6gzX1JzaonSuTi0cdJavGNFpdKfBnbvTvNxZzhtsW1VyLmHP1jCb5wA_1nXPWlJpeBMWLF1KURjBZCKsEN6snnIAdoG-ARRdGgGgHEidwFhr9tTw/s72-c/1.JPG
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2018/03/exim-benki-yatoa-msaada-wa-vitanda-500.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2018/03/exim-benki-yatoa-msaada-wa-vitanda-500.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy