Sheikh Thabiti Kombo na usaliti Zanzibar..,Majaribio ya kupindua serikali

KATIKA kitabu cha Masimulizi ya Sheikh Thabiti   Kombo Jecha kuna eneo ambalo , amejadili kw aurefu matukio ya usaliti nchini Zanzibar...



KATIKA kitabu cha Masimulizi ya Sheikh Thabiti  Kombo Jecha kuna eneo ambalo , amejadili kw aurefu matukio ya usaliti nchini Zanzibar baada ya mapinduzi ya mwaka 1964.
… Wapinga mapinduzi hawa walishidnwsa kukubali ukweli wa mapinduzi ya Afro Shirazi na kuwa sultani kweli ndio kaondolewa; wakajaribu mwaka ule ule wa 1964 kututikisa. Mwishoni mwa mwaka ule wa 1964 tukashtushwa na jaribio la mtu mmoja Amour Zahor wa kajificheni Unguja na wenzake wanne wenye itikadi ya Hizbu, kutaka kuiangusha serikali ya ASP kwa matumaini ya kurudisha umwinyi Visiwani humu Tulijua kuwa mpango huo ulibuniwa na wafuasi wa ZNP, kwa sababu ya chuki ya kupinduliwa serikali yao. Kikundi chao kiliitwa kwa jina la Peiople’s Fighters Union.
Hizbu walijaribu tena mwaka 1967; mwaka huo wa 1967 ulikuwa wa balaa kubwa kwetu, yalikuwapo majaribio matatu. Kwanza mafisadi watatu wakiongozwa na Suleiman Hamad Suleiman wa Msingine Pemba, mwarabu wa kabila la El-Kindy, walipojaribu kuiangusha serikali ya mapinduzi. Baadaye tena watu wengine wawili waliokuwa na nguvu kubwa ya fedha kutoka nje, nao wakafanya jaribio lao. Hao walijiita Freedom Fighters, kiongozi wao Saleh Ali Nassor wa Mchambawima Unguja, Mwarabu wa kabila la Barwan. Hawa walitegemea zaidi fedha, ambazo hazikuwafaa kitu..
Mwaka huo huo tena kikazuka kikundi kingine cha watu watatu kilichoongozwa na Salim Mohamed Abdallah wa Madungu, Pemba. Hawa walijiita Jitihada. Wao walikuwa wanataka kuiangusha serikali ya ASP ili kwanza wavunje muungano; na si hivyo tu,walitaka wakifanikisha kuigawa, pemba iwe nchi mbali na Unguja nchi mbali!
..Usaliti uliotisha sana ulitoka kwa viongozi wenznetu ndani ya ASP na ndani ya serikali ya Mapinduzi, wakati zilipopangwa njama kuviza makusudi siasa ya chama, ili chama kifarakane na wananchi. Visa hivyo vilikuwa vikubwa sana, na ukielekezwa vyote wala huwezi kuamini.
Katika njama hizo alikuwako Abdullah Kasim JHanga, saleh Saadallah Akida na Abdul-aziz Twalha, wote wakati huo  mawaziri wa serikali hiyo hiyo waliyokuwa wanataka kuiangusha. Wengine maarufu serikalini, kama Aboud Nadhif na Mdungi Ussim, wote makatibu wakuu. Baadaye tena akajitokeza Othman Shariff Mussa, Waziri wa Elimu na  na wenzake watatu, waliokuwa na mawazo kuwa wakifuzu kuiangusha serikali hii watarejesha kwa wenyewe mashamba yaliyotaifishwa, maana wao waliamini kuwa ASP ilifanya dhuluma kubwa kutaifisha mashamba baada ya mapinduzi.
Msukosuko mkubwa zaidi nilioushuhudia na ambao nusura uniondolee maisha yangu ni ule wa 1972, uliosababisha kuuawa kwa Rais wa Kwanza wa ASP, Sheikh Abeid Amani Karume. Mafgisadi walidhani kuwa akiuawa Karume basi Afro-Shirazi hakuna tena, na mapinduzi yatakoma. Karume kweli akafa, akazikwa; lakini ASP ikabaki palepale na mapinduzi yakabaki palepale.
Kama kawaida, siku ya Aprili 7 mimi nilifika hapo makao makuu ya ASP kiasi cha saa 10 jioni, nikamkuta Maalim Shaban Kombo kesha fika, yuko ndani ya ofisi yake sehemu ya hapo chini. Mara akaingia mheshimiwa Ibrahim Saadallah, na punde akafuatia Mzee Mtoro Rehani. Halafu akafika Sheikh Muhiddin Ali Omar, na kiasi cha saa 11 hivi akafika mheshimiwa Sheikh Karume. Wakati nilipofika mimi na mpaka hapo mheshimiwa Rais alipofika, askari walinzi wa FFU walikuwa bado hawajaja kulinda makao makuu ya Chama, kwa kawaida wao hufika kiasi cha saa 12 jioni. Mwenyewe Rais alipoingia alikuwa na walinzi wake wa kawaida kutoka Idara ya Usalama, na alipoingia ndani wao aliwaacha nje wakichukua nafasi zao za ulinzi.
Mheshimiwa Sheikh Karume alipofika alitukuta tumekaa kuzungukia meza kama kawaida yetu; mpango wa meza hiyo ulikuwa sisi sote tunaupa ubavu mlango mkuu.
 Nitaendelea kesho

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Sheikh Thabiti Kombo na usaliti Zanzibar..,Majaribio ya kupindua serikali
Sheikh Thabiti Kombo na usaliti Zanzibar..,Majaribio ya kupindua serikali
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1S1Wwl-ZSJVaUa69kPQJ1QUgp2nR7O8Nba5LVRk5ntnVEhcmB5okK3_ZE0OnTHatAgUJp25qpcIiSWHKSnOp352HTY6T7Mcm3YSQAOx8u4BjPN01-A4Gsu0le_O_G6F5uujQ4dT4SfAJl/s320/Karume.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1S1Wwl-ZSJVaUa69kPQJ1QUgp2nR7O8Nba5LVRk5ntnVEhcmB5okK3_ZE0OnTHatAgUJp25qpcIiSWHKSnOp352HTY6T7Mcm3YSQAOx8u4BjPN01-A4Gsu0le_O_G6F5uujQ4dT4SfAJl/s72-c/Karume.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2018/04/sheikh-thabiti-kombo-na-usaliti.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2018/04/sheikh-thabiti-kombo-na-usaliti.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy