<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429</id><updated>2012-01-27T21:31:17.885+03:00</updated><category term='wala usibabaike mwakwetu hii noma'/><category term='nenda mwaya nenda'/><category term='hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88'/><category term='patna mwingine mjamzito'/><category term='kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini'/><category term='Sisi yetu macho na masikio'/><category term='kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha'/><category term='je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza'/><category term='watu wanapofanya weli kwenye sanaa'/><category term='Bado ni kisura wa haja'/><category term='Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu'/><category term='New Zanzibar Modern Taarab  na wapenzi big up'/><category term='Mzee wa Farasi  nakupa saluti'/><category term='Aluta kontinua ni fora pamoja na mvua'/><category term='Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority'/><category term='ubunifu siku zote hulipa'/><category term='mama ni mama tu anapendeza'/><category term='jela kwa raha'/><category term='Ona Kolelo na sindikizwa na  Wazee wa Gwasuma'/><category term='nyie mnasemaje kuhusu hili'/><category term='nani asiyejua utamu wa pipi'/><category term='Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa'/><category term='ndoa za mastaa huwa na mgogoro'/><category term='Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula'/><category term='Duhh bibie endeleza libeneke'/><category term='Pole Jamila hayo ndiyo mashindano'/><category term='Tuipeleke kaskazini'/><category term='Kwa mihasira hajambo'/><category term='kama  si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa'/><category term='jamani huu kama si ushamba kumbe nini'/><category term='Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu'/><category term='miguu'/><category term='Sasa ni mavuno'/><category term='come sun'/><category term='Vionjo vipya  ndani ya Gwasuma'/><category term='wanadamu wanapotaka kujua zaidi'/><category term='tunahitaji haya'/><category term='Isiwe mijineno tu manake mihela  hubadili watu kweli'/><category term='mambo mengine we angalia tu'/><category term='haya ndiyo mambo ya Ulaya'/><category term='Duhh kaisikie Walibana'/><category term='Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina'/><category term='inakuuma au...'/><category term='Jamani mbona Mungu anatupigania'/><category term='Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako'/><category term='tuwalinde maalbino'/><category term='Tuombe rehema kwa mungu'/><category term='Show of support Big Up Madame'/><category term='hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii'/><category term='Usisahau wazee wa Ngwasuma'/><category term='hapa kwetu inakuwaje vile'/><category term='udumu muungano'/><category term='yeye mbele sisi nyuma'/><category term='Mkiwa taa mulikeni'/><category term='kweli'/><category term='ni furaha za muungano'/><category term='Mimi simo'/><category term='Fedha za maiti haziliwi bure'/><category term='kazi na burudani'/><category term='ni mfumuko wa bei  au mfumuko wa nchi'/><category term='uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji'/><category term='tutampa tafu kubwa Prof'/><category term='Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi'/><category term='Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili'/><category term='unaposaka uwakilishi wa dunia'/><category term='mfumuko wa bei mpaka noma'/><category term='Kweli  ina mkono mrefu tuone'/><category term='la maana ni kuwa na jiko au vipi'/><category term='Tuone yatufae'/><category term='poleni sana wanyalukolo'/><category term='Ni wakati wa kuujadili utamaduni'/><category term='Wacha tujifue'/><category term='Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe'/><category term='Roho za marehemu zipate pumziko la milele'/><category term='Tuchangie mambo yaive'/><category term='Hongera sana'/><category term='Hongera bibie'/><category term='Yaaani sijui itawezekana'/><category term='Vitu vikali vyazidi kuingia Dar'/><category term='nje je?'/><category term='Ama kweli mwenye nacho huongezewa'/><category term='mrithi wa mwanadada  Whitney Houston'/><category term='Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..'/><category term='wigo mpana wa utamaduni'/><category term='nani abebe hukumu na lawama'/><category term='kama wao wanaweza sisi je'/><category term='Inahitaji nidhamu fulani'/><category term='Ukirejea salama  kila mtu anafurahi'/><category term='Kolelo mzimu ambao bado hai'/><category term='daraja sahau nini'/><category term='M ungu bariki mikono ya madaktari  wafanikiwe'/><category term='Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS'/><category term='maisha ni vyema kuyaangalia'/><category term='welcome dar baby'/><category term='Tuombe nafuu kwa  wagonjwa'/><category term='ni muziki kwa kwenda mbele'/><category term='TUNAZISUBIRI  ZA VINARA ADAR'/><category term='Naam kama haiwezekani hapa'/><category term='One step ahead'/><category term='imetosha'/><category term='Hii mexico'/><category term='Mungu ibariki Tanzania'/><category term='Hii kweli noma'/><category term='Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni'/><category term='Hizi imani nyingine ni hatari'/><category term='hata maji'/><category term='demokrasia ya upanga'/><category term='Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji'/><category term='See Uluguru Montains'/><category term='Ni zaidi ya jazz'/><category term='Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki'/><category term='Amewafuata Watanzania'/><category term='Kila la Heri jamila'/><category term='urafiki'/><category term='kila la heri kwani ni changamoto'/><category term='Tusingoje wengine watusemee'/><category term='tuvipende'/><category term='Thats big man game'/><category term='labda halitabadilika tena'/><category term='mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa'/><category term='keep it up bloggers'/><category term='Changamoto babu kubwa'/><category term='Burudani ya aina yake uwanjani'/><category term='Si kitu kidogo hata kidogo'/><category term='wilaya ya &apos;Mbagala&apos; mlie tu'/><category term='Hii mihasira mingine bwana'/><category term='Hii ndio moro sio mpaka dar'/><category term='Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa'/><category term='Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu'/><category term='mambo sasa mchanganyiko'/><category term='Tunajifunza kweli kutoka kwao'/><category term='Anitha rasmi kwa maduka'/><category term='Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida'/><category term='haya wabongo na mambo kutoka nje'/><category term='hii ni hatari'/><category term='Hii iko sawa kweli?'/><category term='Ni Dar mpaka Moro  au.. tatu bila'/><category term='Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia'/><category term='miguu babu'/><category term='Kudumisha urafiki wa dunia'/><category term='Ipo kazi Maximo'/><category term='Mnaweza wakwetu hapa'/><category term='Ni muziki mpaka China'/><category term='serikali inataka kujihami kwanini'/><category term='Na sisi je'/><category term='si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo'/><category term='Kamua baba waache wakanyagane'/><category term='kero ya usafiri sasa kwisha'/><category term='jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie'/><category term='wanasema mpaka kieleweke'/><category term='Ni raha tupu'/><category term='hataki masikhara na maisha yake'/><category term='hatubonyezi kizenji'/><category term='Mungu twaomba utuhurumie'/><category term='Dole tupu vijana wa zamani'/><category term='Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali'/><category term='mimi sisemi'/><category term='tabasamu kali la mwenge wa olimpiki'/><category term='Ni bikini kwa kwenda mbele'/><category term='tunazidi kuhesabu siku'/><category term='Je watanzania wanalipa kodi'/><category term='karibu nyumbani dada yote maisha tu'/><category term='juhudi za lazima kuinua filamu'/><category term='Profesa jamaa wanakumaindi'/><category term='Fedha za watu  kwa maendeleo ya watu'/><category term='Powa sana'/><category term='Mashabiki wa rhumba mpooooooooo'/><category term='Angalia jinsi mambo yanavyokuwa kwa wenzetu'/><category term='He he he wananikumbusha upishi wa shaba'/><category term='maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane'/><category term='Mungu awe nao'/><category term='Nairobi waanzisha tena utalii'/><category term='tuuenzi utamaduni au vipi'/><category term='namna bora ya kusaidia jamii'/><category term='wakali wa ubunifu'/><category term='karibu Tatiii'/><category term='Amekuja kukagua fedha zake'/><category term='Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa'/><category term='mambo msimamo'/><category term='Huko Ulaya'/><category term='Tuisaidie serikali shida ya Mererani'/><category term='hii staili mpya'/><category term='binadamu azidi kusonga katika sayansi'/><category term='kila kitu kina vitu'/><category term='Mungu awabariki sana'/><category term='Itakuwa laki moja ya halali'/><category term='sasa mifedha kila mahali hongereni'/><category term='Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa'/><category term='Tunasubiri'/><category term='Hii imekaa vizuri'/><category term='Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie'/><category term='Babu watoto bado wanacheza'/><category term='dahh sijui kweli mbona shida'/><category term='Amina'/><category term='Hii hurejesha uhai'/><category term='Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje'/><category term='wewe unasemaje'/><category term='basi hiyo ndiyo raha wanaoitaka wana bongo'/><category term='Wanataka kujua mali za JK na wengine'/><category term='Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele'/><category term='Tunapandisha chati tu'/><category term='Tuukuze na kuulinda'/><category term='Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130'/><category term='hivi nini siri za serikali'/><category term='bi harusi nusura atoke nduki'/><category term='Lukwangule nyumbani kwetu'/><category term='Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa'/><category term='mkiwa chumvi basi mkoze'/><category term='Mungu amrehemu'/><category term='zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme'/><category term='hasira hasara'/><category term='kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje'/><category term='Mchakamchaka anti Asmah'/><category term='zawadi zinatakiwa ziende shule'/><category term='bado siku 100 au kidogo kwa hesabu za chapchap'/><category term='come rain'/><category term='Kweli duniani tunatofautiana'/><category term='Dar utakuja je tumejiandaa'/><category term='This is Mgeta'/><category term='hakuna  noma jongwe'/><category term='Ni muhimu kutazama afya yako'/><category term='duhh kwa mbagala mama lazima awe supa'/><category term='Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu'/><category term='Mungu amweke pema peponi'/><category term='Vita dhidi ya ufisadi'/><category term='Nitasubiri and welcome home'/><category term='Mnaonaje je hii imekaa vyema'/><category term='Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika'/><category term='tujue namna ya kupumzika'/><category term='Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani'/><category term='Ni Serengeti Premium Lager'/><category term='Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala'/><category term='Titbits collection'/><category term='Hii si lukwangule'/><category term='Huu ndio ustaarabu'/><category term='Jolie'/><category term='sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia'/><category term='Lucy wanakuelewa hawa...'/><category term='huhitaji mifedha kuwa msafi'/><category term='ona vya dunia'/><category term='lets us'/><category term='Hii inakaaje vile'/><category term='Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia'/><category term='Yote maisha dada'/><category term='Mwendo mdundo dada'/><category term='Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti'/><category term='Wapo mabinti wa matawi ya juu'/><category term='Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe'/><category term='kama unajua kuyarudi nenda Malta'/><category term='Kama kweli ndio kweli basi kila heri'/><category term='Mungu aiweke mahali pema roho yake'/><category term='naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja'/><category term='Nani kama baba'/><category term='Slow slow jamani'/><category term='Wazee tupo kusindikiza'/><category term='Sijui tunaishi karne gani yailahi'/><category term='hakika tumeweka historia'/><category term='Wadau ilitolewa kiingereza'/><category term='Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia'/><category term='mungu tufanye tuwe na upendo'/><category term='Gandamiza Kibara baba ake'/><category term='Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu'/><category term='Kiuno bila mfupa'/><category term='leteni vitu tuvione'/><category term='muziki na fasheni'/><category term='Jamani watoto wanatakiwa kupendwa'/><category term='changanya wachanganyikiwe halafu unapeta'/><category term='lakini mwafaka lazima'/><category term='poleni sana'/><category term='MIMI NI KISURA NAJITAMBUA'/><category term='Sinema'/><category term='ataka kutafutiwa matamasha'/><category term='Ukiiona kolelo utaipenda'/><category term='N i dar mpaka Moro au bao tatu bila'/><category term='kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa'/><category term='Anatengeneza sinema itakayotoka Novemba 2009'/><category term='haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira'/><category term='Masupa staa mnaoinukia mpoo'/><category term='Tulienda kustarehe au kufanya fujo'/><category term='sio advencha....kaaa ...niko kibaruani'/><category term='Sisi ndio tunaanza vitongoji'/><category term='lengo ni kutafakari'/><category term='hivi vitu bwana'/><category term='Tubadili tamaduni'/><category term='Big Up'/><category term='Inaonekana watanzania hatukuwepo'/><category term='This is crazy Africa'/><category term='Wanawake wenye mvuto: Monroe'/><category term='vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza'/><category term='tuienzi na sisi mbona wizara haituambii'/><category term='Hivi ni ngoma tu'/><category term='Hizi takwimu hizi mhh'/><category term='waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba'/><category term='mengi wanayoyaita siri ni public information'/><category term='huu ujiko utakuwa mkubwa'/><category term='Tuwe kweli wakweli'/><category term='tuendeleze sanaa'/><category term='sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka'/><category term='Sijui kama City wanajua Mbagala noma'/><title type='text'>lukwangule entertainment</title><subtitle type='html'></subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>5997</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3676938089034312313</id><published>2012-01-27T21:29:00.000+03:00</published><updated>2012-01-27T21:31:17.905+03:00</updated><title type='text'>Askari wawili wafa msafara wa Dk. Bilal</title><content type='html'>ASKARI Polisi wawili waliokuwa katika msafara wa Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal mkoani Tanga, wamekufa baada gari lao kupinduka na kutumbukia kwenye korongo.&lt;br /&gt;Msafara wa Dk. Bilal aliyekuwa akihitimisha ziara ya wilaya nne kati ya nane za mkoa wa Tanga, alikuwa njiani kwenda Hale katika wilaya ya Korogwe akitokea Lushoto.&lt;br /&gt;Ajali hiyo imethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga, Costantine Massawe aliyewataja waliokufa kuwa ni Koplo Jegi na askari mwingine, Henry, katika eneo la ajali, kona ya Nduru eneo la Mombo, Lushoto.&lt;br /&gt;Alisema gari hilo aina ya Toyota Land Cruiser lenye namba za usajili PT 2000 ambalo lilikuwa linaendeshwa na Denanta Abdallah, breki zake zilishindwa kufanya kazi na hivyo kutokana na mwendo kasi, gari lilipinduka na kutumbukia kwenye korongo. Kufikia saa 2 mbili usiku, lilikuwa halijatolewa korongoni.&lt;br /&gt;Mbali ya dereva, askari wengine waliojeruhiwa wametajwa kuwa ni Majesta Mlaka, Nyamsanga Bitulo na Justine Kangulu. Majeruhi wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Korogwe ya Magunga ambako pia miili ya marehemu imehifadhiwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3676938089034312313?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3676938089034312313/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3676938089034312313' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3676938089034312313'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3676938089034312313'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/askari-wawili-wafa-msafara-wa-dk-bilal.html' title='Askari wawili wafa msafara wa Dk. Bilal'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7584228379278866825</id><published>2012-01-27T19:19:00.003+03:00</published><updated>2012-01-27T19:28:31.526+03:00</updated><title type='text'>Francis Cheka na Kalama Nyilawila</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-yJnc0cdma6w/TyLOpAMxcqI/AAAAAAAAPqY/LRT7ecbpm54/s1600/kutunisha.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-yJnc0cdma6w/TyLOpAMxcqI/AAAAAAAAPqY/LRT7ecbpm54/s320/kutunisha.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702347282027999906" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Bondia Kalama Nyilawila (kushoto) akitunishiana misuri na Francis&lt;br /&gt;Cheka baada ya kupimauzito leo kwa ajiri ya mpambano wao utakaofanyika&lt;br /&gt;katika uwanja wa Jamhuri Morogoro kesho.&lt;br /&gt;Source:www.superdboxingcoach.blogspot.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7584228379278866825?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7584228379278866825/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7584228379278866825' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7584228379278866825'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7584228379278866825'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/francis-cheka-na-kalama-nyilawila.html' title='Francis Cheka na Kalama Nyilawila'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-yJnc0cdma6w/TyLOpAMxcqI/AAAAAAAAPqY/LRT7ecbpm54/s72-c/kutunisha.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6045417313877442973</id><published>2012-01-27T19:16:00.001+03:00</published><updated>2012-01-27T19:17:35.564+03:00</updated><title type='text'>KUGAWA MAGARI 75 KATIKA SEKRETARIETI  ZA MIKOA NA HALMASHAURI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-P7RnrGgxmLk/TyLOFOpXSyI/AAAAAAAAPqM/7N1PTWu21fU/s1600/Mkuchika%2Bmagari%2Bpage%2B25.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-P7RnrGgxmLk/TyLOFOpXSyI/AAAAAAAAPqM/7N1PTWu21fU/s320/Mkuchika%2Bmagari%2Bpage%2B25.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702346667430726434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI kupitia Programu ya Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa inapeleka Magari 75 katika Sekretarieti za Mikoa 13 na Halmashauri 62 ili kuwawezesha Wakaguzi wa ndani pamoja na wataalamu washauri katika Sekretarieti za Mikoa hiyo kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi. &lt;br /&gt;Programu ya Uboreshaji wa Mfumo wa Serikali za Mitaa inalenga kupeleka Madaraka ya kisiasa, majukumu, rasilimali fedha na rasilimali watu kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa. &lt;br /&gt;Magari haya yatawasaidia Wakaguzi wa ndani wa halmashauri  na Sekretarieti za Mikoa kufanya ukaguzi kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri zote nchini na hivyo kuongeza ufanisi na uwajibikaji  miongoni mwa watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.&lt;br /&gt;Ni matarajio yetu upatikanaji wa vitendea kazi hivi vitatusaidia kudhibiti ubadhirifu wa fedha katika Halmashauri zetu na kuhakikisha miradi inayotekelezwa katika halmashauri zetu inafikia malengo yaliyokusudiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kutoa wito kwa Wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha kuwa shughuli za ukaguzi wa ndani zinaimarishwa  na kupewa kipaumbele katika mipango yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;IMETOLEWA NA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb)&lt;br /&gt;WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU-TAMISEMI&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6045417313877442973?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6045417313877442973/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6045417313877442973' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6045417313877442973'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6045417313877442973'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kugawa-magari-75-katika-sekretarieti-za.html' title='KUGAWA MAGARI 75 KATIKA SEKRETARIETI  ZA MIKOA NA HALMASHAURI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-P7RnrGgxmLk/TyLOFOpXSyI/AAAAAAAAPqM/7N1PTWu21fU/s72-c/Mkuchika%2Bmagari%2Bpage%2B25.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3953798774363745647</id><published>2012-01-27T18:39:00.002+03:00</published><updated>2012-01-27T18:52:08.744+03:00</updated><title type='text'>ZANTEL YAZINDUA EZY PESA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-gmNOfXCh0nk/TyLGK92MakI/AAAAAAAAPps/FlYve1rnz5U/s1600/03.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-gmNOfXCh0nk/TyLGK92MakI/AAAAAAAAPps/FlYve1rnz5U/s320/03.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702337969907329602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Juma Reli (kushoto )&lt;br /&gt;akishikana mikono na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Zantel&lt;br /&gt;Tanzania, Ali Bin Jarsh wakati wa uzinduzi wa huduma za kifedha kwa&lt;br /&gt;kutumia simu ya mkononi ya Ezy Pesa ya kampuni ya Zantel  jijini Dar&lt;br /&gt;es Salaam jana jioni. Katikati ni Ofisa Biashara Mkuu wa Zantel, Ahmed&lt;br /&gt;Mokhels.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-yXtw2JZOME4/TyLGJxsX-HI/AAAAAAAAPpg/XuVdE9kXih8/s1600/02.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-yXtw2JZOME4/TyLGJxsX-HI/AAAAAAAAPpg/XuVdE9kXih8/s320/02.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702337949465049202" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ofisa biashara Mkuu wa Zantel, Ahmed Mokhels (kutoka kushoto),&lt;br /&gt;Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo, Ali Bin Jarsh, Naibu Waziri wa&lt;br /&gt;Mawasiliano, Sayansi na Technolojia, Charles Kitwanga na Mwenyekiti wa&lt;br /&gt;Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Bima la Taifa, Balozi Charles&lt;br /&gt;Mutalemwa wakizundua  huduma za kifedha kwa kupitia simu za mkononi ya&lt;br /&gt;Ezy Pesa ya Zantel jijini Dar es Salaam jana jioni&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-StJHCYorSXg/TyLGJkWHAyI/AAAAAAAAPpU/gZsRDz-invE/s1600/01.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-StJHCYorSXg/TyLGJkWHAyI/AAAAAAAAPpU/gZsRDz-invE/s320/01.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702337945882002210" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ofisa Biashara Mkuu wa Zantel, Ahmed Mokhels (kulia), akizungumza&lt;br /&gt;wakati wa uzinduzi wa huduma za kifedha kwa kupitia simu za mkononi ya&lt;br /&gt;Ezy Pesa ya Zantel jijini Dar es Salaam jana jioni. Wengine kutoka&lt;br /&gt;kushoto ni Mwenyekiti wa Shirika la Bima la Taifa, Balozi Charles&lt;br /&gt;Mutalemwa, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel, Ali Bin Jarsh na Naibu&lt;br /&gt;Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia, Charles Kitwanga.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-Ool69r6AMsE/TyLGMZRhxbI/AAAAAAAAPp0/LDzB19r1Co8/s1600/04.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 206px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-Ool69r6AMsE/TyLGMZRhxbI/AAAAAAAAPp0/LDzB19r1Co8/s320/04.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702337994449601970" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wasanii wa Tanzania House of Talent, wakitumbuiza wakati wa hafla&lt;br /&gt;ya uzinduzi wa huduma za kifedha kwa kutumia simu ya mkononi ya Ezy&lt;br /&gt;Pesa ya kampuni ya Zantel  jijini Dar es Salaam jana jioni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3953798774363745647?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3953798774363745647/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3953798774363745647' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3953798774363745647'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3953798774363745647'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/zantel-yazindua-ezy-pesa.html' title='ZANTEL YAZINDUA EZY PESA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-gmNOfXCh0nk/TyLGK92MakI/AAAAAAAAPps/FlYve1rnz5U/s72-c/03.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6333415458330952174</id><published>2012-01-27T18:32:00.002+03:00</published><updated>2012-01-27T18:37:09.448+03:00</updated><title type='text'>membe yupo Ethiopia kwa mkutano wa AU</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-7dVt_q-tIzw/TyLEn5BLpYI/AAAAAAAAPoU/3-GmqY-nfYI/s1600/membe.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-7dVt_q-tIzw/TyLEn5BLpYI/AAAAAAAAPoU/3-GmqY-nfYI/s320/membe.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702336267804190082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe akiwa katika picha ya Pamoja na  Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa Afrika na Ethiopia, Mhe. Joram Biswaro, (kulia kwa waziri), kushoto kwake ni  Msimamizi wa Mafunzo ya Lugha wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Mhe. Linus Chata. Waliosima Kulia ni Bi Elizabeth Magoke (mwalimu wa Kiswahili), Bi Suma Mwakyusa, Afisa Ubalozi na Mratibu wa Mafunzo ya Kiswahili na Bi Ikunda Mtenga (Mwalimu wa Kiswahili ). Elizabeth na Ikunda ni walimu wanaojitolea kufundisha Lugha ya Kiswahili kwenye Umoja wa Afrika. Picha na Assah Mwambene&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6333415458330952174?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6333415458330952174/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6333415458330952174' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6333415458330952174'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6333415458330952174'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/membe-yupo-ethiopia-kwa-mkutano-wa-au.html' title='membe yupo Ethiopia kwa mkutano wa AU'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-7dVt_q-tIzw/TyLEn5BLpYI/AAAAAAAAPoU/3-GmqY-nfYI/s72-c/membe.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7333819634358095377</id><published>2012-01-27T18:18:00.001+03:00</published><updated>2012-01-27T18:18:56.284+03:00</updated><title type='text'>SUDAN KUSAIDIA MAFUNZO KWA MADAKTARI WA TANZANIA</title><content type='html'>SERIKALI ya Sudan imesema iko tayari kuleta madaktari ili wasaidie kutoa mafunzo kwa madaktari wa Tanzania hasa kwenye fani ya upasuaji wa moyo (Open Heart Surgery). &lt;br /&gt;Hayo yamesemwa leo mchana (Ijumaa, Januari 27, 2012) na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dk. Yassir Mohamed Ali wakati alipofika kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu Mizengo Pinda ofisini kwake Magogoni, jijini Dar es Salaam. &lt;br /&gt;Balozi huyo alimweleza Waziri Mkuu kwamba wamekwishaanza mazungumzo na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ili kuona utekelezaji wa suala hilo. &lt;br /&gt;Alisema pia wanaangalia uwezekano wa kutoa mafunzo kwa wataalamu wa Kitanzania kwenye eneo la uzalishaji nishati na umeme. &lt;br /&gt;Kwa upande wake, Waziri Mkuu alimshukuru Balozi huyo na kumuahidi kufuatilia suala la uanzishwaji wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission -JPC) ili maamuzi yanayofikiwa yaweze kuwa na mfumo maalum wa ufuatiliaji. &lt;br /&gt;Aliiomba nchi hiyo iisaidie Tanzania kufundisha pia wataalamu wa kilimo cha umwagiliaji maji kama njia ya kuinua uzalishaji wa mazao nchini. &lt;br /&gt;Alimweleza Balozi huyo kwamba akiwa Arusha wiki iliyopita, alibaini kuwa Chuo cha Ufundi Arushs (ATC) kinakabiliwa na wakufunzi na wataalamu na akaiomba nchi hiyo isaidie kufundisha mafundi sanifu wa umwagiliaji (irrigation technicians) kwa vile imebobea kwenye kilimo cha umwagiliaji kwa muda mrefu sana. &lt;br /&gt;Mapema leo, Waziri Mkuu alikutana na Balozi mpya wa Japan, Bw. Masaki Okada na kujadiliana naye masuala mbalimbali yakiwemo ya uendelezaji kilimo, miundombinu na miradi ya maji. &lt;br /&gt;Aliishukuru Serikali ya Japan kwa kuwatuma wakufunzi wawili kwenye Chuo cha Ufundi cha Arusha lakini akatumia fursa hiyo kuomba wataalamu zaidi ili wasaidie kuongeza idadi ya kada ya chini ya wataalamu wa miundimbinu ya umwagiliaji. &lt;br /&gt;“Tunataka kuongeza idadi ya watalaamu wa kilimo cha umwagiliaji maji hasa mafundi sanifu kwa sababu ndiyo wanaohitajika kujenga miundombinu ya umwagiliaji… tumedhamiria kuinua kilimo chetu na hatuna budi kuandaa wataalamu wa kutosha,” alisema. &lt;br /&gt;Aliishukuru Serikali ya Japan kwa misaada ambayo imeipatia Tanzania kwa kipindi chote cha ushirikiano baina ya nchi hizi mbili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IMETOLEWA NA:&lt;br /&gt;OFISI YA WAZIRI MKUU,&lt;br /&gt;S. L. P. 3021,&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM.&lt;br /&gt;IJUMAA, JANUARI 27, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7333819634358095377?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7333819634358095377/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7333819634358095377' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7333819634358095377'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7333819634358095377'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/sudan-kusaidia-mafunzo-kwa-madaktari-wa.html' title='SUDAN KUSAIDIA MAFUNZO KWA MADAKTARI WA TANZANIA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1527620055137341491</id><published>2012-01-27T17:54:00.002+03:00</published><updated>2012-01-27T18:17:32.147+03:00</updated><title type='text'>Kifo cha kiongozi wa Seven Survivor Band, Juma Mpogo</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-GAqO6-7SNFA/TyLABhMrWjI/AAAAAAAAPoI/4u8askvoQn8/s1600/kundi%2Bla%2B%2Bsurvival.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-GAqO6-7SNFA/TyLABhMrWjI/AAAAAAAAPoI/4u8askvoQn8/s320/kundi%2Bla%2B%2Bsurvival.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702331210528414258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Busara Promotions imeshtushwa na kusikitishwa na kifo cha kiongozi wa bendi ya Seven Survivor , Juma Mpogo a.k.a. General Lupozi. &lt;br /&gt;Juma alifariki dunia Jumapili ya Januari 22. Ameacha mke na watoto wawili. Alikuwa ndiye mtunzi mkuu, mwimbaji na mpiga kinanda wa bendi hiyo. &lt;br /&gt;Seven Survivor (pichani) ni moja ya bendi zilizopo jijini Dar es Salaam inayoongoza katika upigaji wa muziki aina ya Mchiriku, ni muziki maarufu na unaopendwa katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro. &lt;br /&gt;Hata hivyo bendi hiyo imethibitisha ushiriki wake mwaka huu hata baada ya kuondokewa na kiongozi wao, pia bendi hiyo itapambana na Jagwa Music Jumamosi , Februari 11 katika mpambano wa Mchiriku utakaoitwa Nani Zaidi?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1527620055137341491?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1527620055137341491/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1527620055137341491' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1527620055137341491'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1527620055137341491'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kifo-cha-kiongozi-wa-seven-survivor.html' title='Kifo cha kiongozi wa Seven Survivor Band, Juma Mpogo'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-GAqO6-7SNFA/TyLABhMrWjI/AAAAAAAAPoI/4u8askvoQn8/s72-c/kundi%2Bla%2B%2Bsurvival.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3555511021573490796</id><published>2012-01-27T17:50:00.000+03:00</published><updated>2012-01-27T17:51:26.039+03:00</updated><title type='text'>BASATA NA JESHI LA POLISI KUENDESHA PROGRAMU MAALUM YA SANAA SHIRIKISHI KATIKA KUFANIKISHA POLISI JAMII TAREHE 30/01/2012</title><content type='html'>Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Tanzania limeandaa programu maalumu ya Polisi Jamii na Sanaa Shirikishi itakayofanyika Jumatatu ya Tarehe 30/01/2012 kwa lengo la kuwaelimisha wasanii, wadau wa sanaa na jamii kwa ujumla kuhusu dhana ya ulinzi shirikishi kupitia Sanaa.&lt;br /&gt;Programu hiyo inatarajiwa kufanyika makao makuu ya BASATA yaliyoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam ambapo lengo kuu ni kutoa fursa kwa wasaniii, wadau wa Sanaa na wananchi kwa ujumla kujifunza na kuona umuhimu wa matumizi ya Sanaa shirikishi katika kujenga dhana ya ulinzi shirikishi inayoratibiwa na kusimamiwa na Jeshi la Polisi Tanzania.&lt;br /&gt;Aidha, programu hii, inalenga kutoa elimu kwa wasanii na wadau wa Sanaa juu ya mbinu mbalimbali za kutumia Sanaa katika kupambana na vitendo vya kihalifu ili kujenga jamii yenye amani na utulivu.&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa, BASATA kila Jumatatu limekuwa likiendesha Programu ya Jukwaa la Sanaa ambayo imekuwa ikitumika kama chanzo mahsusi cha habari na elimu kwa wasanii na wadau wa Sanaa. Programu hii ya Polisi Jamii na Sanaa Shirikishi itatumia Jukwaa hili katika kuifikia jamii.&lt;br /&gt;Katika programu hii, vitengo mbalimbali vya Jeshi la Polisi kama Uhamiaji, zima moto, usalama barabarani, udhibiti madawa ya kulevya nk. vinatarajia kushiriki ambapo mbali ya kupambwa na burudani kutoka jeshi hilo itakuwa na kipindi cha maswali na majibu ambapo changamoto na kero mbalimbali kuhusu usalama wa raia zitatolewa ufafanuzi.&lt;br /&gt;Ili kuonesha jinsi sanaa shirikishi ilivyoweza kuleta mabadiliko kwenye dhana ya polisi jamii nchini, Kundi la Sanaa la Lumumba Theatre la jijini Dar es Salaam nalo linatarajia kutoa burudani kemukemu ambazo zitabeba elimu juu ya Sanaa Shirikishi na Polisi Jamii.&lt;br /&gt;Baraza linatoa wito kwa Wasanii na wadau wote wa Sanaa kujitokeza kwa wingi kwenye programu hiyo ili kujifunza mbinu mbalimbali za kufikisha ujumbe kupitia sanaa na hata kuitumia Sanaa katika kujenga jamii yenye utulivu.&lt;br /&gt;Sanaa ni Kazi, kwa pamoja Tuikuze na Kuithamini &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SOURCE:Godfrey Lebejo&lt;br /&gt;- KATIBU MTENDAJI (K)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3555511021573490796?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3555511021573490796/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3555511021573490796' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3555511021573490796'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3555511021573490796'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/basata-na-jeshi-la-polisi-kuendesha.html' title='BASATA NA JESHI LA POLISI KUENDESHA PROGRAMU MAALUM YA SANAA SHIRIKISHI KATIKA KUFANIKISHA POLISI JAMII TAREHE 30/01/2012'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5609347049823932944</id><published>2012-01-27T16:48:00.000+03:00</published><updated>2012-01-27T16:49:17.385+03:00</updated><title type='text'>JKT RUVU, YANGA KUCHEZA SAA 12</title><content type='html'>Mechi namba 100 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya JKT Ruvu na Yanga itachezwa kesho&lt;br /&gt;(Januari 28 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa mujibu wa ratiba ya&lt;br /&gt;ligi hiyo. Lakini mechi hiyo sasa itaanza saa 12 kamili jioni badala ya saa 10&lt;br /&gt;kamili jioni. &lt;br /&gt;Mabadiliko hayo ya muda yamefanyika ili kutoa nafasi kwa timu ya Taifa ya Namibia&lt;br /&gt;kufanya mazoezi kwenye uwanja huo saa 10 jioni kabla ya mechi yao ya Kombe la Afrika&lt;br /&gt;kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Twiga Stars itakayochezwa Jumapili (Januari 29 mwaka&lt;br /&gt;huu) kwenye uwanja huo kuanzia saa 10 kamili jioni. &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa kanuni za mashindano ya AWC yanayoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa&lt;br /&gt;Miguu Afrika (CAF), siku moja kabla timu ngeni ni lazima ipewe fursa ya kufanya&lt;br /&gt;mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa mechi katika muda ule ule. &lt;br /&gt;Pia kutokana na mechi ya Twiga Stars na Namibia, mechi namba 102 kati ya Moro United&lt;br /&gt;na Azam iliyokuwa ichezwe Januari 29 mwaka huu Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam,&lt;br /&gt;sasa itachezwa Januari 30 mwaka huu kwenye uwanja huo huo. &lt;br /&gt;Mabadiliko hayo hayajaathiri mechi nyingine za mzunguko wa 15. Mechi hizo ni kati ya&lt;br /&gt;Villa Squad na Toto African (Januari 28 mwaka huu- Uwanja wa Chamazi), Ruvu Shooting&lt;br /&gt;na Kagera Sugar (Januari 28 mwaka huu- Uwanja wa Mlandizi), Mtibwa Sugar na Coastal&lt;br /&gt;Union (Januari 29 mwaka huu- Uwanja wa Manungu), African Lyon na Polisi Dodoma&lt;br /&gt;(Februari 1 mwaka huu- Uwanja wa Chamazi) na Simba na JKT Oljoro (Februari 1 mwaka&lt;br /&gt;huu- Uwanja wa Taifa). &lt;br /&gt;Viingilio kwa mechi za Uwanja wa Taifa ni sh. 3,000 viti vya bluu na kijani, sh.&lt;br /&gt;5,000 viti vya rangi ya chungwa, sh. 10,000 VIP C na B, na sh. 15,000 VIP A wakati&lt;br /&gt;Uwanja wa Chamazi ni sh. 3,000 kwa mzunguko na sh. 10,000 kwa jukwaa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;WAETHIOPIA KUCHEZESHA YANGA, ZAMALEK&lt;br /&gt;Waamuzi kutoka Ethiopia ndiyo watakaochezesha mechi namba 7 ya Ligi ya Mabingwa&lt;br /&gt;Afrika kati ya Yanga na Zamalek ya Misri itakayochezwa Februari 18 mwaka huu Uwanja&lt;br /&gt;wa Taifa, Dar es Salaam. &lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemteua Bamlack Tessema kuwa mwamuzi wa&lt;br /&gt;kati kwenye mechi hiyo wakati waamuzi wasaidizi ni Yilma Knife na Mussie Kindie.&lt;br /&gt;Mwamuzi wa akiba (fourth official) atakuwa Waziri Sheha wa Tanzania na Kamishna wa&lt;br /&gt;mchezo huo ni Charles Kafatia wa Malawi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;KOZI YA UKOCHA NGAZI PEVU FEB 12&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeandaa kozi ya ukocha ngazi pevu&lt;br /&gt;(advanced level) itakayofanyika Dar es Salaam kuanzia Februari 12-25 mwaka huu. &lt;br /&gt; Wakufunzi watakuwa Kocha wa Taifa Stars, Jan Poulsen ambaye pia ni mkufunzi wa&lt;br /&gt;Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF,&lt;br /&gt;Sunday Kayuni ambaye pia ni mkufunzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) na&lt;br /&gt;Kocha wa timu za Taifa za vijana Kim Poulsen ambaye pia ni mkufunzi wa Chama cha&lt;br /&gt;Mpira wa Miguu cha Denmark (DBU). &lt;br /&gt;Mwisho wa kupokea maombi kwa makocha wanaotaka kushiriki kozi hiyo ambayo ada yake&lt;br /&gt;ni sh. 60,000 itakuwa Februari 5 mwaka huu. &lt;br /&gt;Sifa kwa waombaji ni kuwa elimu ya kuanzia kidato cha nne, wawe wanafanya kazi hiyo&lt;br /&gt;ya ukocha na wamefaulu vizuri mafunzo ya ukocha ngazi ya kati (intermediate level).&lt;br /&gt;Pia wawe wamefundisha angalau kwa miaka miwili baada ya kupata cheti cha&lt;br /&gt;intermediate level. &lt;br /&gt;Pia wanatakiwa maombi yao yawe yameidhinishwa na ama vyama vya makocha wa mpira wa&lt;br /&gt;miguu vya mikoa, vyama vya mpira wa miguu vya wilaya au vyama vya mpira wa miguu vya&lt;br /&gt;mikoa. &lt;br /&gt;Kwa makocha watakaofaulu kozi hiyo watakuwa wamepata sifa ya kuhudhuria kocha ya&lt;br /&gt;ukocha ya Leseni C ya CAF.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5609347049823932944?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5609347049823932944/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5609347049823932944' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5609347049823932944'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5609347049823932944'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/jkt-ruvu-yanga-kucheza-saa-12.html' title='JKT RUVU, YANGA KUCHEZA SAA 12'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8662926188761706181</id><published>2012-01-27T16:17:00.003+03:00</published><updated>2012-01-27T16:29:58.230+03:00</updated><title type='text'>Lady Jaydee Cancels Sauti za Busara Show</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-vhmWLwsPgOg/TyKmkCMQnPI/AAAAAAAAPn8/rIy6BQYZ73I/s1600/LADY%2BJAY%2BDEE.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-vhmWLwsPgOg/TyKmkCMQnPI/AAAAAAAAPn8/rIy6BQYZ73I/s320/LADY%2BJAY%2BDEE.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5702303216198262002" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Lady Jaydee will sadly not be able to perform at Sauti za Busara 2012 due to health reasons. Her eagerly anticipated return to Sauti za Busara since 2006 was scheduled for Thursday 9th February. Festival organisers wish Lady Jaydee a very swift recovery and will soon announce who will take to the stage as headline artist.&lt;br /&gt;A statement from her manager Gardner G. Habesh was received today: “As much as Lady Jaydee wanted to be a part of this year's Sauti za Busara, I regret to report that she is sick and her doctor advised that she must have a bed rest for not less than three months before she resume her daily activities. Lady Jaydee will not be seen on any show for the said period.”&lt;br /&gt;Yusuf Mahmoud, Festival Director, responded: “We wish Lady Jaydee a speedy recovery back to health. Lady Jaydee is one of Tanzania’s best loved artists. We and our audiences will miss her greatly at the opening night. Of course she is irreplaceable, but we hope soon to announce who will headline for this night.”&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8662926188761706181?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8662926188761706181/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8662926188761706181' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8662926188761706181'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8662926188761706181'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/lady-jaydee-cancels-sauti-za-busara.html' title='Lady Jaydee Cancels Sauti za Busara Show'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-vhmWLwsPgOg/TyKmkCMQnPI/AAAAAAAAPn8/rIy6BQYZ73I/s72-c/LADY%2BJAY%2BDEE.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7630715148948433108</id><published>2012-01-26T16:27:00.003+03:00</published><updated>2012-01-26T16:29:12.134+03:00</updated><title type='text'>Chadema yasema inachotaka kusema .. ICC</title><content type='html'>*TAARIFA KWA UMMA*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TAARIFA inatolewa kwa umma kupitia vyombo vya habari kuwa Kurugenzi ya&lt;br /&gt;Mambo ya Nje na Mahuasino ya Kimataifa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo&lt;br /&gt;(CHADEMA), inaitaka Serikali, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na watumishi wa&lt;br /&gt;umma kwa ujumla, kujifunza kwa kile kilichotokea katika siasa za Kenya.&lt;br /&gt;Imeripotiwa kuwa jumla ya watu wanne, wakiwemo wanasiasa wawili mashuhuri,&lt;br /&gt;aliyepata kuwa mtumishi mwandamizi serikalini na mwandishi wa habari&lt;br /&gt;wamepatikana na kesi ya kujibu, dhidi ya tuhuma zinazowakabili juu ya&lt;br /&gt;uhalifu dhidi ya ubinadamu, wakituhumiwa kupanga na kuchochea vurugu baada&lt;br /&gt;ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.&lt;br /&gt;Mahakama ya kimataifa imetoa kuthibitisha kuwa wanasiasa wawili mashuhuri&lt;br /&gt;wa Kenya, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha wa Kenya Uhuru Kenyatta,&lt;br /&gt;aliyekuwa Waziri wa Elimu William Ruto, mwanahabari maarufu wa Kenya Joshua&lt;br /&gt;arap Sang na Katibu wa Baraza la Mawaziri, Francis Muthaura.&lt;br /&gt;Kurugenzi inapenda kuukumbusha umma kuwa tuhuma zinazowakabili watu hao&lt;br /&gt;hadi kufikishwa Mahakama ya Kimataifa (ICC) chanzo chake kilikuwa ni&lt;br /&gt;uchaguzi uliofanyika nchini Kenya mwaka 2007 ambapo kama ilivyo ada ya&lt;br /&gt;serikali nyingi za Afrika zisizoamini katika uhusiano mkubwa kati ya&lt;br /&gt;maendeleo na demokrasia, watawala hawakukiri kushindw ahata kama wananchi&lt;br /&gt;walionesha kutowataka kupitia sanduku la kura.&lt;br /&gt;Matokeo yake vurugu kubwa zilitokea nchini Kenya, zikihamasishwa na&lt;br /&gt;wanasiasa kwa misingi ya ukabila. Watu wengi walipoteza maisha na mali za&lt;br /&gt;mamilioni kuharibiwa. Matokeo ya uchaguzi huo yasingekuwa na utata iwapo&lt;br /&gt;Tume ya Uchaguzi ingetenda haki kwa wananchi badala ya kuonekana ikilinda&lt;br /&gt;maslahi ya chama tawala.&lt;br /&gt;Na hivyo ndivyo inavyotokea hata hapa kwetu, kwa uwazi na kificho, hujuma&lt;br /&gt;dhidi ya maamuzi na maoni ya watu kupitia sanduku la kura imefanywa na&lt;br /&gt;watawala kuwa ni sehemu ya uchaguzi. Hivyo kusababisha sintofahamu kila&lt;br /&gt;uchaguzi unapofanyika.&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa ya CHADEMA, inaitaka&lt;br /&gt;serikali, chama kilichoko madarakani sasa, vyombo vya dola, mamlaka&lt;br /&gt;mbalimbali na watumishi wengine wote wa umma, kupata funzo la kutosha kwa&lt;br /&gt;kile kinachotokea katika siasa za Kenya, ambapo ni mwendelezo tu wa kile&lt;br /&gt;kilichotokea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2007, ambapo maoni ya watu&lt;br /&gt;katika sanduku la kura hayakuheshimiwa.&lt;br /&gt;Kurugenzi inataka yanayoendelea nchini Kenya yawe somo hapa Tanzania, kwa&lt;br /&gt;sababu inajua namna ambavyo Serikali, CCM, vyombo vya dola na vyombo&lt;br /&gt;vingine vya kimamlaka kama Tume ya Uchaguzi (NEC), Polisi na ambavyo&lt;br /&gt;imekuwa ikifanya hujuma na hivyo kuzua vurugu katika uchaguzi. Ipo mifano&lt;br /&gt;ya kutosha juu ya tuhuma hizi nzito ambazo zimekuwa zikiindama serikali&lt;br /&gt;hapa nchini pamoja, chama kilichoko madarakani sasa na vyombo hivyo, tangu&lt;br /&gt;kuanza kwa chaguzi zinazohusisha ushindani wa vyama vingi, mwaka 1995.&lt;br /&gt;Mathalani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, kulidhihirika hujuma za wazi&lt;br /&gt;katika baadhi ya majimbo mengi ambako CCM kilionekana kushindwa kuhimili&lt;br /&gt;ushindani wa vyama vya upinzani, hususan chama mbadala nchini, CHADEMA,&lt;br /&gt;ambapo katika kulazimisha matokeo yaliyo kinyume na maoni ya wananchi&lt;br /&gt;kupitia sanduku la kura, kulizuka vurugu, zikisababishwa kwa makusudi na&lt;br /&gt;watawala ili kutafuta mianya ya kuharibu matokeo ama zilizuka pale ambapo&lt;br /&gt;wananchi walipoteza matumaini na vyombo vya utoaji haki na hivyo kudai&lt;br /&gt;matokeo halali yatangazwe bila hila.&lt;br /&gt;Mifano hai ni namna ambavyo mgombea wa ubunge wa CHADEMA Jimbo la Shinyanga&lt;br /&gt;Mjini, marehemu Phillip Shelembi Magadula alivyoporwa ushindi wake kwa kura&lt;br /&gt;moja tu. Itakumbukwa namna ambavyo vyombo vya dola vilitumika kuwatisha&lt;br /&gt;wananchi kwa kuwapiga mabomu, kuhakikisha mbunge wa CCM anatangazwa&lt;br /&gt;mshindi, huku wananchi wakipinga vikali. Hila za katika kuchezea kura za&lt;br /&gt;watu pia na kuwafanyia kila aina ya rafu wagombea wa CHADEMA, zilionekana&lt;br /&gt;katika majimbo mengine kama Kigoma Mjini, Bukoba, Maswa Magharibi,  na&lt;br /&gt;majimbo mengine.&lt;br /&gt;Katika majimbo mengine kama Nyamagana, Arusha Mjini, Ubungo, Kawe, Mbeya&lt;br /&gt;Mjini, ni nguvu ya umma pekee, baada ya wananchi kuungana kudai matokeo&lt;br /&gt;halali yatangazwe, ndiyo iliweza kunusuru waliokuwa wagombea wa CHADEMA&lt;br /&gt;watangazwe washindi. Wananchi waliamua kufikia hatua hiyo baada ya kunusa,&lt;br /&gt;kuhisi na kuona kila dalili za wagombea waliowataka na kuwapigia kura&lt;br /&gt;nyingi za ushindi, kufanyiwa hujuma na watawala, kupitia vyombo vya dola,&lt;br /&gt;NEC, chama tawala na serikali kwa ujumla.&lt;br /&gt;Mbali ya matatizo katika nafasi ya ubunge katika uchaguzi huo wa mwaka&lt;br /&gt;2010, kulikuwa na matatizo lukuki katika matokeo ya urais, ambapo ushahidi&lt;br /&gt;bado unaonesha hadi leo namna ambavyo uhalali wake unapaswa kutiliwa&lt;br /&gt;mashaka na mtu yeyote makini.&lt;br /&gt;Kasoro hizo hasa katika ukusanyaji na ujumlishaji wa matokeo, ambapo&lt;br /&gt;CHADEMA kupitia kwa aliyekuwa mgombea urais, Dkt. Wilbroad Slaa, iliwahi&lt;br /&gt;kutoa mifano hai, kwa baadhi tu ya majimbo, zilitakiwa kuundiwa tume huru,&lt;br /&gt;ili kutengeneza utengemano na mwafaka wa kitaifa kwa chaguzi zijazo, hasa&lt;br /&gt;katika kuhakikisha haki inaonekana ikitendeka. Kurugenzi hii inaamini kuwa&lt;br /&gt;ni haki inayoonekana ikitendeka ndiyo itajenga na kudumisha msingi imara wa&lt;br /&gt;amani na utulivu kwa nchi yetu.&lt;br /&gt;Lakini kasoro hizo zilizojitokeza katika matokeo ya nafasi ya urais kwenye&lt;br /&gt;uchaguzi wa mwaka 2010, zilihanikizwa zaidi na ubovu wa sheria&lt;br /&gt;zinazosimamia uchaguzi, ambapo hakuna kipengele kinachoruhusu matokeo hayo&lt;br /&gt;kupingwa mahali kokote, mara baada ya Mwenyekiti wa NEC kumtangaza mshindi.&lt;br /&gt;Hali hii mbali ya kumpatia Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC) mamlaka ya&lt;br /&gt;Mungu mtu, pia inaminya haki na wajibu wa raia katika kuamua mstakabali wa&lt;br /&gt;nchi yao. Kuendelea kuwepo kwa sheria za namna hii kusimamia chaguzi ni&lt;br /&gt;kuendelea kuweka nchi hii rehani, katika zama hizi ambazo wananchi&lt;br /&gt;wameamuka na wanatimiza wajibu wa kudai haki zao.&lt;br /&gt;Kurugenzi pia inataka serikali, CCM na watumishi wengine wa umma wajifunze&lt;br /&gt;kwa yale yanayoendelea nchini Kenya, ambako inadaiwa kuwa baadhi ya&lt;br /&gt;wanasiasa na watumishi  waliunda na kusaidia vikundi vya kufanya ghasia&lt;br /&gt;wakati wa uchaguzi ili kutimiza matakwa yao binafsi na yale ya watawala.  Hali&lt;br /&gt;hiyo pia imekuwa ikionekana kwa wazi hapa nchini, hasa nyakati za uchaguzi.&lt;br /&gt;Itakumbukwa katika uchaguzi wa mwaka 2010 na chaguzi zingine ndogo ndogo&lt;br /&gt;kabla, ambapo CCM ilikuwa na vikundi vya vijana kupitia kile kinachoitwa&lt;br /&gt;‘Green Guards’. CHADEMA ilitoa ushahidi wa namna ambavyo vijana hao&lt;br /&gt;waliwekwa makambini na kupewa mafunzo ya kijeshi kwa ajili ya kutisha na&lt;br /&gt;kupiga wananchi, hasa baada ya CCM ilishindwa kabisa kushindana kwa hoja na&lt;br /&gt;wagombea wa CHADEMA, hivyo kihoro za kupoteza ushawishi kwa wananchi na&lt;br /&gt;madaraka ya kuongoza serikali, kikawa kiko wazi.&lt;br /&gt;Kurugenzi inapenda kuukumbusha umma namna ambavyo mara kadhaa Green Guards&lt;br /&gt;hao walipiga hata waandishi wa habari, ambao walikuwa wakiandika ukweli&lt;br /&gt;hasa wa kile kilichokuwa kikijiri katika kampeni zote za vyama vya siasa&lt;br /&gt;vilivyoshiriki uchaguzi mkuu, ambapo walionesha dhahiri CCM ilivyokuwa&lt;br /&gt;inapoteza mashiko na uhalali katika maamuzi ya Watanzania juu ya chama gani&lt;br /&gt;kwa sasa kinastahili kuongoza nchi, miaka hamsini baada ya uhuru.&lt;br /&gt;Vikundi hivi vya CCM vinavyofanya ghasia na kusababisha fujo wakati wa&lt;br /&gt;uchaguzi kwa nia ya kuwatisha wananchi wasifanye maamuzi sahihi kwa&lt;br /&gt;kuchagua chama wanachokitaka, kutokana na sera bora, vimekuwepo kwa muda&lt;br /&gt;mrefu sasa. Vimekuwa vikitumika kila vinapohitajika.&lt;br /&gt;Vilitumika katika chaguzi ndogo za Kiteto, Busanda, Biharamulo na hata&lt;br /&gt;katika uchaguzi mdogo wa hivi karibuni huko Igunga, mara zote katika maeneo&lt;br /&gt;haya CHADEMA kama ilivyo kawaida yake kwa kuonesha umakini wa kiuongozi,&lt;br /&gt;ilionesha kwa ushahidi yakinifu, mpaka kutaja na kuonesha maeneo ambayo&lt;br /&gt;yalitumika kama makambi ya kuwafunzia vijana hao mafunzo ya kupiga watu.&lt;br /&gt;Lakini hakuna hatua mabazo zimekuwa zikichukuliwa.&lt;br /&gt;Kwa kujua kuwa CCM wameandaa vijana wa namna hiyo kwa nia ya kupiga,&lt;br /&gt;kujeruhi na hata kuua watu, wakati wa uchaguzi mdogo wa Igunga,&lt;br /&gt;wakajishtukia na kujikuta wakikurupuka, kutoa madai mazito juu ya kuwepo&lt;br /&gt;kwa makomandoo kutoka nje ya nchi. Kitu ambacho mpaka leo aliyetoa madai&lt;br /&gt;hayo, hawezi kuthibitisha na hivyo alipaswa akamatwe, ahojiwe na ikibidi&lt;br /&gt;ashtakiwe kwa uchochezi.&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inayakumbusha yote&lt;br /&gt;haya kwa sababu kumekuwepo na hali ya kufanana hata kama si moja kwa moja,&lt;br /&gt;kati yaliyojitokeza Kenya katika uchaguzi wao wa mwaka 2007 na kile ambacho&lt;br /&gt;kimekuwa kikifanywa hapa nchini na  serikali, CCM na baadhi ya vyombo vya&lt;br /&gt;mamlaka kama vile NEC, Polisi na watumishi wengine wa umma katika kuminya&lt;br /&gt;kuminya haki za watu na hivyo kutishia amani na utulivu wa nchi hii kwa&lt;br /&gt;kiasi kikubwa.&lt;br /&gt;Kurugenzi pia inazikumbusha mahakama nchini kutenda haki kwa haraka ili&lt;br /&gt;kuepusha umma kuanza kutafuta haki kwenye vyombo vya kimataifa badala ya&lt;br /&gt;vyombo vya ndani. Na katika kutimiza wajibu wake huo muhimu wa kikatiba kwa&lt;br /&gt;jamii, mahakama zipiganie kufanya kazi kwa uhuru bila upenedeleo ili&lt;br /&gt;wananchi wawe na imani nazo, maana wananchi wengi wa Kenya waliunga mkono&lt;br /&gt;kesi ya ghasia na vurugu za baada ya uchaguzi mkuu 2007, ipelekwe kwenye&lt;br /&gt;mahakama ya kimataifa kwa sababau walikuwa hawana imani na mahakama nchini&lt;br /&gt;mwao.&lt;br /&gt;Kurugenzi inasisitiza kuwa hili linapaswa kuwa fundisho kubwa kwa mahakama&lt;br /&gt;zetu hapa nchini ili ziweze kutenda haki wakati wote bila upendeleo wala&lt;br /&gt;kufuata maelekezo ya serikali, chama tawala au vigogo fulani katika&lt;br /&gt;utumishi wa umma.&lt;br /&gt;Uhuru huu kwa ni ya kutenda haki pia unapaswa kuonekana kwa vyombo vya&lt;br /&gt;ulinzi na usalama ili viweze kudhibiti na kuzuia vurugu wakati wa uchaguzi.&lt;br /&gt;Hata vurugu hizo zinapotokea basi vyombo hivi vinatakiwa kukamilisha&lt;br /&gt;uchunguzi mapema ili kuzipatia mahakama ushahidi wa kutosha kufanya maamuzi&lt;br /&gt;ya haki kwa wakati kwa kuwa haya ni makosa ya kijinai.&lt;br /&gt;Mathalani mpaka sasa haieleweki kwa nini majalada yaliyofunguliwa polisi&lt;br /&gt;kuhusu matukio ya Kiteto, Busanda, Biharamulo, Igunga (hususan juu ya kifo&lt;br /&gt;cha Kada wa CHADEMA, Mbwana Masudi) mpaka sasa hayajakamilika. Hali imekuwa&lt;br /&gt;hivyo hasa pale tuhuma zinakuwa kwa CCM na Viongozi wake.&lt;br /&gt;Ni wazi kabisa kuwa kushindwa kwa mifumo mizima ya ndani ni kichocheo cha&lt;br /&gt;kuingia kwa mifumo mbadala ya kimataifa kuanzia kwenye ngazi ya uchunguzi&lt;br /&gt;mpaka mashtaka, kama ilivyotokea kwa wenzetu huko Kenya.&lt;br /&gt;Kurugenzi pia inataka kuwa yaliyotokea Kenya yatufundishe sasa kujihadhari&lt;br /&gt;kabla ya hatari, hasa kwa kufanya mabadiliko ya kimfumo wakati wa mchakato&lt;br /&gt;wa katiba mpya ili kuwe na tume huru ya chaguzi za mwaka 2014 na 2015.&lt;br /&gt;Lakini pia ni muhimu sana serikali ikazingatia maoni ya wananchi&lt;br /&gt;mbalimbali, mmoja mmoja au taasisi zinazoamini katika maendeleo na&lt;br /&gt;demokrasia kama CHADEMA, kuwa si lazima kila kitu kisubiri mchakato wa&lt;br /&gt;katiba ambao unapaswa kuwa mwafaka wa kitaifa juu ya masuala mengi&lt;br /&gt;mbalimbali, kutuweka pamoja kama taifa moja.&lt;br /&gt;Mathalani hakuna tatizo lolote kama kweli serikali ya CCM inaamini katika&lt;br /&gt;utendekaji wa haki kuwa ndiyo msingi imara wa amani na utulivu, kupeleka&lt;br /&gt;mswada wa kubadili sheria zinazosimamia chaguzi mbalimbali na kuondoa&lt;br /&gt;vipengele ambavyo kuendelea kuwepo kwake, kunaminya haki na kuhatarisha&lt;br /&gt;amani yetu.&lt;br /&gt;Lakini pia mchakato wa katiba mpya iwapo utaachwa uendelee kwa kutumia&lt;br /&gt;sheria mbovu ya sasa ya mabadiliko ya katiba, nchi haitapata katiba mpya&lt;br /&gt;bora ambayo wananchi wa Tanzania wanaiota na kuitaka. Iwapo itatokea&lt;br /&gt;watawala kuwa wabishi na kuufanya mchakato huo kuwa wao badala ya&lt;br /&gt;kumilikiwa na wananchi, itaweka mazingira mabovu ya uongozi wa nchi na&lt;br /&gt;wananchi kujitawala na hususan kupitia chaguzi zijazo, hivyo kuweza&lt;br /&gt;kuelekea njia ambayo wenzetu Kenya walilazimishwa na watawala wao kuipitia.&lt;br /&gt;Hivyo, Kurugenzi ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ya CHADEMA&lt;br /&gt;Inaitaka serikali kuifanyia mabadiliko ya msingi Sheria ya Mabadiliko ya&lt;br /&gt;Katiba ya Mwaka 2011, katika Mkutano wa Sita wa Bunge utakaoanza karibuni&lt;br /&gt;kwa kuzingatia pia uzoefu wa kimataifa. Lakini wakati tukisubiri katiba&lt;br /&gt;mpya, bado vyombo vya dola na vyombo vya kutoa haki hapa nchini vinapaswa&lt;br /&gt;kuwajibika na kusimamia sheria za kitaifa na za kimataifa ili kuhakikisha&lt;br /&gt;kwamba amani ya nchi inadumishwa kwa haki kuzingatiwa na kuonekana&lt;br /&gt;ikitendeka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Imetolewa leo, Januari 26, 2012, na;*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;* *&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Ezekia Wenje*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;* *&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7630715148948433108?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7630715148948433108/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7630715148948433108' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7630715148948433108'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7630715148948433108'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/chadema-yasema-inachotaka-kusema-icc.html' title='Chadema yasema inachotaka kusema .. ICC'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2049728355491750472</id><published>2012-01-26T16:24:00.001+03:00</published><updated>2012-01-26T16:24:31.870+03:00</updated><title type='text'>SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SEKTA ZA UMMA, SHERIA NA FEDHA - PINDA</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt;                                          &lt;br /&gt;WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kufanya maboresho kwenye sekta za umma, fedha, sheria na Serikali za Mitaa ili kuondoa urasimu katika mifumo ya kiutawala.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ametoa kauli hiyo leo mchana (Alhamisi, Januari 26, 2012) wakati akifungua Mkutano wa Tatu wa kila mwaka wa Majadiliano ya Kisera baina ya Serikali na Wadau wa Maendeleo kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ametumia fursa hiyo pia kuwaomba wadau wa maendeleo nchini wanaohudhuria mkutano wa siku mbili ambao umeanza leo, kuendelea kuisaidia Serikali katika kufadhili mpango wa maboresho kwa vile utasaidia kupunguza vikwazo vinavyochangia kuchelewa kwa baadhi ya maamuzi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Waziri Mkuu aliwaomba Watanzania wote kwa pamoja kuisaidia Serikali kusukuma mele ajenda ya maendeleo ambayo itaifanya Tanzania kuwa Taifa la kisasa katika karne ya 21.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;“Ni vizuri kama watu mnaweza kukaa pamoja, kujadili matatizo mliyonayo, kutafuta njia za kuyatatua na kufanya maamuzi haraka na kwa njaia sahihi. Tuache utamaduni wa kulalamika na badala yale tuwe wachapakazi wenye nia ya kuona matokea ya haraka,” alisema.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;“Changamoto kubwa tuliyonayo, siyo kwamba hatuelewi matatizo yanayotukabili au nini kinapaswa kifanyike ili tujikwamue kutoka kwenye umaskini, bali ni njia gani tutumie ili kuondokana na tatizo hilo,” alisisitiza.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema wakati umefika sasa wa kuamua kufanya maamuzi sahihi na ya pamoja na wakati huo si mwingine bali ni sasa. “Tufanye maamuzi sasa na lazima tuanze sasa,” alisema.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mapema, akizungumza kwa niaba ya washirika wa maendeleo, Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa hapa nchini ambaye pia ni Mwenyekiti Mweza wa Kundi la Wahisani (Development Partners Group Co-Chair), Bw. Alberic Kacou alisema katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Tanzania imeonyesha mafanikio ya kutosha katika nchi zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema licha ya mafanikio hayo, bado Tanzania inakabiliwa na changamoto ya kupunguza umaskini kwa wananchi wake kwa mujibu wa kiashiria cha kupima maendeleo ya wananchi katika nchi mbalimbali (Human Development Index - HDI).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;“Kwa mujibu wa kiashiria cha kupima maendeleo ya wananchi katika nchi mbalimbali, asilimia 65 ya Watanzania bado wanaishi katika umaskini kwa kukosa elimu, huduma za afya, maji safi na salama, umeme, nishati ya kupikia na mali,” alisema.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Naye Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Bi. Esther Mkwizu alisema Serikali haina budi kuwekeza kwa nguvu zaidi kwenye rasilimali watu kama njia mojawapo ya kukuza uchumi lakini zaidi kujenga Taifa lenye watu weledi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema Uswisi ni nchi ambayo ilipoteza nguvukazi kubwa wakati wa vita ya dunia, lakini sasa hivi ni mojawapo ya tajiri duniani kwa sababu ilitumia rasilmali watu kama mtaji wa kukuza uchumi wake.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;“Ni nchi ambayo haina bandari wala kivutio chochote cha maliasili kama tulivyonavyo sisi, lakini ni miongoni mwa nchi tajiri kwa sababu iliwekeza katika wananchi na sasa inawatumia katika kazi mbalimbali ulimwenguni,” aliongeza.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(mwisho)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IMETOLEWA NA:&lt;br /&gt;OFISI YA WAZIRI MKUU,&lt;br /&gt;S. L. P. 3021,&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM.&lt;br /&gt;ALHAMISI, JANUARI 26, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2049728355491750472?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2049728355491750472/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2049728355491750472' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2049728355491750472'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2049728355491750472'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/serikali-kuendelea-kuboresha-sekta-za.html' title='SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SEKTA ZA UMMA, SHERIA NA FEDHA - PINDA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3142474372966443822</id><published>2012-01-26T15:39:00.000+03:00</published><updated>2012-01-26T15:40:41.907+03:00</updated><title type='text'>Darasa la kwanza la kiswahili lazinduliwa Ethiopia</title><content type='html'>The  Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon Bernard Membe  (MP)  yesterday launched the  first Kiswahili class at the  Language Center of the African Union where he emphasized the importance  of Kiswahili as one of the fastest growing language in the continent.&lt;br /&gt;Speaking at the official lauching ceremony  which took place along the margins of the 20th Session of the Executive Council of the African Union (AU), the Minister  said Kiswahili has been used as a unifying tool in most of the African countries, Tanzanai in particular.&lt;br /&gt;"i will inform my President and my countrymen that Kiswahili has wings, it has now landed in Addis Ababa at the African Union, it is doing wonders" the  Minister Noted.&lt;br /&gt;He further noted that apart from the  fact that Kiswahili is widely spoken in Africa, it borrows most of its vocaburaries from  Arabic  and  African languages making it one of the most popular language among the Arab  and African countries.&lt;br /&gt; The Minister Commended the Tanzanian Embassy in Addis Ababa for initiating the course, saying the initiative will help in  popularising the language  within and beyond Africa. He thanked H.E Joram Biswaro, the Ambassador of Tanzania to Ethiopia and AU for striving to kickstart the project without any financial assistance.&lt;br /&gt;The  Coordinator of the Programme at the  Tanzania Embassy in Adis Ababa, Ms Suma Mwakyusa said the class  has a total of 26 students who are AU officials and  and members of the Diplomatic Corps. She informed that there will be two classes taught by competent Tanzanian teachers namely Mrs ELizabeth Magoke and Mrs Ikunda Sabath on voluntary basis. The teachers understood our initiative and being  nationalists agreed to volunteer to teach.&lt;br /&gt;She said that the Embassy in collaboration with the African Union Commission intends to  organise a three week-trip to Tanzania for the best students  to enable them practice the language  as spoken by the  Swahili natives in the streets of Dar es salaam and Zanzibar&lt;br /&gt;The  AU Co-ordinator for Languages, Mr Linus Chata  expressed  his appreciation for the  Tanzania High Level visit to the  Language Centre, noting that it signifies the commitment of Tanzania in supporting the programme.&lt;br /&gt;He said Kiswahili is the only language which is supported by an African Country- Tanzania, unlike other languages spoken in Africa which are being sponsored by countries outside the African Union.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Source:ASSAH MWAMBENE in Addis Ababa&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3142474372966443822?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3142474372966443822/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3142474372966443822' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3142474372966443822'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3142474372966443822'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/darasa-la-kwanza-la-kiswahili.html' title='Darasa la kwanza la kiswahili lazinduliwa Ethiopia'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5663701524984109973</id><published>2012-01-26T15:13:00.002+03:00</published><updated>2012-01-26T15:16:25.421+03:00</updated><title type='text'>Côte d'Ivoire  yaachana na  huduma za afya bure</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-51h6LEdDysM/TyFDvjn4oWI/AAAAAAAAPno/jp4hR9x_ts0/s1600/duka%2Bla%2Bdawa%2Babidjan.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-51h6LEdDysM/TyFDvjn4oWI/AAAAAAAAPno/jp4hR9x_ts0/s320/duka%2Bla%2Bdawa%2Babidjan.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701913087523201378" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Famasi ya Abobo-Baoulé iliyopo Abidjan.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Côte d'Ivoire  inaachana na mtindo wa kutoa huduma za afya bure  kwa sababu za kgharama kuwa kubwa.&lt;br /&gt;Uamuzi huo umetwaliwa baada ya kufanya mradi wa majaribio wa  huduma za afya bure.&lt;br /&gt;Serikali imesema kwamba katika kipindi cha miezi tisa serikali ililazimika kulipa jula ya faranga za Kifaransa bilioni 30 sawa na dola za Marekani milioni 60 katika mazingira magumu, anasema waziri wa afya Yoman N'dri .&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari mjini Abidjan Januari 24 mwaka huu alisema kwamba kuanzia mwezi ujao serikali haitalipa fedha kwa huduma za matibabu na kwamba huduma za bure zitakuwa kwa ajili ya wanawake na watoto wao.&lt;br /&gt;Watoto hao ni wale walio chini ya miaka sita.&lt;br /&gt;Aidha wamesema wkamba gharama za kumuona daktari zitapunguzwa hadi faranga 650 swa na dola 2.&lt;br /&gt;Imeelezwa kuwa wizi, udhaifu katika menejimentgi na kupanda gharama za matibabu kumefanya huduma za afya za bure zilizoanzishwa na na Rais Alassane Ouattara mwishoni mwa vita vya wenyewe kwa wenyewe ili kupunguz amakali ya matibabu kushindikana.&lt;br /&gt;Waziri wa Afya  N’dri  alisema utekelezaji wa mpango huo wa huduma bure za afya kwa wananchi ulmeshindikana kutokana na kubuniwa vibaya na ghala la serikali la dawa kushindw akuifikia nchi nzima huku likiwa na asilimia 30 tu ya dawa zinazohitajika.&lt;br /&gt;Amesema nyingi ya dawa hizo zimekuwa zikivushwa na watendaji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kuanzia mwanzo baadhi ya wauguzi na madaktari wamekuwa wakitumia mwanya uliopo kuchukua dawa majumbani kwao kasha kuziuza” anasema Florantin Yao, muuguzi katika hospitali kuu ya serikali ya Port-Bouët  iliyopo Kusini mwa Abidjan. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wizara hiyo imesema kwamba imeewachukua hatua kali wauguzi na madaktari 20 kwa kuvuruga utaratibu huo na mmoja ametupw ajela miaka miwili.&lt;br /&gt;SOURCE:IRIN&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5663701524984109973?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5663701524984109973/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5663701524984109973' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5663701524984109973'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5663701524984109973'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/cote-divoire-yaachana-na-huduma-za-afya.html' title='Côte d&apos;Ivoire  yaachana na  huduma za afya bure'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-51h6LEdDysM/TyFDvjn4oWI/AAAAAAAAPno/jp4hR9x_ts0/s72-c/duka%2Bla%2Bdawa%2Babidjan.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6002322129793988559</id><published>2012-01-26T14:36:00.003+03:00</published><updated>2012-01-26T14:42:49.909+03:00</updated><title type='text'>BREAKING NEWS ! Innocent na Buti Jiwe wafiwa na baba yao mzee Galinoma</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-71_u14TC128/TyE79Ni82HI/AAAAAAAAPnc/rWpqLp25jrc/s1600/galinoma.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-71_u14TC128/TyE79Ni82HI/AAAAAAAAPnc/rWpqLp25jrc/s320/galinoma.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701904526022072434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Aliyekuwa mbunge wa Kalenga,Iringa amefariki dunia mapema leo asubuhi mjini Iringa ndani ya gari akiwa anakimbizwa hospitalini kutoka kalanga,ambako alikuwa anaishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Galinoma ,alikuwa mtumishi wa serikali  mstaafu aliyeshika&lt;br /&gt;nafasi mbali mbali katika uhai wake zikiwemo za Katibu mkuu idara ya ulinzi na&lt;br /&gt;jeshi la kujenga taifa,mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mbuga za wanyama&lt;br /&gt;pori,mwenyekiti wa bodi ya mashirika ya Umma(SCOPO),Katibu wa tume ya uchunguzi&lt;br /&gt;wa viongozi,pia amewahi kuwa mbunge wa jimbo la Kalenga ,Iringa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Marehemu Galinoma alikuwa anaugua kwa muda mrefu pia aliwahi kuenda India&lt;br /&gt;kwa matibabu na alikuwa huko wiki 6 na kurejea nyumbani baada ya kupata nafuu kwa kiasi fulani lakini baadae alizidiwa tena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Marehemu ameacha wajukuu na watoto ,miongoni mwa watoto wake ni wanamuziki&lt;br /&gt;Innocent na Buti Jiwe aka Enry Galinoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taaritibu za mazishi zitatolewa si muda mrefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu amlaze mahala pema peponi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa habari zaidi za msiba wasiliana na Joseph Galinoma kwa namba hii 00255716492048&lt;br /&gt;au Denis Galinoma namba hii 00255784769945&lt;br /&gt;Source:msemakweli2007@yahoo.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6002322129793988559?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6002322129793988559/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6002322129793988559' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6002322129793988559'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6002322129793988559'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/breaking-news-innocent-na-buti-jiwe.html' title='BREAKING NEWS ! Innocent na Buti Jiwe wafiwa na baba yao mzee Galinoma'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-71_u14TC128/TyE79Ni82HI/AAAAAAAAPnc/rWpqLp25jrc/s72-c/galinoma.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6027128720112680141</id><published>2012-01-26T12:31:00.001+03:00</published><updated>2012-01-26T12:33:13.120+03:00</updated><title type='text'>Amos Makalla (CCM) akiwa Milama</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-WOEFNY5-UEc/TyEducWuLuI/AAAAAAAAPnQ/6oR9NRFDH_s/s1600/MBUNGE%2BWA%2BMVOMERO-1.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 222px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-WOEFNY5-UEc/TyEducWuLuI/AAAAAAAAPnQ/6oR9NRFDH_s/s320/MBUNGE%2BWA%2BMVOMERO-1.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701871286950440674" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla (CCM),( mwenye kaunda suti)&lt;br /&gt;akifafanua jambo baada ya kuoneshwa moja ya kisima ambacho kipo katika&lt;br /&gt;hatua ya mwisho kati ya visima nane vilivyochombwa na  Taasisi moja ya&lt;br /&gt;Kimarekani katika Kijiji cha Milama, Kata ya Dakawa, Wilayani Mvomero,&lt;br /&gt;Mkoani Morogoro kwa lengo la kuwaondolea shida ya maji wananchi wa Kijiji&lt;br /&gt;hicho.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6027128720112680141?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6027128720112680141/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6027128720112680141' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6027128720112680141'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6027128720112680141'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/amos-makalla-ccm-akiwa-milama.html' title='Amos Makalla (CCM) akiwa Milama'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-WOEFNY5-UEc/TyEducWuLuI/AAAAAAAAPnQ/6oR9NRFDH_s/s72-c/MBUNGE%2BWA%2BMVOMERO-1.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5241435434548495942</id><published>2012-01-26T11:42:00.001+03:00</published><updated>2012-01-26T11:52:47.509+03:00</updated><title type='text'>BAN KI MOON ATANGAZA MADABILIKO YA  UONGOZI UN</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-8vgHgtJl3nY/TyEUPKNW02I/AAAAAAAAPnE/ggDT7c82rpY/s1600/UN.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 231px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-8vgHgtJl3nY/TyEUPKNW02I/AAAAAAAAPnE/ggDT7c82rpY/s320/UN.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701860853898728290" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon ametangaza  mabadiliko makubwa katika safu ya  uongozi ndani ya   Sekretarieti ya  Umoja wa Mataifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa  habari siku ya jumatano Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa,mara baada ya kuainisha Mpango Kazi na Vipaumbele vya miaka mitano ya mwisho ya uongozi wake, Ban Ki Moon amethibitisha kwamba Naibu Katibu Mkuu, Dk. Asha-  Rose Migiro atamaliza muda wake akiwamo pia  Bw. Vijar Nambiar ambaye ni Mkuu wa  Ofisi yake ( Chef de Cabinet).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Kama mlivyotangaziwa mwishoni mwa mwaka jana kuhusu mabadiliko  yanayotarajiwa katika nafasi za  watendaji waandamizi. Ningependa kuongezea na kuwajulisha kwamba, Naibu Katibu Mkuu,  Bibi.Migiro  na Bw.  Vijar Nambiar wamewasilisha   kwangu maombi  yao ya kutaka kuachia nafasi zao , ili kuniruhusu  kuunda timu mpya ya  maafisa waandamizi nitakaofanya nao kazi katika  awamu  ya pili ya  uongozi wangu” akasema Ban Ki Moon.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kuongeza  “ Ninapenda kutoa shukrani zangu za dhati  kabisa kwa  Naibu Katibu Mkuu, Asha- Rozi Migiro,  kwa uamuzi wake huo, na kwa kazi nzuri na ushirikiano mkubwa na usio na shaka wala doa  alionipatia katika kipindi chote miaka mitano iliyopita akiwa msaidizi wangu wa karibu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; “ Amenipatia ushirikiano mzuri sana, alinishauri kwa busara na amejituma sana na kwa kuadilifu mkubwa katika kukabiliana na changamoto nyingi  zilizoikabili Taasisi hii wakati wa awamu yangu ya kwanza   ya  uongozi” akasisitiza Ban Ki Moon.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu Mkuu wa UN, akawaeleza waandishi wa habari kwamba,   Naibu Katibu Mkuu, Migiro ataendelea kuwapo  ofisini hadi mwezi wa sita mwaka huu ili kuratibu na kusimamia  kipindi  cha mpito pamoja na maandalizi ya Mkutano wa Kimataifa wa Maendeleo Endelevu (RIO+20).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Ban Ki Moon, pamoja na Migiro kuwasilisha ombi lake wapo pia baadhi ya watendaji waandamizi ambao nao wameonyesha nia  ya kuachia nafasi zao ili kupisha menejimenti mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongozi mwa maafisa hao ni pamoja na  Msimamizi    Mkuu wa  Ofisi yake   Bw. Vijay Nambiar ambaye   katika muda muafaka atapewa kazi ya kuwa  mshauri wa Katibu Mkuu kuhusu Mynmar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watendaji wengine watakaondoka na ambao wengi wao walikuwa katika awamu ya kwanza ya uongozi wa Ban Ki Moon ni kutoka Idara za Utawala, Maendeleo, Huduma za Mikutano, Habari,  Ofisi ya Opokonyaji wa silaha,  na Mshauri wa Masuala ya Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengine ni   wasimamizi  wa  Idara za Uchumi za Afrika na Ulaya,   waratibu wa  mifuko ya maendeleo na Idadi ya watu  UNDP na UNFPA. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha wamo pia  wawakilishi maalum wa Katibu  Mkuu wanaohusika na  masuala ya watoto katika migogoro ya kivita, na uzuiaji wa  mauaji ya kimbali,  ambao wanatarajiwa kuachia nafasi zao kati kati ya mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akaeleza pia kwamba  mchakato wa  kujaza nafasi Nane zitakazoachwa wazi katika ngazi za  ukatibu mkuu msaidizi  (Under-Secretary General) umekwisha anza .&lt;br /&gt;Akasema ujazaji wa nafasi hizo  ambao utakuwa wa uwazi utazingatia sana sifa na uwezo wa mtu, uwiano wa kikanda  na jinsia.&lt;br /&gt;Source:Maura Mwingira, Ubalozi wa TZ UN&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5241435434548495942?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5241435434548495942/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5241435434548495942' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5241435434548495942'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5241435434548495942'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/ban-ki-moon-atangaza-madabiliko-ya.html' title='BAN KI MOON ATANGAZA MADABILIKO YA  UONGOZI UN'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-8vgHgtJl3nY/TyEUPKNW02I/AAAAAAAAPnE/ggDT7c82rpY/s72-c/UN.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4248775386335878614</id><published>2012-01-26T11:40:00.000+03:00</published><updated>2012-01-26T11:41:05.630+03:00</updated><title type='text'>WARUNDI KUICHEZESHA SIMBA KIGALI</title><content type='html'>Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua waamuzi kutoka Burundi kuchezesha&lt;br /&gt;mechi ya Kombe la Shirikisho kati ya Simba ya Tanzania na Kiyovu Sport ya Rwanda&lt;br /&gt;itakayochezwa jijini Kigali. &lt;br /&gt;Waamuzi hao ni Thierry Nkurinziza atakayekuwa katikati wakati wasaidizi wake ni&lt;br /&gt;Jean-Claude Birumushahu na Jean-Marie Hakizimana. Mwamuzi wa akiba atakuwa Hudu&lt;br /&gt;Munyemana kutoka Rwanda. Kamishna wa mechi hiyo ni Abbas Sendyowa kutoka Uganda. &lt;br /&gt;Mechi hiyo namba 13 itachezwa Februari 18 mwaka huu kwenye Uwanja wa Amahoro jijini&lt;br /&gt;Kigali, na itaanza saa 9.30 kwa saa za Rwanda. Mechi ya marudiano itachezwa Machi 4&lt;br /&gt;mwaka huu, Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;CAF YAMTEUA LIUNDA KUSIMAMIA MECHI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemteua Leslie Liunda wa Tanzania kuwa&lt;br /&gt;Kamishna wa mechi namba 3 ya Ligi ya Mabingwa kati ya AS Vita Club ya Jamhuri ya&lt;br /&gt;Kidemokrasi ya Congo (DRC) na Atletico Olympique ya Burundi itakayochezwa kati ya&lt;br /&gt;Februari 17, 18 na 19 mwaka huu jijini Kinshasa. &lt;br /&gt;Waamuzi wa mechi hiyo ambao wanatoka Gabon watakuwa Mbourou Roponat, Wilfred Nziengu&lt;br /&gt;na David Obamba. Mwamuzi wa akiba kutoka DRC ni Mupemba Nkongolo. &lt;br /&gt;Mechi ya marudiano kwa timu hizo itachezwa kati ya Machi 2, 3 na 4 jijini Bujumbura&lt;br /&gt;ambapo Kamishna atakuwa Eugene Katamban kutoka Uganda.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4248775386335878614?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4248775386335878614/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4248775386335878614' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4248775386335878614'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4248775386335878614'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/warundi-kuichezesha-simba-kigali.html' title='WARUNDI KUICHEZESHA SIMBA KIGALI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-166249515072678323</id><published>2012-01-26T11:38:00.002+03:00</published><updated>2012-01-26T11:40:20.161+03:00</updated><title type='text'>Mechi niliyoipenda Coastal na Simba</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-oX3ErYcmfPA/TyERIOKcuAI/AAAAAAAAPm4/5O-4fWFMQ90/s1600/Gervas%2BKago.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-oX3ErYcmfPA/TyERIOKcuAI/AAAAAAAAPm4/5O-4fWFMQ90/s320/Gervas%2BKago.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701857436166305794" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Gervas Kago akiwatoka mabeki wa Coastal&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-166249515072678323?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/166249515072678323/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=166249515072678323' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/166249515072678323'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/166249515072678323'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/mechi-niliyoipenda-coastal-na-simba.html' title='Mechi niliyoipenda Coastal na Simba'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-oX3ErYcmfPA/TyERIOKcuAI/AAAAAAAAPm4/5O-4fWFMQ90/s72-c/Gervas%2BKago.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8315266917305637702</id><published>2012-01-26T11:30:00.000+03:00</published><updated>2012-01-26T11:31:24.170+03:00</updated><title type='text'>TAMASHA LA KUVUMBUA VIPAJI (GRASSROOT) DAR</title><content type='html'>Tamasha la mafunzo ya kuhamasisha watoto kucheza mpira wa miguu na kuvumbua vipaji&lt;br /&gt;(Grassroot) kwa shule maalum zilizochaguliwa katika Mkoa wa Dar es Salaam&lt;br /&gt;linaendelea Februari 3 mwaka huu.&lt;br /&gt;Siku hiyo tamasha hilo litafanyika katika Shule ya Msingi Mtoni Kijichi wilayani&lt;br /&gt;Temeke kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 6 mchana. Februari 10 mwaka huu tamasha&lt;br /&gt;lingine litafanyika katika Shule ya Msingi Kinyerezi wilayani Ilala.&lt;br /&gt; Watoto (wa kike na kiume) wanaotakiwa kushiriki katika matamasha hayo ambayo&lt;br /&gt;yataendelea kila wiki katika shule mbalimbali za Dar es Salaam hadi Agosti 24 mwaka&lt;br /&gt;huu ni wa kuanzia umri wa miaka 6 hadi 12.&lt;br /&gt; Matamasha hayo ni mwendelezo wa uzinduzi wa Grassroot katika tamasha (festival)&lt;br /&gt;kubwa lililofanyika Desemba 17 mwaka jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na&lt;br /&gt;kuhudhuriwa na watoto 1,200 baada ya semina iliyoendeshwa na Mkufunzi kutoka&lt;br /&gt;Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA).&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8315266917305637702?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8315266917305637702/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8315266917305637702' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8315266917305637702'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8315266917305637702'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/tamasha-la-kuvumbua-vipaji-grassroot.html' title='TAMASHA LA KUVUMBUA VIPAJI (GRASSROOT) DAR'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8598743569468101320</id><published>2012-01-26T10:26:00.002+03:00</published><updated>2012-01-26T10:30:23.621+03:00</updated><title type='text'>Waigiza ngono watandikwa na sheria mpya</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-fXp8o0AeaLA/TyEBA2_ccmI/AAAAAAAAPms/EYH4GOdr10c/s1600/legs.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 212px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-fXp8o0AeaLA/TyEBA2_ccmI/AAAAAAAAPms/EYH4GOdr10c/s320/legs.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701839717501006434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Watu wanaoigiza picha za ngono mjini Los Angeles Marekani watatakiwa kutumia mipira ya kiume au kike wakati wakifanya maigizo yao.&lt;br /&gt;Matakwa hayo yamo katiak sheria mpya itakayotiwa saini na Meya wa Jiji la Los Angeles.&lt;br /&gt;Sheria hiyo mpya imefurahiwa na maofisa wa afya lakini watengeneza sinema hizo wamesema katika mazingira wanayofanyia kazi watalazimika kuuhama mji huo kukwepa sheria hiyo mpya.&lt;br /&gt;Eneo la LA la San Fernando Valley linaaminika ndilo eneo linalozalisha picha nyingi za kikahaba nchini Marekani.&lt;br /&gt;Wachunguzi wa mambo wamesema hawana uhakika ni kwa namna gani sheria hiyo itaweza kutekelezwa.&lt;br /&gt;Taasisi ya afya ya Aids Healthcare Foundation  imekubaliana na hatua hiyo na kusema itawasaidia washiriki kukabiliana na uwezekano wa kuambukizana ukimwi.&lt;br /&gt;Sekta ya filamu hizo zinasema kwamba asilimia 90 ya filamu za ngono zinazotengenezwa nchini Marekani zinatoka mji wa Los Angeles.&lt;br /&gt;Mwaka jana watengeneza filamu hizo za kikahaba wa Marekani walisitisha kutengeneza sinema hizo baada ya mmoja ya waigizaji wake kugundulika kuwa na virusi vya ukimwi.&lt;br /&gt;The foundation, which has campaigned for the measure for six years, said it would now seek similar condom requirement elsewhere in the US.&lt;br /&gt;"The city of Los Angeles has done the right thing. They've done the right thing for the performers," said foundation president Michael Weinstein.&lt;br /&gt;He said his group would also be vigilant in keeping track of where porn producers might move to. &lt;br /&gt;Several of the industry's biggest adult filmmakers have said they might consider moving just outside city boundaries. &lt;br /&gt;They insist that adult films featuring condoms are not as popular and that some actors prefer not to use them.&lt;br /&gt;The new law was signed by Los Angeles Mayor Antonio Villaraigosa on Monday.&lt;br /&gt;The city council has now asked the police, city attorney's office and workplace safety officials to figure out how they enforce the rule, the Los Angeles Times reports.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8598743569468101320?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8598743569468101320/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8598743569468101320' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8598743569468101320'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8598743569468101320'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/waigiza-ngono-watandikwa-na-sheria-mpya.html' title='Waigiza ngono watandikwa na sheria mpya'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-fXp8o0AeaLA/TyEBA2_ccmI/AAAAAAAAPms/EYH4GOdr10c/s72-c/legs.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7611232776738506959</id><published>2012-01-25T19:40:00.001+03:00</published><updated>2012-01-25T19:42:33.294+03:00</updated><title type='text'>Sido yafundisha wanawake kutengeneza heleni kwa kutumia mifuniko ya chupa</title><content type='html'>VIKUNDI 10 vya wanawake wajasiriamali mkoani Mbeya vimepewa mafunzo ya&lt;br /&gt;utengenezaji mapambo ya mwili aina ya Helleni kwa kutumia mifuniko ya chupa&lt;br /&gt;za vinywaji aina ya soda na bia.&lt;br /&gt;Mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo (Sido)&lt;br /&gt;mkoani Mbeya kwa kushirikiana na Shirika la Caritas na Maendeleo la kanisa&lt;br /&gt;katoliki yalitolewa kwa siku nane chini ya mkufunzi Yoko Imamura raia wa&lt;br /&gt;Japan.&lt;br /&gt;Meneja wa Sido Mkoa wa Mbeya, Masanja Mahela akifunga mafunzo hayo&lt;br /&gt;aliwataka washiriki kuhakikisha ujuzi walioupata wanautumia  vizuri ili&lt;br /&gt;uwasaidie kujipatia kipato kwa kutengeneza na kisha kuuza urembo huo.&lt;br /&gt;Mahela alisifu pia ubunifu wa aina hiyo kwa kuwa unatumiaa malighafi&lt;br /&gt;zinazozaagaa hovyo mitaani na kugeuka taka akisema utasaidia katikaa&lt;br /&gt;mikakati ya utunzaji wazingira.&lt;br /&gt;“Ubunifu huu unafaida kubwa mbili na hizi zitawanufaisha zaidi ninyi na&lt;br /&gt;jamii inayowazunguka.Faida ya kwanza ni ninyi kuongeza kipato chenu kupitia&lt;br /&gt;shughuli ya kutengeneza na kisha kuuza heleni lakini piaa kuanzia sasa&lt;br /&gt;mifuniko ya chupa haitazagaa tena mitaani na kuchafua mazingira yetu.Bidhaa&lt;br /&gt;iliyokuwa ikionekana ni uchafu sasa itanunuliwa na kuvaliwa kama urembo wa&lt;br /&gt;kuwapendezesha akina mama.huu ni ubunifu wa aina yake” alisema Mahela.&lt;br /&gt;Meneja huyo aliwaonya wahitimu kutouweka sandukuni ujuzi walioupata kama&lt;br /&gt;ilivyozoeleka na wajasiriamali wengi badala yake wahakikishe malengo ya&lt;br /&gt;wafadhili na wakufunzi ya kubadili maisha yao kupitia ujuzi huo yanafikiwa.&lt;br /&gt;Aliwasihi kuongeza juhudi katika utendaji kazi wa shughuli zao wakitambua&lt;br /&gt;kuwa juhudi ndiyo msingi wa maendeleo yao na familia zao na kubweteka kwao&lt;br /&gt;ndiyo mwisho wa matumaini ya mafanikio kwenye maisha yao.&lt;br /&gt;Naye  Mkurugenzi wa Caritas mkoa wa Mbeya Edger Mangasila alisema mafunzo&lt;br /&gt;hayo ni mwanzo mzuri wa mwaka kwa akina mama hao kujikwamua kiuchumi na&lt;br /&gt;kuwataka kuongeza ubunifu zaidi ili bidhaa wanazozitengeneza zipendwe na&lt;br /&gt;kuwavutia wateja wao.&lt;br /&gt;Alisema vikundi vya akina mama vya ujasiliamali vinahitaji sana teknolojia&lt;br /&gt;zaidi ili waweze kumudu ushindani wa bidhaa nyingine zinazoingizwa kutoka&lt;br /&gt;nje ya nchi na hatimaye kuwawezesha kumiliki soko la ndani la bidhaa zao.&lt;br /&gt;Baada ya kuhitimu  mafunzo yao juzi wanawake hao walianzisha umoja wa&lt;br /&gt;kutengeneza bidhaa hiyo kwa pamoja ili kupeana ujuzi zaidi kabla ya kuanza&lt;br /&gt;kujitegemea kila mmoja.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7611232776738506959?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7611232776738506959/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7611232776738506959' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7611232776738506959'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7611232776738506959'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/sido-yafundisha-wanawake-kutengeneza.html' title='Sido yafundisha wanawake kutengeneza heleni kwa kutumia mifuniko ya chupa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6609890814531429188</id><published>2012-01-25T19:38:00.000+03:00</published><updated>2012-01-25T19:39:17.414+03:00</updated><title type='text'>Chukueni hatua kuimarisha chuo kipya cha utalii cha Dar es Salaam</title><content type='html'>Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili imetembelea kampasi mpya ya Dar es Salaam ya Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) na kuitaka Wizara ya Maliasili na Utalii na uongozi wa chuo hicho kuchukua hatua za hjaraka kukiimarisha na chuo hicho.&lt;br /&gt;Hayo yalizungumzwa jana jijini Dar es salaam wakati wa kikao cha pamoja kati ya Kamati hiyo ya Bunge, uongozi wa chuo hicho, wafanyakazi na wanachuo kilichofanyika chuoni hapo baada ya kamati kufanya ziara chuoni hapo.&lt;br /&gt;Kamati pia ilikitaka chuo na Wizara kwa ujumla kuhakikisha chuo hicho kipya ambacho kilizinduliwa hivi karibuni kinapatiwa vifaa vyote vinavyohitajika ili kuweza kufanya kazi kwa ufanisi kama ilivyotarajiwa.&lt;br /&gt;“Tunataka vifaa katika chuo hiki haraka, kwani hapa tunahofia kuwa vitu hivi vya kisasa vitaharibika hata kabla ya kuanza kutumika na hii ni uwekezaji mkubwa ambao sisi tunataka kuuenzi kwa kuhakikisha vifaa husika vinapatikana ili kiweze kutumika ipasavyo,” alisema mhe Lembeli.&lt;br /&gt;Aidha alikitaka chuo kuhakikisha kinaongeza idadi ya wanachuo inaowadahili kila mwaka ili kukabiliana na changamoto ya Watanzania waliosomea katika fani hiyo waliopo katika soko la ajira nchini hasa katika hoteli za kitalii. Pia alikitaka chuo kiimarishe mikakati yake ya kujitangaza na hivyo kuwafikia Watanzania wengi kwa wakati stahili &lt;br /&gt;“Tumetembelea darasa hapa leo tumeona jinsi wanafunzi walivyo wachache, hili halina budi kubadilika kwani kuna watanzania wachache walioko katika soko la ajira na linaweza kukabiliwa kwa kudahili wanafunzi wengi katika chuo hiki” alisema mh. Lembeli&lt;br /&gt;Akijumuisha yaliyojiri katika mkutano huo Mh. Lembeli aliutaka uongozi wa chuo kushirikisha wafanyakazi wake katika masuala yanayohusu chuo ikiwa ni pamoja na kuangalia maslahi yao ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao kwakuwa wao ndio wasimamizi wakuu wa chuo hicho.&lt;br /&gt;Pia aliitaka wizara ya Maliasili na Utalii kuhakikisha inakipatia fedha za kutosha chuo na kuzitoa kwa wakati ili kukiwezesha chuo kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6609890814531429188?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6609890814531429188/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6609890814531429188' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6609890814531429188'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6609890814531429188'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/chukueni-hatua-kuimarisha-chuo-kipya.html' title='Chukueni hatua kuimarisha chuo kipya cha utalii cha Dar es Salaam'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6481569947560957232</id><published>2012-01-25T19:35:00.000+03:00</published><updated>2012-01-25T19:36:19.749+03:00</updated><title type='text'>Ikulu yainanga Tanzania Daima.. Ndege ya Rais</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gazeti la Tanzania Daima la leo, Jumatano, Januari 25, 2012, kwenye ukurasa wake wa kwanza limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Ndege ya JK utata: Iko nje kwa miezi miwili. Serikali yakwama kuilipia.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa yaliyoandikwa kwenye habari hiyo ni pamoja na “Ukata unaiokabili Serikali umesababisha kukwama kuilipia ndege hiyo maalum ya Rais…Ndege ya Rais mahususi kwa ajili ya safari za namna hiyo imezuiliwa nje baada ya Serikali kukwama kulipia gharama za matengenezo yake…Kutokuwepo kwa ndege hiyo, kumesababisha Rais Kikwete na ujumbe wake wa watu 14, ulioondoka nchini jana kwenda Davous, nchini Sweden kuhudhuria mkutano wa dunia wa uchumi, kuondoka na ndege ya Shirika la Ndege la Qatal”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Limeendelea Gazeti hili la Tanzania Daima kudai kuwa kwa sababu ya kutokuwepo kwa ndege hiyo ya Rais gharama za safari hiyo ya Rais zimeongezeka na ziara hiyo ya Rais ya siku nne kuhudhuria mkutano huo itagharimu kiasi cha shilingi milioni 300.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, Gazeti hili linadai kuwa mkutano huo hauna tija kwa taifa, kwamba Rais Kikwete amehudhuria mikutano hiyo mara nyingi lakini hakuna faida iliyopatikana kwa taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hakika, maandishi na kauli hizi za ovyo na zisizokuwa za kweli za Gazeti la Tanzania Daima zinalenga kuupotosha umma wa Tanzania bila sababu za msingi na hivyo kuusababishia umma chuki isiyokuwa na msingi kwa Rais.  Katika kuuelezea umma ukweli wa safari hiyo ya Mheshimiwa Rais Kikwete tunapenda kutoka ufafanuzi ufuatao:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, kama tulivyoeleza, kwa usahihi, katika taarifa yetu kwa vyombo vya habari jana jioni, Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete amekwenda katika mji/kijiji cha Davos, nchini Uswisi kuhudhuria Mkutano wa World Economic Forum (WEF) unaoanza leo.  Rais Kikwete hakuwenda katika mji wa Davous, nchini Sweden kama linavyosema Gazeti hili.  Aidha, Rais Kikwete na ujumbe wake umesafiri kwa ndege ya Shirika la Ndege la Qatar na siyo Qatal kama linavyoripoti Tanzania Daima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, Serikali haijakwama, kwa sababu zozote zile, kulipia matengenezo ya kawaida (routine maintenance) ya Ndege ya Rais. Hili limefafanuliwa vizuri na ipasavyo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali, Rubani Kennan Paul Mhaiki jana.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Isipokuwa ni vyema kuongeza kuwa matengenezo ya ndege hiyo yalimalizika juzi tu, Jumatatu, Januari 23, mwaka huu, wakati ndege hiyo ilipofanyiwa safari ya majaribio (test flight) kule Savannah, Georgia, Marekani na wala siyo miezi miwili iliyopita kama linavyodai Tanzania Daima. Hivyo, madai kuwa ndege hiyo imezuiliwa nje kwa miezi miwili sasa kwa sababu ya Serikali kushindwa kulipia gharama za matengenezo ni porojo tu zisizokuwa na msingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatu, ni vigumu kujua Gazeti la Tanzania Daima limepata wapi habari kuwa safari hiyo ya siku nne inagharimu kiasi cha sh. milioni 300. Ukweli ni safari ya Mheshimiwa Rais Kikwete na ujumbe wake ni ya siku nane, kama tulivyoeleza jana, ambako atahudhuria mikutano ya WEF na ule wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, Ethiopia atakapowasili Jumamosi, Januari 28, 2021. Hivyo, si kweli kwa Gazeti hili kudai kuwa nauli tu na matumizi ya safari ya Mheshimiwa Rais ni shilingi milioni 300 kwa siku nne tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nne, Tanzania Daima linadai kuwa safari za Mheshimiwa Rais mjini Davos hazina tija na wala faida yoyote. Huu pia ni uongo mwingine wa dhahiri wa Gazeti hili. Tunapenda kukumbusha faida chache tu zilizotokana moja kwa moja na Mheshimiwa Rais Kikwete kushiriki mikutano ya WEF kama ifuatavyo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(a) Moja, ni kubuniwa na kupitishwa kwa Mpango Kabambe wa Uendelezaji Kilimo katika Ukanda wa Kusini mwa Tanzania wa Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania (SAGCOT) uliozinduliwa wakati wa WEF mwaka jana. Mpango huu utakaotekelezwa kwa pamoja na sekta binafsi na sekta za umma kwa kushirikisha Serikali ya Tanzania, Mashirika ya Kimataifa, Makampuni ya Kimataifa unalenga kuleta faida zifuatazo:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(i) Uwekezaji wa kiasi cha dola za Marekani bilioni 3.4 katika kilimo cha Tanzania na kuongeza uzalishaji wa kilimo hicho mara tatu katika miaka 20 ijayo.&lt;br /&gt;(ii) Kuchochea uzalishaji mkubwa wa mazao ya chakula na biashara kwenye eneo ya hekta 350,000.&lt;br /&gt;(iii) Kutengeneza kiasi cha ajira 420,000 za kudumu.&lt;br /&gt;(iv) Kuwatoa kwa namna ya kudumu kiasi cha watu milioni mbili katika umasikini.&lt;br /&gt;(v) Kuleta usalama wa kudumu wa chakula kwa kuhakikisha kinapatikana chakula cha kutosha kwa Tanzania na nchi za jirani.&lt;br /&gt;(vi) Kuboresha miundombinu ya umwagiliaji, barabara, reli, nishati na bandari katika eneo lote la Mradi wa SAGCOT.&lt;br /&gt;(vii) Kuwahakikishia wakulima masoko ya mazao yao, kuwawezesha kupata dhana za kisasa, na kuwaanzishia mifumo ya kisasa ya umwagiliaji.&lt;br /&gt;(viii) Kuingizia wakulima mapato ya kiasi cha dola za Marekani bilioni 1.2 kila mwaka.   &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(Kiasi cha dola za Marekani milioni 50 zinaendelea kuingizwa katika mfuko wa uanzishwaji wa Mpango wa SAGCOT utakaotelekezwa kwa kuanzia katika maeneo ya Sumbawanga (Rukwa), Ihemi na Ludewa (Iringa), Kilombero (Morogoro), Mbarali (Mbeya), na Rufiji (Pwani)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(b)  Pili, ni uwekezaji kabambe wa kiasi cha dola za Marekani milioni 20 katika mfumo wa upakuaji wa mbolea kwenye Bandari ya Dar es Salaam unaofanywa na Kampuni ya Yara International, moja ya makampuni makubwa zaida ya uzalishaji wa mbolea duniani. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yara International ni mmoja wa washirika wakubwa katika SAGCOT na uwekezaji wake unalenga kuhakikisha kuwa Tanzania na hata majirani wanapata mbolea ya kutosha kwa ajili ya kuimarisha kilimo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(c) Tatu, mikutano ya WEF ni shughuli moja inayomwezesha Kiongozi wa Nchi kukutana na kufanya mazungumzo na wakubwa wote duniani – wawe wa siasa, wa biashara, wa uchumi, wa uwekezaji, wa kijamii – katika jitihada zake za kuitangaza Tanzania kama kituo muhimu cha uwekezaji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika siku tatu zijazo, kwa mfano, Mheshimiwa Kikwete miongoni mwa watu wengine atakutana na Bwana Bill Gates wa Bill&amp;Bellinda Foundation, Naibu Waziri wa Uchumi, Nishati na Kilimo wa Marekani Bwana Robert Hormats, Rais wa Benki ya Dunia Bwana Bob Zoellick, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Australia Bwana Kevin Ruud, Mkuu wa Shirika la Misaada ya Maendeleo la Marekani Bwana Raj Shah, Mtendaji Mkuu wa Benki ya ABSA Bi. Maria Ramos, na Waziri Mkuu wa Thailand Bi. Yingluck Shinawatra.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunapenda kumalizia kwa kusisitiza, kwa mara nyingine tena, kuwa ni vyema Gazeti la Tanzania Daima lijiridhishe na usahihi na habari zake kabla ya kuzichapisha kama inavyoelekeza misingi mikuu ya uandishi wa habari na weledi wa kazi hiyo. Uandishi wa habari za uongo unaleta hofu na kuanzisha uzushi usiokuwa na sababu zozote miongoni mwa wananchi na hiyo siyo kazi ya uandishi wa habari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,&lt;br /&gt;Ikulu,&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;25 Januari, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6481569947560957232?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6481569947560957232/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6481569947560957232' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6481569947560957232'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6481569947560957232'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/ikulu-yainanga-tanzania-daima-ndege-ya.html' title='Ikulu yainanga Tanzania Daima.. Ndege ya Rais'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4886347432871276960</id><published>2012-01-25T18:52:00.003+03:00</published><updated>2012-01-25T18:55:33.819+03:00</updated><title type='text'>Wahitimu wa ndonga katika picha za pamoja</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-AGoAxu4GnW8/TyAl11a4miI/AAAAAAAAPmg/xp5vG-dU-so/s1600/pamoja.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-AGoAxu4GnW8/TyAl11a4miI/AAAAAAAAPmg/xp5vG-dU-so/s320/pamoja.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701598735054182946" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya Makocha wa mchezo wa ngumi wakiwa katika picha ya  pamoja na vyeti vyao baada ya kuitimu mafunzo ya kimataifa ya mchezo huo yaliyokuwa yakifanyika Kibaha Mkuza Mkoa wa Pwani.&lt;br /&gt;Source www.superdboxingcoach.blogspot.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4886347432871276960?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4886347432871276960/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4886347432871276960' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4886347432871276960'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4886347432871276960'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/wahitimu-wa-ndoga-katika-picha-za.html' title='Wahitimu wa ndonga katika picha za pamoja'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-AGoAxu4GnW8/TyAl11a4miI/AAAAAAAAPmg/xp5vG-dU-so/s72-c/pamoja.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3817141490835397354</id><published>2012-01-25T11:05:00.001+03:00</published><updated>2012-01-25T11:07:19.468+03:00</updated><title type='text'>Google in privacy policy changes across its services</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-xezfoU4C_CY/Tx-4GMz2s0I/AAAAAAAAPmU/SwOdVdWApgE/s1600/google.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 304px; height: 171px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-xezfoU4C_CY/Tx-4GMz2s0I/AAAAAAAAPmU/SwOdVdWApgE/s320/google.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701478069931782978" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Google has changed its privacy policy, streamlining it across its multiple services including search, email, video and social networking sites.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;More than 60 different policies will be combined into one that will go into effect 1 March, the company said.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Google said the new policy will give people more relevant search results and help advertisers find customers.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Google has previously faced criticism over the sharing of users data.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"We're rolling out a new main privacy policy that covers the majority of our products and explains what information we collect, and how we use it in a more readable way," said Alma Whitten, Google's director of privacy, product and engineering.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The single privacy policy will apple to Google search, Gmail, YouTube and Google+, its social networking site.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The main change applies to users who have Google accounts.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"If you're signed into Google, we can do things like suggest search queries, or tailor your search results, based on the interests you've expressed in Google+, Gmail and YouTube," the company said, explaining the changes.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The revision comes after Google's previous attempt at social networking, Buzz, was shut down.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The company was criticised for inadvertently revealing users' most e-mailed contacts to other participants through the Buzz platform.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Last year, Google and the Federal Trade Commission reached a settlement to prevent Google from misrepresenting how it uses personal information and from sharing a user's data without approval.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Google said it had been in touch with regulators over these latest changes to its privacy policy, which will apply globally, according to the Associated Press news agency.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3817141490835397354?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3817141490835397354/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3817141490835397354' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3817141490835397354'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3817141490835397354'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/google-in-privacy-policy-changes-across.html' title='Google in privacy policy changes across its services'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-xezfoU4C_CY/Tx-4GMz2s0I/AAAAAAAAPmU/SwOdVdWApgE/s72-c/google.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4137021318440309515</id><published>2012-01-25T09:19:00.001+03:00</published><updated>2012-01-25T09:24:35.167+03:00</updated><title type='text'>JK aruka kwenda Davos, Uswis</title><content type='html'>Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini jioni ya leo, Jumanne, Januari 24, 2012, kwenda Davos, Uswisi, kuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa Umoja wa Uchumi Duniani wa World Economic Forum (WEF) unaoanza kesho, Jumatano, Januari 25.&lt;br /&gt;Katika siku nne za mkutano huo, mbali na kuhudhuria mkutano wenyewe ambao hukusanya viongozi wakuu wa siasa, biashara, uchumi na jamii duniani, Rais Kikwete atakutana na mlolongo wa watu mbalimbali kujadili jinsi gani wanavyoweza kushiriki kuwekeza katika uchumi wa Tanzania. &lt;br /&gt;Shughuli ya kwanza ya Mheshimiwa Rais Kikwete mara baada ya kuwasili Davos ni kukutana na Bwana Robert Hormats, Naibu Waziri wa Uchumi, Nishati na Kilimo wa Marekani, ili kujadili ajenda ya Afrika itakayowasilishwa kwenye mkutano wa mwaka huu wa nchi tajiri zaidi duniani za G-8 utaoandaliwa na Marekani. Pia viongozi hao wawili watajadili uhusiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na Marekani. &lt;br /&gt;Baadaye jioni atahudhuria halfa ya faragha ya ufunguzi wa mkutano wa WEF mwaka huu itakayoandaliwa na Mwanzilishi wa mikutano hiyo ya WEF, Profesa Klaus Schwab, na Alhamisi Rais Kikwete mbali na kushiriki shughuli za mkutano atakutana miongoni na viongozi wengine na Rais wa Benki ya Dunia, Bwana Robert Zoellick; Mwenyekiti wa Bill and Bellinda Foundation, Bwana Bill Gates na Waziri Mkuu wa Kenya, Bwana Raila Odinga.&lt;br /&gt;Mchana wa siku hiyo, Rais Kikwete atakuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu katika vikao viwili.  Katika kikao cha kuzungumzia jinsi ya kuongeza kasi ya uwekezaji katika kilimo barani Afrika, Grow Africa Partnership: Accelerating Investment in Africa Agriculture, Rais Kikwete anatarajiwa kuelezea maendeleo ya Mpango Kabambe wa Kuendeleza Kilimo katika Ukanda wa Kusini mwa Tanzania wa SAGCOT na baadaye atazungumza katika kikao kitakachojali hali ya baadaye ya Afrika – Shared Opportunities for Africa’s Future.&lt;br /&gt;Aidha, siku ya Ijumaa, Rais Kikwete atakuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu kwenye kikao cha kujadili visheni mpya ya kilimo ya Afrika – Realising a New Vision for Agriculture: An Action Agenda na baadaye atakutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Australia, Bwana Kevin Ruud na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Misaada ya Maendeleo la Marekani (USAID) Bwana Raj Shah. Pia Rais Kikwete atakutana na Bwana Paul Walsh, mwekezaji katika Kampuni ya Bia ya Serengeti.&lt;br /&gt;Kwenye siku ya nne na ya mwisho, miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Yingluck Shinawatra, Waziri Mkuu wa Thailand kabla ya kundoka Davos kwenda Addis Ababa, Ethiopia ambako atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika (AU).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,&lt;br /&gt;Ikulu,&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM.&lt;br /&gt;24 Januari, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4137021318440309515?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4137021318440309515/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4137021318440309515' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4137021318440309515'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4137021318440309515'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/jk-aruka-kwenda-davos-uswis.html' title='JK aruka kwenda Davos, Uswis'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1831617779840692037</id><published>2012-01-24T19:27:00.003+03:00</published><updated>2012-01-24T19:32:03.562+03:00</updated><title type='text'>Yaani hili ni bonge la ugali</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-F4OOMNTRiV8/Tx7ctNXYDHI/AAAAAAAAPmI/IOnnmQW_l6Q/s1600/bonge%2Bla%2Bugali.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-F4OOMNTRiV8/Tx7ctNXYDHI/AAAAAAAAPmI/IOnnmQW_l6Q/s320/bonge%2Bla%2Bugali.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701236847537556594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mwanafunzi wa shule ya msingi Nguji wilayani Bahi  akiwa na chakula cha mchana baada ya kupakuliwa mchana wa leo shuleni. Shule hiyo hutoa chakula cha mchana kama sehemu ya  kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na nguvu ya kusoma wakiwa shuleni.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1831617779840692037?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1831617779840692037/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1831617779840692037' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1831617779840692037'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1831617779840692037'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/yaani-hili-ni-bonge-la-ugali.html' title='Yaani hili ni bonge la ugali'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-F4OOMNTRiV8/Tx7ctNXYDHI/AAAAAAAAPmI/IOnnmQW_l6Q/s72-c/bonge%2Bla%2Bugali.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3588494263740534615</id><published>2012-01-24T19:24:00.002+03:00</published><updated>2012-01-24T19:27:04.619+03:00</updated><title type='text'>MAKAMU AKAGUA MMOMONYOKO PANGANI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-f-qt-iVGPvw/Tx7b0nhFuBI/AAAAAAAAPl8/xCnZo7xJgkQ/s1600/BILAL.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 215px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-f-qt-iVGPvw/Tx7b0nhFuBI/AAAAAAAAPl8/xCnZo7xJgkQ/s320/BILAL.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701235875305076754" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia ukuta unaozuia maji ya Bahari eneo la Pangani Kivukoni, unaozidi kubomoka kutokana na kujengwa miaka 100 iliyopita na kutishia amani kwa wakazi wa maeneo hayo. Makamu wa Rais ameanza ziara yake ya Mkoa wa Tanga leo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3588494263740534615?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3588494263740534615/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3588494263740534615' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3588494263740534615'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3588494263740534615'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/makamu-akagua-mmomonyoko-pangani.html' title='MAKAMU AKAGUA MMOMONYOKO PANGANI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-f-qt-iVGPvw/Tx7b0nhFuBI/AAAAAAAAPl8/xCnZo7xJgkQ/s72-c/BILAL.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5921271272759093171</id><published>2012-01-24T19:07:00.002+03:00</published><updated>2012-01-24T19:09:31.828+03:00</updated><title type='text'>JK akutana na mjumbe maalum wa Cuba</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-1J8TRcA5-i0/Tx7Xtn6r5fI/AAAAAAAAPlw/h41YG2TEU4A/s1600/cuba.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 199px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-1J8TRcA5-i0/Tx7Xtn6r5fI/AAAAAAAAPlw/h41YG2TEU4A/s320/cuba.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701231357106841074" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Januari 24, 2012, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Masula ya Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara katika Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Cuba, Bwana Alberto Velazco San Jose.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, Rais Kikwete na Bwana San Jose wamezungumzia masuala yanayohusu uhusiano kati ya Tanzania na Cuba, masuala ya kanda ya Afrika na masuala mbalimbali ya kimataifa likiwamo lile la vikwazo ambazo Marekani iliiwekea Cuba tokea miaka ya 1960 na inaviendeleza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Uhusiano mzuri, wa karibu na wa miaka mingi ni kielelezo halisi cha jinsi nchi mbili ndogo na zinazoendelea zinavyoweza kushirikiana na kusaidiana kama ndugu,” Rais Kikwete amesema katika mazungumzo hayo na kuongeza, “Nipende pia kuishukuru Cuba na wananchi wa Cuba kwa kuunga mkono jitihada za maendeleo za nchi yetu miaka yote hii pamoja na kwamba mmeendelea kupambana na vikwazo vikubwa vya kila aina.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa miaka mingi, Tanzania na Cuba zimekuwa zinashirikiana katika masuala mengi na kusaidiana katika masuala ya kimataifa, na Cuba imeunga mkono jitihada za maendeleo ya Tanzania katika nyanja mbalimbali zikiwamo za afya, elimu na michezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bwana Alberto Valazco San Jose amemjulisha Rais Kikwete kuhusu mageuzi ya kiuchumi ambayo nchi hiyo inayafanya kwa kufungua uchumi wake kutoka uchumi wa dola na kuuelekeza kwenye uchumi wa soko ambako watu binafsi wanapata nafasi kushiriki katika uchumi wa nchi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tunafanya mageuzi makubwa katika uchumi wetu kwa kuutoa kwenye uchumi wa dola na kuruhusu sekta binafsi kushiriki kwenye ujenzi wa uchumi huo. Tunafanya mageuzi lakini hatuna haraka kwa sababu hatutaki kufanya makosa katika jambo hili,” amesema Mkurugenzi huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye Rais Kikwete ametumia nafasi hiyo kumjulisha Mkurugenzi huyo kuhusu jitihada za Serikali yake katika kujenga mazingira ya kuwaletea maisha bora Watanzania kwa kumweleza jitihada za Serikali kupambana na ugonjwa wa malaria, kuongeza uzalishaji wa sukari, kuongeza uzalishaji wa umeme, kupanua na kuboresha elimu na kuongeza upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Cuba ni moja ya mataifa yanayoongoza duniani kwa uzalishaji wa sukari, na imekuwa inajenga kiwanda cha dawa ya kuua mbu katika jitihada zake za kuisaidia Tanzania kukabiliana na ugonjwa wa malaria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete pia amemweleza mgeni huyo kuhusu jitihada za Serikali yake katika kuboresha miundombinu nchini kwa kuboresha usafiri wa reli, kukabiliana na matatizo katika usafiri wa anga, upanuzi na uboreshaji wa bandari za Tanzania na uendelezaji wa ujenzi wa barabara za lami nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bwana Alberto Valelazco San Jose yuko katika ziara za nchi za Afrika akiwa njiani kwenda Addis Ababa, Ethiopia kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika (AU) utakaofanyika Januari 29-30 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati huo huo, Rais Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Kundi la Makampuni ya Frontline Development Partners ya Dubai inayotaka kuwekeza katika masuala ya maji, kilimo cha miwa na uzalishaji wa sukari, usafirishaji wa reli na uzalishaji wa umeme. &lt;br /&gt;    &lt;br /&gt;Imetolewa na:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,&lt;br /&gt;Ikulu,&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;24 Januari, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5921271272759093171?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5921271272759093171/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5921271272759093171' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5921271272759093171'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5921271272759093171'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/jk-akutana-na-mjumbe-maalum-wa-cuba.html' title='JK akutana na mjumbe maalum wa Cuba'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-1J8TRcA5-i0/Tx7Xtn6r5fI/AAAAAAAAPlw/h41YG2TEU4A/s72-c/cuba.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3413249332219135822</id><published>2012-01-24T16:45:00.002+03:00</published><updated>2012-01-24T16:49:28.531+03:00</updated><title type='text'>Busara wasema sasa wapo tayari kwa Tamasha la Muziki</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-CsIMt2Uj_o4/Tx62tkjB4HI/AAAAAAAAPlk/GeZqO2cYYwM/s1600/waziri.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-CsIMt2Uj_o4/Tx62tkjB4HI/AAAAAAAAPlk/GeZqO2cYYwM/s320/waziri.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701195072318595186" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Waziri akizungumza na waandishi juu ya ujio wa tamasha la busara&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;WAANDAAJI wa tamasha la Sauti za Busara wametamba kuwa maandalizi kuhusiana na tamasha hilo yanaenda vizuri na litakuwa la aina yake kwa mwaka huu.Pia wamesema mwimbaji mahiri nchini Judith Wambura 'Ladyjaydee' hatashiriki katika tamasha la mwaka huu.&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mwenyekiti wa Tamasha la Sauti za Busara 2012, Waziri Ally alisema kuwa msanii huyo amewaeleza kuwa ni mgonjwa na ameshauriwa na madaktari kupumzika na kuwa ratiba ilikuwa inaonesha alipaswa kupanda jukwaani siku ya ufunguzi Februari 8 mwaka huu, mjini Zanzibar.&lt;br /&gt;Ally alisema licha ya msanii huyo kutokuwepo, bendi yake ya Machozi itatoa burudani ambapo  atatafutwa msanii mwingine atakayeimba na  bendi hiyo.&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, Ally alisema kuwa tofauti na miaka ya nyuma mwaka huu tamasha la Busara kutakuwa na shindano la mchiriku ambapo vikundi vya Seven Survivor  na Jagwa vitapambana jukwaani.&lt;br /&gt;Naye ofisa wa tamasha hilo, Stella Stephen alisema kuwa kitengo chake kilipata maombi 560 ya wasanii waliokuwa wakitaka kushiriki tamasha hilo.&lt;br /&gt;Alisema kuwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva wameshindwa kuchaguliwa kwa kuwa waliotuma maombi wameshindwa kuonesha uwezo wao wa kuimba live kwa asilimia 100.&lt;br /&gt;Alisema kuwa kutokana na hilo wasanii waliochaguliwa ni wale wenye uwezo wa kuimba muziki wa live na hivyo kwa wengi wa wasanii wa muziki wa Bongo Flava walishindwa kupata nafasi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3413249332219135822?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3413249332219135822/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3413249332219135822' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3413249332219135822'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3413249332219135822'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/busara-wasema-sasa-wapo-tayari-kwa.html' title='Busara wasema sasa wapo tayari kwa Tamasha la Muziki'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-CsIMt2Uj_o4/Tx62tkjB4HI/AAAAAAAAPlk/GeZqO2cYYwM/s72-c/waziri.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6303499512408168311</id><published>2012-01-24T16:14:00.003+03:00</published><updated>2012-01-24T16:17:17.030+03:00</updated><title type='text'>Jua lalipuka na kutishia mawasiliano duniani</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-Hkuk4YOWj-o/Tx6u5gTyksI/AAAAAAAAPlY/ae0zAsoDD50/s1600/vimbunga.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 259px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-Hkuk4YOWj-o/Tx6u5gTyksI/AAAAAAAAPlY/ae0zAsoDD50/s320/vimbunga.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701186481246343874" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;picha iliyotolewa na  NASA kuhusu hali ya jua usiku wakati lilipolipuka.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JUA ambalo ni mhimili wa mfumo wa sayari ambapo maisha yanategemea limelipuka  Jumapili iliyopita na kutuma mionzi yake hatari duniani ambayo kwa kawaida husababisha matatizo katika mfumo wa mawasiliano.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa taarifa za wataalamu mlipuko huo  ambao haujawahi kutokea katika kipindi cha miaka sita sasa, umetokea USIKU (saa 11pm EST) na kwamba milipuko zaidi inatarajiwa.&lt;br /&gt;Mionzi iliyozalishwa katika  mlipuko huo w amwanzo utaipiga dunia mara tatu na kutoa athari za aina tatu lakini kubwa zaidi ni mionzi hatari.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa taarifa ya National Oceanic and Atmospheric Administration's Space Weather Prediction Center  iliyopo Colorado mionzi hiyo hatari inaweza kuvuruga mawasiliano hasa ya setelaiti na watu watakaokuwa wanafanyakazi angani.&lt;br /&gt;Aidha italeta shida kubwa kwa  ndege zitakazokuwa zikisafiri kwenye kizio cha kaskazini, alisema mfizikia wa kituo hicho Doug Biesecker.&lt;br /&gt;Mionzi hiyo kutoka kmwenye jua ilifika duniani Jumapili na inatareajkiwa kuendelea mpaka kesho Jumatano.&lt;br /&gt;Inaamimika kwamba mlipuko wa sasa ni mkubwa zaidi ingawa ilishawahi kuwapo iliyokuwa sawa na huu wa sasa. Inaaminika kwamba mionzi hii ni mikubwa tangu Mei mwaka 2005 wakati jua lilipolipuka.Mionzi hiyo iliyo katika mfumo wa protoni (dutu chanya) zikitembea kiasi cha maili milioni 93 kwa saa.&lt;br /&gt;"The whole volume of space between here and Jupiter is just filled with protons and you just don't get rid of them like that," Biesecker said. That's why the effects will stick around for a couple days.&lt;br /&gt;NASA's flight surgeons and solar experts examined the solar flare's expected effects and decided that the six astronauts on the International Space Station do not have to do anything to protect themselves from the radiation, spokesman Rob Navias said.&lt;br /&gt;A solar eruption is followed by a one-two-three punch, said Antti Pulkkinen, a physicist at NASA's Goddard Space Flight Center in Maryland and Catholic University.&lt;br /&gt;First comes electromagnetic radiation, followed by radiation in the form of protons.&lt;br /&gt;Then, finally the coronal mass ejection — that's the plasma from the sun itself — hits. Usually that travels at about 1 or 2 million miles per hour, but this storm is particularly speedy and is shooting out at 4 million miles per hour, Biesecker said.&lt;br /&gt;It's the plasma that causes much of the noticeable problems on Earth, such as electrical grid outages. In 1989, a solar storm caused a massive blackout in Quebec. It can also pull the northern lights further south.&lt;br /&gt;But this coronal mass ejection seems likely to be only moderate, with a chance for becoming strong, Biesecker said. The worst of the storm is likely to go north of Earth.&lt;br /&gt;And unlike last October, when a freak solar storm caused auroras to be seen as far south as Alabama, the northern lights aren't likely to dip too far south this time, Biesecker said. Parts of New England, upstate New York, northern Michigan, Montana and the Pacific Northwest could see an aurora but not until Tuesday evening, he said.&lt;br /&gt;For the past several years the sun had been quiet, almost too quiet. Part of that was the normal calm part of the sun's 11-year cycle of activity. Last year, scientists started to speculate that the sun was going into an unusually quiet cycle that seems to happen maybe once a century or so.&lt;br /&gt;Now that super-quiet cycle doesn't seem as likely, Biesecker said.&lt;br /&gt;Scientists watching the sun with a new NASA satellite launched in 2010 — during the sun's quiet period — are excited.&lt;br /&gt;"We haven't had anything like this for a number of years," Pulkkinen said. "It's kind of special."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SOURCE:&lt;br /&gt;NOAA's Space Weather Prediction Center: http://www.swpc.noaa.gov/&lt;br /&gt;NASA's Solar Dynamics Observatory: http://sdo.gsfc.nasa.gov/&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;P&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6303499512408168311?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6303499512408168311/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6303499512408168311' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6303499512408168311'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6303499512408168311'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/jua-lalipuka-na-kutishia-mawasiliano.html' title='Jua lalipuka na kutishia mawasiliano duniani'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-Hkuk4YOWj-o/Tx6u5gTyksI/AAAAAAAAPlY/ae0zAsoDD50/s72-c/vimbunga.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8844433256021939614</id><published>2012-01-24T15:02:00.000+03:00</published><updated>2012-01-24T15:03:08.731+03:00</updated><title type='text'>MAREKEBISHO YA RATIBA LIGI KUU YA VODACOM</title><content type='html'>Kamati ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imefanya marekebisho&lt;br /&gt;madogo kwenye ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom kutokana na Uwanja wa CCM Kirumba jijini&lt;br /&gt;Mwanza kutumika kwa sherehe za kitaifa za kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi (CCM). &lt;br /&gt;Mechi namba 111 kati ya Toto Africans na African Lyon ambayo kwa mujibu wa ratiba&lt;br /&gt;ilikuwa ichezwe Februari 5 mwaka huu Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza sasa&lt;br /&gt;itachezwa Aprili 18 mwaka huu. &lt;br /&gt;Mabadiliko hayo yamefanyika baada ya wamiliki wa Uwanja wa CCM Kirumba, Chama Cha&lt;br /&gt;Mapinduzi (CCM) kueleza kuwa watautumia kwa sherehe za kuzaliwa chama chao, hivyo&lt;br /&gt;hautakuwa na nafasi kwa Februari 4, 5 na 6 mwaka huu.  &lt;br /&gt;Uamuzi huo umesababisha pia mabadiliko kwa mechi nyingine mbili. Mechi namba 168&lt;br /&gt;kati ya Villa Squad na African Lyon iliyokuwa ichezwe Aprili 18 mwaka huu Uwanja wa&lt;br /&gt;Chamazi jijini Dar es Salaam, sasa itachezwa Aprili 22 mwaka huu. &lt;br /&gt;Pia mechi namba 170 kati ya Azam na Toto Africans iliyokuwa ichezwe Aprili 29 mwaka&lt;br /&gt;huu jijini Dar es Salaam sasa imerudishwa nyuma hadi Aprili 26 mwaka huu ambayo ni&lt;br /&gt;Sikukuu ya Muungano.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;VIINGILIO MECHI YA TWIGA STARS, NAMIBIA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Kiingilio cha chini kwa mechi ya kufuzu kwa fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC)&lt;br /&gt;kati ya Twiga Stars na Namibia itakayochezwa Jumapili (Januari 29 mwaka huu) Uwanja&lt;br /&gt;wa Taifa, Dar es Salaam kitakuwa sh. 2,000. &lt;br /&gt;Kiwango hicho ni kwa washabiki kwa viti vya bluu na kijani. Viti hivyo kwa pamoja&lt;br /&gt;vinachukua jumla ya watazamaji 36,693 kwenye uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua&lt;br /&gt;washabiki 60,000. &lt;br /&gt;Pia kutakuwa na kiingilio cha watoto wenye umri wa chini ya miaka 10 ambacho ni sh.&lt;br /&gt;1,000. Watoto watakaotumia tiketi hizo wanatakiwa kuingia uwanjani wakiwa na wazazi&lt;br /&gt;au walezi wao. &lt;br /&gt;Viingilio vingine kwa mechi hiyo ni sh. 3,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh.&lt;br /&gt;5,000 kwa VIP B na C n ash. 10,000 kwa VIP A. &lt;br /&gt;Namibia inatarajia kuwasili nchini Ijumaa (Januari 27 mwaka huu) saa 12.45 jioni kwa&lt;br /&gt;ndege ya South Africa Airways. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;LIGI KUU VODACOM KUWANIA UBINGWA WA BARA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mzunguko wa 14 wa Ligi Kuu ya Vodacom unamalizika kesho (Januari 25 mwaka huu) kwa&lt;br /&gt;mechi mbili zitakazochezwa kwenye viwanja tofauti jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Simba itakuwa mwenyeji wa Coastal Union kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Viingilio vitakuwa sh. 3,000 kwa viti vya bluu na kijani, sh. 5,000 kwa viti vya&lt;br /&gt;rangi ya chungwa, sh. 10,000 kwa VIP B na C, sh. 15,000 kwa VIP A.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Nayo Azam itakuwa mgeni wa African Lyon katika mechi namba 97 itakayochezwa Uwanja&lt;br /&gt;wa Chamazi. Viingilio katika mechi hiyo ni sh. 10,000 kwa Jukwaa Kuu na sh. 3,000&lt;br /&gt;mzunguko.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8844433256021939614?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8844433256021939614/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8844433256021939614' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8844433256021939614'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8844433256021939614'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/marekebisho-ya-ratiba-ligi-kuu-ya.html' title='MAREKEBISHO YA RATIBA LIGI KUU YA VODACOM'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7682862596691755420</id><published>2012-01-24T14:59:00.001+03:00</published><updated>2012-01-24T15:01:39.321+03:00</updated><title type='text'>KIKUNDI CHA UPANDAJI MITI KITOGANI CHAJIVUNIA KAZI YAKE</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-C1pqh8BGKX4/Tx6dHkTTReI/AAAAAAAAPlA/ZRdTst8scpU/s1600/DSC_0753.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-C1pqh8BGKX4/Tx6dHkTTReI/AAAAAAAAPlA/ZRdTst8scpU/s320/DSC_0753.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701166931626903010" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wanakikundi wanaojishuhulisha na upandaji miti wakiwa&lt;br /&gt;wanapalilia shamba la  Miti aina ya Mivinje huko katika kijiji cha Kitogani&lt;br /&gt;Mkoa wa Kusini Unguja.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-JlvKNjtLqhA/Tx6dHgcs8jI/AAAAAAAAPk0/Emh40lWg3Xg/s1600/DSC_0750.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-JlvKNjtLqhA/Tx6dHgcs8jI/AAAAAAAAPk0/Emh40lWg3Xg/s320/DSC_0750.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701166930592592434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wanakikundi wanaojishuhulisha na upandaji miti wakiwa katika&lt;br /&gt;shamba la Miti aina ya Mivinje huko katika Kijiji chao Kitogani mkoa wa&lt;br /&gt;Kusini Unguja.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-eTB9MVs-IIc/Tx6dIAj4bmI/AAAAAAAAPlQ/o66nWoJkrN8/s1600/DSC_0776.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-eTB9MVs-IIc/Tx6dIAj4bmI/AAAAAAAAPlQ/o66nWoJkrN8/s320/DSC_0776.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701166939212639842" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wanakikundi wanaojishuhulisha na upandaji miti wakipima&lt;br /&gt;Kigogo cha mti ili kujuwa Upevu wa mti huo na unavyoendelea kwake kukua.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;SOURCE: YUSSUF SIMAI MAELEZO ZANZIBAR.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7682862596691755420?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7682862596691755420/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7682862596691755420' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7682862596691755420'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7682862596691755420'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kikundi-cha-upandaji-miti-kitogani.html' title='KIKUNDI CHA UPANDAJI MITI KITOGANI CHAJIVUNIA KAZI YAKE'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-C1pqh8BGKX4/Tx6dHkTTReI/AAAAAAAAPlA/ZRdTst8scpU/s72-c/DSC_0753.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6796797969857924464</id><published>2012-01-24T14:57:00.001+03:00</published><updated>2012-01-24T14:57:34.332+03:00</updated><title type='text'>YANGA YATAKIWA KUMLIPA NJOROGE SH. MILIONI 17</title><content type='html'>Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kupitia kitengo chake cha utatuzi&lt;br /&gt;wa migogoro (Dispute Resolution Chamber- DRC) limeagiza klabu ya Yanga kumlipa&lt;br /&gt;mchezaji John Njoroge sh. 17,159,800 ikiwa ni fidia kwa kuvunja mkataba wake kinyume&lt;br /&gt;cha taratibu.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Uamuzi huo wa DRC chini ya Jaji Theo van Seggelen ambaye ni raia wa Uholanzi&lt;br /&gt;ulifanywa Desemba 7 mwaka jana jijini Zurich, Uswisi na kutumwa TFF kwa njia ya DHL,&lt;br /&gt;Januari 17 mwaka huu. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Njoroge ambaye ni raia wa Kenya aliwasilisha kesi yake FIFA kupinga Yanga kuvunja&lt;br /&gt;mkataba alioingia wa kuichezea timu yao kinyume na makubaliano. Mchezaji huyo hivi&lt;br /&gt;sasa anachezea timu ya Tusker ambayo ni mabingwa wa Kenya.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Yanga ina siku nne za kukata rufani kupinga uamuzi huo kuanzia tarehe iliyoupokea&lt;br /&gt;kama inataka kufanya hivyo. Klabu hiyo inatakiwa iwe imeshamlipa Njoroge ndani ya&lt;br /&gt;siku 30 tangu ilipopokea uamuzi huo. Ikishindwa kulipa ndani ya muda huo, itatozwa&lt;br /&gt;riba ya asilimia 5 kwa mwaka ya fedha hizo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ikiwa Yanga itashindwa kulipa ndani ya muda huo vilevile suala hilo litafikishwa&lt;br /&gt;mbele ya Kamati ya Nidhamu ya FIFA kwa hatua zaidi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source: Creation de site internet&lt;br /&gt;Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6796797969857924464?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6796797969857924464/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6796797969857924464' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6796797969857924464'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6796797969857924464'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/yanga-yatakiwa-kumlipa-njoroge-sh.html' title='YANGA YATAKIWA KUMLIPA NJOROGE SH. MILIONI 17'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2807516058813236489</id><published>2012-01-24T14:21:00.001+03:00</published><updated>2012-01-24T14:25:54.528+03:00</updated><title type='text'>WADAU WAIPONGEZA BASATA KURATIBU MATUKIO YA SANAA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-VubCTUXsrBY/Tx6U7XvVpDI/AAAAAAAAPkc/vEAyv6BUSLw/s1600/1..jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-VubCTUXsrBY/Tx6U7XvVpDI/AAAAAAAAPkc/vEAyv6BUSLw/s320/1..jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701157926003385394" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais wa Shindano la Miss Utalii, Gideon Chipungahelo (Katikati) akiongea na wadau wa&lt;br /&gt;Sanaa kuhusu miaka mitano ya shindano hilo kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika&lt;br /&gt;kila wiki makao makuu ya BASATA. Kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Fedha wa&lt;br /&gt;Miss Utalii Aboubakar Omar na Mkuu wa Kitengo cha Matukio wa BASATA, Omary&lt;br /&gt;Mayanga,  &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepongezwa na wadau wa Sanaa kwa juhudi zake katika kusimamia na kuratibu matukio mbalimbali ya Sanaa hapa nchini na kuyafanya kudumu.&lt;br /&gt;Pongezi hizo zimetolewa wiki hii na wadau wa Sanaa wakati wakichangia mjadala uliohusu miaka mitano ya shindano la miss utalii na sanaa ya urembo nchini kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika kwenye Ukumbi wa BASATA uliopo Ilala, Sharif Shamba.&lt;br /&gt;Akizungumza wakati akieleza historia za shindano hilo, Rais wa Miss Utalii, Gideon Chipungahelo alisema kuwa, BASATA imekuwa bega kwa bega na shindano hilo katika kuhakikisha miongozo na kanuni mbalimbali za kuendesha mashindano zinafuatwa na kusisitiza kuwa, hiyo ndiyo sababu ya shindano hilo kuweza kupata baadhi ya mafanikio ya ndani na nje ya nchi.&lt;br /&gt;“Naishukuru Serikali na BASATA, kila mara wamekuwa wakitoa maelekezo na miongozo ambayo imelifanya shindano hili kufikia mafanikio haya ingawa kumekuwa na changamoto kadhaa hasa za kukosa wadhamini” alisistiza Chipungahelo.&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa, BASATA imekuwa mara kwa mara ikikutana na kamati ya miss utalii na kuipa maelekezo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufanya tathimini na wadau wa sanaa ya urembo ambao wamekuwa wakitoa michango ya kuliboresha shindano hilo.&lt;br /&gt;Awali wadau wa Jukwaa la Sanaa walipata wasanii wa kutoa maoni na ushauri kuhusu shindano la miss utalii ambapo walitoa changamoto kadhaa na kushauri jinsi ya kuzitatua na kulifanya shindano hilo lizidi kusonga mbele “Shindano hili ni zuri na ni&lt;br /&gt;kiungo kizuri cha kukuza utalii kama waandaaji watalisimamia vizuri, ni vema&lt;br /&gt;kuwa na kamati  maalum ya uendeshaji inayowajibika na wadhamini waone umuhimu wa kulifadhili shindano hili” alishauri Mzee Mwali Ibrahim ambaye ni mwandishi wa habari za uchumi wa gazeti la Majira.&lt;br /&gt;Aliishauri kamati ya miss utalii kuliunganisha shindano hilo na maendeleo ya sekta ya sanaa nchini.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-_6uYP1T0WwQ/Tx6U7kYq03I/AAAAAAAAPko/_C8pat_N-ws/s1600/5.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-_6uYP1T0WwQ/Tx6U7kYq03I/AAAAAAAAPko/_C8pat_N-ws/s320/5.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701157929397965682" /&gt;&lt;/a&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; Wadau wa Sanaa wakifuatilia majadiliano kuhusu miaka mitano ya shindano la Miss&lt;br /&gt;Utalii. &lt;/span&gt;&lt;br /&gt; &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2807516058813236489?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2807516058813236489/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2807516058813236489' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2807516058813236489'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2807516058813236489'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/wadau-waipongeza-basata-kuratibu.html' title='WADAU WAIPONGEZA BASATA KURATIBU MATUKIO YA SANAA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-VubCTUXsrBY/Tx6U7XvVpDI/AAAAAAAAPkc/vEAyv6BUSLw/s72-c/1..jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5717996153249012669</id><published>2012-01-24T12:06:00.003+03:00</published><updated>2012-01-24T12:13:40.804+03:00</updated><title type='text'>SHIRIKA LA MICHEZO YA OLIMPIKI MAALUM YAITUNZA STANBIC NA CHETI CHA SHUKRANI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-cQOH5Bmzc3I/Tx51sj_s_cI/AAAAAAAAPkE/MgICAn_GAmY/s1600/stanbic.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 214px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-cQOH5Bmzc3I/Tx51sj_s_cI/AAAAAAAAPkE/MgICAn_GAmY/s320/stanbic.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701123586734751170" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya Stanbic, Abdallah Singano (kulia) akionyesha medali ya shaba aliyoshinda Mwanaharusi Risasi (kushoto) katika michezo ya Olimpiki Maalum iliyofanyika jijini Athens, Ugiriki mwaka jana katika hafla ya kuikabidhi Benki ya Stanbic cheti cha shukrani kwa msaada wa pesa taslimu 3milioni/- iliyoutoa ili kuiwezesha timu ya Tanzania kushiriki michezo hiyo mwaka jana.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Shirika la Michezo ya Olimpiki Maalum Tanzania (Special Olympics) limetunukia Benki ya Stanbic cheti cha shukrani kwa mchango wake katika kufanikisha ushiriki wa timu kutoka Tanzania kushiriki katika michezo ya Olimpiki hiyo maalum iliyofanyika jijini Athens, Ugiriki mwaka jana.&lt;br /&gt;Benki ya Stanbic ilitoa mchango wa kiasi cha shilingi 3milioni/- ili kuisaidia timu hiyo kushiriki katika Michezo hiyo ya Dunia ya majira ya kiangazi (World Summer Games) iliyofanyika kuanzia tarehe 25 Juni hadi tarehe 4 Julai mwaka 2011.&lt;br /&gt;Timu hiyo iliundwa na wanamichezo 11 ambao wote walirudi medali mbali mbali za shaba, fedha na dhahabu baada ya kufuzu katika michezo mbalimbali. Wanamichezo hawa waliizolea timu ya Tanzania medali 12 katika michezo hiyo ambapo 6 ni za dhahabu, 4 ni za shaba na 2 ni za fedha. &lt;br /&gt;Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi cheti hicho iliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya Benki ya Stanbic jijini Dar es Salaam na ambayo pia iliyohudhuriwa na mwakilishi mmoja wa timu hiyo Bi. Mwanaharusi Risasi, mwakilishi wa shirika hilo Nd. Frank Macha alisema kuwa shirika hilo lilishurutika kuandaa ujio maalum ili kuonyesha shukrani yake kwa Benki ya Stanbic kwa msaada wake ulioisaidia timu hiyo kushiriki michezo hiyo ambapo iliweza kufanya vizuri sana. &lt;br /&gt;“Tungependa kutoa shukrani zetu za dhati kwa Benki ya Stanbic kwa kuiwezesha timu yetu kushiriki katika michezo hii mwaka jana. Tumefurahi sana kushiriki michezo hii kwa sababu timu yetu ilikuwa imejiandaa vizuri sana na kila mmoja wa wanamichezo wetu alirudi na medali ya ushindi. Kwetu sisi huu ni ushindi mkubwa sana na tutaendelea kuhakikisha tunashiriki michezo zaidi na kujenga timu bora zaidi”, aliendelea Macha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-jL5jkxC6qZ4/Tx51s8QJ5II/AAAAAAAAPkQ/5baWaez1A0g/s1600/kabidhi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-jL5jkxC6qZ4/Tx51s8QJ5II/AAAAAAAAPkQ/5baWaez1A0g/s320/kabidhi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5701123593246205058" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya Stanbic, Abdallah Singano (kulia) akipokea kwa niaba ya benki hiyo cheti cha shukrani kilichotolewa na Shirika la Michezo ya Olimpiki Maalum kutoka kwa Mwanaharusi Risasi ambaye ni mmoja wa wanamichezo waliokwenda kwenye Olimpiki hiyo. Stanbic ilitoa msaada wa pesa taslimu 3milioni/ mwaka jana uliofanikisha timu hiyo kwenda na kufanya vizuri katika michezo iliyofanyika jijini Athens, Ugiriki. Kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Olimpiki Maalum Agnes Ally.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Akipokea cheti hicho kwa niaba ya Benki ya Stanbic, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano ya Kampuni, Nd. Abdallah Singano alisema kuwa Stanbic imefurahi zaidi na inajivunia kuwa mmoja wa waliochangia kufanikisha ushiriki wa timu hiyo katika michezo na aliwapongeza wanamichezo hao kwa mafanikio waliyoyapata. “Tunajivunia kuwa sehemu ya mafanikio ya timu hii muhimu na tunalipongeza Shirika la Michezo ya Olimpiki ya Walemavu wa Akili kwa jitihada zake katika kuhakikisha kuwa timu yetu imejizatiti. Tunatoa pongezi za dhati kwa timu kwa kazi nzuri waliyofanya,” alisema Singano.&lt;br /&gt;Tanzania ni moja ya nchi 200 duniani zilizo katika programu hii inayotoa mafunzo na mashindano ya kimichezo kupitia michezo mbalimbali ya ki-Olimpiki kwa watoto na watu wazima wenye ulemavu wa akili.&lt;br /&gt;Benki ya Stanbic Tanzania inajiendesha kwa kuzingatia kuwajibika kijamii kupitia mienendo yake kibiashara na kushiriki kwake katika mipango mbalimbali ya huduma kwa jamii inayolenga kuboresha jamii benki hiyo inamoendeshea biashara yake. Benki ya Stanbic iko tayari kukuza maendeleo ya kiuchumi na pia kushiriki katika kuboresha asasi za kijamii na ustawi wa binadamu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5717996153249012669?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5717996153249012669/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5717996153249012669' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5717996153249012669'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5717996153249012669'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/shirika-la-michezo-ya-olimpiki-maalum.html' title='SHIRIKA LA MICHEZO YA OLIMPIKI MAALUM YAITUNZA STANBIC NA CHETI CHA SHUKRANI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-cQOH5Bmzc3I/Tx51sj_s_cI/AAAAAAAAPkE/MgICAn_GAmY/s72-c/stanbic.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8276016408169369038</id><published>2012-01-23T20:32:00.003+03:00</published><updated>2012-01-23T20:35:33.709+03:00</updated><title type='text'>Filamu ya Kate Beckinsale ya Underworld yajikita kileleni Marekani</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-KSyDAC5TXVI/Tx2aOp5X2cI/AAAAAAAAPj4/UpbyI8Cuu2o/s1600/Kate%2BBeckinsale%2BUnderworld%2B4%2B%25281%2529.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 232px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-KSyDAC5TXVI/Tx2aOp5X2cI/AAAAAAAAPj4/UpbyI8Cuu2o/s320/Kate%2BBeckinsale%2BUnderworld%2B4%2B%25281%2529.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700882279876254146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Filamu ya nne inayozungumza jamii ya nyonya damu, ambayo imemrejesha Kate Beckinsale, katika patashika ngumu za madude imejikita kileleni katika chati za sinema za Marekani.&lt;br /&gt;Filamu hiyo Underworld Awakening made mwishoni mwa wiki ilikuwa imetengeneza dola za Marekani milioni 25.4 (£16.3m) .&lt;br /&gt;Beckinsale  alicheza sinema mbili za kwanza za nyonya damu( vampire) akajiondoa ya tatu na kurejea hii ya nne.&lt;br /&gt;Rais wa Sony, Rory Bruer, amesema mafanikio ya sinema ya sasa yanatokana na Beckinsale .&lt;br /&gt;"She is such a force. Her character - you just can't take your eyes off her. I know the character is very dear to her as well, and she just kills it," he said.&lt;br /&gt;Red Tails, about the first black fighter pilots to serve in World War II - the Tuskegee Airman - entered the chart at number two.&lt;br /&gt;The movie, executive produced by George Lucas, made an estimated $19.1m (£12.3m), well above expectations according to its studio, 20th Century Fox.&lt;br /&gt;"I believe what George Lucas has stated all along - this is an important story and a story that must be told," said the studio's Chris Aronson.&lt;br /&gt;Last week's number one, Contraband, starring Mark Wahlberg, dropped to number three with $12.2m (£7.8m).&lt;br /&gt;September 11 drama, Extremely Loud and Incredibly Close, starring Tom Hanks and Sandra Bullock, came in fourth with $10.5m (£6.8m).&lt;br /&gt;Stephen Soderbergh's Haywire was fifth with takings of $9m (£5.8m).&lt;br /&gt;Rounding out the top 10 were the Disney re-release of Beauty and the Beast at six, Joyful Noise at seven, Mission: Impossible - Ghost Protocol at eight, Sherlock Holmes: A Game of Shadows at nine and The Girl with the Dragon Tattoo at 10.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8276016408169369038?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8276016408169369038/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8276016408169369038' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8276016408169369038'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8276016408169369038'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/filamu-ya-kate-beckinsale-ya-underworld.html' title='Filamu ya Kate Beckinsale ya Underworld yajikita kileleni Marekani'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-KSyDAC5TXVI/Tx2aOp5X2cI/AAAAAAAAPj4/UpbyI8Cuu2o/s72-c/Kate%2BBeckinsale%2BUnderworld%2B4%2B%25281%2529.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7242693763057277154</id><published>2012-01-23T18:33:00.005+03:00</published><updated>2012-01-23T19:30:45.783+03:00</updated><title type='text'>Kikwete aongoza maziko ya Sumari</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-XgFagSpCnqY/Tx2BIDIaDQI/AAAAAAAAPjM/HUtcCcXTIiQ/s1600/kwa%2Bishara%2Bya%2Bmsalaba.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-XgFagSpCnqY/Tx2BIDIaDQI/AAAAAAAAPjM/HUtcCcXTIiQ/s320/kwa%2Bishara%2Bya%2Bmsalaba.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700854678600420610" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mama Makinda akifanya ishara ya msalaba wakati akimuaga Sumari&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;RAIS Jakaya Kikwete leo amewaongoza mamia ya waombolezaji katika maziko ya aliyekua&lt;br /&gt;mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki(CCM)Jeremiah Sumari aliyefariki dunia&lt;br /&gt;januari 19 mwaka huu jijini Dar es salaam kwa ugonjwa wa saratani ya ubongo.Maziko hayo yaliyofanyika katika kijiji cha Akeri wilayani Arumeru Mkoani Arusha katika makaburi ya familia ya marehemu Mzee Solomoni Sumari ambapo ndipo alipozikwa pia marehe baba yake huyo.&lt;br /&gt;Akizungumza kabla ya maziko hayo waziri mkuu Pinda alisema serikali ya CCM inaahidi&lt;br /&gt;kutimiza ahadi zote zilizotolewa na marehemu Sumari kwa jimbo hilo ndani ya kipindi&lt;br /&gt;kifupi tangu kufariki kwake hapo januari 19. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-8vTt4v2CZP4/Tx2BJAzbt8I/AAAAAAAAPjk/5Ou2cqWXPTY/s1600/waziri%2Bmkuu%2Bakiaga.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-8vTt4v2CZP4/Tx2BJAzbt8I/AAAAAAAAPjk/5Ou2cqWXPTY/s320/waziri%2Bmkuu%2Bakiaga.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700854695155447746" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Waziri Mkuu Pinda akiwa aanamuaga Sumari&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Alisema Sumari aliahidi ahadi hizo kama mtu binafsi lakini kwakua kwasasa amefariki&lt;br /&gt;jukumu hilo litakua ni la serikali,chama chake cha CCM kwa kushirikiana na&lt;br /&gt;halmashauri na wananchi wa jimbo hilo. &lt;br /&gt;Akizungumzia maradhi ya mbunge huyo Pinda alisema serikali ilijitahidi kwa kila namna kuokoa maisha ya mbunge huyo ikiwa ni pamoja na kumsafirisha mara mbili kwenda nchini India kwa matibabu lakini ilishindikana kutokana na mapenzi ya mungu.&lt;br /&gt;Aliwataka wanafamilia akiwemo mjane wa marehemu huyo pamoja na watoto wake kutokata tama kutokana na msiba huyo bali waone kama ni changamoto kwao ili kuendeleza yale&lt;br /&gt;yote mazuri aliyoyaanzisha marehemu baba yao.&lt;br /&gt;Nae spika wa bunge Anne Makinga alisema bunge limempoteza mbunge muhimu katika&lt;br /&gt;ushauri wa masuala mbalimbali ya fedha kwa kuwa alikua akitumika sana&lt;br /&gt;katika kutafuta majibu ya mambo yaliyokua magumu katika bunge lake kuhusu&lt;br /&gt;fedha.&lt;br /&gt;Alisema mbunge huyo alikua mwadilifu katika kazi yake halia mbayo inapaswa kuigwa na&lt;br /&gt;viongozi wengine wa umma katika kujiuliza wao wamejiandaaje mara siku za maisha&lt;br /&gt;yao zitakapokamilika.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-6fpDFikrFwE/Tx2BIOBOSqI/AAAAAAAAPjc/057YurHRM2c/s1600/JK%2Baweka%2Bshada.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 214px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-6fpDFikrFwE/Tx2BIOBOSqI/AAAAAAAAPjc/057YurHRM2c/s320/JK%2Baweka%2Bshada.JPG" border="0"alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700854681523079842" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la Sumari&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7242693763057277154?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7242693763057277154/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7242693763057277154' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7242693763057277154'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7242693763057277154'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kikwete-aongoza-maziko-ya-sumari.html' title='Kikwete aongoza maziko ya Sumari'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-XgFagSpCnqY/Tx2BIDIaDQI/AAAAAAAAPjM/HUtcCcXTIiQ/s72-c/kwa%2Bishara%2Bya%2Bmsalaba.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3436542482426622770</id><published>2012-01-23T18:21:00.002+03:00</published><updated>2012-01-23T18:28:51.303+03:00</updated><title type='text'>Hwa ndio watanzania waliomwagiwa tindikali Zanzibar</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-dvAVl92ZvTk/Tx18mTTMEFI/AAAAAAAAPis/u8qqw5gtBH0/s1600/mke%2Bna%2Bmume%2Btindikali.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-dvAVl92ZvTk/Tx18mTTMEFI/AAAAAAAAPis/u8qqw5gtBH0/s320/mke%2Bna%2Bmume%2Btindikali.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700849700778545234" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfanyabiashara aliyejeruhiwa kwa risasi ya kichwa ikatokea shingoni na kumwagiwa tindikali, Alvind Asawla (42) akiwa hospitalini  kumwangalia mkewe wiki iliyopita.&lt;br /&gt;Sakata l;a mfanyabiashara huyu wa vileo na walinda usalama bado linaonekana kuwa bichi.Soma katika habarileo ya kesho.&lt;br /&gt;Polisi wanasema nini nay eye anathibitisha nini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-orRIX7PrhuU/Tx18mjK52fI/AAAAAAAAPi4/ZXUHuILfiJk/s1600/mke.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-orRIX7PrhuU/Tx18mjK52fI/AAAAAAAAPi4/ZXUHuILfiJk/s320/mke.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700849705038764530" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3436542482426622770?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3436542482426622770/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3436542482426622770' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3436542482426622770'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3436542482426622770'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/hwa-ndio-watanzania-waliomwagiwa.html' title='Hwa ndio watanzania waliomwagiwa tindikali Zanzibar'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-dvAVl92ZvTk/Tx18mTTMEFI/AAAAAAAAPis/u8qqw5gtBH0/s72-c/mke%2Bna%2Bmume%2Btindikali.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3000329940266998103</id><published>2012-01-23T17:48:00.002+03:00</published><updated>2012-01-23T17:50:21.992+03:00</updated><title type='text'>Wasanii watakiwa kuzijua Sheria za Filamu na Michezo ya Kuigiza</title><content type='html'>Wasanii wa Filamu na Michezo ya Kuigiza wameshauriwa kuzisoma nyaraka mbalimbali za Bodi ya Filamu ili wajue sheria na kanuni zinazohusu tasnia ya hiyo.&lt;br /&gt;Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam na Katibu Mtendaji wa Bodi ya&lt;br /&gt;Filamu nchini Joyce Fissoo alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya Sheria namba 4 ya&lt;br /&gt;Utengenezaji wa Filamu na Michezo ya Kuigiza ya mwaka 1976.&lt;br /&gt;Akifafanua juu ya sheria hiyo, Bi Fissoo alisema ndiyo inayoendelea&lt;br /&gt;kutumika mpaka sasa na kukanusha tuhuma zilizosambazwa na baadhi ya vyombo vya&lt;br /&gt;habari kuwa ya uwepo wa matumizi ya sheria mpya.&lt;br /&gt;“Hakuna Sheria mpya ya Filamu na Michezo ya Kuigiza iliyotungwa, Sheria inayoendelea kutumika ni ile ya mwaka 1976 bali kilichofanyika ni utekelezaji wa kanuni za sheria ya filamu na michezo ya kuigiza ambapo mchakato wake ulianza mwaka 2011.&lt;br /&gt;Akizungumzia juu ya malalamiko ya baadhi ya wasanii kushindwa kuhimili kulipa ada ya Sh. 500,000(laki tano)  Bi. Fissoo alisema kifungu cha 8 cha sheria hiyo kinampa Waziri mwenye dhamana husika kutoa msamaha wa malipo kwa msanii mchanga atakayeshindwa kulipa kiasi cha fedha hizo. &lt;br /&gt;“Ada wanayolipa wasanii ya Sh.500, 000 (laki tano) ipo toka siku za nyuma ambapo&lt;br /&gt;Sheria namba 4 ya Filamu na Michezo ya kuigiza inampa mamlaka Waziri husika&lt;br /&gt;kutoa msamaha kwa msanii mchanga atakayeshindwa kulipa ada hiyo”.alifafanua.&lt;br /&gt;Alisema kwamba msamaha wa ada ya sh. 500,000  utatatolewa pale tu msanii atakapotoa&lt;br /&gt;taarifa&lt;br /&gt;kwa Waziri husika na mara baada ya kujiridhisha ndipo msamaha utatolewa na&lt;br /&gt;kutangazwa kwenye gazeti la Serikali.&lt;br /&gt;Amewashauri wasanii wa Filamu kuwa Wazalendo kwa kutengeneza&lt;br /&gt;filamu zenye maadili ya Mtanzania na si kutengeneza Filamu zenye maudhui ya&lt;br /&gt;kimagharibi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Source:Benjamin Sawe&lt;br /&gt;Maelezo&lt;br /&gt;Dar es Salaam&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3000329940266998103?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3000329940266998103/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3000329940266998103' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3000329940266998103'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3000329940266998103'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/wasanii-watakiwa-kuzijua-sheria-za.html' title='Wasanii watakiwa kuzijua Sheria za Filamu na Michezo ya Kuigiza'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7002685169623496381</id><published>2012-01-23T17:43:00.001+03:00</published><updated>2012-01-23T17:45:22.666+03:00</updated><title type='text'>MAMBO YESHAHARIBIKA KENYA, KENYATTA NA WENGINE WATATU MATATANI</title><content type='html'>WAGOMBEA wawili wa urais watarajiwa nchini Kenya watasimama mahakamani kujibu mashitaka dhidi yao kuhusu ghasia zilizoambatana na mauaji mara baada ya uchaguzi mwaka 2007, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imeamua.  &lt;br /&gt;Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha, Uhuru Kenyatta na aliyekuwa Waziri, William Ruto, ni miongoni mwa maofisa wanne waandamizi nchini – ambao wote wanakana tuhuma hizo- ambao watasimama kizimbani.&lt;br /&gt;Mashitaka kwa washukiwa wengine wawili hayakuthibitishwa na Mahakama hiyo ya The Hague, Uholanzi. Kenyatta atasimama kizimbani sambamba na Katibu wa Baraza la mawaziri, Francis Muthaura.&lt;br /&gt;Wawili hao wanatuhumiwa kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu, ikiwa ni pamoja na mauaji na utesaji.&lt;br /&gt;Waziri wa zamani wa Elimu, Ruto na mtangazaji wa redio, Joshua arap Sang watasimama kizimbani katika kesi tofauti, kwa kuwa wakati wa uchaguzi huo walikuwa upande mwingine.&lt;br /&gt;Zaidi ya watu 1,200 waliuawa katika wiki kadhaa za machafuko na wengine 600,000 walilazimika kukimbia makazi yao na mpaka sasa wengi hawana makazi. &lt;br /&gt;Ghasia hizo zilianza kama mapambano kati ya wafuasi wa wagombea urais wawili mahasimu - Raila Odinga na Mwai Kibaki – lakini polepole yakaingia katika mapigano ya umwagaji damu miongoni mwa jamii. &lt;br /&gt;Walionusurika katika mchakato huo wa kimahakama ni aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mohammed Hussein Ali na aliyekuwa Waziri wa Viwanda, Henry Kosgey. &lt;br /&gt;“Ni matumaini yetu, kwamba uamuzi uliotolewa katika Mahakama hii leo utaleta amani kwa watu wa Jamhuri ya Kenya na kuzuia aina yoyote ya uhasama,” Jaji wa ICC, Ekaterina Trendafilova alisema. Wakenya wanaelekea katika uchaguzi mwingine mkuu unaotarajiwa kufanyika mapema mwakani.&lt;br /&gt;Trendafilova alisisitiza, kwamba uamuzi huo haumaanishi kwamba basi hao wanne wamepatikana na hatia, ila kuna ushahidi wa kutosha kuwapeleka kizimbani kusikiliza mashitaka yao.&lt;br /&gt;“Hatupitishi uamuzi kwamba wana hatia au hawana hatia,” alisema katika Mahakama hiyo jana. Habari hizo zilipokewa kwa furaha na kikundi cha kutetea haki za binadamu cha Human Rights Watch.&lt;br /&gt;Akizungumza baada ya uamuzi huo, Ruto alisema bado yumo kwenye mbio za urais na kwamba kuthibitishwa kwa mashitaka dhidi yake hakutamwathiri. &lt;br /&gt;“Kesi hii itamaliza miongo kadhaa ya kutoogopa kuvunja sheria nchini Kenya  na hasa kuhusiana na ghasia za kisiasa,” taarifa ya kikundi hicho cha haki za binadamu ilisema.&lt;br /&gt;“Lakini Kenya inapaswa kuchukua hatua ya kuongeza uwajibikaji kwa kuendesha kesi zake nyumbani.” &lt;br /&gt;Mwendesha Mashitaka Mkuu wa ICC, Luis Moreno-Ocampo, aliomba kufunguliwa kwa kesi mbili tofauti, ili kuonesha mpasuko wa kisiasa na kikabila uliochochea ghasia hizo za baada ya uchaguzi. &lt;br /&gt;Kenyatta, mfuasi wa Rais Kibaki, anashitakiwa kwa kuandaa kampeni ya ghasia ikiwa ni pamoja na mauaji na ubakaji dhidi ya wafuasi wa Odinga.&lt;br /&gt;Waendesha mashitaka wanadai kwamba alikutana na kikundi cha siri cha kuendesha uhalifu kinachojulikana kama Mungiki katika kituo cha biashara jijini hapa, kabla ya uchaguzi wa mwaka 2007 ili kupanga mashambulizi kadhaa.&lt;br /&gt;Mtoto huyo wa Rais wa Kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta, anatarajia kugombea urais katika uchaguzi ujao, huku wachambuzi wa masuala ya kisiasa wakisema ana nafasi kubwa ya kushinda.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7002685169623496381?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7002685169623496381/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7002685169623496381' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7002685169623496381'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7002685169623496381'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/mambo-yeshaharibika-kenya-kenyatta-na.html' title='MAMBO YESHAHARIBIKA KENYA, KENYATTA NA WENGINE WATATU MATATANI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5337718884087580421</id><published>2012-01-23T17:03:00.001+03:00</published><updated>2012-01-23T17:04:51.654+03:00</updated><title type='text'>JB BELMONT ALL SUITE HOTEL</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-cErUtzSfJd8/Tx1o-Lc5Z1I/AAAAAAAAPig/DIejB9HEXYI/s1600/JB%2Bbelmont.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-cErUtzSfJd8/Tx1o-Lc5Z1I/AAAAAAAAPig/DIejB9HEXYI/s320/JB%2Bbelmont.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700828120756086610" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;“Tanzania’s Preferred Business Class Hotel” &lt;br /&gt;A Four Star business Class Hotel in the heart of Dar Es Salaam City; it is now offering you the best rate never happen before. &lt;br /&gt;From US$100 you spend a night in a suite room with 24 hours room services inclusive of breakfast prepared by the best Chef in Africa. &lt;br /&gt;For meetings, workshops, conferences, events, weddings, parties, we have five Specious venues all equipped with state of the art facilities, provides a wide range of table set ups and seating arrangement to suit your personal &amp; groups needs. Kindly contact us for more detail and booking&lt;br /&gt;The JB Belmont All Suite Hotel is conveniently located in the heart of the business district, at Benjamin Mkapa Tower (opposite Posta Mpya), Azikiwe street.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Thank you&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5337718884087580421?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5337718884087580421/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5337718884087580421' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5337718884087580421'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5337718884087580421'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/jb-belmont-all-suite-hotel.html' title='JB BELMONT ALL SUITE HOTEL'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-cErUtzSfJd8/Tx1o-Lc5Z1I/AAAAAAAAPig/DIejB9HEXYI/s72-c/JB%2Bbelmont.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6857038963308802697</id><published>2012-01-23T13:32:00.004+03:00</published><updated>2012-01-23T16:36:31.564+03:00</updated><title type='text'>Kanumba,Ndauka wachanganya Red Carpet</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-YnQacKmqI18/Tx1g0Knu7_I/AAAAAAAAPhs/lBMnO97CDxA/s1600/Wanapendeza%2Bmzee%2Bmaghari%252C%2Buwoya%2Bna%2BChilo.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 288px; height: 216px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-YnQacKmqI18/Tx1g0Knu7_I/AAAAAAAAPhs/lBMnO97CDxA/s320/Wanapendeza%2Bmzee%2Bmaghari%252C%2Buwoya%2Bna%2BChilo.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700819152641388530" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Hawa walipendeza kati yao , si unajua?&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;MCHEZA sinema ambaye kwa sasa yupo juu katika tasnia ya filamu, Steven kanumba ameibuka kuwa muigizaji bora wa kiume katika MINI ZIFF RED CARPET iliyofanyika katika ukumbi wa New Maisha alfajiri ya kuamkia leo.&lt;br /&gt;Nafasi ya uigizaji bora wa kike ilikwenda kwa Rose Ndauka.Shughuli hiyo iliyojaza wasanii maarufu na chipukizi ilifana kutokana na wasanii wengi kusema ni kitu cha mara ya kwanza lakini kinachojali sana wasanii.&lt;br /&gt;Wasanii mbali mbali maarufu wa filamu za Kitanzania (Bongo Movies), wasanii maarufu&lt;br /&gt;wa Bongo Fleva na wadau mbali mbali wa sanaa nchini akiwa mwanamtindo maarufu kwa sasa Hassan Hassanali  walipita katika Red Carpet.&lt;br /&gt;Wasanii wote maarufu wa Bongo Movies na Bongo Fleva walihudhuria katika RED CARPET  ambapo wasanii AT na Offside Trick walikutanishwa katika jukwaa moja na kufanya vitu vyao.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-UPsxjSmaZYU/Tx1gzwBFidI/AAAAAAAAPhg/PxyU3txTbeU/s1600/nilikutana%2Bna%2Bbesti%2Baliyenihoji%2Binakuwaje%2Bsiku%2Bhizi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-UPsxjSmaZYU/Tx1gzwBFidI/AAAAAAAAPhg/PxyU3txTbeU/s320/nilikutana%2Bna%2Bbesti%2Baliyenihoji%2Binakuwaje%2Bsiku%2Bhizi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700819145499970002" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Nilikutana na best ambaye alinihoji inakuaje sionekani viwanja&lt;/span&gt;.&lt;br /&gt;MINI ZIFF RED CARPET iliyoandaliwa kufungua kampeni ya “ Nunua kazi halisi ya msanii wa nyumbani ili kukuza tasnia ya sanaa nchini" ilijaa mbwembwe zake hasa wasanii wa kike ambao walishindana kwa urefu wa vitu na rangi zake.&lt;br /&gt;Mmoja wa waandazi wa  shughuli hiyo dean Nyalusi amesema kwamba ZIFF imeona umuhimu wa kuanzisha kampeni hiyo ili kusaidia kusambaza ujumbe uwafikie watanzania wote ambao wengi wao wamekua wakinunua kazi zisizo halisi na hivyo kuwanyima mapato wasanii na kukwamisha maendeleo ya tasnia ya filamu.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-I_5ejIBv62Y/Tx1g1eQ-coI/AAAAAAAAPiQ/KvGNR7kI48M/s1600/walijaa%2Bpomoni.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-I_5ejIBv62Y/Tx1g1eQ-coI/AAAAAAAAPiQ/KvGNR7kI48M/s320/walijaa%2Bpomoni.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700819175094514306" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kulikuwa na mtu wa kutosha kutia wazimu, ilifana&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuwapo na tuzo ya muigizaji bora wa kike na wa kiume Red Carpet ZIFF pia ilitoa tuzo ya dairekta bora ambayo imeenda kwa Issa Mussa na filamu bora ni ya Senior Bachelor iliyoigizwa na Jacob Steven.&lt;br /&gt;Tuzo  nyingine Muigizaji  muugizaji bora anayechipukia Juma Rajabu (Zoba) huku mwanasinematografia bora ni Ibrahim kutoka Pilipili Entertainment.Tuzo ya kampuni bora inayowasaidia wasanii wa filamu ilienda kwa Steps Entertainment huku sauti bora ilinyakuliwa na filamu ya  Devils Kingdom.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-iWqGyhWlrg8/Tx1g1O-lxAI/AAAAAAAAPiA/XEeYIRGT9ZI/s1600/KANUMBA%2BALINISALIMIA%2BNIKAULIZA.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-iWqGyhWlrg8/Tx1g1O-lxAI/AAAAAAAAPiA/XEeYIRGT9ZI/s320/KANUMBA%2BALINISALIMIA%2BNIKAULIZA.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700819170990867458" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Tulikuwa na mazungumzo magumu kidogo katika salmu zangu na Kanumba hatukuachiana.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vicent Kigosi maarufu kama Ray ndiye msanii anayechanganya watu huku tuzo ya heshima ya ZIFF ikienda kwa Thecla Mjata.&lt;br /&gt;Tuzo hizi zilitolewa katika RED CARPET siku hiyo baada ya Kamati maalumu (Panel) ya watu kumi walioteuliwa kufanya zoezi maalumu la kuchagua wataopata tuzo hizo kutokana na kazi zao kufanya vyema. Kamati hiyo ilikuwa na wadau wa karibu wa Bongo movies na walitoka katika vitengo na mashirika mbali mbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Nyalusi, MINI ZIFF itaendelea Ngome Kongwe Zanzibar Januari 27 na 28 mwaka huu.Katika tarehe hizo filamu sita za kiswahili (Bongo Movies) zitaoneshwa katika skrini kubwa ya Amphitheatre kuanzia saa moja usiku.&lt;br /&gt;Filamu zitakazo oneshwa ni Mr.President ya Steve Nyerere, Big Daddy ya Kanumba, Pamoja ya Pastor Myamba, Dj Ben ya J.B, na filamu mpya toka CL&amp; CY production.&lt;br /&gt;Filamu zitaoneshwa bure siku ya Ijumaa ya tarehe 27, tarehe 28 Jumamosi itaoneshwa filamu moja na kufuatiwa na maonesho ya mavazi kutoka kwa Lucky Creation na Mgece Makory baada ya hapo tamasha hili dogo litafungwa na burudani kutoka kwa AT na &lt;br /&gt;Offside Trick .&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-xSejg5j7uZ0/Tx1g05zmCDI/AAAAAAAAPh4/eX4yldCNhF8/s1600/Nilipenda%2Bkumuegemea%2Btu%2BAnti%2BEze.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 216px; height: 288px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-xSejg5j7uZ0/Tx1g05zmCDI/AAAAAAAAPh4/eX4yldCNhF8/s320/Nilipenda%2Bkumuegemea%2Btu%2BAnti%2BEze.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700819165307602994" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Nilikutana na aunt Ezekiel, nilipata nafasi ya kula pozi naye&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6857038963308802697?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6857038963308802697/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6857038963308802697' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6857038963308802697'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6857038963308802697'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kanumbandauka-wachanganya-red-carpet.html' title='Kanumba,Ndauka wachanganya Red Carpet'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-YnQacKmqI18/Tx1g0Knu7_I/AAAAAAAAPhs/lBMnO97CDxA/s72-c/Wanapendeza%2Bmzee%2Bmaghari%252C%2Buwoya%2Bna%2BChilo.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4064631411799758188</id><published>2012-01-23T12:45:00.000+03:00</published><updated>2012-01-23T12:46:08.304+03:00</updated><title type='text'>ile safari ya maalim Seif yaota mbawa</title><content type='html'>Ndugu waandishi,&lt;br /&gt;Tunaomba radhi kuwa safari ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar kwenda Kuwait&lt;br /&gt;imeakhirika na haitokuwa tena leo.Tunaomba taarifa tuliyokutumia usiitumie tena hadi&lt;br /&gt;hapo itakapotolewa taarifa nyengine.&lt;br /&gt;Poleni sana kwa usumbufu.&lt;br /&gt;Hassan Hamad (OMKR).&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4064631411799758188?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4064631411799758188/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4064631411799758188' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4064631411799758188'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4064631411799758188'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/ile-safari-ya-maalim-seif-yaota-mbawa.html' title='ile safari ya maalim Seif yaota mbawa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8490801864551185081</id><published>2012-01-23T12:43:00.001+03:00</published><updated>2012-01-23T12:43:55.853+03:00</updated><title type='text'>WABUNGE KUCHANGIA TWIGA STARS</title><content type='html'>Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia timu ya Bunge wameomba&lt;br /&gt;kucheza mechi maalumu dhidi ya Twiga Stars kabla ya kuwasilisha mchango wao kwa timu&lt;br /&gt;hiyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Benchi la Ufundi la Twiga Stars kupitia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;br /&gt;limekubali kucheza mechi hiyo ambayo itakuwa ni ya maonesho tu ambapo baada ya&lt;br /&gt;kumalizika ndipo Wabunge watakabidhi kile walichopanga kutoa kwa timu.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mechi hiyo itafanyika Alhamisi (Januari 26 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya&lt;br /&gt;Karume uliopo Ofisi za TFF kuanzia saa 10 kamili jioni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Twiga Stars na Namibia zitapambana Jumapili (Januari 29 mwaka huu) kwenye Uwanja wa&lt;br /&gt;Taifa, Dar es Salaam ikiwa ni mechi ya marudiano kuwania tiketi ya kufuzu kwa&lt;br /&gt;fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) zitakazofanyika Novemba mwaka huu nchini&lt;br /&gt;Equatorial Guinea.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;GHARAMA ZA UWANJA- TWIGA STARS VS NAMIBIA&lt;br /&gt;TFF imeiandikia Serikali kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo&lt;br /&gt;kuomba iondoe gharama za kutumia Uwanja wa Taifa ambazo ni fixed kwenye mechi kati&lt;br /&gt;ya Twiga Stars na Namibia.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Lengo la maombi hayo ni kusaidia kupunguza gharama za kuandaa mechi hiyo ambayo&lt;br /&gt;bajeti nzima ni sh . 74,660,000. Hiyo inajumuisha usafiri, posho kwa wachezaji,&lt;br /&gt;posho kwa benchi la ufundi, gharama za kambi, dawa na maji ya kunywa wakati wa&lt;br /&gt;mazoezi na mechi kwa Twiga Stars. Maeneo mengine ni usafiri wa ndege, usafiri wa&lt;br /&gt;ndani (magari mawili), posho na hoteli kwa kamishna na waamuzi. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Nyingine ni gharama za timu ya Namibia itakayokuwa na watu 25 ambazo ni usafiri wa&lt;br /&gt;ndani (magari matatu), hoteli (malazi na chakula) na maji ya kunywa wakati wa&lt;br /&gt;mazoezi na mechi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Gharama ambazo ni fixed kwa matumizi ya Uwanja wa Taifa ni pamoja na usafi na&lt;br /&gt;ulinzi, umeme, maandalizi ya sehemu ya kuchezea, malipo kwa kampuni ya Wachina na&lt;br /&gt;asilimia kumi ya mapato. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source:&lt;br /&gt;Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8490801864551185081?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8490801864551185081/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8490801864551185081' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8490801864551185081'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8490801864551185081'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/wabunge-kuchangia-twiga-stars.html' title='WABUNGE KUCHANGIA TWIGA STARS'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3386952193659386301</id><published>2012-01-22T19:19:00.001+03:00</published><updated>2012-01-22T19:19:49.850+03:00</updated><title type='text'>kAMATI MAALUMU YA CHADEMA YAKUTANA LEO</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt;Kamati Maalum ya CHADEMA kuhusu Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011 itawasilisha taarifa yake kwa Kamati Kuu leo tarehe 22 Januari 2012. &lt;br /&gt;Taarifa kuhusu maamuzi ya kamati kuu ikiwemo kuhusu mkutano na Rais Jakaya Kikwete juu ya Sheria ya mabadiliko ya katiba itatolewa baada ya kamati kuu kumaliza kikao chake.&lt;br /&gt;Kamati Maalum ya Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyoundwa kwa ajili ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete kuhusu sheria ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2011 ilikutana tena na Rais jana tarehe 21 Januari 2012 Ikulu Dar es salaam.&lt;br /&gt;Katika mazungumzo hayo Kamati Maalum ya CHADEMA ikiongozwa na mwenyekiti Freeman Mbowe ilitaarifiwa hatua ambayo imefikiwa na serikali katika kuanza kuiboresha sheria ya mabadiliko ya katiba ya mwaka 2011 ili ikidhi mahitaji ya kujenga kuaminiana na muafaka wa kitaifa kwa mawasiliano na mashauriano na wadau mbalimbali.&lt;br /&gt;Baada ya mazungumzo hayo, Kamati Maalum itawasilisha taarifa yake kwa Kamati Kuu ya Chama katika mkutano wake ulioanza leo tarehe 22 Januari 2011 Jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Taarifa zaidi kuhusu maamuzi ya Kamati Kuu baada ya kupokea taarifa ya kamati maalum itatolewa baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati kuu kwa wakati ambapo wanahabari na umma utajulishwa.&lt;br /&gt;Itakumbukwa kwamba tarehe 27 na 28 Novemba 2011 Rais Kikwete alifanya mkutano wa siku mbili na viongozi wa CHADEMA kuhusu muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba na pande mbili kukubaliana kuhusu haja ya sheria husika kufanyiwa marekebisho kwa mashauriano na wadau mbalimbali kwa lengo la kudumisha muafaka wa kitaifa kwenye mchakato wa katiba mpya.&lt;br /&gt;Mkutano huo ulitokana na azimio na Kamati Kuu ya CHADEMA katika kikao chake maalum  kilichofanyika tarehe 20 Novemba 2011 Dar es Salaam, pamoja na mambo mengine, kilipokea na kujadili kwa kina taarifa ya majadiliano  na kupitishwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011.&lt;br /&gt;Kamati Kuu iliazimia kwamba Ushiriki wa CHADEMA katika mchakato mzima wa kupata Katiba Mpya uliowekwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba utategemea utayari wa Serikali ya Rais Kikwete kufanya mabadiliko ya kimsingi katika sheria hiyo kwa lengo la kujenga muafaka wa kitaifa juu ya mchakato huo; na kutokana na azimio hili kamati kuu iliunda kamati maalum kwa ajili ya kukutana na Rais kumshauri asisaini sheria husika.&lt;br /&gt;Aidha Kamati Kuu iliazimia kuwa CHADEMA itaendelea kutoa elimu kwa wananchi na wadau wote juu ya ubovu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na juu ya haja ya kuwa na sheria itakayoweka utaratibu bora zaidi wa kuunda Tume Shirikishi ya Katiba kwa lengo la kukusanya maoni ya wananchi, kuandaa ripoti na Rasimu ya Katiba Mpya, Bunge Maalum la Katiba na usimamizi wa kura ya maoni itakayowezesha wananchi kufanya maamuzi kwa uhuru na kwa haki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamati Kuu iliwaagiza wabunge na viongozi wote wa chama katika ngazi zote kufanya mikutano ya ndani na ya hadhara yenye lengo la kuwaelimisha wananchi juu ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na madhara yake kwa mchakato wa kupata Katiba Mpya na bora kwa nchi yetu kwa lengo la kuunganisha umma wa watanzania kuweza kufanya mabadiliko ya msingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;John Mnyika (Mb)&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa Habari na Uenezi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3386952193659386301?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3386952193659386301/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3386952193659386301' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3386952193659386301'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3386952193659386301'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kamati-maalumu-ya-chadema-yakutana-leo.html' title='kAMATI MAALUMU YA CHADEMA YAKUTANA LEO'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6376162841721220548</id><published>2012-01-22T16:59:00.000+03:00</published><updated>2012-01-22T17:00:13.079+03:00</updated><title type='text'>CHADEMA YAMLILIA MWANAHABARI BEATUS KAGASHE</title><content type='html'>KURUGENZI ya Habari na Uenezi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imepokea kwa majonzi na masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwanahabari, Beatus Kagashe, ambaye mpaka mauti yanamkuta alikuwa mwandishi wa Gazeti la The Citizen, linalomilikiwa na Kampuni ya Mwananchi Communications.&lt;br /&gt;Kwa wale waliokuwa wakimfahamu Marehemu Kagashe, watakubali kuwa alikuwa mmoja wa waandishi makini, waliokuwa wakiamini kuwa jamii ya Watanzania inaweza kufanya mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kufikia ustawi na maendeleo yanayohitajika, hivyo kwa kutumia vyema taaluma yake, akiongozwa na maadili ya tasnia ya habari, alishirikiana na Watanzania wenzake katika kuelimisha, kuhabarisha, kuhamasisha na kuburudisha umma, katika masuala mbalimbali, kupitia kalamu yake .&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Habari na Uenezi ya CHADEMA itamkumbuka Marehemu Kagashe kuwa mmoja wa wanafunzi wa mwanzo kabisa kusomea Shahada ya Uandishi wa Habari, katika Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), mara tu baada ya chuo hicho kuanzisha programu ya masomo hayo, kupitia iliyokuwa Taasisi ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma (IJMC), ambayo sasa inatambulika kama Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC), chini ya chuo hicho.&lt;br /&gt;Kurugenzi hii pia itakumbuka namna ambavyo Marehemu Kagashe alikuwa mmoja wa vijana wa mwanzo kabisa kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini, waliopelekwa na Kampuni ya Mwananchi Communications nchini Kenya, kupata mafunzo ya kuwaivisha zaidi katika taaluma ya uandishi, ikiwa ni matunda ya programu ya kusaka watu makini na wenye uwezo wanaohitimu masomo yao vyuoni na wako tayari kutumikia taaaluma hiyo nyeti, programu ambayo imekuwa ikifanywa na kampuni hiyo kwa muda mrefu sasa.&lt;br /&gt;Bila shaka mambo haya ndiyo yalimsaidia na kumjenga Marehemu Kagashe kuwa mmoja wa wapambanaji mahiri katika kutumia taaluma yake kuutumikia umma wa Watanzania.&lt;br /&gt;Tunatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na wafanyakazi wenzake Marehemu Kagashe na kuwaombea kwa Mungu awape moyo wa subira katika wakati huu mgumu wa majonzi kwa kuondokewa na mpendwa wao, halikadhalika Gazeti la The Citizen na Kampuni ya Mwananchi Communications kwa kumpoteza mmoja wa wafanyakazi wake makini, waliyemuandaa kuwatumikia.&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Habari na Uenezi CHADEMA iko pamoja na Watanzania wote walioguswa na msiba huu.&lt;br /&gt;Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya Marehemu Beatus Kagashe, Amina.&lt;br /&gt;Imetolewa na;&lt;br /&gt;Tumaini Makene&lt;br /&gt;Afisa Habari CHADEMA &lt;br /&gt;Januari 22, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6376162841721220548?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6376162841721220548/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6376162841721220548' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6376162841721220548'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6376162841721220548'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/chadema-yamlilia-mwanahabari-beatus.html' title='CHADEMA YAMLILIA MWANAHABARI BEATUS KAGASHE'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6715846631969226064</id><published>2012-01-22T16:41:00.000+03:00</published><updated>2012-01-22T16:42:56.724+03:00</updated><title type='text'>Siku nyingine unaona ukweli kabisa halafu unachekaaaaaaa</title><content type='html'>&lt;iframe width="400" height="300" src="http://www.youtube.com/embed/l1DBEm2qbZ8" frameborder="0" allowfullscreen&gt;&lt;/iframe&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Urban Tribe is a famous norwegian dancecompany working with cultural and humanitarian projects. Their main focus is to produce and promote universal cultural music and dance. Besides this they are also working with projects and activities to help children get a better life.&lt;br /&gt;Urban Tribe was founded in 2008 by their leader Carina Steiro and consists now of 9 girls from different cultural backgrounds.&lt;br /&gt;The girls have their own selftaught dancestyle wich is called "Afro Fusion" that is a mix of caribbean and african traditional and modern steps but most of all they have the passion, the joy and commitment into making an international impact with their talents...&lt;br /&gt;They have performed for JW &amp; Blaze on International Soca Monarch Contest - Trinidad &amp; Tobago 2011, Madcon on Eurovision 2010, Express Yourself Tournament 2011, Zenith de Paris 2010, on X-Factor 2009, Norway Got Talent 2009, Les Salons - Brussels 2010, Helsinki 2010.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Management/Booking: malenty.balde@gmail.com&lt;br /&gt;Publicist/French Contact : malenty.balde@gmail.com&lt;br /&gt;Norwegian booking: carina@urbantribe.no&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6715846631969226064?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6715846631969226064/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6715846631969226064' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6715846631969226064'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6715846631969226064'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/siku-nyingine-unaona-ukweli-kabisa.html' title='Siku nyingine unaona ukweli kabisa halafu unachekaaaaaaa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://img.youtube.com/vi/l1DBEm2qbZ8/default.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2661502282318402205</id><published>2012-01-22T14:42:00.002+03:00</published><updated>2012-01-22T14:58:50.705+03:00</updated><title type='text'>Jamani haya mambo sasa mazito</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-F8IvNLuHZqU/Txv53QIwjPI/AAAAAAAAPhU/krn0uIHBVtQ/s1600/bibi%2B2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-F8IvNLuHZqU/Txv53QIwjPI/AAAAAAAAPhU/krn0uIHBVtQ/s320/bibi%2B2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700424480987319538" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mwanahija Cheka ‘Bibi Cheka’ Ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 51 ambaye hajulikani  sana katika medani ya muziki ameamua kujitosa kuimba muziki wa kizazi kipya na amerekodi wimbo uitwao ‘Ni Wewe’.Meneja wa TMK Wanaume Family, Saidi Fella ‘Mkubwa Fella’, aliweka wazi kuwa katika wimbo huo uliorekodiwa studio ya Poteza Records amemshirikisha kinara wa kundi la TMK Wanaume Family Amani Temba ‘Mh Temba’.&lt;br /&gt;Mkubwa Fella alisema kuwa licha ya kutojulikana sana kwenye medani ya muziki lakini uwezo wa Bibi Cheka katika kuimba na kurap ni mkubwa.“Mkubwa! Huyu mama watu wengi hawamjui lakini mimi nasema huyu ni mwanamuziki, alikosa nafasi tu ya kudhihirisha uwezo wake,” alisema Mkubwa Fella.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;source:http://pro-24.blogspot.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2661502282318402205?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2661502282318402205/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2661502282318402205' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2661502282318402205'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2661502282318402205'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/jamani-haya-mambo-sasa-mazito.html' title='Jamani haya mambo sasa mazito'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-F8IvNLuHZqU/Txv53QIwjPI/AAAAAAAAPhU/krn0uIHBVtQ/s72-c/bibi%2B2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1023206356473405299</id><published>2012-01-22T14:29:00.000+03:00</published><updated>2012-01-22T14:30:00.471+03:00</updated><title type='text'>Jenerali Kitundu azoza laivu kuhusu JKT</title><content type='html'>JKT la kujenga taifa (JKT) limesema kuwa halikuundwa kwa&lt;br /&gt;madhumuni ya kuwatafutia vijana kazi bali kuwaanda vijana waweze &lt;br /&gt;kujitegemea na kumudu kuendesha maisha yao ya baadaye baada ya kumaliza mafunzo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mkuu wa jeshi hilo General Simon Kitundu alisema hayo katika&lt;br /&gt;kambi ya JKT Bulombora kikosi cha 821 wakati wa kilele cha maadhimisho ya&lt;br /&gt;kufunga mafunzo ya vijana yanayojulikana kama  Operesheni miaka 50 ya uhuru.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Katika risala iliyotolewa kwa niaba yake na Afisa Utumishi&lt;br /&gt;Mkuu wa JKT, Luteni Kanali, Eslom Lubinga alisema kuwa vijana wanaotaka&lt;br /&gt;kujiunga na jeshi hilo na Watanzania kwa jumla kuondoa dhana ya kupata ajira&lt;br /&gt;kutoka katika jeshi hilo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema kuwa JKT imeundwa na kuwa na dhumuni la kuchukua&lt;br /&gt;vijana kukifanya kama chuo kama ilivyo vyuo vingine vya ufundi stadi na elimu&lt;br /&gt;ya kujitegemea ili waweze kutumia mafunzo waliyopata katika kulitumikia taifa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Hata hivyo alisema kuwa JKT la kujenga taifa kwa sasa&lt;br /&gt;litatumika kama sehemu ya kuwaandaa vijana kwa ajili ya kujiunga na majeshi&lt;br /&gt;mbalimbali nchini ikiwemo Polisi, Magereza,uhamiaji  na usalama wa taifa  kwa wale&lt;br /&gt;wenye sifa.&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine Jeshi hilo  limeiomba serikali kulitumia kikamilifu&lt;br /&gt;katika shughuli za ujenzi wa miradi mbalimbali ya taifa ili kupunguza gharama&lt;br /&gt;ya utekelezaji wa miradi hiyo lakini pia kuifanya miradi hiyo kuikamilika kwa&lt;br /&gt;haraka.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Akitoa hotuba yake katika maadhimisho hayo Mkuu wa mkoa&lt;br /&gt;Kigoma, kanali Mstaafu, Issa Machibya  alisema kuwa  kuwepo kwa mafunzo ya JKT&lt;br /&gt;kunalenga kuwafanya vijana waliopitia mafunzo&lt;br /&gt;hayo kuwa sehemu ya jeshi la akiba la nchi hii na kuweza kutumika itakapobidi&lt;br /&gt;kufanya hivyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Machibya alisema kuwa JKT imekuwa chuo kinachowapika vijana&lt;br /&gt;kuwa na uzalendo kwa nchi yao,ujuzi wa kazi za mikono na  kujua hali ya nchi yao&lt;br /&gt;ilivyo na hivyo kuweza&lt;br /&gt;kujituma kwa kiwango cha hali ya juu katika utendaji wao.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mkuu huyo wa mkoa alisema kuwa Kuondolewa kwa mafunzo hayo&lt;br /&gt;kwa mujibu wa sheria kumeondoa yote hayo na matokeo yake kumekuwa na migomo&lt;br /&gt;katika maeneo mbalimbali ya nchi hii.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Awali mkuu wa kikosi cha 821 JKT Bolombora, Meja Damian Sanga&lt;br /&gt;alisema kuwa jumla ya vijana 710 kati ya vijana 721 ambapo kati yao mmoja&lt;br /&gt;alifariki dunia wakati mafunzo yanaanza na vijana wengine 10 walitoroka kwa&lt;br /&gt;kushindwa uvumilivu wa mafunzo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sanga alisema kuwa pamoja na kujifunza mafunzo ya kijeshi na&lt;br /&gt;ukakamavu pia vijana hao walifanya kazi mbalimbali za ujenzi wa taifa ikiwemo&lt;br /&gt;kushiriki katika kilimo, ujenzi na shughuli nyingine za kijamii.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Aidha alisema kuwa kikosi chake kinakabiliwa na changamoto&lt;br /&gt;mbalimbali ikiwemo idadi ndogo ya wakufunzi, bajeti ndogo inayotolewa na&lt;br /&gt;serikali katika kugharamia shughuli mbalimbali ambapo pia alisema kuwa ukosefu&lt;br /&gt;wa maji na umeme ni tatizo kubwa katika kambi hiyo.&lt;br /&gt; source:Fadhili Abdallah , Kigoma News&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1023206356473405299?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1023206356473405299/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1023206356473405299' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1023206356473405299'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1023206356473405299'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/jenerali-kitundu-azoza-laivu-kuhusu-jkt.html' title='Jenerali Kitundu azoza laivu kuhusu JKT'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7497937678246800453</id><published>2012-01-22T14:24:00.000+03:00</published><updated>2012-01-22T14:25:13.360+03:00</updated><title type='text'>Maalim Seif Sharif Hamad aenda oman leo jioni</title><content type='html'>Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad anaondoka nchini leo&lt;br /&gt;jioni kuelekea nchini Kuwait kwa ziara rasmi ya kiserikali.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif&lt;br /&gt;atafuatana na mkewe mama Awena Sinani Massoud na baadhi ya viongozi wa Serikali&lt;br /&gt;akiwemo Waziri wa nchi, ofisi ya Rais, Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo Mhe.&lt;br /&gt;Omar Yussuf Mzee.&lt;br /&gt;Viongozi wengine anaofuatana nao ni waziri wa Miundombinu na Mawasilianao Mhe. Hamad&lt;br /&gt;Massoud Hamad na Katibu Mkuu wizara ya Katiba na Sheria Bwana Assaa Ahmad Rashid.&lt;br /&gt;Maalim Seif anatarajiwa kurejea nchini Februari 07, mwaka huu.&lt;br /&gt;Source:Hassan Hamad (OMKR).&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7497937678246800453?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7497937678246800453/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7497937678246800453' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7497937678246800453'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7497937678246800453'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/maalim-seif-sharif-hamad-aenda-oman-leo.html' title='Maalim Seif Sharif Hamad aenda oman leo jioni'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3013805517824944429</id><published>2012-01-22T11:31:00.002+03:00</published><updated>2012-01-22T11:35:07.802+03:00</updated><title type='text'>M-PESA , CRDB  MAMBO BYEE KATIKA TRANSFA YA MIFEDHA</title><content type='html'>Wateja wa Vodacom M-PESA wenye akaunti katika benki ya CRDB sasa wanauwezo wa kuweka na kutoa fedha kutoka katika akaunti zao kupitia simu ya mkononi ya Vodacom iliyosajiliwa na huduma ya  M-PESA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuzinduliwa kwa huduma hiyo sasa kunawapa urahisi zaidi wateja wa Vodacom M-PESA kuweka na kuchukua fedha zao kutoka akaunti ya benki kwa urahisi na unafuu zaidi mahali popote nchini na kwa wakati wowote pasi na kulazimika kufika katika tawi la benki ya CRDB..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huduma hii ya ushirikiano kati ya Benki ya CRDB na kampuni ya Vodacom kupitia huduma yake ya M-PESA ni ya kwanza nchini na inalenga kuwaondolea usumbufu wateja wa M-PESA wa kupanga foleni  ama kutembea umbali mrefu kufuata tawi la Benki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tunapoitambulisha huduma hii mpya inaamaanisha kwamba tumeongeza thamani nyengine katika simu ya mkononi na huduma ya Vodacom M-PESA.Mteja wa M-PESA kuweza kutoa na kuchukua fedha kutoka akaunti zao za CRDB kupitia simu zao za mkononi ni hatua nyengine muhimu ya kujivunia kuwa mteja wa Vodacom”Alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Bw. Rene Meza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huduma ya Vodacom M-PESA ya kwanza sokoni kutoka Vodacom mtandando unaoongoza nchini ni kielelezo makini cha ubunifu na namna ambavyo Vodacom imedhamiria kubadili maisha ya watu kupitia teknolojia ya simu za mkononi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa na mawakala zaidi 20,000 nchi nzima M-PESA inabakia kuwa huduma salama zaidi, ya haraka, uhakika na yenye kuaminika kwa ajli ya kuweka na kutuma fedha, kufanya malipo ya huduma na manunuzi mbalimbali, kulipia kodi, kuchangia pensheni pamoja na kupokea fedha kutoka nchi zaidi ya sabini na tano ulimwenguni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hakuna mteja wa Vodacom M-pesa atakaesimama kwenye foleni au kulazimika kutembea umbali mrefu kufuata tawi la benki yake ya CRDB, sasa wataweka na kutoa fedha wakati wowte na mahali popote bila kuathiri shughuli nyengine za kijamii na kimaendeleo ni wazi maisha yamekuwa rahisi zaidi.”Aliongeza Bw. Rene&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu ilipoanzishwa mwaka 2007, huduma ya Vodacom M-PESA imeendelea kujipatia umaarufu mkubwa kutokana na kuwa huduma yenye usalam zaidi, yenye mtandao mpana wa mawakala mijini na vijijini na hivyo kuchangia maendeleo ya jamii na biashara nchini kwa kuinua vipato vya wananachi kupitia ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kuweka fedha katika akaunti ya CRDB kutoka akaunti ya M-PESA,hatua ni kama ifuatavyo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.      Piga *150#&lt;br /&gt;II.      Chagua kulipia bili&lt;br /&gt;III.      Ingiza namabri ya biashara ambayo ni 900500&lt;br /&gt;IV.      Ingiza nambari ya kumbukumbu ambayo ni namabri ya akaunti ya benki.&lt;br /&gt;V.      Weka kiasi cha fedha mteja anachotaka kutoa katika akaunti ya M-PESA kwenda akaunti ya benki&lt;br /&gt;VI.      Ingiza nambari ya siri.&lt;br /&gt;VII.      Bonyeza 1 kuthibitisha au 2 kubatilisha  muamala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya hatua hizi mteja atapokea mara moja ujumbe mfupi wa maneno – SMS kutoka M-PESA kuthibitisha muamala na baada ya dakika 8 atapokea ujumbe kutoka benki ya CRDB.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kuhamisha fedha kutoka akaunti ya Benki ya CRDB kwenda M-PESA hatua ni kama ifuatavyo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I.            Piga *150*03#&lt;br /&gt;II.            Ingzia nambari ya siri&lt;br /&gt;III.            Chagua nambari 3 (Hamisha fedha)&lt;br /&gt;IV.            Chagua nambari 3 (M-PESA)&lt;br /&gt;V.            Chagua nambari ya akaunti yako ya Benki&lt;br /&gt;VI.            Thibitisha nambari yako ya simu&lt;br /&gt;VII.            Ingiza kiasi cha fedha unachotaka kuhamisha&lt;br /&gt;VIII.            Thibitisha au batilisha. Na baada ya hapo utapokea ujumbe mfupi wa maneno – SMS kutoka M-PESA na pia Benki ya CRDB  unaothibitisha zoezi hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kuwa na uwezo wa kuhamisha fedha kutoka Benki kwenda M-PESA ni LAZIMA kwanza mteja wa M-PESA ajisajili CRDB.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Usajili huo hufanyika MARA MOJA TU na kwamba unaweza kufanyika kupitia simu ya mkononi kwa kupiga *150*03# na maelezo ya namna ya kujisajili yatatotekea ambayo mteja atapaswa kuyafuata.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3013805517824944429?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3013805517824944429/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3013805517824944429' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3013805517824944429'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3013805517824944429'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/m-pesa-crdb-mambo-byee-katika-transfa.html' title='M-PESA , CRDB  MAMBO BYEE KATIKA TRANSFA YA MIFEDHA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7136380255353447942</id><published>2012-01-22T11:23:00.000+03:00</published><updated>2012-01-22T11:24:02.321+03:00</updated><title type='text'>HUDUMA YA USAFIRI KWENDA KIGOMA KUANZIA DODOMA JUMANNE IJAYO!</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) unafuraha kuwatangazia  kuwa&lt;br /&gt;huduma za safari za abiria zitaanza tena hapo Jumanne Januari 24, 2012 saa&lt;br /&gt;Moja usiku kutokea Stesheni ya Dodoma  kwenda Kigoma.  Kutoka Dodoma kwenda&lt;br /&gt;Kigoma  kutakuwa na safari mbili yaani siku za Jumanne na Jumamosi na&lt;br /&gt;kutoka Kigoma kuja Dodoma ni siku za  Jumatatu na Alhamis..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tiketi kwa wasafiri wa Dar es Salaam zitaanza kuuzwa kesho Jumapili Januari&lt;br /&gt;22, 2012asubuhi Wasafiri katika stesheni nyingine za reli ya kati&lt;br /&gt;wawasiliane na Mastesheni Masta husika kwa ajili ya kupata tiketi za&lt;br /&gt;safari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi wa kuanzia safari Dodoma umechukuliwa kimkakati kutokana na eneo&lt;br /&gt;korofi kati ya  Kilosa, Kidete, Godeghode na Gulwe kuwa halitabiriki&lt;br /&gt;ikizingatiwa msimu wa mvua za masika utaanza muda sio mrefu ujao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha wasafiri watakaokuwa wamekata tiketi za safari husika wanahimizwa&lt;br /&gt;kuwasili mjini Dodoma mapema kabla ya saa moja usiku ili kuwahi safari bila&lt;br /&gt;ya kuchelewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mafundi wa TRL wakishirikiana na wale wa RAHCO walikamilisha kazi ya&lt;br /&gt;ukarabati wa sehemu korofi za Godegode mkoani Dodoma  jana Januari 20, 2012&lt;br /&gt;na kuwezesha treni ya abiria kuvuka eneo hilo na kuwa tayari kutoa huduma&lt;br /&gt;itakayoanza Jummane ijayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Halikadhalika Uongozi wa TRL unashukuru kwa uvumiivu ulionyeshwa na&lt;br /&gt;wasafiri na wananchi kwa ujumla wakati huu mgumu wa usafiri wa reli ya kati&lt;br /&gt;na kwamba unaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza wakati wa kuanzisha&lt;br /&gt;huduma hiyo Dodoma ambayo ni uamuzi wa muda tu hadi hali itakapotengemaa ya&lt;br /&gt;maeneo korofi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji&lt;br /&gt;Mhandisi K.A.M Kisamfu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imesainiwa na:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MIDLADJY MAEZ&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MENEJA UHUSIANO- TRL&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SAFARINI KILOSA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JANUARI 21, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7136380255353447942?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7136380255353447942/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7136380255353447942' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7136380255353447942'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7136380255353447942'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/huduma-ya-usafiri-kwenda-kigoma-kuanzia.html' title='HUDUMA YA USAFIRI KWENDA KIGOMA KUANZIA DODOMA JUMANNE IJAYO!'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5403977973754286738</id><published>2012-01-22T11:03:00.003+03:00</published><updated>2012-01-22T11:22:42.078+03:00</updated><title type='text'>Kwa rekodi mkutano wa jana JK na Chadema na NCCR</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-LEQlK50H2Rs/TxvG-R8cloI/AAAAAAAAPgo/c1QFZXcLZRQ/s1600/NCCR%2BWAKIONGEA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-LEQlK50H2Rs/TxvG-R8cloI/AAAAAAAAPgo/c1QFZXcLZRQ/s320/NCCR%2BWAKIONGEA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700368526638618242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Dk Mvungi akizungumza katika mkutano wa NCCR na JK jana&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Chama Cha National Convention for Construction and Reform-Mageuzi (NCCR-Mageuzi) kimempongeza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kusimamia suala la Katiba vizuri na kwa umakini mkubwa.&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Bwana James Mbatia ametoa pongezi hizo leo jioni alipofika Ikulu, akiongoza ujumbe wa viongozi wenzake sita(6), kuja kujadili suala la Katiba Mpya ya Tanzania.&lt;br /&gt;"Tunakupongeza kwa kusimammia suala la Katiba vizuri, ni suala zito ambalo litatupa uhai vizazi na vizazi vijavyo".   Amesema kama utangulizi wa ujio wao Ikulu.&lt;br /&gt;"Upinzani sio uadui, tunahitaji kufanya marekebisho ya Katiba kwa amani na hoja bila kuvuruga amani yetu” Bwana Mbatia amesema na kuongeza kuwa “suala la Katiba linahitaji ushirikiano wa pamoja kwa nia njema, kwani taifa hili ni letu sote" ameeleza.&lt;br /&gt;Akiwakilisha hoja ya NCCR-Mageuzi kwa Rais Kikwete, Mkuu wa Idara ya Sheria wa NCCR-Mageuzi Dkt. Senkondo Mvungi amesema, NCCR - Mageuzi inatambua ukubwa wa jambo hili la wa Tanzania kupata Katiba.&lt;br /&gt;"Ni jambo kubwa sana, wewe ndiyo Rais wa kwanza kutengeneza sheria ya kupata katiba mpya na kuanzisha Mchakato wa kupata Katiba Mpya.&lt;br /&gt;Kikao cha leo cha Rais na viongozi wa NCCR-Mageuzi ni mwendelezo wa jitihada za Rais Kikwete, kusikiliza, kuchukua maoni na mawazo ya wadau mbalimbali kutoka vyama vya siasa, asasi za kijamii na makundi mbalimbali katika kuelekea mchakato wa kupata Katiba Mpya ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-XDBbzS-N3JM/TxvG-l8eiMI/AAAAAAAAPgw/9LqbHdgScWU/s1600/SLAA%2BONGEA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-XDBbzS-N3JM/TxvG-l8eiMI/AAAAAAAAPgw/9LqbHdgScWU/s320/SLAA%2BONGEA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700368532007454914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KATIBU Mkuu wa Chadema Dk Slaa akizungumza Ikulu jana.Mkutano wa Chadema na JK ulimalizika majira ya saa tano na robo usiku.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais amesema kuwa nchi hii inayo Katiba ambayo imelilea vizuri na kulifikisha Taifa la Tanzania hapa lilipo, lakini pia Taifa linahitaji Katiba inayoendana na wakati na itakayoweza kulilea Taifa hili kwa miaka mingi ijayo.&lt;br /&gt;Mara baada ya kumaliza kikao na viongozi wa NCCR-Mageuzi, Rais Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ikiwa ni mwendelezo wa mazungumzo yao yalioanza mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka 2011, kuhusu Katiba Mpya ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mazungumzo haya na Vyama vya Siasa Rais amesisitiza kuwa lengo la mazungumzo haya yote ni kuhakikisha kuwa hatimaye Watanzania wote watakiri kuwa Katiba Mpya ni yao wote na hatimaye ifikapo mwaka 2015 nchi iweze kufanya uchaguzi wake na Katiba Mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na Premi Kibanga,&lt;br /&gt;Mwandishi wa Habari Msaidizi wa Rais,&lt;br /&gt;Ikulu.&lt;br /&gt;Dar es salaam.&lt;br /&gt;21 Januari, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5403977973754286738?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5403977973754286738/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5403977973754286738' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5403977973754286738'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5403977973754286738'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kwa-rekodi-mkutano-wa-jana-jk-na.html' title='Kwa rekodi mkutano wa jana JK na Chadema na NCCR'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-LEQlK50H2Rs/TxvG-R8cloI/AAAAAAAAPgo/c1QFZXcLZRQ/s72-c/NCCR%2BWAKIONGEA.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6923349815656798216</id><published>2012-01-21T16:39:00.002+03:00</published><updated>2012-01-21T16:40:53.030+03:00</updated><title type='text'>Dodoma nako wanafunzi wa kiislam wafanya maandamano</title><content type='html'>WANAFUNZI na Vijana wa Kiislam Mkoa wa Dodoma juzi walifanya&lt;br /&gt;maandamano ya amani kwenda kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kupinga&lt;br /&gt;dhuluma na unyanyasaji dhidi ya wanafunzi wa kiislam Nchini.&lt;br /&gt;Maandamano hayo yalifanyika mara  baada ya swala ya Ijumaa.&lt;br /&gt;Hata hivyo mara baada ya kufika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa walikaribishwa&lt;br /&gt;na kwenda kwa Kaimu Afisa Elimu wa Mkoa ambapo walijibiwa kuwa watumie&lt;br /&gt;njia ya makubaliano badala ya maandamano.&lt;br /&gt;Msemaji wa Jumuiya ya Wanafunzi na Vijana wa Kiislam (TAMSYA) Mkoa wa&lt;br /&gt;Dodoma, Salum Nyalambuni alisema kuwa, wamefanikiwa kuwasilisha madai&lt;br /&gt;yao.&lt;br /&gt;Katika malalamiko yao ya msingi,Jumuiya ya Wanafunzi na Vijana wa&lt;br /&gt;Kiislam (TAMSYA) Mkoa wa Dodoma inasema kuwa,kwa miaka mingi wanafunzi&lt;br /&gt;na vijana wa kiislam wamekuwa wakifanyiwa madhila mbalimbali dhidi ya&lt;br /&gt;walimu wao, Wakuu wa Shule, wanafunzi wenzao wasio waislam na hata&lt;br /&gt;baadhi ya viongozi wa kidini ambao wamekuwa wakishirikiana na uongozi&lt;br /&gt;wa shule au wanafunzi.&lt;br /&gt;Wakitolea mfano, walisema kuwa, kumekuwa na matukio mbalimbali ya&lt;br /&gt;unyanyasaji wa wanafunziwa kiislam katika mikoa ya Morogoro, Tanga,&lt;br /&gt;Iringa, Arusha, Singida na Dodoma.&lt;br /&gt;Aidha siku za karibuni, TAYMASA inasema imepokea malalamiko kutoka kwa&lt;br /&gt;wanafunzi wa kiislam wa Shule ya Sekondari Ndanda ya kufukuzwa shule&lt;br /&gt;wanafunzi 20 wa kiislam na waliobaki wakilazimishwa kusaini masharti&lt;br /&gt;magumu yanayowataka kuacha imani ya dini yao ili wapate fursa ya&lt;br /&gt;kurudi shuleni.&lt;br /&gt;TAMSYA  inasema kuwa, ilifuatilia na kutafuta suluhu ya tatizo hili&lt;br /&gt;kupitia Tume na barua maalum kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Ndanda&lt;br /&gt;na Afisa Elimu wa Wilaya ya Masasi bila mafanikio.&lt;br /&gt;Katika kukamilika kazi yake Tume iliwasilisha ripoti yake Ofisi ya&lt;br /&gt;Rais ya wanafunzi wa Kiislam Tanzania ikiwa na mapendekezo kuwa,&lt;br /&gt;TAMSYA ofisi kuu ichukue hatua za haraka kuwanusuru wanafunzi wa&lt;br /&gt;kiislam Shule ya Sekondari Ndanda ili waweze kufanya mitihani yao ya&lt;br /&gt;kuhitimu kidato cha sita siku chache zijao.&lt;br /&gt;Katika taarifa hiyo, TAMSYA imeandika barua kwa Waziri wa Elimu na&lt;br /&gt;Mafunzo ya Ufundi Dk Shukuru Kawambwa na kuitaka Serikali&lt;br /&gt;Iwarudishe wanafunzi 20 waliofukuzwa Sekondari ya Ndanda bila&lt;br /&gt;masharti yoyote na itengue masharti yaliyowekwa ya kurudi shuleni&lt;br /&gt;ndani ya siku tano kuanzia Januari 13, mwaka huu.&lt;br /&gt;Pia, Serikali ichukue hatua kali dhidi ya viongozi waliokiuka taratibu&lt;br /&gt;na kusababisha mgogoro na usumbufu kwa wanafunzi na wazazi.&lt;br /&gt;Aidha,Serikali iunde Tume huru kwa ajili ya kuchunguza dhuruma na&lt;br /&gt;unyanyasaji unaowakabili wanafunzi wa kiislam vyuoni na mashuleni nchi&lt;br /&gt;nzima na itoe tamko juu ya ukomeshaji na tatizo hili la muda mrefu.&lt;br /&gt;“Serikali ithibitishe kuwa shule zote ziizotaifishwa na Serikali&lt;br /&gt;kutoka katika Taasisi mbalimbali, ardhi na mamlaka ya matumizi yake&lt;br /&gt;iko chini ya taasisi hizo na kuwa Serikali inamiliki majengo” alisema&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;source:Sifa Lubasi, habarileo Dodoma&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6923349815656798216?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6923349815656798216/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6923349815656798216' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6923349815656798216'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6923349815656798216'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/dodoma-nako-wanafunzi-wa-kiislam.html' title='Dodoma nako wanafunzi wa kiislam wafanya maandamano'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4228971721495935754</id><published>2012-01-21T15:23:00.001+03:00</published><updated>2012-01-21T15:24:49.284+03:00</updated><title type='text'>mafanikio ya kozi ya makocha kibaha na majigambo ya makocha kutoka mikoani</title><content type='html'>BOXING FEDERATION OF TANZANIA (BFT)&lt;br /&gt;SLP 15558&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM&lt;br /&gt;                                                                                     Email;bft.tanzania2009@gmail.com&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;     KOZI YA YA KIMATAIFA YA KUFUNDISHA MCHEZO WA NGUMI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kozi ya Makocha wa Ngumi inayoendelea Kibaha, Pwani katika shule ya Filbart Bayi, inaendelea vema chini ya mkufunzi aliyeletwa na Chama cha Ngumi cha Dunia (AIBA) Ndg Josef Diouf kutoka Senegal.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa imefika siku ya sita makocha wanaohudhuria  mafunzo hayo ya siku kumi, wamelizika na kiwango cha mkufunzi huyo kwa kusema kuwa mbinu za kiufundi na ujanja wa  ufundishaji wa mchezo wa ngumi anazo wafundisha ni za kisasa na kwamba kwa sasa wameelewa msingi wa ufundishaji,hasa kwa kumwanzisha, kumwendeleza mchezaji hadi kufikia kuwa mchezaji wa kimataifa toufauti na awali ambapo walikuwa wanafundisha kwa mazoea bila kuwa na mbinu za kuwafanya wachezaji ili kuleta upinzani hasa katika mashindano ya kimataifa.&lt;br /&gt;Lakini pia wamejifunza namna ya kuandaa ratiba za ufundishaji za siku kwa siku ,wiki,mwezi na ratiba ya mashindano yanayowakabili &lt;br /&gt;Kwa kujigamba Makocha kutoka mikoani wamesema ujuzi wao wataanza kuonyesha katika mashindano ya Taifa yatakayofanyika katikati ya mwezi wa February ya kuwa  kutakuwa na ushindani mkali sana hasa kwa kuzingatia mikoa mingi makocha wake wamepata mafunzo hayo,na sasa timu za vyombo vya ulinzi na usalama  na zile za Dar es salaam ziwe tayari kupata upinzani wa hali ya juu kwa kuwa sasa hata vilabu vya kutoka mikoani pia  zina mbinu na ujanja wa ufundishaji kulingana na mabadiliko ya mchezo wa Ngumi Duniani.&lt;br /&gt;Kozi hiyo inatazamiwa kumalizika tarehe 24/01/2012 na walimu watakaokuwa wamefaulu watatunukiwa vyeti vya kimataifa vya daraja la kwanza(level 1) na kuingizwa katika Database za Chama cha Ngumi cha Dunia AIBA na kwamba watakuwana haki ya kufundisha mchezo wa Ngumi popote Duniani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati huo BFT kwa masikitiko makubwa inasikitika kupatwa na msiba wa bondia wa timu ya Taifa Godfrey Mbunda aliyefariki kwa kugongwa na gari wakati yeye akiwa anaendesha pikipiki maeneo ya mbezi.ni pigo kubwa katika medani ya mchezo wa ngumi kwa kuwa bado mchango wake ulikuwa unahitajika kwa suala la maendeleo ya mchezo wa ngumi Tanzania &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makore Mashaga&lt;br /&gt;KATIBU MKUU&lt;br /&gt;MOB. 0713 588818&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4228971721495935754?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4228971721495935754/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4228971721495935754' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4228971721495935754'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4228971721495935754'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/mafanikio-ya-kozi-ya-makocha-kibaha-na.html' title='mafanikio ya kozi ya makocha kibaha na majigambo ya makocha kutoka mikoani'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5598258012631682935</id><published>2012-01-21T15:04:00.004+03:00</published><updated>2012-01-21T15:19:34.291+03:00</updated><title type='text'>RC MWAMBUNGU AFUNGA OPARESHENI MIAKA 50 YA UHURU MLALE JKT</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-SiogAl58164/Txqri83xrcI/AAAAAAAAPgE/XdOvGI-I26k/s1600/MWAMBUNGU%2BHUTUBIA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-SiogAl58164/Txqri83xrcI/AAAAAAAAPgE/XdOvGI-I26k/s320/MWAMBUNGU%2BHUTUBIA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700056895334755778" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu akihutubia wakati wa kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana 822 katika kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa Mlale wilaya ya Songea&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu  amewaasa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kuwa wazalendo na wenye kuipenda nchi yao ili waweze kuitumikia ili iweze kuwa na Maendeleo  endelevu&lt;br /&gt;Ametoa wito huo leo wakati akifunga mafunzo awali ya kijeshi  yaliyojulikana kama Oparesheni  miaka 50 ya Uhuru yalitolewa katika kikosi cha jeshi 842 Mlale JKT  kilichopo wilaya ya Songea mkoa wa Ruvuma&lt;br /&gt;Mwambungu amewapongeza Vijana hao kwa kuonyesha moyo wa uzalendo toka wajiunge na mafunzo hayo hapo mwaka jana julai ambapo wamejifunza mambo mengi yakiwepo stadi za kazi na mafunzo ya awali ya kijeshi&lt;br /&gt;Aliongeza kusema mafunzo haya yatasaidia kujenga moyo wa kuipenda nchi hususan kipindi hiki ambapo maadili miongoni mwa Vijana yanaporomoka hivyo kwa kujiunga na jeshi la kujenga Taifa Vijana hupata Elimu na maarifa ya kujitegemea na hatimaye kuwa Vijana mahili katika Utendaji kazi&lt;br /&gt;Alitumia pia fursa hiyo kuwapongeza Vijana wote walioshiriki katika operesheni ya kusomba mahindi kutoka kwa wakulima kipindi cha mwisho wa mwaka uliopita ili kunusuru mazao ya wakulima kuharibika&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-1l_ToBdIB6g/TxqtNIrGKPI/AAAAAAAAPgc/bRMk4FUd8bo/s1600/gwaride.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-1l_ToBdIB6g/TxqtNIrGKPI/AAAAAAAAPgc/bRMk4FUd8bo/s320/gwaride.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700058719568931058" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Gwaride likipita kwa heshima&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;“Nawapongeza kwa umahili wenu kipindi cha oparesheni ya kusomba mahindi kutoka kwa wakulima kwani agizo nililotoa kwa makamanda wenu lilitekelezwa vyema” sasa wakulima wana nufaika na kazi mliyoifanya huo ndoi uzalendo alisisitiza mkuu wa Mkoa&lt;br /&gt;Awali akitoa taarifa ya mafunzo kwa mkuu wa mkoa Kaimu kamanda kikosi cha 842 KJ Mlale Meja T S Mpupu  alisema mafunzo hayo ya awali ya kijeshi  yalianza tarehe 26 Julai 2011 na yanahitimishwa  tarehe 20 Januari 2012 lakini yatendelea hadi kipindi cha mkataba wa miaka miwili kitakapoisha&lt;br /&gt;Aliongeza kusema wakati wanaanza kulikuwa na Vijana wapatao 827 kutoka katika mikoa yote ya Tanzania na wanapohitimu leo ni Vijana 822 kati yao wavulana ni 671 na wasichana ni 152&lt;br /&gt;Aliendelea kueleza kuwa Vijana watano hawakuhitimu mafunzo kutokana na watatu kufariki dunia kwa matatizo ya ugonjwa na wawili walitoroka mafunzoni&lt;br /&gt;Aidha kwa upande wake mwakililishi wa Mkuu wa Jeshi la kujenga Taifa Luteni Kanali Malembo aliwakumbusha wahitimu hao juu ya kiapo walichoapa mbele ya mgeni rasmi kuwa wataeendeleza utii  na kuitumikia nchi ya Tanzania kwa  uaminifu,utii na uhodari siku zote&lt;br /&gt;Alisema kuwa watakapotoka hapo(Mlale) watasambazwa katika makambi mengine nchini ili wakaendelee na mafunzo ya stadi za uzalishaji hadi kipindi cha miaka miwili kitakapoisha hivyo aliwasihi kuwa na nidhamu &lt;br /&gt;“Nidhamu ni kitu cha msingi unapokuwa Ndani ya Jeshi la Kujenga Taifa” alisema Luteni Kanali Malembo&lt;br /&gt;Kikosi cha jeshi Mlale JKT kilianzishwa mwaka 1970 kikiwa na Malengo ya kuwalea Vijana  kwa kuwapatia mafunzo na stadi za uzalishaji mali ili wahitimipo waeze Aidha kuajiliwa na serikali au wajitegemee katika kuendeleza Uchumi wao na taifa.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-QUpAx-FW79Y/TxqrjaXbv8I/AAAAAAAAPgQ/bG6lW3xu3Ck/s1600/PAGE%2B2%2BMWAMBUNGU.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-QUpAx-FW79Y/TxqrjaXbv8I/AAAAAAAAPgQ/bG6lW3xu3Ck/s320/PAGE%2B2%2BMWAMBUNGU.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700056903252164546" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akikagua gwaride la wahitimu wa Oparesheni miaka 50 ya Uhuru katika kikosi cha 842 Mlale JKT&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Source:Revocatus Kassimba&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5598258012631682935?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5598258012631682935/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5598258012631682935' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5598258012631682935'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5598258012631682935'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/rc-mwambungu-afunga-oparesheni-miaka-50.html' title='RC MWAMBUNGU AFUNGA OPARESHENI MIAKA 50 YA UHURU MLALE JKT'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-SiogAl58164/Txqri83xrcI/AAAAAAAAPgE/XdOvGI-I26k/s72-c/MWAMBUNGU%2BHUTUBIA.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4567156988145235178</id><published>2012-01-21T14:56:00.000+03:00</published><updated>2012-01-21T14:57:41.068+03:00</updated><title type='text'>CHADEMA YATEUA MGOMBEA JIMBO LA UZINI</title><content type='html'>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemteua Ali Mbarouk Mshimba&lt;br /&gt;kuwa mgombea wa Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kwa tiketi ya&lt;br /&gt;CHADEMA katika Jimbo la Uzini.&lt;br /&gt;Uteuzi huo umefanywa na Kamati Kuu ya chama taifa katika mkutano wake wa&lt;br /&gt;kawaida uliofanyika Dar es salaam tarehe 20 Januari 2012 chini ya uenyekiti&lt;br /&gt;wa Makamu Mwenyekiti Taifa (Bara) Said Amour Arfi (Mb) na Katibu Mkuu Dr.&lt;br /&gt;Wilbroad Slaa.&lt;br /&gt;Maamuzi hayo yalipitishwa kwa kauli moja na kamati kuu ya chama taifa baada&lt;br /&gt;ya kupokea taarifa ya mchakato wa uteuzi wa awali uliofanywa na ngazi&lt;br /&gt;husika za CHADEMA  Jimbo la Uzini iliyowasilishwa na Naibu Katibu Mkuu&lt;br /&gt;(Zanzibar) Hamad Musa Yusuph.&lt;br /&gt;Katika taarifa hiyo Kamati Kuu ya Chama Taifa ilielezwa kwamba uchukuaji&lt;br /&gt;fomu za uteuzi wa ndani ya chama ulianza tarehe 15 Disemba 2011 na&lt;br /&gt;kuhitimishwa tarehe 15 Januari 2012. Jumla ya wanachama watatu walichukua&lt;br /&gt;fomu za kugombea.&lt;br /&gt;Kura za maoni za uteuzi wa mgombea zilifanywa  tarehe 17 Januari 2012,&lt;br /&gt;ambapo Ali Mbarouk Mshimba alikubaliwa kwa kura zote 126 za wajumbe&lt;br /&gt;waliohudhuria mkutano mkuu wa jimbo, kati ya wajumbe 130 waliopaswa&lt;br /&gt;kuhudhuria kutoka katika shehia zote 13 za Jimbo la Uzini.&lt;br /&gt;Mapendekezo hayo ya jimbo la Uzini ya kumteua Ali Mbarouk Mshimba&lt;br /&gt;yaliridhiwa na kikao cha Kamati ya Utendaji ya Wilaya ya Kati&lt;br /&gt;kilichofanyika tarehe 18 Januari 2012.&lt;br /&gt;Ali Mbarouk Mshimba alizaliwa tarehe 10 Aprili 1966 katika Kijiji cha&lt;br /&gt;Tunduni, Jimbo la Uzini, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Zanzibar. Ali&lt;br /&gt;Mbarouk Mshimba ni Katibu wa CHADEMA wa Jimbo la Uzini na ni Mwalimu wa&lt;br /&gt;Skuli Msingi Mchangani Chamba.&lt;br /&gt;Ali Mbarouk Mshimba amesoma Shule ya Msingi Uzini mwaka 1977 mpaka 1984 na&lt;br /&gt;Shule ya Sekondari ya Fidel Castro mwaka 1984 mpaka 1987 na baadaye kusoma&lt;br /&gt;mafunzo ya ualimu ya miaka miwili katika ngazi na nyakati mbalimbali mwaka&lt;br /&gt;2006 mpaka 2008 (Special Certificate in Teacher Education through Teachers&lt;br /&gt;Advancement Program) yaliyoratibiwa na Wizara ya Elimu na Ufundi Stadi ya&lt;br /&gt;Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa tarehe 21 Januari 2011 na:*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dadi Kombo Maalim*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Afisa Mwandamizi wa Habari na Uenezi*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi ya Makao Makuu Zanzibar*&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4567156988145235178?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4567156988145235178/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4567156988145235178' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4567156988145235178'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4567156988145235178'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/chadema-yateua-mgombea-jimbo-la-uzini.html' title='CHADEMA YATEUA MGOMBEA JIMBO LA UZINI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3260809048106898586</id><published>2012-01-21T14:39:00.003+03:00</published><updated>2012-01-21T14:56:01.963+03:00</updated><title type='text'>Rais Kiwete akiongoza hafla ya kutoa heshima za mwisho kwa Marehemu Jeremiah Sumari viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-h-0PkxsB0Pw/Txqm5Sc4XpI/AAAAAAAAPfo/8kCvOVqBDjI/s1600/su5.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-h-0PkxsB0Pw/Txqm5Sc4XpI/AAAAAAAAPfo/8kCvOVqBDjI/s320/su5.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700051781526511250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Kikwete akiongoza umati mkubwa wa waombolezaji katika halfa hiyo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-vPqbg5Ri2cw/Txqm4SgKHMI/AAAAAAAAPfc/ee7vXt9he7Q/s1600/su4.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-vPqbg5Ri2cw/Txqm4SgKHMI/AAAAAAAAPfc/ee7vXt9he7Q/s320/su4.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700051764360387778" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Kikwete akimpa pole mjane Mama Miriam Sumari&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-hwT7YetzhVw/Txqm340k5XI/AAAAAAAAPfQ/ZrphX1ksrD8/s1600/su3.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-hwT7YetzhVw/Txqm340k5XI/AAAAAAAAPfQ/ZrphX1ksrD8/s320/su3.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700051757466707314" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Kikwete akitoa heshima zake za mwisho&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-hiTzkmu8ybA/Txqm3uV6HHI/AAAAAAAAPfE/-bivPO3mWFQ/s1600/su1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-hiTzkmu8ybA/Txqm3uV6HHI/AAAAAAAAPfE/-bivPO3mWFQ/s320/su1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700051754653719666" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Marehemu Jeremiah Sumari likiwasili katika uwanja wa Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo January 21, 2012 tayari kwa kupewa heshma za mwisho &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-cGev82XXxO4/Txqm5mbL5wI/AAAAAAAAPf0/Sv3dWNpAXME/s1600/su6.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-cGev82XXxO4/Txqm5mbL5wI/AAAAAAAAPf0/Sv3dWNpAXME/s320/su6.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700051786888111874" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Kikwete, Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman, Spika Anne Makinda na kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni Mh Freeman Mbowe &lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3260809048106898586?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3260809048106898586/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3260809048106898586' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3260809048106898586'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3260809048106898586'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/rais-kiwete-akiongoza-hafla-ya-kutoa.html' title='Rais Kiwete akiongoza hafla ya kutoa heshima za mwisho kwa Marehemu Jeremiah Sumari viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-h-0PkxsB0Pw/Txqm5Sc4XpI/AAAAAAAAPfo/8kCvOVqBDjI/s72-c/su5.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5546823431048561393</id><published>2012-01-21T14:36:00.002+03:00</published><updated>2012-01-21T14:38:51.686+03:00</updated><title type='text'>SERIKALI YASITISHA VYUO VYA UFUNDI KUGEUZWA KUWA VYUO VIKUU</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-TEiSzNoqxuo/TxqjxPBr9OI/AAAAAAAAPe4/wESIEPcWWGg/s1600/pinda.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-TEiSzNoqxuo/TxqjxPBr9OI/AAAAAAAAPe4/wESIEPcWWGg/s320/pinda.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5700048344633308386" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;SERIKALI imesitisha utaratibu wa kuvibadili Vyuo vya Ufundi kuwa Vyuo Vikuu ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa mafundi sanifu na uhaba wa vyuo vinavyotoa mafunzo ya ufundi sanifu katika nyanja ya uhandisi na teknolojia. &lt;br /&gt;Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo mchana (Jumamosi, Januari 21, 2012) wakati akiwahutubia washiriki wa mahafali ya tatu ya Chuo cha Ufundi Arusha yaliyofanyika kwenye viwanja vya chuo hicho mjini Arusha. &lt;br /&gt;Waziri Mkuu alisema Serikali imefanya hivyo kwa kutambua kuwa yapo mahitaji makubwa katika soko la ajira kwa wataalam wanaohitimu kutoka katika vyuo hivyo. &lt;br /&gt;“Ili kukabiliana na changamoto hiyo, tumeamua kuchukua hatua hiyo ili kuimarisha elimu na stadi mbalimbali za ufundi, sayansi na teknolojia ili kukidhi mahitaji ya mafundi sanifu katika kutoa huduma za ufundi na uhandisi,” alisema. &lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu alisema Serikali imeamua kuruhusu Vyuo vya Ufundi vitoe tuzo endelevu hadi ngazi ya Shahada bila kuwa Vyuo Vikuu na bila kubadili madhumuni ya uasisi wake (Purpose of Establishment) ili mradi vifuate taratibu za  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE). &lt;br /&gt;Waziri Mkuu alisema ipo mifano mingi ya vyuo vya aina hiyo Duniani ambavyo vimekuwa na manufaa sana kwa jamii na vimesaidia kuongeza idadi ya mafundi sanifu na kukuza elimu ya ufundi na teknolojia. &lt;br /&gt;Alivitaja baadhi ya vyuo hivyo kuwa ni: Taasisi ya Teknolojia ya Massachuset ya Marekani (Massachuset Institute of Technology); Taasisi ya Teknolojia ya Korea ya Kusini (Korea Institute of Technology); Chuo cha Ufundi cha Koforidua cha Ghana (Koforidua Polytechnic); na Taasisi za Teknolojia za India (Indian Institutes of Technology). &lt;br /&gt;Alisema ili kuimarisha elimu na mafunzo ya ufundi nchini, Serikali kupitia NACTE iliamua kusajili vyuo vyote vya ufundi na kwamba hadi kufikia Juni 2011, jumla ya vyuo 240 vilikuwa vimesajiliwa. &lt;br /&gt;“Hata hivyo, kati ya vyuo hivyo 240, vyuo vinavyotoa elimu na mafunzo ya ufundi katika nyanja ya uhandisi na teknolojia ni vyuo 39, sawa na asilimia 16 tu. Kati ya vyuo hivyo 39, vyuo vya Serikali havizidi sita ambavyo ni vichache sana kulingana na mahitaji yetu. Serikali itaweka mkazo mkubwa katika eneo hili kwa kuzingatia Mpango wa Maendeleo wa miaka 15,” alisisitiza. &lt;br /&gt;Alitoa changamoto kwa uongozi wa chuo hicho kuangalia uwezekano wa kuanzisha mafunzo katika nyanja za utafiti, uchimbaji, usafishaji na usafirishaji mafuta, gesi na madini ya uranium, chuma na makaa ya mawe ili wahitimu hao waweze kuchukua nafasi za ajira zinazojitokeza. &lt;br /&gt;Aliiomba Taasisi ya Elimu nchini (TEA) iangalie uwezekano wa kusaidia ujenzi wa bweni la wasichana ili kuongeza udahili wa wanafunzi wa kike katika chuo hicho. “Jumla ya wanafunzi wanaohitimu ni 231 na wote wanahitimu katika Stashahada ya Uhandisi. Kati yao, Wahitimu Wasichana ni 16 sawa na asilimia 7 tu.” &lt;br /&gt;“Hali hii haiendani na maelekezo ya Ibara ya 85(f)(v) ya Ilani ya Chama Tawala ya mwaka 2010 hadi 2015 inayoelekeza:- Kuendelea kuhamasisha wanafunzi wa kike kujiunga na Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi.” &lt;br /&gt;Aidha, Waziri Mkuu alisema idadi hiyo ndogo haiendani na dhamira ya Serikali ya kuwawezesha wanawake. “Upo umuhimu wa kuongeza idadi ya wasichana katika kozi zinazotolewa hapa chuoni,” alisisitiza.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IMETOLEWA NA:&lt;br /&gt;OFISI YA WAZIRI MKUU,&lt;br /&gt;JUMAMOSI, JANUARI 21, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5546823431048561393?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5546823431048561393/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5546823431048561393' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5546823431048561393'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5546823431048561393'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/serikali-yasitisha-vyuo-vya-ufundi.html' title='SERIKALI YASITISHA VYUO VYA UFUNDI KUGEUZWA KUWA VYUO VIKUU'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-TEiSzNoqxuo/TxqjxPBr9OI/AAAAAAAAPe4/wESIEPcWWGg/s72-c/pinda.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8340731480032032980</id><published>2012-01-20T18:00:00.001+03:00</published><updated>2012-01-20T19:51:06.049+03:00</updated><title type='text'>Waislamu waandamana wakidai kupinga mfumo wa kikristo ndani ya serikali</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-jA4vjS71aIc/TxmaGIhAObI/AAAAAAAAPeo/vd3XMOBWz2M/s1600/BANGO%2BKUBWA..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-jA4vjS71aIc/TxmaGIhAObI/AAAAAAAAPeo/vd3XMOBWz2M/s320/BANGO%2BKUBWA..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699756233569876402" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya Waislamu, kutoka Jumuiaya ya Wanafunzi na Vijana wa Kiislamu&lt;br /&gt;Morogoro wakiwa wameketi chini barabarani karibu na Ofisi ya Mkuu wa&lt;br /&gt;Mkoa wa Morogoro, wakiwa na mabango yaliyoandikwa ujumbe ' Majengo ya&lt;br /&gt;Serikali Ardhi ya Kanisa  J.K. Thibitisha " Lazima Kieleweke"&lt;br /&gt;Maandamano hayo yalifanyika leo mjini hapa baada ya sala ya Ijumaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mamia ya Waislamu wa Morogoro wakiwemo Wanafunzi na Vijana wa Kiislamu wameandamana hadi Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kuwasilisha madai yao mbalimbali yakiwemo ya kupinga mfumo Kristo ndani ya Serikali.&lt;br /&gt;Maandamano hayo yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Wanafunzi na Vijana wa&lt;br /&gt;Kiislamu Mkoa wa Morogoro, yalianza mara baada ya swala Ijumaa&lt;br /&gt;kutoka Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro  eneo la Msamvu , kupitia&lt;br /&gt;katikati ya mitaa ya Manispaa ya Morogoro hadi nje ya Ofisi ya Mkuu wa&lt;br /&gt;Mkoa .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-grZe04Qf5C0/TxmaF9YMj6I/AAAAAAAAPeg/klyTd8Kzj1A/s1600/ASKARI%2BKUWEKA%2BUWIGO%2BOFISI%2BYA%2BR..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-grZe04Qf5C0/TxmaF9YMj6I/AAAAAAAAPeg/klyTd8Kzj1A/s320/ASKARI%2BKUWEKA%2BUWIGO%2BOFISI%2BYA%2BR..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699756230580146082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Askari wa Kikosi cha kutuliza ghasia (FFU)Mkoa wa Morogoro wakijenga&lt;br /&gt;uwigo kwa ajili ya kuwazuia waandamanaji waislamu wa Jumuiya ya&lt;br /&gt;Wanafunzi na Vijana wa Kiislamu Morogoro leo karibu na Ofisi za Mkuu&lt;br /&gt;wa Mkoa wa Morogoro.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo pamoja na kufikisha risala hiyo, wameipa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa&lt;br /&gt;siku 21 kuanzia Januari 20, mwaka huu kuyashughulikia madai ya&lt;br /&gt;Waislamu wa Mkoa wa Morogoro na kupatia uvumbuzi wa kudumu ,&lt;br /&gt;vinginevyo watayashughulikia wao wenyewe.&lt;br /&gt;Wakati maaandamano hayo kijumuisha baadhi ya wasilamu wengine njiani ,&lt;br /&gt;Polisi Mkoa wa Morogoro chini ya Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa,&lt;br /&gt;Joseph Rugira, waliwahi  kuziba njia karibu na Ikulu ndogo yakiwemo na&lt;br /&gt;Makazi ya Mkuu wa Mkoa sambamba na lango la kuingilia Jengo la Ofisi&lt;br /&gt;ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.&lt;br /&gt;Hata hivyo wakati maandamano hayo wakisika kasi kwa waislamu hao&lt;br /&gt;kubeba mabango yaliyoanzidikwa ‘ Kupinga mazira mfumo kristo Tanzania’&lt;br /&gt;‘ No Peace without justice ‘ pia walibeba mabango yaliyoandikwa kwa&lt;br /&gt;vitambaa yakiwa na ujumbe ‘ Majengo ya Serikali Ardhi ya Kanisa . JK&lt;br /&gt;Thibitisha …lazima kieleweke’ na ‘ Pasipo haki hakuna usawa’.&lt;br /&gt;Azma ya kufanyika kwa maandamano hayo ni  kushinikiza Serikali&lt;br /&gt;kuuondoa mfumo kristo , kudhulumiwa , kunyanyaswa na ukandamizaji wa&lt;br /&gt;wanafunzi wa Kiislamu mashuleni, Vyuoni na kubakizwa nyuma kwa&lt;br /&gt;makusudi katika elimu , ajira na maeneo mengine mbalimbali na kupewa&lt;br /&gt;majina mabaya kama magaidi ili kuhalalisha dhuluma dhidi ya Waaislamu.&lt;br /&gt;Pamoja na kurupushani hizo, Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo,&lt;br /&gt;Rugira, aliwataka  Waandamanaji hao kuteua wawakilishi watano&lt;br /&gt;wataowasilisha risala yao kwa Mkuu wa Mkoa na wao wabakie wakisubiri&lt;br /&gt;kupatwa majawabu.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-QPwIWRjIIKI/TxmaFbvkYWI/AAAAAAAAPeU/fUcAOR1ufTw/s1600/ASKARI%2BKUWEKA%2BULINDI%2BMKALI%2BKARINU%2BNA%2BOFISI%2BYA%2BRC..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-QPwIWRjIIKI/TxmaFbvkYWI/AAAAAAAAPeU/fUcAOR1ufTw/s320/ASKARI%2BKUWEKA%2BULINDI%2BMKALI%2BKARINU%2BNA%2BOFISI%2BYA%2BRC..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699756221551370594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Askari wa Kikosi cha kutuliza ghasia (FFU)Mkoa wa Morogoro wakijenga&lt;br /&gt;uwigo kwa ajili ya kuwazuia waandamanaji waislamu wa Jumuiya ya&lt;br /&gt;Wanafunzi na Vijana wa Kiislamu Morogoro leo karibu na Ofisi za Mkuu&lt;br /&gt;wa Mkoa wa Morogoro.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo iiliafikiwa na Waaislamu hao, na waliwateua wawakilishi&lt;br /&gt;watano kupeleka ujumbe katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa , ambapo pamoja na&lt;br /&gt;kufika Ofisi hiyo, Mkuu wa Mkoa alikuwa safarini  na wao wakimtaka&lt;br /&gt;Ofisa Elimu wa Mkoa ili asikilize madai yao.&lt;br /&gt;Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Mgeni Baruani, aliazimika kutoka&lt;br /&gt;nje ya lango kuu walipokuwa wameketi waandamanaji hao ili kusikiliza&lt;br /&gt;risala yao iliyosomwa na Shehe Mohammed Mohammed , ambaye pia alikuwa&lt;br /&gt;ni Mratibu na Msemaji wa Maandanano hayo.&lt;br /&gt;Katika risala yao, walidai kuwa Serikali ya Tanzania haiwathamini&lt;br /&gt;Waislamu wala kujali shida zao , pamoja na sauti za vilio na hivyo&lt;br /&gt;kutoa tamko la kuitaka Serikali kuu na Mkoa iwachukulie hatua za&lt;br /&gt;kisheria wanafunzi , walimu , watendaji wanaongoza kuleta migogoro ya&lt;br /&gt;Kidini Shuleni na sehemu za kazi.&lt;br /&gt;Hata hivyo katika mambo yao sita ni kuwa watapambana wenyewe&lt;br /&gt;watakapoona wanadhulumiwa katika kutetea haki  kwa vile ni wajibu wa&lt;br /&gt;waislamu kufanya hivyo  na kwamba huo ndiyo msimamo wao wa kuueneza&lt;br /&gt;nchini kote hadi pake Serikali itakapoonesha kujali na kudhamini&lt;br /&gt;waislamu.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-abUiM0171yA/TxmaEW4Qn3I/AAAAAAAAPd8/s8vo5oA4XC0/s1600/WANMAWAKE%2BWA%2BKIISLAMU%2BKATIKA%2BMAANDAMANO..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-abUiM0171yA/TxmaEW4Qn3I/AAAAAAAAPd8/s8vo5oA4XC0/s320/WANMAWAKE%2BWA%2BKIISLAMU%2BKATIKA%2BMAANDAMANO..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699756203065778034" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya wanawake wa Kiislamu wa kutoka Jumiya ya Wanafunzi na Vijana&lt;br /&gt;wa Kiislamu Morogoro, wakiwa kwenye maandamano yaliyoandaliwa na&lt;br /&gt;Jumuiya hiyo ijulikanayo kwa kifupi –TAMSYA, kama walivyokutwa katika&lt;br /&gt;barabara ya Boma kuelekea Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza baada ya kupokea risala ya madai yao, Katibu Tawala wa&lt;br /&gt;Mkoa huo, Baruani, aliwataka Waislamu hao kuwa watulivu na kwamba Mkuu&lt;br /&gt;wa Mkoa mara atakaporejea atakabidhiwa ili kuyapitia na yenye kuhitaji kuchukua hatua zaidi ya kuwasilisha kwa Rais Jakaya Kikwete.&lt;br /&gt;Kwa upande wake Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo, Rugira, ambaye&lt;br /&gt;pamoja na safu yake walijitahidi kuzungunza  na baadhi ya viongozi wa&lt;br /&gt;Maandamani hayo kuwataka watulize jazba na baada ya kuwasilisha kilio&lt;br /&gt;chao aliwataka watawanyike kwa amani na utulivu.&lt;br /&gt;Hata hivyo kabla ya kutawanyika walimtaka Kaimu Kamanda huyo wa&lt;br /&gt;Polisi, kuwaachia wenzao watatu waliokamatwa kwa madai ya vinara wa&lt;br /&gt;maandamano hayo na dai lao lilikubaliwa na kuwawachia Siamini Said,&lt;br /&gt;Athuman Seba na mwanamke mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika&lt;br /&gt;mara moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-ALSkVTcGDnU/TxmaEys5qRI/AAAAAAAAPeI/Bw8LuMJVxtQ/s1600/MAGARI%2BYA%2BPOLISI%2BKUPITA%2BKATI%2BKATI%2BYA%2BWAANDAMANAJI..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-ALSkVTcGDnU/TxmaEys5qRI/AAAAAAAAPeI/Bw8LuMJVxtQ/s320/MAGARI%2BYA%2BPOLISI%2BKUPITA%2BKATI%2BKATI%2BYA%2BWAANDAMANAJI..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699756210534328594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Magari ya Polisi yakiwa na Askari yakipita katikati ya barabara ya&lt;br /&gt;kwenda Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, baada ya waandamanaji hao&lt;br /&gt;ambao ni Waislamu wa Jumuiya ya wanafunzi  na Vijana wa Kiislamu&lt;br /&gt;kutakiwa kusongea mbele ili wasililize majibu ya hoja zao kutoka kwa&lt;br /&gt;Uongozi wa Mkoa , leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini Waislamu hao walitaka Jeshi la Polisi limlipe fidia mmoja wao&lt;br /&gt;aliyetambuliwa kwa jina la Mgeni Athumani aliyepasukiwa  na bomu&lt;br /&gt;sehemu ya kichwani na kusababisha majeraha.&lt;br /&gt;Hata hiviyo Waislamu hao mara baada ya kuwasilisha madai yao walitii&lt;br /&gt;agizo la kuwataka kutawanyika eneo la Ofisi za Mkuu wa Mkoa na&lt;br /&gt;waliodoka kwa amani majira ya saa kumi jioni kurejea kuendelea na&lt;br /&gt;shughuli zao nyingine.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8340731480032032980?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8340731480032032980/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8340731480032032980' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8340731480032032980'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8340731480032032980'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/waislamu-waandamana-wakidai-kupinga.html' title='Waislamu waandamana wakidai kupinga mfumo wa kikristo ndani ya serikali'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-jA4vjS71aIc/TxmaGIhAObI/AAAAAAAAPeo/vd3XMOBWz2M/s72-c/BANGO%2BKUBWA..JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6847038860585131444</id><published>2012-01-20T17:49:00.002+03:00</published><updated>2012-01-20T17:51:41.695+03:00</updated><title type='text'>Vijana wakijifua Zanzibar</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-eleBM4rvOvU/Txl_Zq91PnI/AAAAAAAAPdw/TgCzpT7xa1Y/s1600/wakijifua.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-eleBM4rvOvU/Txl_Zq91PnI/AAAAAAAAPdw/TgCzpT7xa1Y/s320/wakijifua.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699726882421161586" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Vijana wa Bububu chini ya miaka 17 wakifanya mazoezi ya viungo kuweka sawa&lt;br /&gt;miili yao kabla ya kuanza pambano la soka kwenye uwanja wa Jazira nje kidogo ya mji&lt;br /&gt;wa Zanzibar jana.&lt;br /&gt;Source: Martin Kabemba&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6847038860585131444?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6847038860585131444/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6847038860585131444' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6847038860585131444'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6847038860585131444'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/vijana-wakijifua-zanzibar.html' title='Vijana wakijifua Zanzibar'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-eleBM4rvOvU/Txl_Zq91PnI/AAAAAAAAPdw/TgCzpT7xa1Y/s72-c/wakijifua.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3162538258136321402</id><published>2012-01-20T17:35:00.003+03:00</published><updated>2012-01-20T17:41:52.553+03:00</updated><title type='text'>Dar bwana we acha tu , mchana hivik usiku vile ona sasa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-g93d-95aHu8/Txl8zOvUsGI/AAAAAAAAPdk/krXX-XA2QcM/s1600/MSANII.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 312px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-g93d-95aHu8/Txl8zOvUsGI/AAAAAAAAPdk/krXX-XA2QcM/s320/MSANII.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699724022985830498" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;MREMBO mwenye mvuto wa kimahaba, Evonia William, juzi Jumatano alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, Dar es Salaam kwa kosa la kufanya biashara haramu ya ukahaba.&lt;br /&gt;Awali, mrembo huyo aliwahi kutupa karata yake kwenye ulingo wa filamu za Kibongo kwa kushiriki sinema tatu (scene chache) lakini ‘akalamba galasha’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;KUTOKA MAHAKAMANI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mwendesha mashitaka wa mahakama hiyo, Richard Magodi alimsomea Evonia shitaka lake mbele ya Hakimu Mkazi, William Mutaki na kumwambia kuwa kosa alilokutwa nalo ni la kukaa eneo la wazi na kufanya ukahaba.&lt;br /&gt;Mwendesha mashitaka huyo aliiambia mahakama kuwa, Januari 17, mwaka huu, saa 2:00 usiku, mshitakiwa huyo alinaswa eneo la Buguruni karibu na Baa ya Kimboka akifanya kosa hilo.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-2t8t2ksyAxs/Txl8ykE475I/AAAAAAAAPdY/WQblOUthXk4/s1600/changu2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 213px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-2t8t2ksyAxs/Txl8ykE475I/AAAAAAAAPdY/WQblOUthXk4/s320/changu2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699724011533561746" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;AKANA SHITAKA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Evonia alikana shitaka hilo na kumwambia hakimu kuwa alikamatwa eneo hilo kwa kosa la kupigana na changudoa aliyekuwa akijiuza, lakini yeye hakuwa na lengo la kufanya biashara hiyo.&lt;br /&gt;Baada ya mrembo huyo kukana shitaka, mheshimiwa hakimu alimwambia kuwa, dhamana ipo wazi, lakini alikosa mdhamini hivyo alipelekwa rumande.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;AMWANGUSHIA LAWAMA BABA YAKE&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mshitakiwa huyo akiwa mahakamani hapo, alimlalamikia baba yake mzazi aliyemtaja kwa jina la William Molo, kuwa ndiye chanzo cha yeye kuteseka na kuzurura hovyo.&lt;br /&gt;Alisema, baba yake pamoja na uwezo wake mkubwa kifedha, alikataa kumsomesha, ndiyo sababu anahangaika mitaani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kama baba yangu angenisomesha, nisingekuwa hivi. Ningekuwa na maisha mazuri kama mabinti wengine. Nimembembeleza sana anisomeshe lakini hataki. Akitokea msamaria yeyote kunisomesha au hata kufanya kazi za ndani, nipo tayari kutulia,” alisema msichana huyo huku akiangua kilio.&lt;br /&gt;Kesi hiyo itatajwa tena Januari 31, mwaka huu mahakamani hapo huku Evonia akiendelea kula msoto rumande.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-Mo7GwYZxOQ8/Txl8ydp1mcI/AAAAAAAAPdM/QXkazrpEpYc/s1600/changu.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 213px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-Mo7GwYZxOQ8/Txl8ydp1mcI/AAAAAAAAPdM/QXkazrpEpYc/s320/changu.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699724009809484226" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Source:&lt;a href="http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/msanii-anaswa-kwa-ukahaba"&gt;http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/msanii-anaswa-kwa-ukahaba&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3162538258136321402?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3162538258136321402/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3162538258136321402' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3162538258136321402'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3162538258136321402'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/dar-bwana-we-acha-tu-mchana-hivik-usiku.html' title='Dar bwana we acha tu , mchana hivik usiku vile ona sasa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-g93d-95aHu8/Txl8zOvUsGI/AAAAAAAAPdk/krXX-XA2QcM/s72-c/MSANII.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8922170565467765245</id><published>2012-01-20T17:32:00.000+03:00</published><updated>2012-01-20T17:33:31.470+03:00</updated><title type='text'>Kimondo chajibamiza kwenye jua</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-lJHYTu9xMmg/Txl7KTMlvfI/AAAAAAAAPdA/qbqpRc7TboU/s1600/comet-sun-death-dive-revealed_214046.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-lJHYTu9xMmg/Txl7KTMlvfI/AAAAAAAAPdA/qbqpRc7TboU/s320/comet-sun-death-dive-revealed_214046.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699722220296060402" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Shirika la utafiti wa anga za juu la Marekani , NASA, limetoa picha inayoonesdha kimondo kikienda kujibamiza katika jua na kuyeyuka.&lt;br /&gt;Katika picha hii unaona kimondo C/2011 N3 kikikaribia jua  na kujiangamiza hapoo Julai 4 mwaka jana.&lt;br /&gt;Picha hizo zilizochukuliwa na  NASA's Solar Dynamics Observatory  zinaonesha pia kuwapo kwa gesi wakati kimondo hicho kilipokuwa kinasogelea jua ambalo joto lake ni kiasi cha Kelvin milioni moja.&lt;br /&gt;Hii ni mara ya kwanza kwa mitambo ya duniani kuona kimondo kikiyeyuka mbele ya uso wa jua.&lt;br /&gt;Such sun-diving comets are common but none have been seen surviving entry into the sun's atmosphere until now. They could help reveal what comets are made of and also uncover hidden properties of the sun's atmosphere, researchers said today (Jan. 19) as they announced the discovery.&lt;br /&gt;A group of comets known as the Kreutz family regularly flies perilously close to the sun.&lt;br /&gt;In the past 15 years, more than 1,400 of these dirty snowballs have been detected, likely originating from a giant parent comet 20 to 100 kilometers wide (12 to 62 miles) that broke apart as recently as 2,500 years ago. However, until now, none of the telescopes trained on the sun was sensitive enough to follow any of these comets to their demise in the sun's atmosphere.&lt;br /&gt;Using NASA's Solar Dynamics Observatory (SDO), Solar Heliospheric Observatory (SOHO) and Solar-Terrestrial Relations Observatory (STEREO), scientists followed the Kreutz comet C/2011 N3 in its mad dash to the sun. [Photos of Death-Defying Comet Lovejoy]&lt;br /&gt;"It was very surprising to see this comet at all," Karel Schrijver, an astrophysicist at Lockheed Martin Advanced Technology Center in Palo Alto, Calif., told SPACE.com. "We may think that an object of some 60,000 metric tons and some 50 meters [164 feet] across is large and heavy, but if you compare it to the sun, which can easily hold a million Earths, it is astonishing that such a small object glows brightly enough to be seen."&lt;br /&gt;Schrijver is the lead author of the study of the disintegrating comet. The scientists detail their findings in the Jan. 20 issue of the journal Science.&lt;br /&gt;Doomed comet's death dive&lt;br /&gt;Researchers first detected the comet last July 4, two days before its destruction. It initially had a tail more than 6,200 miles (10,000 kilometers) long and was diving at the sun at about 1.3 million mph (2.1 million kilometers per hour). During the final 10 minutes of observations, the comet lost about 1.5 million to 150 million pounds (700,000 to 70 million kilograms).&lt;br /&gt;"We've been able to bracket its size as between 30 and 150 feet (9 and 45 meters) long, with a greater likelihood that it lies at the upper end of that range," Schrijver said. "And it most likely weighed in at as much as 70,000 tons, giving it about the weight of an aircraft carrier when it first became visible."&lt;br /&gt;On July 6, the comet managed to reach deep into the sun's atmosphere, about 62,000 miles (100,000 km) from the surface. As it approached that point, it broke up into many large pieces ranging in size from dust up to about 150 feet (45 meters) wide. Then it completely vaporized.&lt;br /&gt;A glimpse inside comets&lt;br /&gt;As sun-diving comets disintegrate, they could reveal much about how comets in general are put together and what their components are scientists say. Since comets date back to the origins of the solar system, such details about their death throes could lead to a better understanding of how the planets evolved from protoplanetary gas and dust.&lt;br /&gt;The behavior of these comets as they graze the sun also could shed light on the sun's mysterious high-altitude atmosphere. Scientists normally are unable to see this part of the sun because its glow is not bright enough for telescopes, while it is still too close to the sun to observe with instruments that block out the bright disk of the sun, Schrijver said.&lt;br /&gt;Understanding how the sun's atmosphere works could in turn reveal more about the operations of the sun's roiling surface, which can often burst with solar flares that affect Earth.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8922170565467765245?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8922170565467765245/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8922170565467765245' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8922170565467765245'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8922170565467765245'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kimondo-chajibamiza-kwenye-jua.html' title='Kimondo chajibamiza kwenye jua'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-lJHYTu9xMmg/Txl7KTMlvfI/AAAAAAAAPdA/qbqpRc7TboU/s72-c/comet-sun-death-dive-revealed_214046.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3474209936841000848</id><published>2012-01-20T16:56:00.000+03:00</published><updated>2012-01-20T16:57:22.900+03:00</updated><title type='text'>Kifo cha Sumari chabadilisha kikao cha Kamati Kuu Chadema</title><content type='html'>KUFUATIA kifo cha Mbunge Jeremiah Sumari, Chama cha Demokrasia na Maendeleo&lt;br /&gt;(CHADEMA) kimeamua mkutano wa kawaida wa Kamati Kuu ya chama uliokuwa&lt;br /&gt;ufanyike Zanzibar kuanzia Januari 21, 2012 mpaka Januari 22, 2012, sasa&lt;br /&gt;utafanyika Dar es Salaam.&lt;br /&gt;CHADEMA imefikia uamuzi huo ili kuwezesha viongozi wake wakuu wa chama,&lt;br /&gt;wakiongozwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dkt. Wilbrod Slaa&lt;br /&gt;kuwa karibu ili kujumuika na kuifariji familia ya marehemu pamoja na&lt;br /&gt;kushiriki katika kutoa heshima za mwisho kwa Marehemu Sumari.&lt;br /&gt;Mungu ailaze roho ya Marehemu Jeremiah Sumari, mahali pema peponi, Amina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Imetolewa leo Januari 20, 2012*&lt;br /&gt;*John Mnyika (Mb), *&lt;br /&gt;*Mkurugenzi ya Habari na Uenezi*&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3474209936841000848?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3474209936841000848/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3474209936841000848' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3474209936841000848'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3474209936841000848'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kifo-cha-sumari-chabadilisha-kikao-cha.html' title='Kifo cha Sumari chabadilisha kikao cha Kamati Kuu Chadema'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5533439700921618629</id><published>2012-01-20T15:27:00.001+03:00</published><updated>2012-01-20T15:51:47.275+03:00</updated><title type='text'>kinapa yatengeneza mabilioni</title><content type='html'>Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro KINAPA imefanikiwa kukusanya zaidi ya&lt;br /&gt;shilingi bilioni 45  kwa mwaka 2010/2011, kutokana na ongezeko kubwa&lt;br /&gt;la watalii kutoka ndani na nje ya nchi wanaofika kupanda mlima&lt;br /&gt;Kilimanjaro, hali iliyochangia kuongeza pato la taifa kupitia fedha za&lt;br /&gt;kigeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yalibainishwa hivi karibuni  na mhifadhi mkuu wa Hifadhi ya Taifa&lt;br /&gt;KINAPA, Nyamakumbati Mafuru  wakati mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro&lt;br /&gt;Leonidas Gama alipotembelea hifadhi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mafuru alisema kuwa mafanikio hayo yametokana na ongezeko kubwa la&lt;br /&gt;watalii ambao wamekuwa wakiongezeka mwaka hadi mwaka, na kubainisha&lt;br /&gt;kuwa sambamba na ongezeko hilo pia pato la taifa limezidi kupanda&lt;br /&gt;kupitia hifadhi ya mlima huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa mfano wa ongezeko hilo Mafuru alisema kuwa kwa mwaka wa fedha&lt;br /&gt;2000/2001 watalii waliotembelea hifadhi hiyo walikuwa ni  26,282&lt;br /&gt;ambapo zaidi ya shilingi bilioni 7 zilipatikana, na mwaka 2010/2011&lt;br /&gt;jumla ya watalii 52,696  na zaidi ya shilingi bilioni 45 zilipatikana,&lt;br /&gt;ikiwa ni ongezeko la zaidi ya shilingi bilioni 38 sawa na asilimia&lt;br /&gt;538.3 kwa kipindi cha miaka kumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro ni kati ya hifadhi zinazotembelewa na&lt;br /&gt;watalii wengi toka nje na ndani ya nchi, hivyo kulipatia taifa fedha&lt;br /&gt;nyingi hususani za kigeni...kutokana na kivutio pekee duniani cha&lt;br /&gt;barafu isiyoisha kileleni, watalii wamekuwa wakiongezeka mwaka hadi&lt;br /&gt;mwaka, hali iliyafanikisha kukusanya kiasi hicho cha fedha” alisema&lt;br /&gt;Mafuru&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kutokana na kuwapo kwa mabadiliko ya tabia nchi hifadhi hiyo&lt;br /&gt;imejipanga vizuri katika uokoaji, ambapo alibainisha kuwa jumla ya&lt;br /&gt;watalii raia na wasio raia wapatao 1,776 waliokolewa kutoka mlimani&lt;br /&gt;kutokana na matatizo mbalimbali kiafya na upungufu wa hewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mafuru alisema kati ya watalii hao wawili wanaume raia wa Uingereza&lt;br /&gt;naMtanzania mmoja mwanaume walifariki dunia, ambapo waingereza hao&lt;br /&gt;Alister Cook (69) alifariki dunia kwenywe kituo cha Gilman's,kutokana&lt;br /&gt;na  tatizo la maji kujaa kwenywe mapafu na kushindwa kupumua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliwataja wengine kuwa ni Thomas Rae (57) aliyefia kituo cha Stella&lt;br /&gt;kwa mshtuko wa moyo pamoja na mpagazi Godson Israel (24) alifariki&lt;br /&gt;katika kituo cha Kibo kwa tatizo la mapafu kujaa maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa  Kilimanjaro Leonidas Gama, aliitaka&lt;br /&gt;hifadhi hiyo kupanga mpango mkakati wa wa kuhakikisha unatokomesha&lt;br /&gt;uharibifu wa mazingira ya uchomaji misitu, majangili na uvunaji wa&lt;br /&gt;misitu, pamoja na njia za kurudisha hifadhi ya mlima katika mazingira&lt;br /&gt;yake ya hapo awali.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5533439700921618629?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5533439700921618629/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5533439700921618629' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5533439700921618629'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5533439700921618629'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kinapa-yatengeneza-mabilioni.html' title='kinapa yatengeneza mabilioni'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-736558478332194068</id><published>2012-01-20T15:23:00.001+03:00</published><updated>2012-01-20T15:26:38.210+03:00</updated><title type='text'>NAHODHA AWAWAKIA WANAOSAFIRISHA FEDHA BILA ESCORT YA POLISI</title><content type='html'>Wafanyabiashara wakiwemo wawekezaji wa kigeni waliopo hapa nchini, wameonywa kuacha mtindo wa kusafirisha fedha nyingi kutoka eneo moja hadi lingine pasipo na ulinzi wa Polisi.&lt;br /&gt;Onyo hilo limetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Shamsi Vuai Nahodha,&lt;br /&gt;wakati akizungumza na wawekezaji wenye Mahoteli katika Fukwe za Bahari ya Hindi na&lt;br /&gt;Hifadhi ya Mjini Mkongwe mjini Zanzibar.&lt;br /&gt;Waziri Nahodha amesema kuwa pamoja na kuwapo kwa usalama na amani hapa nchini,&lt;br /&gt;lakini hali hiyo isiwafanye watu wakajiamini na kusafirisha fedha nyingi pasipo na&lt;br /&gt;ulinzi wa kutosha ili kuepuka kuporwa na majambazi.&lt;br /&gt;Akizungumzia Utalii Mh. Nahodha amesema kuwa kwa kutambua kuwa utalii ndio chanzo&lt;br /&gt;kikubwa cha uchumi wa Zanzibar na taifa kwa ujumla, Serikali itahakikisha kuwa&lt;br /&gt;inaweka miundombinu ya kutosha kiusalama ili kuondoa matishio yoyote kwa wageni&lt;br /&gt;wanaoitembelea nchi yetu kwa shughuli mbalimbali zikiwemo za kitalii.&lt;br /&gt;Aidha amesema ili kuhakikisha usalama zaidi, wawekezaji hao hawanabudi kulitumia&lt;br /&gt;Jeshi la Polisi katika kufanya uchunguzi kwa watu wanaotaka kazi kwenye maeneo yao&lt;br /&gt;ili kuepuka kuajiri watumishi wasio waaminifu.&lt;br /&gt;“Mnapotaka kuwaajiri wafanyakazi, wakiwemo walinzi kwenye maeneo yenu, hakikisheni&lt;br /&gt;kuwa mnaowapa nafasi hizo ni vijana wa maeneo jirani ambao wengi wao wanafahamika&lt;br /&gt;kwa sura na tabia kulikoni kutoa watumishi mbali ambao hata kama wakifanya uhalifu&lt;br /&gt;na kukimbia ni vigumu kumpata”. Alisema Mh. Nahodha.&lt;br /&gt;Mh. Nahodha ameongeza kuwa athari za kumuajiri mtu wa mbali ni kuwa hata pale&lt;br /&gt;atakapofanya uhalifu na kukimbi haitakuwa rahiisi kwa Polisi kumpata mtuhumiwa huyo&lt;br /&gt;kwa urahisi.&lt;br /&gt;Awali Mwenyekiti wa Umoja wa Wawekezaji wa Mahoteli Visiwani Zanzibar (ZATI)&lt;br /&gt;Zanzibar Association Tourism Industrial  Bw. Abullsamad Saidi, alisema kuwa ipo haja&lt;br /&gt;kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kusaidia kuongeza kasma ya Jeshi la Polisi&lt;br /&gt;Visiwani humo ili waweze kumudu vema kazi zao zikiwemo za ulinzi wa vivutio vya&lt;br /&gt;kitelii kwa wageni.&lt;br /&gt;Amesema kuwa pamoja na Jeshi la Polisi kufanya kazi zao vizuri, lakini askari&lt;br /&gt;wamekuwa wakipata vikwazo kutokana na uduni na ukosefu wa vitendea kazi kama vile&lt;br /&gt;usafiri na radio za mawasiliano.&lt;br /&gt;Hoja hiyo pia imeungwa mkono na Mshauri wa Rais katika Masuala ya Utalii Bw. Issa&lt;br /&gt;Ahmed Othman, ambaye amesema kusipokuwa na usalama wa kutosha kwenye maeneo ya fukwe&lt;br /&gt;na kuna hatari ya kukosa watalii na hivyo kudhoofisha na kupunguza pato la taifa&lt;br /&gt;linalotokana na utalii.&lt;br /&gt;Wakichangia hoja kwenye mkutano huo, baadhi ya wawekezaji waliiomba Serikali kuwa na&lt;br /&gt;bajeti ya kutosha katika kulinda maeneo ya vivutio vya kitalii.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-736558478332194068?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/736558478332194068/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=736558478332194068' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/736558478332194068'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/736558478332194068'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/nahodha-awawakia-wanaosafirisha-fedha.html' title='NAHODHA AWAWAKIA WANAOSAFIRISHA FEDHA BILA ESCORT YA POLISI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-97305308972572881</id><published>2012-01-20T14:19:00.001+03:00</published><updated>2012-01-20T14:20:56.187+03:00</updated><title type='text'>ZH Poppe yatoa tiketi kwa waamuzi</title><content type='html'>Kampuni ya ZH Poppe Limited imegharamia tiketi za waamuzi na kamishna atakayesimamia mechi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) kati ya Tanzania (Twiga Stars) na Namibia itakayofanyika Januari 29 mwaka huu jijini Dar es Salaam. &lt;br /&gt;Mbali ya tiketi hizo za ndege, pia kampuni hiyo itagharamia hoteli (malazi na&lt;br /&gt;chakula) kwa kamishna na waamuzi hao wanne kwa muda wote watakaokuwepo nchini kwa ajili ya mechi hiyo. &lt;br /&gt;Gharama za tiketi na hoteli kwa kamishna wa mechi hiyo na waamuzi hao watakapokuwa hapa nchini ni sh. 11,856,000. &lt;br /&gt;Bajeti nzima ya mechi hiyo ni sh. 74,660,000. Hiyo inajumuisha usafiri, posho kwa wachezaji, posho kwa benchi la ufundi, gharama za kambi, dawa na maji ya kunywa wakati wa mazoezi na mechi kwa Twiga Stars. Maeneo mengine usafiri wa ndege, usafiri wa ndani (magari mawili), posho na hoteli kwa kamishna na waamuzi.  &lt;br /&gt;Gharama nyingine za timu ya Namibia itakayokuwa na watu 25 ambazo ni usafiri wa ndani (magari matatu), hoteli (malazi na chakula) na maji ya kunywa wakati wa mazoezi na mechi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WAZIMBABWE KUICHEZESHA TWIGA STARS&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mechi ya marudiano kusaka tiketi ya kucheza fainali za Nane za Kombe Afrika kwa&lt;br /&gt;Wanawake (AWC) zitakazofanyika Novemba mwaka huu nchini Equatorial Guinea kati ya&lt;br /&gt;Tanzania (Twiga Stars) na Namibia itachezeshwa na waamuzi kutoka Zimbabwe. &lt;br /&gt;Waamuzi katika mechi hiyo itakayofanyika Januari 29 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar&lt;br /&gt;es Salaam watakuwa Rusina Majo Kuda (mwamuzi wa kati) wakati waamuzi wasaidizi ni&lt;br /&gt;Stellah Ruvinga na Rudo Nhananga. Mwamuzi wa akiba ni Pamela Chiwaya. Kamishna wa&lt;br /&gt;mechi hiyo ni Beletsh Gebremariam kutoka Ethiopia. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MECHI YA TWIGA STARS KUONESHWA ‘LIVE’&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limekipa Kituo cha Televisheni cha ITV&lt;br /&gt;haki ya kipekee (exclusive rights) kuonesha moja kwa moja (live) mechi kati ya Twiga&lt;br /&gt;Stars na Namibia itakayochezwa kuanzia saa 10 kamili jioni kwenye Uwanja wa Taifa,&lt;br /&gt;Dar es Salaam. &lt;br /&gt;Twiga Stars ambayo tayari imeingia kambini Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kambi ya&lt;br /&gt;Ruvu iliyoko Mlandizi mkoani Pwani iwapo itafanikiwa kuitoa Namibia itafuzu kucheza&lt;br /&gt;raundi ya kwanza na mshindi kati ya Misri na Ethiopia. Twiga Stars ilishinda mechi&lt;br /&gt;ya kwanza ugenini mabao 2-0.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source:Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-97305308972572881?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/97305308972572881/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=97305308972572881' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/97305308972572881'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/97305308972572881'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/zh-poppe-yatoa-tiketi-kwa-waamuzi.html' title='ZH Poppe yatoa tiketi kwa waamuzi'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6046047736560607607</id><published>2012-01-19T20:01:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T20:06:39.278+03:00</updated><title type='text'>K KATIKA MSIBA WA MAREHEMU JEREMIAH SUMARY JIJINI DAR ES SALAAM LEO</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-6cq6rS3ZDd8/TxhMh-jawmI/AAAAAAAAPco/JB6_1aRmLKk/s1600/sm4%2BAKIZUNGUMZA%2BNA%2BWAMAMA.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-6cq6rS3ZDd8/TxhMh-jawmI/AAAAAAAAPco/JB6_1aRmLKk/s320/sm4%2BAKIZUNGUMZA%2BNA%2BWAMAMA.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699389475048309346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JK akitoa pole kwa wafiwa&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-oxyV8KwjGaU/TxhMhXveCcI/AAAAAAAAPcc/la5LzWA3qzI/s1600/sm2%2BAKITIA%2BSAINI.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-oxyV8KwjGaU/TxhMhXveCcI/AAAAAAAAPcc/la5LzWA3qzI/s320/sm2%2BAKITIA%2BSAINI.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699389464629873090" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JK akiweka sahihi kitabu cha maombolezo&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-5yKJaPnwIz0/TxhMhJaC5GI/AAAAAAAAPcQ/fVMopz4EBPA/s1600/sm1%2BAKITOA%2BMKONO%2BWA%2BPOLE.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-5yKJaPnwIz0/TxhMhJaC5GI/AAAAAAAAPcQ/fVMopz4EBPA/s320/sm1%2BAKITOA%2BMKONO%2BWA%2BPOLE.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699389460781917282" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JK Akimpa pole mjane wa Marehemu Jeremia Sumary, Mbunge wa Arumeru na Naibu Waziri wa Fedha wa wa zamani aliyefariki leo asubuhi jijini Dar es salaam. Hapa ni nyumbani kwa marehemu, Mbezi Beach, Dar es salaam jioni hii&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-haYODhVOFBg/TxhMiI2SpLI/AAAAAAAAPc0/yjDMimEzqSo/s1600/sm3%2Bakiwa%2Bna%2Bedo.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-haYODhVOFBg/TxhMiI2SpLI/AAAAAAAAPc0/yjDMimEzqSo/s320/sm3%2Bakiwa%2Bna%2Bedo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699389477811823794" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;JK akiongea na ndugu wa marehemu pamoja na Spika Anne Makinda na Mbunge wa Loliondo Mh Edward Lowassa ambaye ni mzazi wa binti aliyeolewa na mtoto wa marehemu Sumary&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6046047736560607607?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6046047736560607607/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6046047736560607607' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6046047736560607607'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6046047736560607607'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/k-katika-msiba-wa-marehemu-jeremiah.html' title='K KATIKA MSIBA WA MAREHEMU JEREMIAH SUMARY JIJINI DAR ES SALAAM LEO'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-6cq6rS3ZDd8/TxhMh-jawmI/AAAAAAAAPco/JB6_1aRmLKk/s72-c/sm4%2BAKIZUNGUMZA%2BNA%2BWAMAMA.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1610678644711237887</id><published>2012-01-19T19:49:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T19:51:02.144+03:00</updated><title type='text'>Mhh wapi tunatofautisha ubunge na uwaziri.. hili la mbunge la Waziri? Jimboni  amekwenda kama waziri au</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-NW2LHy7qvek/TxhJ76BjmOI/AAAAAAAAPcE/azMwVGjYTqY/s1600/NYALANDU%2BLAKWAMA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-NW2LHy7qvek/TxhJ76BjmOI/AAAAAAAAPcE/azMwVGjYTqY/s320/NYALANDU%2BLAKWAMA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699386621974255842" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Gari la Naibu Waziri wa viwanda, biashara na masoko,Mhe. Lazaro Nyalandu likiwa limekwama katika eneo la kijiji cha Migugu Kata ya Makuro Tarafa ya Mtinko Singida vijijini wakati Naibu Waziri akienda kukagua mradi wa maji katika shule ya Migugu. kazi za jimbo na za uwaziri kwa pamoja haya twende&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1610678644711237887?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1610678644711237887/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1610678644711237887' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1610678644711237887'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1610678644711237887'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/mhh-wapi-tunatofautisha-ubunge-na.html' title='Mhh wapi tunatofautisha ubunge na uwaziri.. hili la mbunge la Waziri? Jimboni  amekwenda kama waziri au'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-NW2LHy7qvek/TxhJ76BjmOI/AAAAAAAAPcE/azMwVGjYTqY/s72-c/NYALANDU%2BLAKWAMA.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1710982075121684964</id><published>2012-01-19T19:35:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T19:49:42.210+03:00</updated><title type='text'>Raza akitoka kurejesha fomu yake Tume</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/--VY9YyvZDcQ/TxhGZBHusOI/AAAAAAAAPb4/DDbIM9fKX-o/s1600/raza.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://1.bp.blogspot.com/--VY9YyvZDcQ/TxhGZBHusOI/AAAAAAAAPb4/DDbIM9fKX-o/s320/raza.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699382724048892130" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1710982075121684964?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1710982075121684964/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1710982075121684964' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1710982075121684964'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1710982075121684964'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/raza-akitoka-kurejesha-fomu-yake-tume.html' title='Raza akitoka kurejesha fomu yake Tume'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/--VY9YyvZDcQ/TxhGZBHusOI/AAAAAAAAPb4/DDbIM9fKX-o/s72-c/raza.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4145302543258628308</id><published>2012-01-19T19:12:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T19:15:27.521+03:00</updated><title type='text'>kuna ofa ya AIPS kwa waandishi wa michezo kuhusiana na masuala ya mpira wa meza.</title><content type='html'>Habari ndugu zangu, &lt;br /&gt;kuna ofa ya AIPS kwa waandishi wa michezo kuhusiana na masuala ya mpira wa meza. Nimewafowadia email yao, unaweza ukaibofya kupata maelezo zaidi. Pia nimeiweka hiyo barua yao kama ilivyo, naomba muicheki na mjaze kuomba. Mwaka jana tulipata nafasi ya mtu mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu.&lt;br /&gt;TASWA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ITTF Media Scholarship&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;LAUSANNE, January 11,2012 , The International Table Tennis Federation (ITTF) is pleased to offer three (3) scholarships for journalists to attend the LIEBHERR 2012 World Team Table Tennis Championships in Dortmund, Germany from Sunday 25th March to Sunday 1st April 2012.&lt;br /&gt;The ITTF wishes to invite young journalists to increase their knowledge about table tennis and the International Table Tennis Federation.&lt;br /&gt;This year the scholarships will also have a social media dimension to align the opportunity to the ever-changing face of media and tournament reporting. Specifically using twitter to allow people to follow their reporting, views, insights and experiences throughout the tournament.&lt;br /&gt;Each candidate will have full access to all media facilities and players which will provide an exceptional experience for the selected candidates. &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;Candidates &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Journalists working for newspapers, magazines, sports magazines, radio and television broadcasters may apply for this Scholarship. Persons working for sports' associations and their magazines will not be eligible. &lt;br /&gt;A candidate must not be older than 35 years and should have at least three (3) years working experience in sports journalism. Furthermore good knowledge of English is required. &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Working Conditions and Contents &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;The ITTF offers free board and accommodation on site in an official hotel of the World Team Table Tennis Championships in Dortmund, as well as access to the media facilities.&lt;br /&gt;It is the premier annual event in the ITTF calendar. The airfare, all leisure activities, as well as visa application remain, the candidate's responsibility. &lt;br /&gt;Successful candidates will be given the chance to meet the ITTF Executive Committee, staff and important people from the world of table tennis as well as players. &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;Choice &lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;The ITTF reserves the right to choose freely from the applications and no correspondence will be entered into relating to the selection process. The selection will be made by the chair of the ITTF Media Committee whose decision is final. At least one (1) scholarship will be offered to a female journalist. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Deadline &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Applications by email should be sent to the ITTF office in Lausanne before Tuesday 1st February 2012. No late applications will be considered.&lt;br /&gt;Application's Process &lt;br /&gt;Please send a CV and covering letter, examples of articles/coverage you have produced and a supporting letter from your editor or manager. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Contact &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Address your application tohttp://www.blogger.com/img/blank.gif&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Richard Pettit,&lt;br /&gt;ITTF Media Manager &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Email: rpettit@ittf.com &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;International Table Tennis Federation &lt;br /&gt;Chemin de la Roche 11 &lt;br /&gt;1020 &lt;br /&gt;Renens &lt;br /&gt;Switzerland&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa taarifa zaidi &lt;a href="http://www.aipsmedia.com/index.php?page=news&amp;cod=7082&amp;tp=n"&gt;Hapa&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4145302543258628308?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4145302543258628308/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4145302543258628308' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4145302543258628308'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4145302543258628308'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kuna-ofa-ya-aips-kwa-waandishi-wa.html' title='kuna ofa ya AIPS kwa waandishi wa michezo kuhusiana na masuala ya mpira wa meza.'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3990798084842155455</id><published>2012-01-19T19:02:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T19:08:45.959+03:00</updated><title type='text'>Mradi wa CHAMPION  na mjadala wa mifumo dume</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-PImgmT6NqM0/TxhABDxPXrI/AAAAAAAAPbs/1aPjuHyfVDk/s1600/Picture%2B046.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-PImgmT6NqM0/TxhABDxPXrI/AAAAAAAAPbs/1aPjuHyfVDk/s320/Picture%2B046.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699375715373244082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Dk. Yeronimo Mlawa, Afisa Mwandamizi wa Mradi wa CHAMPION unaoendeshwa na&lt;br /&gt;shirika la kimataifa la EngenderHealth akiwezesha majadiliano katika&lt;br /&gt;mjadala juu ya umuhimu wa kuleta usawa wa kijinisia na kubadili mitazamo&lt;br /&gt;yenye mfumo dume katika kupunguza maambukizi ya  Virusi vya UKIMWI na&lt;br /&gt;matumizi ya mabavu katika familia. Mjadala huu umefanyika jijini dare s&lt;br /&gt;salaam jana na kuhudhuriwa na baadhi ya wakazi wa jiji hilo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3990798084842155455?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3990798084842155455/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3990798084842155455' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3990798084842155455'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3990798084842155455'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/mradi-wa-champion-na-mjadala-wa-mifumo.html' title='Mradi wa CHAMPION  na mjadala wa mifumo dume'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-PImgmT6NqM0/TxhABDxPXrI/AAAAAAAAPbs/1aPjuHyfVDk/s72-c/Picture%2B046.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2248123193560614183</id><published>2012-01-19T15:27:00.001+03:00</published><updated>2012-01-19T15:27:55.974+03:00</updated><title type='text'>LIGI KUU YA VODACOM KUANZA JUMAMOSI</title><content type='html'>Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza&lt;br /&gt;keshokutwa (Januari 21 mwaka huu) kwa mechi nne. Moro United itaikaribisha Yanga&lt;br /&gt;kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Mtibwa Sugar itaoneshana kazi na Oljoro JKT&lt;br /&gt;kwenye Uwanja wa Manungu, Turiani. &lt;br /&gt;Nayo Toto Africans itakuwa mgeni wa Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mlandizi mkoani&lt;br /&gt;Pwani na Villa Squad itapambana na Kagera Sugar katika Uwanja wa Azam Chamazi, Dar&lt;br /&gt;es Salaam. &lt;br /&gt;Januari 22 mwaka huu JKT Ruvu na Polisi Dodoma zitapepetana Uwanja wa Azam Chamazi&lt;br /&gt;wakati Januari 22 mwaka huu Dar es Salaam itakuwa na mechi mbili; African Lyon na&lt;br /&gt;Azam (Uwanja wa Azam Chamazi) na Simba na Coastal Union (Uwanja wa Taifa).&lt;br /&gt;Ratiba kwa ajili ya waamuzi na makamishna kwa mechi 35 za mwanzo tayari imeshatoka.&lt;br /&gt;Waamuzi wa kati 16 wameteuliwa kuchezesha mechi hizo huku watatu wakiwa wenye beji&lt;br /&gt;za Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA).  &lt;br /&gt;Makamishna ni 28 huku watathmini wa waamuzi (referees assessors) wakiwa kwenye mechi&lt;br /&gt;tano. Watathmini hao ni Charles Mchau, Soud Abdi, Emmanuel Chaula, Army Sentimea na&lt;br /&gt;Joseph Mapunda.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; &lt;br /&gt;HAKI ZA MATANGAZO YA TELEVISHENI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mpaka sasa hakuna kituo cha televisheni ambacho kimeomba na kushinda tenda ya&lt;br /&gt;kuonesha moja kwa moja (live) mechi za Ligi Kuu ya Vodacom. Kwa upande wa vituo vya&lt;br /&gt;redio, vyote vimepewa haki ya kutangaza moja kwa moja mechi za ligi hiyo kwa&lt;br /&gt;masharti yafuatayo; &lt;br /&gt;Kuitambulisha ligi hiyo kwa jina lake (Ligi Kuu ya Vodacom) wakati wa matangazo hayo&lt;br /&gt;ya moja kwa moja, na pia kuweka matangazo ya mdhamini (Vodacom) wakati wakitangaza&lt;br /&gt;mechi husika. Hata hivyo, vituo vya redio bado vinaruhusiwa kuendelea&lt;br /&gt;kutafuta/kutumia matangazo ya wadhamini wao, lakini ambao si washindani wa&lt;br /&gt;kibiashara wa Vodacom.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MECHI YA TOTO AFRICANS VS AFRICAN LYON&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mechi kati ya Toto Africans na African Lyon ambayo kwa mujibu wa ratiba ilikuwa&lt;br /&gt;ichezwe Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza haitakuwepo, na sasa itapangiwa tarehe&lt;br /&gt;nyingine. &lt;br /&gt;Juzi Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilipokea barua kutoka kwa wamiliki&lt;br /&gt;wa Uwanja wa CCM Kirumba ikieleza kuwa Februari 5 mwaka huu uwanja huo utatumika kwa&lt;br /&gt;sherehe za kitaifa za kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hivyo hautaweza kutumika&lt;br /&gt;kwa Februari 4, 5 na 6 mwaka huu. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source:Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2248123193560614183?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2248123193560614183/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2248123193560614183' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2248123193560614183'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2248123193560614183'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/ligi-kuu-ya-vodacom-kuanza-jumamosi.html' title='LIGI KUU YA VODACOM KUANZA JUMAMOSI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6255157098249260601</id><published>2012-01-19T12:57:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T13:01:54.817+03:00</updated><title type='text'>UHAMASISHAJI WA CHF kwa staili ya aina yake</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-EAJqnwIHeyc/Txfp4krWM5I/AAAAAAAAPbU/dLt4ArIHozY/s1600/viewer.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 247px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-EAJqnwIHeyc/Txfp4krWM5I/AAAAAAAAPbU/dLt4ArIHozY/s320/viewer.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699281011588084626" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-8fClFeJ4p-o/Txfp430HvFI/AAAAAAAAPbk/_nx4leNHQmE/s1600/viewer1.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 247px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-8fClFeJ4p-o/Txfp430HvFI/AAAAAAAAPbk/_nx4leNHQmE/s320/viewer1.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699281016725158994" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;UHAMASISHAJI UNAENDA SANJARI NA UTAMADUNI WA WAKAAZI WA MAENEO HUSIKA,PICHANI OFISA&lt;br /&gt;WA CHF BWN SILIVERY MGONZA AKICHEZA NGOMA YA SINDIMBA NA WANAKIKUNDI CHA UTAMADUNI&lt;br /&gt;CHA MSHIKAMANO WAKATI WA KAMAPENI HIZO.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6255157098249260601?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6255157098249260601/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6255157098249260601' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6255157098249260601'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6255157098249260601'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/uhamasishaji-wa-chf-kwa-staili-ya-aina.html' title='UHAMASISHAJI WA CHF kwa staili ya aina yake'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-EAJqnwIHeyc/Txfp4krWM5I/AAAAAAAAPbU/dLt4ArIHozY/s72-c/viewer.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7096150693489534738</id><published>2012-01-19T12:25:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T12:30:14.052+03:00</updated><title type='text'>Ikulu yatoa salamu za rambirambi kwa kifo cha Sumari</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/--ry15sDvBXI/TxfimUMb0aI/AAAAAAAAPbI/92kDW9h8t9Y/s1600/jeremiahj.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 256px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/--ry15sDvBXI/TxfimUMb0aI/AAAAAAAAPbI/92kDW9h8t9Y/s320/jeremiahj.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699273001344422306" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Anne Semamba Makinda (Mb.,) kutokana na kifo cha Mhe. Jeremia Solomon Sumari, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya CCM na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, kilichotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 19 Januari, 2012 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nimeshtushwa, nimesikitishwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa za kifo cha Mheshimiwa Jeremia Solomon Sumari kwani alikuwa kiongozi aliyewatumikia vema wananchi wa Jimbo lake la Uchaguzi la Arumeru Mashariki na Taifa kwa ujumla katika wadhfa wake wa Waziri kwa umahiri na uhodari mkubwa”, amesema Rais Kikwete katika salamu zake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete amesema kutokana na kifo chake, wananchi wa Arumeru Mashariki wamepoteza kiongozi wa kutegemewa sana huku Taifa likiachwa na pengo kubwa ambalo si rahisi kuzibika ikizingatiwa kwamba alikuwa kiongozi katika Wizara ambayo ni mhimili muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa dhati ya moyo wangu, natuma salamu za rambirambi na pole nyingi kwa familia ya Marehemu Jeremia Sumari kwa kumpoteza kiongozi na mhimili madhubuti wa familia.  Ninawahakikishia kwamba nipo pamoja nanyi katika kuomboleza msiba huu mkubwa, na namuomba Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema aipumzishe roho ya Marehemu Jeremia Solomon Sumari mahali pema peponi, Amina”, ameongeza kusema Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ameiomba familia ya Marehemu kuwa na moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo ya mpendwa wao kwa kutambua kuwa yote ni mapenzi yake Mola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,&lt;br /&gt;Ikulu,&lt;br /&gt;DAR ES SALAAM. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;19 Januari, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7096150693489534738?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7096150693489534738/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7096150693489534738' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7096150693489534738'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7096150693489534738'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/ikulu-yatoa-salamu-za-rambirambi-kwa.html' title='Ikulu yatoa salamu za rambirambi kwa kifo cha Sumari'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/--ry15sDvBXI/TxfimUMb0aI/AAAAAAAAPbI/92kDW9h8t9Y/s72-c/jeremiahj.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5667340735594196400</id><published>2012-01-19T09:22:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T09:27:33.966+03:00</updated><title type='text'>ZIFF imeandaa MINI ZIFF RED CARPET</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-ms9gfHXjwek/Txe3tz0vQfI/AAAAAAAAPa8/llO54SxIu3M/s1600/Red%2Bcarpet.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 241px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-ms9gfHXjwek/Txe3tz0vQfI/AAAAAAAAPa8/llO54SxIu3M/s320/Red%2Bcarpet.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699225851094057458" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Zanzibar International Film Festival (ZIFF) imeandaa MINI ZIFF RED CARPET katika ukumbi wa New Maisha Club siku ya Jumapili tarehe 22 Januari 2012. Wasanii mbali mbali maarufu wa filamu za Kitanzania (Bongo Movies), wasanii maarufu wa Bongo Fleva na wadau mbali mbali wa sanaa nchini wataalikwa kupita katika Red Carpet.&lt;br /&gt;Wasanii wote maarufu wa Bongo Movies na Bongo Fleva watahudhuria katika RED CARPET jumapili hii pale New Maisha Club na baada ya hapo kutakua na onesho maalum ambapo kwa mara ya kwanza ZIFF imeweza kuwaweka wasanii AT na Offside Trick katika jukwaa moja.&lt;br /&gt;MINI ZIFF RED CARPET inaandaliwa kufungua kampeni ya “ Nunua kazi halisi ya msanii wa nyumbani ili kukuza tasnia ya sanaa nchini/Buy Original Product of our Artists to support the Development of Arts in Tanzania". ZIFF imeona umuhimu wa kuanzisha kampeni hii ili kusaidia kusambaza ujumbe huu na uwafikie watanzania wote ambao wengi wao wamekua wakinunua kazi zisizo halisi (Pirated Copies) na hivyo kuwanyima mapato wasanii ambao wamekua wakijitahidi katika kujikwamua kimaisha na kukuza tasnia nzima ya sanaa hapa nchini.&lt;br /&gt;Katika Red Carpet ZIFF itatoa tuzo maalum (Nishani- Medal) kwa Kampuni bora iliyotoa mchango mkubwa kwa sanaa ya filamu Tanzania kwa mwaka 2011, Muigizaji bora wa kiume kwa 2011, mwigizaji Bora wa kike kwa 2011, filamu bora kwa mwaka 2011 na muugizaji bora anayechipukia. Tuzo hizi zitatolewa katika RED CARPET siku hiyo baada ya Kamati maalum (Panel) ya watu kumi watakaoteuliwa kufanya zoezi maalum la kuchagua watakopata tuzo hizo kutokana na kufanya kazi zao vizuri. Kamati (Panel) hiyo itaundwa na wadau wa karibu wa Bongo movies na watatoka katika vitengo au mashirika mbali mbali.&lt;br /&gt;Pia MINI ZIFF itaendelea Ngome Kongwe Zanzibar tarehe 27 na 28 Januari, 2012, tutaonesha filamu za Kiswahili (Bongo Movies) sita katika screen kubwa ya Amphitheatre kuanzia saa moja usiku na filamu zitakazo oneshwa ni Mr.President ya Steve Nyerere, Big Daddy ya Kanumba, Pamoja ya Pastor Myamba, Dj Ben ya J.B, na filamu mpya toka CL&amp; CY production.&lt;br /&gt;Filamu zitaoneshwa bure siku ya Ijumaa ya tarehe 27, tarehe 28 Jumamosi itaoneshwa filamu moja na kufuatiwa na maonesho ya mavazi kutoka kwa Lucky Creation na Mgece Makory baada ya hapo tamasha hili dogo litafungwa na burudani kutoka kwa AT na Offside Trick kwa kiingilio cha shilingi 3,000/= tu.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-mzdY4s4QjAo/Txe3tXnxkUI/AAAAAAAAPaw/9TGZuN2UxLw/s1600/ziff-logo.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 256px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-mzdY4s4QjAo/Txe3tXnxkUI/AAAAAAAAPaw/9TGZuN2UxLw/s320/ziff-logo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699225843523490114" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5667340735594196400?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5667340735594196400/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5667340735594196400' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5667340735594196400'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5667340735594196400'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/ziff-imeandaa-mini-ziff-red-carpet.html' title='ZIFF imeandaa MINI ZIFF RED CARPET'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-ms9gfHXjwek/Txe3tz0vQfI/AAAAAAAAPa8/llO54SxIu3M/s72-c/Red%2Bcarpet.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4629463234104603121</id><published>2012-01-19T09:18:00.002+03:00</published><updated>2012-01-19T09:21:49.158+03:00</updated><title type='text'>KOZI YA KIMATAIFA YA UKOCHA WA NGUMI INAENDELEA KIVITENDO MKOA KIBAHA MKOA WA PWANI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-qkrh3K94T5c/Txe2YFnqtUI/AAAAAAAAPaY/zzSMyzrrKlo/s1600/DSC_0014.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-qkrh3K94T5c/Txe2YFnqtUI/AAAAAAAAPaY/zzSMyzrrKlo/s320/DSC_0014.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699224378402321730" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Baadhi ya Makocha  wa Mchezo wa Ngumi nchini wakifanya mazoezi kwa vitendo wakati wa kozi ya kimataifa ya mchezo huo kwa makocha inayoendelea Kibaha Mkoa wa Pwani.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-bAMva95C-rE/Txe2YVSVVlI/AAAAAAAAPao/apWLoXDLKms/s1600/DSC_0031.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-bAMva95C-rE/Txe2YVSVVlI/AAAAAAAAPao/apWLoXDLKms/s320/DSC_0031.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699224382607808082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4629463234104603121?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4629463234104603121/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4629463234104603121' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4629463234104603121'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4629463234104603121'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kozi-ya-kimataifa-ya-ukocha-wa-ngumi.html' title='KOZI YA KIMATAIFA YA UKOCHA WA NGUMI INAENDELEA KIVITENDO MKOA KIBAHA MKOA WA PWANI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-qkrh3K94T5c/Txe2YFnqtUI/AAAAAAAAPaY/zzSMyzrrKlo/s72-c/DSC_0014.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5644236123133792450</id><published>2012-01-19T09:15:00.001+03:00</published><updated>2012-01-19T09:17:44.128+03:00</updated><title type='text'>AJIRA MPYA ZA WALIMU ZATANGAZWA MAJINA YATOLEWA</title><content type='html'>Kwanza Tunapenda wasalimu wakubwa wetu Shikamoo na vijana wenzetu Mambo vipi..  Tunatambua kuwa Wanavyuo wenzetu walimu walikuwa hawana kazi kwa muda mrefu Jambo ambalo liliwafanya wengi kuwa na wasi wasi na mwajiri wao. Tunapenda kuwapa tarifa kupitia mtandao wenu wa Matukio na wanavyuo (&lt;a href="www.tzwanavyuo.blogspot.com"&gt;www.tzwanavyuo.blogspot.com&lt;/a&gt;)  kuwa, Walimu wahitimu wote  Jana usiku majira ya sa saba Nafasi hizo zilitangazwa Rasmi, Pia sisi Tunapenda kuwasilisha majina ya wanafunzi ambao wamechaguliwa Tunaomba mchukue Muda wenu kutazama kwa umakini majina yenu yote &lt;a href="http://tzwanavyuo.blogspot.com/2012/01/ajira-mpya-za-walimu-katika-ngazi-mbali.html"&gt;yapo hapa&lt;/a&gt;. Hongereni sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5644236123133792450?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5644236123133792450/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5644236123133792450' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5644236123133792450'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5644236123133792450'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/ajira-mpya-za-walimu-zatangazwa-majina.html' title='AJIRA MPYA ZA WALIMU ZATANGAZWA MAJINA YATOLEWA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1710143114546022197</id><published>2012-01-19T09:04:00.003+03:00</published><updated>2012-01-19T09:13:59.438+03:00</updated><title type='text'>TANZANIA YAWASILISHA UMOJA WA MATAIFA ANDIKO LA KUDAI NYONGEZA YA ENEO LA BAHARI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-f5kIVXmCakI/Txez_-o7hwI/AAAAAAAAPaM/d_SicXVr3W0/s1600/IMG_1626.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 157px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-f5kIVXmCakI/Txez_-o7hwI/AAAAAAAAPaM/d_SicXVr3W0/s320/IMG_1626.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699221765188454146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Ujumbe wa Tanzania  ukiwa katika  furaha kubwa na Mkurugenzi wa Idara ya Umoja wa Mataifa  ya masuala ya Bahari na Sheria ya Bahari Bw. Sergei Tarassenko  na maofisa wake ,mara baada ya makabidhiano ya Andiko la kudai nyongeza ya eneo la maili ya 61,000 za bahari lililowasilishwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Umoja wa Mataifa. katikati ni  Boksi ambalo ndani yake mnamakabrasha na nyaraka nyeti zinazo husu  Andiko la madai hayo, Andiko ambalo mchakato wake umechukua miaka mitano kuuandaa&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imewasilisha katika  Umoja wa Mataifa, Andiko la kudai eneo la nyongeza lenye ukubwa wa maili 16,000 nje ya eneo la sasa la maili 200 za Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari.&lt;br /&gt;Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Anna Tibaijuka (Mb) ndiye aliyewasilisha Andiko hilo, kwa niaba ya serikali,  katika hafla fupi na ya kihistoria   iliyofanyika siku ya  jumatano katika ofisi za  Idara ya Umoja wa Mataifa  inayoshughulikia masuala ya  Bahari na Sheria ya  Bahari.&lt;br /&gt;Andiko hilo limepokelewa na Mkurugenzi wa Idara hiyo, Bw. Sergei Tarassenko kwa niaba ya  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. ambaye aliipongeza Tanzania kwa hatua hiyo muhimu na kuahidi kwamba Idara yake kupitia, Kamisheni ya Umoja wa Mataifa inayohusika na mipaka ya  baharí italifanyika kazi Andiko hili.&lt;br /&gt;Aidha Mkurugenzi huyo ameielezea Tanzania, kama moja kati ya nchi inayoheshima sana  na  yenye historia nzuri   katika Umoja wa Mataifa.&lt;br /&gt;Akizungumza wakati wa kuwasilisha  Andiko hilo, Waziri Anna Tibaijuka, amesema kwa kuwasilisha Andiko hilo, Tanzania si tu kwamba imefanya kazi ya uhakika ya maandalizi na hatimaye uwasilishaji lakini ni hatua kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi  na kijamii kwa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-D6lQ8QNQyb8/Txez-y1VKII/AAAAAAAAPaA/nkVv9Pz0am8/s1600/IMG_1621.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 170px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-D6lQ8QNQyb8/Txez-y1VKII/AAAAAAAAPaA/nkVv9Pz0am8/s320/IMG_1621.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699221744839370882" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Kutoka  kulia ni Mhe. Zakhia Meghji ( Mb), Bw.  Sergei Tarassenko ambaye ameshika sehemu ya nyaraka za Andiko la kudai eneo la maili 61,000 za bahari, Mhe. Waziri Anna Tibaijuka ( Mb), Mhe. Ombeni Sefue, Balozi wa Tanzania Katika Umoja wa Mataifa,  Mhe. Abulrahman Hassan Shah (Mb) na Bw.  Ayoub Mohamed Mahmoud  Mkurugenzi  wa Sera   na  Mipango Wizara ya Ardhi, Makazi na Madini  Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia alimwakilisha Waziri wake katika hafla hiyo.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akabanisha kwamba  mchakato wa  maandalizi ya Andiko hilo ambao umechukua miaka mitano, umewashirikisha wataalamu mbalimbali wakiwamo  wa ndani na nje , ikiwa ni pamoja na kuzihusisha nchi ambazo zinapakana kibahari na Tanzania.&lt;br /&gt;Akizungumza manufaa ya kudai nyongeza ya eneo hilo, Waziri Tibaijuka anasema. “ Tanzania itanufaika kwa kuongeza ukubwa wa eneo la mipaka ya nchi lakini la msingi zaidi ni unufaikaji wa rasilimali zikiwamo za mafuta na gesi na madini ambazo zitakuwamo katika eneo hilo  jipya, rasilimali ambazo kwa sasa zinaelekea kutoweka katika eneo la maili 200”.&lt;br /&gt;Eneo ambalo Tanzania inadai liongezwe la maili 61, 000  ukubwa wake ni sawa na eneo la mikoa mitatu ikiunganishwa kwa pamoja. &lt;br /&gt;Aidha kuongezwa kwa eneo hilo kutaisaidia pia serikali katika  masuala ya ulinzi na usalama hasa katika  kipindi hiki ambacho vitendo vya  uharamia wa baharini vikiwa vimeongeza katika eneo la bahari ya Hindi.&lt;br /&gt;“ Pamoja na kuwasilisha Andiko hilo, lakini nchi yangu inapenda pia kutoa ombi la pekee kwa idara yako, kuangalia uwezekano wa kuharakisha mchakato wa kupitia nyaraka na vielelezo tulivyowasilisha katika Andiko letu, kwani itatusaidia sana katika ulinzi wa eneo la mipaka yetu dhidi ya uharamia” akasisitiza  Waziri .&lt;br /&gt;Na kuongeza kwamba Tanzania, kama ilivyo kwa nchi nyingine ambazo zinaendelea zinatajitaji msaada mkubwa kutoka kwa wadau mbalimbali ikiwamo Idara ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya bahari na sheria ya bahari katika kuukabili uharamia.&lt;br /&gt; Faida nyingine ukiacha za kiuchumi ni kwa wataalamu wa fani mbalimbali kuwa na fursa ya  kufanya  utafiti katika eneo hilo  hapo litakapokuwa limeridhiwa rasmi na kuwa sehemu ya Tanzania.&lt;br /&gt;Baada ya kuwasilisha Andiko hilo,   hatua inayofuatia ni kwa Tanzania kupitia wataalamu wake,  itatakiwa kulitetea Andiko hilo mbele ya Makamishna wa Kamisheni ya  Umoja wa Mataifa inayohusika na  Mipaka ya  Bahari utetezi huo utafanyika mwezi  Agosti mwaka huu.&lt;br /&gt;Tanzania imewasilisha Andiko hilo kwa kuzingatia Sheria ya kimataifa ya Bahari namba 76 kifungu kidogo cha 4, sheria hiyo inaziruhusu nchi ambazo  ziko kando kando ya bahari kudai eneo la nyongeza iwapo zitakidhi vigezo  vilivyotolewa na Umoja wa Mataifa.&lt;br /&gt;Mchakato wa kuanda Andiko hilo  ulianza mwaka 2007 ukiwashirikisha wataalamu wa kada mbalimbali kutoka Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Chuo Kikuu  cha Ardhi na Mazingira,  Wizara ya   Sayansi na Teknolojia na Shirika la Maendeleo ya Petroli ( TPDC). &lt;br /&gt;Sehemu kubwa ya Mradi imefadhiliwa na   Serikali Kuu na kwa kusaidiwa na   Serikali ya Norway. &lt;br /&gt;Hafla ya kuwasilisha Andiko hilo imehudhuriwa na Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Mhe. Ombeni Sefue,  na waheshimiwa wabunge,   Zakhia Meghji na Abulrahman Hassan Shah ambao ni wajumbe wa Kamati ya  Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira.&lt;br /&gt;Wengine waliohudhuri  hafla hiyo ni baadhi ya wataalamu waliohusika na maandalizi ya Andiko hilo ambao ni Dr. Sellasie Mayunga, Prof. Evelyne Mbende,  Bw. Ayoub Mohamed Mahmoud kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,   Bw. Kelvin Komba na  Bi. Verdiana Mashingia.&lt;br /&gt;Tanzania inakuwa nchi ya 59 kuwasilisha Andiko la kudai nyongeza ya eneo la bahari na ikiwa ni nchi 10 kutoka Afrika kufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-uhYHqpq1MZE/Txez-bE871I/AAAAAAAAPZ0/DbL0fX6UzPw/s1600/IMG_1616.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 264px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-uhYHqpq1MZE/Txez-bE871I/AAAAAAAAPZ0/DbL0fX6UzPw/s320/IMG_1616.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699221738462441298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe. Anna Tibaijuka ( Mb) akikambidhi  kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkurugenzi wa Idara ya   Umoja wa Mataifa ya  Masuala ya Bahari na Sheria ya  Bahari Bw. Sergei Tarassenko  kwa niaba ya Katibu Mkuu wa  Umoja wa Mataifa, Andiko la   kudai nyongeza ya maili 61,000  nje ya eneo la maili 200 la Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari  katika hafla  iliyofanyika siku ya jumatano  katika ofisi za Idara hiyo zilizopo katika Umoja wa Mataifa, Jijini New York, Marekani.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Source: Maura Mwingira TZ UN Embassy&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1710143114546022197?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1710143114546022197/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1710143114546022197' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1710143114546022197'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1710143114546022197'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/tanzania-yawasilisha-umoja-wa-mataifa.html' title='TANZANIA YAWASILISHA UMOJA WA MATAIFA ANDIKO LA KUDAI NYONGEZA YA ENEO LA BAHARI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-f5kIVXmCakI/Txez_-o7hwI/AAAAAAAAPaM/d_SicXVr3W0/s72-c/IMG_1626.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3387209046512765522</id><published>2012-01-18T20:43:00.002+03:00</published><updated>2012-01-18T20:46:27.705+03:00</updated><title type='text'>Handing over of vehicles and patrol boats to Ministry of Home Affairs</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-S5I9HuOo9w4/TxcFa0TYYVI/AAAAAAAAPZo/wwGoaYw7upo/s1600/Hon.%2BMr.%2BShamsi%2BVuai%2BNahodha%2B%2528Minister%2Bfor%2BHome%2BAffairs%2529%2Band%2BH.E.%2BMr.%2BMasaki%2BOkada%2B%2528Ambassador%2Bof%2BJapan%2529%2Binspecting%2Bone%2Bof%2Bthe%2Bdonated%2Bvehicles.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-S5I9HuOo9w4/TxcFa0TYYVI/AAAAAAAAPZo/wwGoaYw7upo/s320/Hon.%2BMr.%2BShamsi%2BVuai%2BNahodha%2B%2528Minister%2Bfor%2BHome%2BAffairs%2529%2Band%2BH.E.%2BMr.%2BMasaki%2BOkada%2B%2528Ambassador%2Bof%2BJapan%2529%2Binspecting%2Bone%2Bof%2Bthe%2Bdonated%2Bvehicles.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699029811735322962" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Hon. Mr. Shamsi Vuai Nahodha (Minister for Home Affairs) and H.E. Mr. Masaki Okada (Ambassador of Japan) inspecting one of the donated vehicles&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In 2011 the Government of Japan and the International Organization of&lt;br /&gt;Migration (IOM), in collaboration with the Government of the United Republic of Tanzania,launched a US$2,400,000 initiative to provide assistance to irregular migrants and migrant children, mostly Somalis and Ethiopians stranded within the borders of Tanzania.&lt;br /&gt;On 18th January 2012, on the grounds of the Ministry of Home Affairs, the Honourable&lt;br /&gt;Minister of Home Affairs, Mr. Shamsi Vuai Nahodha, His Excellency the Ambassador of&lt;br /&gt;Japan to Tanzania, Mr. Masaki Okada, and the IOM Country Chief of Mission, Mr. Damien&lt;br /&gt;Thuriaux participated in the ceremony for handing over boats and pickups donated by the&lt;br /&gt;Government of Japan to the Tanzanian Police and Immigration to assist in patrolling sea and&lt;br /&gt;land borders and rescuing migrants in need.&lt;br /&gt;The donation is part of the initiative to support the efforts of the Tanzanian Government to&lt;br /&gt;address the high number of migrants travelling irregularly from the Horn of Africa to South&lt;br /&gt;Africa and crossing Tanzania.&lt;br /&gt;The ceremony was also attended by the Permanent Secretary of the Ministry of Home&lt;br /&gt;Affairs, Mr. Mbarak Abdulwakil, the Inspector General of Police, Mr. Said Mwema, the&lt;br /&gt;Principal Commissioner of Immigration Services, Mr. Magnus Ulungi and the regional heads&lt;br /&gt;of Police and Immigration from Lindi, Mbeya, Mtwara and Tanga.&lt;br /&gt;The Tanzanian regions most affected by these flows of migrants are those in the South,&lt;br /&gt;Mbeya, Mtwara, Lindi, and Tanga on the coast of Tanzania, which are targets of this&lt;br /&gt;initiative. The activities also involved the construction and extension of 8 Police and&lt;br /&gt;Immigration premises where the migrants can now be hosted and screened.&lt;br /&gt;Thanks to the Japanese contribution, new premises for Police and Immigration were built in&lt;br /&gt;Kilambo, on the border with Mozambique, Kilwa Masoko, in Lindi region, and Police and&lt;br /&gt;Immigration existing premises were extended in Mbeya, Kyela and Tanga. IT equipment&lt;br /&gt;was also provided to Immigration and Police to undertake capture of biographic and&lt;br /&gt;biometrics data of the migrants, so that it will be possible to record and detect all the&lt;br /&gt;migrants passing through those border posts.&lt;br /&gt;Special attention was devoted to children travelling in those groups of irregular migrants,&lt;br /&gt;amongst which there are also women, children, asylum seekers, and sick people. The Japan/&lt;br /&gt;IOM initiative donated equipment such as solar panels, water tanks, beds and electrical&lt;br /&gt;domestic appliances, to 5 shelters for children, where the children found in groups of&lt;br /&gt;irregular migrants can now receive safe hospitality instead of being sent to prisons.&lt;br /&gt;The Japanese contribution helped also the voluntary return of 912 Ethiopian migrants who&lt;br /&gt;were detained in Tanzanian prisons. Since mid-2009, 2,327 Ethiopian migrants stranded in&lt;br /&gt;Tanzania have been assisted to voluntarily return home and reintegrate into their&lt;br /&gt;communities through the funding from the Government of Japan.&lt;br /&gt;Based on the figures provided by Immigration Department, since the beginning of 2011,&lt;br /&gt;more than 1,700 Ethiopian and Somali migrants have been arrested while crossing&lt;br /&gt;irregularly through Tanzania.&lt;br /&gt;A study conducted and published by IOM on 2009, “In Pursuit of the Southern Dream”,&lt;br /&gt;indicated that approximately 17,000-20,000 male irregular migrants from the Horn of Africa&lt;br /&gt;are smuggled every year through Tanzania and other countries on route to South Africa and&lt;br /&gt;beyond, though some never reached final destinations.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3387209046512765522?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3387209046512765522/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3387209046512765522' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3387209046512765522'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3387209046512765522'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/handing-over-of-vehicles-and-patrol.html' title='Handing over of vehicles and patrol boats to Ministry of Home Affairs'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-S5I9HuOo9w4/TxcFa0TYYVI/AAAAAAAAPZo/wwGoaYw7upo/s72-c/Hon.%2BMr.%2BShamsi%2BVuai%2BNahodha%2B%2528Minister%2Bfor%2BHome%2BAffairs%2529%2Band%2BH.E.%2BMr.%2BMasaki%2BOkada%2B%2528Ambassador%2Bof%2BJapan%2529%2Binspecting%2Bone%2Bof%2Bthe%2Bdonated%2Bvehicles.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7488869163990349671</id><published>2012-01-18T19:44:00.003+03:00</published><updated>2012-01-18T20:39:07.813+03:00</updated><title type='text'>Taarifa ya Chadema kuhusu maziko ya Regia</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-bkulvUMozXE/Txb99QN1FII/AAAAAAAAPZQ/gkAQ-5j5wcY/s1600/j5.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 164px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-bkulvUMozXE/Txb99QN1FII/AAAAAAAAPZQ/gkAQ-5j5wcY/s320/j5.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699021607250760834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Viongozi mbalimbali wa kitaifa wakifuatilia matukio msibani&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MVUA kubwa iliyonyesha jana katika mji wa Ifakara, haikuwazuia wakazi&lt;br /&gt;wa mji huo na maeneo ya karibu kujitokeza kwa maelfu kumuaga kipenzi&lt;br /&gt;chao, Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Bi. Estelatus Mtema,&lt;br /&gt;aliposindikizwa katika nyumba yake ya milele, akihitimisha safari ya&lt;br /&gt;maisha ya kimwili kwa 32 duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakazi hao wa Ifakara waliojitokeza tangu asubuhi, wakiongozwa na&lt;br /&gt;familia ya marehemu Mtema, Rais Jakaya Kikwete, Spika wa Bunge, Bi.&lt;br /&gt;Anne Makinda, Kiongozi wa Kambi Rasmi Bungeni, Mheshimiwa Mbowe,&lt;br /&gt;mawaziri, wabunge na viongozi wengine wa serikali, hatimaye majira ya&lt;br /&gt;jioni walimtunza Regia katika nyumba ya milele.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-wgTdXAkTyr8/Txb99BDhyiI/AAAAAAAAPZA/7k3lpmmdZGw/s1600/j3.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-wgTdXAkTyr8/Txb99BDhyiI/AAAAAAAAPZA/7k3lpmmdZGw/s320/j3.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699021603181021730" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Jakaya Kikwete akitupa udongo katika kaburi la Regia&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shughuli hiyo ya kumuaga marehemu Mheshimiwa Mtema, ilianza majira ya&lt;br /&gt;saa nne asubuhi, ikilazimika kuhamishiwa katika eneo la wazi la&lt;br /&gt;Viwanja vya Kiungani, baada ya kuonekana kuwa mahali palipoandaliwa&lt;br /&gt;mwanzo, nyumbani kwao marehemu, pasingeweza kufaa, kutokana na dalili&lt;br /&gt;za watu wengi kuhudhuria utoaji heshima za mwisho kuanza kuonekana&lt;br /&gt;tangu juzi usiku wakati wa mapokezi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika viwanja hivyo, shughuli ya kutoa heshima za mwisho kwa&lt;br /&gt;Mheshimiwa Mtema zilianza kwa salaam za makundi mbalimbali, ikiwemo&lt;br /&gt;salaam za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), serikali,&lt;br /&gt;bunge, Chama Cha Mapinduzi, NCCR, CUF, Kamati ya Miundombinu, wabunge&lt;br /&gt;wanawake na wabunge katika ujumla wao, ambapo karibu kila kundi&lt;br /&gt;lilionesha kumtambua Mtema kwa ujasiri, uhodari wa kuchapa kazi na&lt;br /&gt;ucheshi wakati wa uhai wake.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-FvGuBPmkDOw/Txb987WQS6I/AAAAAAAAPY4/Yr2ivREskiI/s1600/j2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-FvGuBPmkDOw/Txb987WQS6I/AAAAAAAAPY4/Yr2ivREskiI/s320/j2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699021601648954274" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa salaam za Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Kiongozi wa Kambi,&lt;br /&gt;Mheshimiwa Freeman Mbowe alisema kuwa taifa na Watanzania kwa ujumla,&lt;br /&gt;limempoteza mtumishi mwaminifu, aliyekuwa mpambanaji wa dhati,&lt;br /&gt;akiamini katika kuwatumikia bila kujali tofauti za dini, ukabila wala&lt;br /&gt;eneo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Katika CHADEMA kuna kitu tunaamini kuwa CHADEMA ni imani, CHADEMA ni&lt;br /&gt;mwelekeo, CHADEMA ni tumaini jipya, Mheshimiwa Regia aliamini katika&lt;br /&gt;hili. Misimamo yake daima haikuyumba. Najua watu wa Kilombero mlipenda&lt;br /&gt;sana, mlimpigania sana na mtamkosa sana, lakini tunawaombea kwa Mungu&lt;br /&gt;muwe na subira mpate mtu kama yeye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Alikuwa askari wa miguu hodari sana ambaye hakutaka kupewa majukumu&lt;br /&gt;mepesi kutokana na maumbile au ulemavu wake, mbunge makini, hakuwa&lt;br /&gt;mvivu  wala mtegaji akikataa kuhurumiwa. Pengo hili si kwenu tu, hata&lt;br /&gt;kwetu pia, tutaendelea kuimarishana kwa kushauriana na kusikilizana,”&lt;br /&gt;alisema Mheshimiwa Mbowe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-Rvx2X5jFwUA/Txb98goszmI/AAAAAAAAPYs/9u8NToiQ2ws/s1600/j1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-Rvx2X5jFwUA/Txb98goszmI/AAAAAAAAPYs/9u8NToiQ2ws/s320/j1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699021594478562914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Kikwete akijiandaa kuweka shada la maua&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitoa salaam za chama chake, Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Kabwe&lt;br /&gt;Zitto Zuberi (Mb), alisema kuwa Mheshimiwa Mtema ilikuwa ni nyota&lt;br /&gt;iliyozimika lakini kutokana na matendo yake, mwanga wake utaendelea&lt;br /&gt;kuangaza katika kuendeleza mapambano ya kuwakomboa Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akinukuu utenzi ulioandikwa mtandaoni na Mwanakijiji aliyesema kuwa&lt;br /&gt;alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu Mtema, Mheshimiwa Zitto alisema kwa&lt;br /&gt;uchungu kuwa kifo cha Mheshimiwa Regia ni pigo lililowaacha wote&lt;br /&gt;waliomfahamu, wakitetemeka, kumlilia na machozi kuwadondoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Lakini rafiki yako huyo kakuandikia shairi, uende ukisikiliza. Hapa&lt;br /&gt;tunalisoma kwa kubadili sehemu fulani fulani, bila kubadili maudhui&lt;br /&gt;wala mtiririko wa mantiki, lakini swali letu kubwa ni je unaweza&lt;br /&gt;kusikiliza, basi sikiliza Regia, ukiweza tughani sote huu utenzi wa&lt;br /&gt;rafiki yako, usemao nyota imezimika,” alisema Mheshimiwa Zitto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Spika Anne Makinda alimsifia Regia kwa namna alivyoonesha uhodari&lt;br /&gt;katika shughuli zake kuwawakilisha wananchi, huku pia akiwa mcheshi&lt;br /&gt;kwa wabunge wenzake.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-vl7lE14me3k/Txb99vmIOVI/AAAAAAAAPZY/AasQ-Hsuzp4/s1600/j6.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 212px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-vl7lE14me3k/Txb99vmIOVI/AAAAAAAAPZY/AasQ-Hsuzp4/s320/j6.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699021615674177874" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Viongozi wakisubiri maziko.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7488869163990349671?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7488869163990349671/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7488869163990349671' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7488869163990349671'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7488869163990349671'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/taarifa-ya-chadema-kuhusu-maziko-ya.html' title='Taarifa ya Chadema kuhusu maziko ya Regia'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-bkulvUMozXE/Txb99QN1FII/AAAAAAAAPZQ/gkAQ-5j5wcY/s72-c/j5.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7791381495576957154</id><published>2012-01-18T17:45:00.003+03:00</published><updated>2012-01-18T19:37:43.897+03:00</updated><title type='text'>MAZIKO  YA MBUNGE REGIA  YAENDA KIMALKIA NA BARAKA YA MVUA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-rCn38h8s7WI/Txbz-ziFUOI/AAAAAAAAPYU/E42yPEY6w14/s1600/SPIKA%2BAKIWA%2BNA%2BVIONGOZI%2BWA%2BJUU%2BWA%2BCHADEMA%2BPAMOJA%2BNA%2BNAIBU%2BWAKE..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-rCn38h8s7WI/Txbz-ziFUOI/AAAAAAAAPYU/E42yPEY6w14/s320/SPIKA%2BAKIWA%2BNA%2BVIONGOZI%2BWA%2BJUU%2BWA%2BCHADEMA%2BPAMOJA%2BNA%2BNAIBU%2BWAKE..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699010638794543330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mstari wa mbele wa viongozi wa kitaifa wa Chadema na Bunge&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MVUA kubwa iliyoanza kunyesha majira ya mchana wakati ibada ya kumwombea marehemu Regia Mtema iliyoongozwa na Askofu , Agapiti Ndorobo wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mahenge Mkoani Morogoro, japo wakazi wa huku wanasema ni baraka ilivuruga kwa kiasi fulani ratiba ya maziko ya mbunge huyo yaliyofanyika mjini hapa.&lt;br /&gt;Licha ya  mvua hiyo kubwa kunyesha kuanzia saa nane mchana hadi saa kumi jioni haikuwazuia mamia ya wananchi wa Mjini Ifakara na wageni  kutoka Mikoa mbalimbali nchini wakiwemo wabunge kadhaa wa wakiongozwa na Spika wa Bunge, Anne Makinda kushiriki kikamilifu ibada hiyo hadi mazikoni.&lt;br /&gt;Rais Jakaya Kikwete alihudhuria maziko hayo ambayo yaliyofanyika kwenye makaburi ya eneo la Mkuya katika barabara ya kwenda Kivukoni , Wilaya ya Ulanga, ambapo kabla ya kufanyika kwa shunghuli hiyo, wananchi walipata fursa ya kuaga mwili wa marehamu kwenye Uwanja wa Kiungani wa Mjini Ifakara .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-BKO77Y-yGFM/Txbz-ECjmPI/AAAAAAAAPX4/JKxkcpXpnpE/s1600/KUENDESHWA%2BMISA-.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-BKO77Y-yGFM/Txbz-ECjmPI/AAAAAAAAPX4/JKxkcpXpnpE/s320/KUENDESHWA%2BMISA-.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699010626045843698" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Misa nyingine ya wafu ilifanyika kabla ya kwenda makaburini&lt;br /&gt;Akizungumza kwa niaba ya Serikali kabla ya kuanza kwa ibada hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi, Hawa Ghasia, alisema taifa limempoteza kiongozi shupavu aliyekuwa akijenga hoja bungeni za kutetea wananchi bila kujali itikadi za chama , Dini ama jinsia.&lt;br /&gt;“ Amefariki akiwa kiongozi kijana , msomi na nchi ilikuwa ikimuhitaji kwa mchango wa mawazo waye na Serikali inatoa pole kwa wabunge, Spika na wananchi wa Kilombero na Morogoro sambamba na familia yake kwa kumpoteza kipenzi chao” alisema Waziri Ghasia.&lt;br /&gt;Kwa upande wake Spika wa Bunge, Anne Makinda , alisema , Regia alikuwa mtetezi mkubwa wa wafanyakazi wakiwemo wa Kiwanda cha Sukari Kilombero na kuwa kifo chake kimewashitua watu wengi na pia kumewakutanisha watu wengi kutoka pande mbalimbali , wananchi na viongozi wa serikali, vyama vya siasa, wabunge wa vyama mbalimbali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-TsbCa65mEJc/Txbz-VumQ_I/AAAAAAAAPYI/siptIfSTfaA/s1600/MVUA%2B-2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-TsbCa65mEJc/Txbz-VumQ_I/AAAAAAAAPYI/siptIfSTfaA/s320/MVUA%2B-2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699010630793970674" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mvua ilimfanya kila mtu atafute namna ya kujihifadhi lakini hawakuondoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Spika Makinda alirudia kauli yake aliyoitoa juzi Jijini Dar es Salaam, kwa kusema kuwa Regia alionesha upendo alikuwa ni nyota ya upendo ya uwakilishi wa wananchi , ndiyo maana baada ya kutokea kifo chake amewakutanisha watu wengi kwa wakati mmoja Dar es Salaam na Mjini Ifakara.&lt;br /&gt;Hivyo amewaomba watanzania , wamuenzi Marehemu Regia kwa kufuata nyayo zake za upendo wa kila mtu bila kufanya ubaguzi wa dini, jinsia ama kiitikadi na wabunge walimpenda kutokana na ucheshi wake ulioambatana na kutaniana kwa staaha bila kujari rika ya mtu.&lt;br /&gt;Naye Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa,Freeman Mbowe, alimtaja Regia kuwa alikuwa ni kuinganishi cha Chama kwa vijana ndani ya chama na nje , na alikuwa akitetea hoja zake alizokuwa akiziamini ni za kuleta maendeleo ya taifa, wananchi wake na Chama, hivyo kimempoteza kingozi muhumu na pengo lake halitaweza kuzibika hata wakimpata mtu mwingine.&lt;br /&gt;Hata hivyo aliwahakikishia wananchi wa Kilombero, familia ya marahemu kuwa Chama kitakuwa bega kwa bega katika masuala mbalimbali ya kijamii .&lt;br /&gt;" Hatutawaagusha wananchi wa Kilombero, wameonesha jinsi walivyokuwa karibu na Mbunge wao , walivyokuwa wamempenda na hili limetudhihirisha kutokana  na umati huu ...kutokana na upendo wake kwa kila mtu ...baada ya kifo chake , leo tumeona jinsi alivyotuunagnisha , sisi kama Chama, Viongozi wa Serikali, Wabunge na hili tutalizingatia katika kufanya maamauzi yetu kwenye vikao" alisema Mbowe.&lt;br /&gt;Hata hivyo,Mwenyekiti huyo wa Taifa pamoja na kuomboleza kifo cha Regia , alitumia fursa hiyo kuwaahidi wananchi wa Kilombero kuwa Chama kitaangalia  jinsi ya kuwaondolea machungu ya kumpoteza kipenzi chao katika kumpata mwingine  hata kama hataweza kufanana na Marahemu kwa vitendo  vyake.&lt;br /&gt;Akitoa mahubiri wakati wa ibada ya misa ya kumwombea Marahamu Regia, Askofu Ndolobo, alimtaja Regia kuwa alikuwa ni mtu wawatu na kuishi katika maisha ya kumcha mungu na pia aliipenda nchi yake ndiyo maana alijitoa kuwatumikia wananchi wake na taifa kwa ujumla.&lt;br /&gt;“ Regia aliipenda nchi yake , aliipenda Kilombero na watanzania wote hivyo inatuapasa tumwombee” alisema Askofu huyo.&lt;br /&gt;Hata hivyo alisema, pamoja na kuendelea kumhitaji, lakini mapenzi ya Mungu hayawezi kupingwa na mtu yoyote hivyo ni wajibu wetu siku zote kuishi kwa kumcha mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-ugEIkx6a5Hk/Txbz_Nfdz8I/AAAAAAAAPYk/xgj2A5dmMZA/s1600/MAZISHI%2BREGIA-2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 222px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-ugEIkx6a5Hk/Txbz_Nfdz8I/AAAAAAAAPYk/xgj2A5dmMZA/s320/MAZISHI%2BREGIA-2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5699010645762887618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Msafara ukitoka kwenda mazikoni Mkuya.&lt;br /&gt;Source:John nditi wa Habarileo&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7791381495576957154?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7791381495576957154/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7791381495576957154' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7791381495576957154'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7791381495576957154'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/maziko-ya-mbunge-regia-yaenda-kimalkia.html' title='MAZIKO  YA MBUNGE REGIA  YAENDA KIMALKIA NA BARAKA YA MVUA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-rCn38h8s7WI/Txbz-ziFUOI/AAAAAAAAPYU/E42yPEY6w14/s72-c/SPIKA%2BAKIWA%2BNA%2BVIONGOZI%2BWA%2BJUU%2BWA%2BCHADEMA%2BPAMOJA%2BNA%2BNAIBU%2BWAKE..JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2602419109083634337</id><published>2012-01-17T19:00:00.000+03:00</published><updated>2012-01-17T19:01:23.042+03:00</updated><title type='text'>Tahadhari kwa magonjwa ya mlipuko Tanzania bara wiki ya pili</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-PwPtQfrtLKs/TxWbFfKDdUI/AAAAAAAAPXk/tTcwhU-L8Zg/s1600/taarifa.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 247px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-PwPtQfrtLKs/TxWbFfKDdUI/AAAAAAAAPXk/tTcwhU-L8Zg/s320/taarifa.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698631422072550722" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2602419109083634337?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2602419109083634337/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2602419109083634337' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2602419109083634337'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2602419109083634337'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/tahadhari-kwa-magonjwa-ya-mlipuko.html' title='Tahadhari kwa magonjwa ya mlipuko Tanzania bara wiki ya pili'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-PwPtQfrtLKs/TxWbFfKDdUI/AAAAAAAAPXk/tTcwhU-L8Zg/s72-c/taarifa.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6416174485089681517</id><published>2012-01-17T18:47:00.003+03:00</published><updated>2012-01-17T18:54:34.223+03:00</updated><title type='text'>Wadau nimealikwa Sauti za Busara Opening Night Invitation nende nisiende?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-yyjayGW1rJE/TxWY9kpRtiI/AAAAAAAAPXM/eHN-h2MwUB8/s1600/Lumumba_Theatre_Group.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-yyjayGW1rJE/TxWY9kpRtiI/AAAAAAAAPXM/eHN-h2MwUB8/s320/Lumumba_Theatre_Group.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698629087083476514" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Msimbe Beda&lt;br /&gt;journalist&lt;br /&gt;Daily News / Habari Leo&lt;br /&gt;17th January 2012&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Ref: Invitation to Opening Night, 9th Sauti za Busara music festival, 9th February, Zanzibar&lt;br /&gt;Dear Msimbe Beda&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;You are warmly invited to join us at Opening Night of Sauti za Busara music festival, on the evening of Thursday 9th February at Old Fort (Ngome Kongwe) Zanzibar.&lt;br /&gt;Featuring 100% LIVE performances over four days with 300 artists (31 groups), Sauti za Busara is an event uniting people of different backgrounds together in celebration. Established and upcoming musicians from all over East Africa participate, showcasing a variety of music styles. Furthermore, a dozen groups from other parts of the African Continent and diaspora including Cape Verde, Sudan, Comoros, Congo, Madagascar. Nigeria and South Africa perform at the 2012 edition, bringing fresh ideas and inspiration for local artists and audiences.&lt;br /&gt;The line-up on 9th February includes:&lt;br /&gt;6:00 PM&lt;br /&gt;Carnival Parade arrives Old Fort&lt;br /&gt;7:00 PM&lt;br /&gt;Swahili Vibes (Zanzibar)&lt;br /&gt;7:35 PM&lt;br /&gt;Shirikisho Sanaa (Zanzibar)&lt;br /&gt;8:20 PM&lt;br /&gt;Tandaa Traditional Group (Zanzibar)&lt;br /&gt;8:40 PM&lt;br /&gt;Wanafunzi wa SOS (Zanzibar)&lt;br /&gt;9:10 PM&lt;br /&gt;Mkota Spirit Dancers (Pemba)&lt;br /&gt;10:10 PM&lt;br /&gt;Ary Morais (Cape Verde)&lt;br /&gt;11:15 PM&lt;br /&gt;Lady Jaydee (Tanzania)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-Dz7QKQuOPLY/TxWY9zZ_IRI/AAAAAAAAPXc/HfXDrYQaHo4/s1600/Nneka_11_04_bg.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 229px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-Dz7QKQuOPLY/TxWY9zZ_IRI/AAAAAAAAPXc/HfXDrYQaHo4/s320/Nneka_11_04_bg.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698629091045875986" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6416174485089681517?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6416174485089681517/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6416174485089681517' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6416174485089681517'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6416174485089681517'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/wadau-nimeealikwa-sauti-za-busara.html' title='Wadau nimealikwa Sauti za Busara Opening Night Invitation nende nisiende?'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-yyjayGW1rJE/TxWY9kpRtiI/AAAAAAAAPXM/eHN-h2MwUB8/s72-c/Lumumba_Theatre_Group.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1936080040326648008</id><published>2012-01-17T17:28:00.001+03:00</published><updated>2012-01-17T18:45:44.327+03:00</updated><title type='text'>Kikwete leo alikuwa upande wa Mashariki wa Uluguru, Matombo</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/--1P-sJKjijQ/TxWXPO_4esI/AAAAAAAAPWw/1wRPblR4rg4/s1600/JK%2Bakiongea%2Bbaada%2Bya%2Bkuzindua%2Bdaraja%2Bla%2Bmto%2BMtombozi%2Btarafa%2Bya%2BMatombo%2Bwilaya%2Bya%2BMorogoro%2Bmjini%2Bleo%2BJanuary%2B17%252C%2B2012.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/--1P-sJKjijQ/TxWXPO_4esI/AAAAAAAAPWw/1wRPblR4rg4/s320/JK%2Bakiongea%2Bbaada%2Bya%2Bkuzindua%2Bdaraja%2Bla%2Bmto%2BMtombozi%2Btarafa%2Bya%2BMatombo%2Bwilaya%2Bya%2BMorogoro%2Bmjini%2Bleo%2BJanuary%2B17%252C%2B2012.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698627191487101634" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-nY48Qnb1j7A/TxWXOxA8aBI/AAAAAAAAPWo/yfky58VNxs4/s1600/JK%2Bakielekea%2Bjukwaani%2Bkuhutubia%2Bwananchi%2B%2Bbaada%2Bya%2Bkuweka%2Bjiwe%2Bla%2Bmsingi%2Bkwa%2Bujenzi%2Bwa%2Bsoko%2Bla%2Bkijiji%2Bcha%2BMtamba%252C%2BMorogoro%2Bvijij.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-nY48Qnb1j7A/TxWXOxA8aBI/AAAAAAAAPWo/yfky58VNxs4/s320/JK%2Bakielekea%2Bjukwaani%2Bkuhutubia%2Bwananchi%2B%2Bbaada%2Bya%2Bkuweka%2Bjiwe%2Bla%2Bmsingi%2Bkwa%2Bujenzi%2Bwa%2Bsoko%2Bla%2Bkijiji%2Bcha%2BMtamba%252C%2BMorogoro%2Bvijij.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698627183438489618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-NN4399RND-E/TxWXPex6mwI/AAAAAAAAPW8/3YLF0pRv5po/s1600/JK%2Bna%2BRC%2Bakivuka%2Bdaraja%2Bjipya%2Bla%2BMagogoni%2Bkatika%2Bbarabara%2Bya%2BKiganila-Mvuha%252C%2BMorogoro%2BVijijini%2Bbaada%2Bya%2Bkulizindua.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-NN4399RND-E/TxWXPex6mwI/AAAAAAAAPW8/3YLF0pRv5po/s320/JK%2Bna%2BRC%2Bakivuka%2Bdaraja%2Bjipya%2Bla%2BMagogoni%2Bkatika%2Bbarabara%2Bya%2BKiganila-Mvuha%252C%2BMorogoro%2BVijijini%2Bbaada%2Bya%2Bkulizindua.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698627195723488002" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Kikwete leo ametembelea Morogoro vijijini na kuzindua madaraja&lt;br /&gt;mawili makubwa katika mto Mtombozi, Matombo, na mto Magogoni katika&lt;br /&gt;barabara ya Kiganila-Mvuha, pia ameweka jiwe la msingi la soko la kijiji&lt;br /&gt;cha Mtamba na kukagua ujenzi wa barabara sehemu ya Kisaki, Msalabani.&lt;br /&gt;Akiwa Mtamba mvua kubwa ilinyesha . Kwa waluguru mvua za aina hii unapotembelewa na Mkulu wa hano ni baraka kubwa kwa vitu vilivyofanyika.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1936080040326648008?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1936080040326648008/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1936080040326648008' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1936080040326648008'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1936080040326648008'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kikwete-leo-alikuwa-upande-wa-mashariki.html' title='Kikwete leo alikuwa upande wa Mashariki wa Uluguru, Matombo'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/--1P-sJKjijQ/TxWXPO_4esI/AAAAAAAAPWw/1wRPblR4rg4/s72-c/JK%2Bakiongea%2Bbaada%2Bya%2Bkuzindua%2Bdaraja%2Bla%2Bmto%2BMtombozi%2Btarafa%2Bya%2BMatombo%2Bwilaya%2Bya%2BMorogoro%2Bmjini%2Bleo%2BJanuary%2B17%252C%2B2012.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7266554839524371356</id><published>2012-01-17T16:51:00.002+03:00</published><updated>2012-01-17T16:54:10.658+03:00</updated><title type='text'>Wacheza na nyoka</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-c0PbXWS7iwY/TxV9YWMc4NI/AAAAAAAAPWc/IKHja9j01n8/s1600/nyoka.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 212px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-c0PbXWS7iwY/TxV9YWMc4NI/AAAAAAAAPWc/IKHja9j01n8/s320/nyoka.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698598760735367378" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Bingwa wa kucheza na nyoka (jina halikupatikana) akifanya michezo yake kwenye&lt;br /&gt;kituo kikuu cha daladala mjini Zanzibar na kuvuta wapita njia  jana mjini Zanzibar.&lt;br /&gt;Source: Martin Kabemba.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7266554839524371356?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7266554839524371356/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7266554839524371356' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7266554839524371356'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7266554839524371356'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/wacheza-na-nyoka.html' title='Wacheza na nyoka'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-c0PbXWS7iwY/TxV9YWMc4NI/AAAAAAAAPWc/IKHja9j01n8/s72-c/nyoka.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-9136946905904072047</id><published>2012-01-17T16:39:00.000+03:00</published><updated>2012-01-17T16:40:13.792+03:00</updated><title type='text'>TWIGA STARS YASAIDIWA VINYWAJI</title><content type='html'>Timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars leo (Januari 17 mwaka huu) imekabidhiwa msaada&lt;br /&gt;wa maji ya kunywa na soda ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mechi yake ya marudiano&lt;br /&gt;dhidi ya Namibia itakayochezwa Januari 29 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. &lt;br /&gt;Kampuni ya SBC Tanzania inayozalisha Pepsi, Mirinda na 7up ilikabidhi msaada wa&lt;br /&gt;vinywaji hivyo vyenye thamani ya sh. milioni moja kwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la&lt;br /&gt;Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Angetile Osiah ambaye aliishukuru kwa kuitikia mwito&lt;br /&gt;wa kuisaidia Twiga Stars. &lt;br /&gt;Akizungumza kabla ya kukabidhi msaada huo, Meneja Mauzo wa SBC Dar es Salaam, Ali&lt;br /&gt;Masoud alisema wameitikia mwito wa TFF kutaka wadau mbalimbali waisaidie timu hiyo&lt;br /&gt;ambayo haina mdhamini ili iweze kufanya vizuri kwenye mashindano inayoshiriki. &lt;br /&gt;Naye Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Babati (BDFA), Omari Chaka&lt;br /&gt;alimkabidhi Kocha wa timu hiyo Charles Boniface Mkwasa katoni kumi za maji ya kunywa&lt;br /&gt;zenye thamani ya sh. 25,000. &lt;br /&gt;Alivitaka vyama vya mpira wa miguu vya wilaya na mikoa navyo kujitokeza kuisaidia&lt;br /&gt;timu hiyo badala ya kuiachia TFF peke yake kwa vile Twiga Stars ni timu ya&lt;br /&gt;Watanzania wote. &lt;br /&gt;Chaka alisema ameamua kutoa msaada huo kuitikia mwito wa TFF, lakini vilevile&lt;br /&gt;kuguswa na maandalizi hafifu ya timu hiyo na pia ushindi wa mabao 2-0 ilioupata&lt;br /&gt;kwenye mechi ya ugenini dhidi ya Namibia kuwania tiketi ya kucheza fainali za Nane&lt;br /&gt;za Kombe Afrika kwa Wanawake (AWC) zitakazofanyika Novemba mwaka huu nchini&lt;br /&gt;Equatorial Guinea. &lt;br /&gt;Naye Mkwasa akipokea msaada huo, alisema ni mkubwa katika maandalizi yao ambapo&lt;br /&gt;alimshukuru Chaka, na pia kuwataka Watanzania wengine hasa Serikali kuwa mstari wa&lt;br /&gt;mbele kuzisaidia timu za Taifa kama inavyofanyika katika nchi nyingine. &lt;br /&gt;Kocha huyo alisema huu ndiyo wakati muafaka kwa wadau kuisaidia Twiga Stars ikiwa&lt;br /&gt;katika maandalizi badala ya kusubiri ushindi upatikane ndipo wajitokeze. &lt;br /&gt;Twiga Stars itaingia kambini kesho (Januari 18 mwaka huu) kujiandaa kwa mechi hiyo&lt;br /&gt;dhidi ya Namibia. Iwapo itafanikiwa kuitoa Namibia itacheza na mshindi kati ya Misri&lt;br /&gt;na Ethiopia. Katika mchezo wa kwanza jijini Cairo, Misri iliifunga Ethiopia mabao&lt;br /&gt;4-2.&lt;br /&gt;Source: Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-9136946905904072047?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/9136946905904072047/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=9136946905904072047' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/9136946905904072047'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/9136946905904072047'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/twiga-stars-yasaidiwa-vinywaji.html' title='TWIGA STARS YASAIDIWA VINYWAJI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3510638750852282916</id><published>2012-01-17T16:22:00.002+03:00</published><updated>2012-01-17T16:37:05.058+03:00</updated><title type='text'>REGIA MTEMA NI NYOTA INAYONG’AA - MAKINDA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-WK0QXRWQ-uY/TxV5Qnd11zI/AAAAAAAAPWQ/1idfTg9IsKY/s1600/PINDA-2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-WK0QXRWQ-uY/TxV5Qnd11zI/AAAAAAAAPWQ/1idfTg9IsKY/s320/PINDA-2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698594229886244658" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akitoa heshima za mwisho katika geneza lililobeba mwili wa marehemu Regia Mtema,jana katika Viwanja vya Karimjee Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa  Ifakara Mkoani Morogoro kwa maziko kesho.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;SPIKA wa Bunge la Tanzania, Mhe. Anne Makinda amesema aliyekuwa Mbunge wa Viti wa Maalum mkoa wa Morogoro (CHADEMA) Bi. Regia Mtema ni nyota inayong’aa kwani ameweza kuwaunganisha Watanzania wote bila kujali tofauti za kiitikadi zilizopo katika jamii.&lt;br /&gt;Ametoa kauli hiyo leo asubuhi (Jumanne, Januari 17, 2012) wakati akitoa salamu za rambirambi wakati wa kuuaga mwili wa Mhe. Regia Mtema kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda Ifakara kwa mazishi. Bi. Mtema alifariki Jumamosi, Januari 14, mwaka huu kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Ruvu, mkoani Pwani.&lt;br /&gt;“Regia ni nyota inayong’aa, ametuunganisha Watanzania kupitia upendo aliokuwa nao… ametuonesha kuwa hizi itikadi ni za kupita tu,” alisema huku akishangiliwa na mamia ya waombolezaji waliofurika katika viwanja hivyo wakiwemo viongozi wa kitaifa, mawaziri, wabunge na wananchi wa kawaida.&lt;br /&gt;Akizungumzia kuhusu utendaji kazi wa marehemu Mtema, Spika Makinda alisema alimfahamu mapema wakati (yeye) akiwa Mwenyekiti wa Wabunge wanawake kupitia mafunzo waliyokuwa wakitoa kwa vijana kama njia ya kuhamasisha wanawake wagombee majimboni na hivyo kuongeza idadi ya wabunge wanawake.&lt;br /&gt;“Regia ni mfano kwa wanawake wengi kwa sababu alithubutu kugombea jimbo licha ya vikwazo vilivyopo ambavyo huwafanya wanawake wengi waogope kugombea majimboni…, nawasihi wanawake wote muige mfano wake,” alisisitiza.&lt;br /&gt;“Regia alikuwa na nyumba aliyoinunua kule Mbezi na alikuwa akiishi na watu wengi wenye matatizo, hakuwa na kazi ya maana, hakuwa na mshahara mkubwa lakini alithubutu kuwasaidia wenye matatizo. Regia ametupa fundisho, ni mtoto lakini pia ni mfano wa kuigwa na wabunge wote,” aliongeza Mama Makinda.&lt;br /&gt;Mapema akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya Serikali, Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisema ataendelea kumkumbuka Mhe. Regia kwa sababu alikuwa kiungo kizuri Bungeni na aliisadia Serikali kupata maoni ya wananchi kwa haraka zaidi.&lt;br /&gt;“Mhe. Regia ni kiongozi ambaye ataendelea kukumbukwa kwa sababu ya mchango wake… nimeongea na Mhe. Mbowe na kumwambia kwamba pengo la Regia mtaliziba lakini hamtapata mtu wa kufanana naye kwa sababu Regia alikuwa na karama za pekee”.&lt;br /&gt;Alitoa pole kwa Chama cha Maendelea na Demokrasia (CHADEMA) kwa kumpoteza mbunge mahiri na makini. Pia alitoa pole kwa wazazi na familia na kuwasihi wajipe moyo na kufarijiana. Aliwaomba wajiombee pia ili waweze kukabili majonzi ya msiba huo na akawataka waendeleze mshikamano kama familia.&lt;br /&gt;Alisema Watanzania kama jamii, kila mmoja ana jukumu la kuendeleza yale mazuri ambayo Mhe. Regia alikuwa akiyasimamia.&lt;br /&gt;Viongozi wengine waliotoa salamu za rambirambi ni Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilboad Slaa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe ambao waote walielezea ushiriki wa Mhe. Regia katika nafasi za uongozi tangu mwaka 2005 alipojiunga na chama hicho.&lt;br /&gt;Shughuli ya kuuaga mwili wa Mhe. Regia Mtema iliongozwa na Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal.&lt;br /&gt;Mbali ya Kamati ya Uongozi ya Bunge na Kamati ya Huduma za Bunge, wabunge wengine watakaoshiriki mazishi ya Mhe. Regia Mtema huko Ifakara hapo kesho (Jumatano, Januari 18, 2012) ni wabunge wote wa mkoa wa Morogoro na wabunge 10 kutoka Kamati ya Miundombinu ambayo Mhe. Regia alikuwa mjumbe.&lt;br /&gt;Wengine ni wabunge sita kutoka (CCM), wabunge wanne (CUF), mbunge mmoja mmoja kutoka NCCR, TLP, UDP na chama cha wabunge wanawake.&lt;br /&gt;Serikali itawakilishwa katika mazishi hayo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi), Bi. Hawa Ghasia.&lt;br /&gt;(mwisho)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3510638750852282916?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3510638750852282916/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3510638750852282916' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3510638750852282916'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3510638750852282916'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/regia-mtema-ni-nyota-inayongaa-makinda.html' title='REGIA MTEMA NI NYOTA INAYONG’AA - MAKINDA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-WK0QXRWQ-uY/TxV5Qnd11zI/AAAAAAAAPWQ/1idfTg9IsKY/s72-c/PINDA-2.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1405850950154898254</id><published>2012-01-17T14:20:00.000+03:00</published><updated>2012-01-17T14:22:55.680+03:00</updated><title type='text'>East African Business Delegation for International Builders Show 2012</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-gwCCW9P3vGE/TxVZsStJqJI/AAAAAAAAPWE/HqMTNE6QIeE/s1600/tangazo.png"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-gwCCW9P3vGE/TxVZsStJqJI/AAAAAAAAPWE/HqMTNE6QIeE/s320/tangazo.png" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698559520977561746" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1405850950154898254?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1405850950154898254/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1405850950154898254' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1405850950154898254'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1405850950154898254'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/east-african-business-delegation-for.html' title='East African Business Delegation for International Builders Show 2012'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-gwCCW9P3vGE/TxVZsStJqJI/AAAAAAAAPWE/HqMTNE6QIeE/s72-c/tangazo.png' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2927473026576574920</id><published>2012-01-17T13:34:00.003+03:00</published><updated>2012-01-17T14:13:57.262+03:00</updated><title type='text'>Nguli wa sanaa za maonesho, Bakari Kassim Mbelemba (Mzee Jangala) alonga</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-wP9mpFZqwrs/TxVWCJGULuI/AAAAAAAAPVU/7e6RI02oUTY/s1600/jangala.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 288px; height: 216px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-wP9mpFZqwrs/TxVWCJGULuI/AAAAAAAAPVU/7e6RI02oUTY/s320/jangala.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698555498309365474" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Msanii Nguli wa sanaa za maonesho, Bakari Kassim Mbelemba (Mzee Jangala) aikizungumza na wadau wa sanaa kwenye Jukwaa la Sanaa linaloendeshwa na BASATA kila&lt;br /&gt;siku  ya jumatatu.Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya ukuzaji sanaa, BASATA Vivian Shalua&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Msanii nguli wa Sanaa za Maonesho, Bakari Kassim Mbelemba (Mzee&lt;br /&gt;Jangala) amesema kuwa programu ya Jukwaa la Sanaa inayoendeshwa na Baraza la&lt;br /&gt;Sanaa la Taifa (BASATA) ni chuo tosha kwa wasanii katika kuwapa elimu na&lt;br /&gt;ufahamu wa masuala mbalimbali ya sekta ya Sanaa.&lt;br /&gt;Akizungumza wiki hii, kwenye programu hiyo katika ukumbi wa&lt;br /&gt;BASATA, Ilala Sharif Shamba, Jangala alisema kuwa, Jukwaa la Sanaani jambo la&lt;br /&gt;kujivunia na ni chachu ya kukua kwa Sanaa. &lt;br /&gt;“Jukwaa la Sanaa ni programu inayonifanya nithubutu kusema,&lt;br /&gt;sasa Sanaa ni kazi, maana kazi yoyote ili ifanywe kwa ufanisi inahitaji elimu,&lt;br /&gt;uratibu na mwongozo, hivyo wasanii tuitumie fursa hii adimu” Jangala alisema.&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa, programu hii imekuwa ikiwaleta wataalam na&lt;br /&gt;wadau mbalimbali wenye uzoefu katika sekta ya Sanaa hivyo, kwa wasanii ambao&lt;br /&gt;wamekuwa wakihudhuria toka mwanzo wamepata mambo mengi ambayo yatawasaidia&lt;br /&gt;katika kukuza na kuendeleza vipaji vyao.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-M7OGwZXs6uk/TxVWCUea27I/AAAAAAAAPVo/GZv_ij3Hmrg/s1600/3.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 288px; height: 216px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-M7OGwZXs6uk/TxVWCUea27I/AAAAAAAAPVo/GZv_ij3Hmrg/s320/3.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698555501363256242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; Mdau wa Sanaa akitaka ufafanuzi juu ya masuala mbalimbali yahusuyo Sanaa za majukwaani.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Alisisitiza kuwa, Sanaa inabadilika na kumezwa na teknolojia&lt;br /&gt;mpya zinazokuwa zinajitokeza hivyo, ni lazima wasanii wajenge utamaduni wa&lt;br /&gt;kutafuta maarifa mapya na kuwa wabunifu huku wakizingatia maadili ya&lt;br /&gt;kitanzania.&lt;br /&gt;Kuhusu wasanii kulewa umaarufu na sifa, alishauri kuwa ni vema&lt;br /&gt;wakabadilika na kufanya kazi zao kwa bidii na ubunifu zaidi kwani, sifa ya&lt;br /&gt;msanii inakuja yenyewe kutokana na kazi anazozalisha na kupeleka kwa jamii&lt;br /&gt;inayomzunguka.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-OPZbgP8SQKM/TxVWCvlZFyI/AAAAAAAAPV4/D2mw4rWeEPI/s1600/4.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 288px; height: 216px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-OPZbgP8SQKM/TxVWCvlZFyI/AAAAAAAAPV4/D2mw4rWeEPI/s320/4.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698555508640257826" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Sehemu ya wadau waliohudhuria  katika Jukwaa la Sanaa wakifuatilia mjadala.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;“Sifa ya mpishi hutolewa na mlaji, kwa hiyo wasanii&lt;br /&gt;wanapotengeneza kazi zao wasijisifu wenyewe bali wasubili kusifiwa na&lt;br /&gt;msikilizaji au mtazamaji” alishauri Mzee Jangala.&lt;br /&gt;Alizungumzia pia suala la wasanii kutegemea vipaji tu pasipo&lt;br /&gt;kuingia darasani na kusema kuwa hilo haliwezi kukuza sekta ya sanaa na badala&lt;br /&gt;yake tutakuwa na kazi zinazoandaliwa kwa msukumo wa soko na si taaluma ya Sanaa&lt;br /&gt;“Wasanii ni lazima watambue kuwa, mbolea ya kipaji chochote&lt;br /&gt;kile ni elimu. Ni vigumu sana kutegemea kipaji tu pasipo kukipalilia kwa&lt;br /&gt;taaluma ya sanaa husika”&lt;br /&gt;Kwa upande wake, kaimu mwenyekiti wa Jukwaa la Sanaa, Vivian&lt;br /&gt;Nsao Shalua alishauri wasanii kulitumia Jukwaa la Sanaa ili kuzijua sheria, taratibu&lt;br /&gt;na mbinu mbalimbali  zitakazo waongoza katika  shughuli zao za Sanaa.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-jrwH3XoWI_o/TxVWCDIzKWI/AAAAAAAAPVg/pDA4NTGMTWg/s1600/2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 288px; height: 216px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-jrwH3XoWI_o/TxVWCDIzKWI/AAAAAAAAPVg/pDA4NTGMTWg/s320/2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698555496709171554" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa la Sanaa ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idaya ya Ukuzaji Sanaa, Bi. Shalua akifafanua jambo wakati  akihitimisha mjadala  kuhusu Sanaa za  majukwaani kwenye Jukwaa la Sanaa wiki hii. Kushoto ni Mzee Jangala na Kaimu Mratibu wa Jukwaa la Sanaa, Aristide Kwizela.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2927473026576574920?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2927473026576574920/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2927473026576574920' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2927473026576574920'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2927473026576574920'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/nguli-wa-sanaa-za-maonesho-bakari.html' title='Nguli wa sanaa za maonesho, Bakari Kassim Mbelemba (Mzee Jangala) alonga'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-wP9mpFZqwrs/TxVWCJGULuI/AAAAAAAAPVU/7e6RI02oUTY/s72-c/jangala.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7194878716254949130</id><published>2012-01-17T11:48:00.003+03:00</published><updated>2012-01-17T12:04:49.427+03:00</updated><title type='text'>Zitto kabwe akataa kumlilia Regia Mtema... soma sababu zake hapa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-5N0LO5K3dGY/TxU3FGPPUkI/AAAAAAAAPVE/Tyq9CNzEZDk/s1600/zitto.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 213px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-5N0LO5K3dGY/TxU3FGPPUkI/AAAAAAAAPVE/Tyq9CNzEZDk/s320/zitto.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698521464220635714" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Siku zote ninaamini katika sera za vizazi kufundana na kukabidhiana majukumu. Katika maisha ya kijamii ninaumizwa sana na kupotea kwa utamaduni wa wazazi kurithisha watoto wao masuala kama ufundi na hata majukumu ya kitamaduni kwenye mila na desturi zetu.&lt;br /&gt;Ndio maana hivi sasa kwenye vijiji vingi hapa nchini imekuwa nadra kupata mafundi Seremala wa kurithi ama Waashi pia. Kwenye Siasa Kizazi kinaposhindwa kuandaa kizazi kingine kuchukua jukumu la kuongoza kuna hatari kubwa ya Taifa kukosa viongozi walioandaliwa vema na hivyo kuongoza inavyopasa. Taifa huumia sana linapopoteza viongozi wanaoandaliwa kubeba majukumu mazito ya kitaifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dada Regia Estelatus Mtema, Mbunge wa Viti Maalumu, Waziri Kivuli wa Kazi na Ajira na Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA ni mmoja wa wanasiasa vijana waliokuwa wanafundwa kuchukua majukumu zaidi ya Taifa letu. Alikuwa anafundwa na Chama chake. Alikuwa anafundwa na Bunge (mafundo kutoka kwa vyama vyote na hasa Spika Anna Simamba Makinda). Alikuwa anafundwa na marafiki zake. Alikuwa anafundwa na Chama cha Walemavu Tanzania (CHAWATA). Alifundwa na Shirika la FES. Dada Regia alikuwa anafundika. Alikuwa ni Hazina kubwa kwa Taifa letu. Alikuwa na sifa za peke yake kabisa kulinganisha na wanasiasa wengine na hasa wanasiasa vijana. Nitaeleza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sijui ni kwa nini mama yangu Bi Hajjat Shida Salum amekuwa sasa anapata habari kwanza kabla yangu (yeye ndiye aliyenipa habari za msiba wa Mwenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga na Rafiki yangu kipenzi Shelembi).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikiwa nimepumzika sebuleni, nyumbani kwetu Tabata Bi Shida ghafla ananiuliza, umeongea na dada yako? Ilikuwa kama saa sita mchana hivi, yeye kasimama upenoni mwa ukuta ananiangalia macho makali. Nikashtuka kidogo maana amekuwa mgonjwa mgonjwa toka amerejea toka Hijja miezi kadhaa iliyopita. Najua akiniuliza hivyo ana maanisha nani (Mhonga Said Ibrahim Ruhwanya), nikamjibu sijazungumza naye, kunani? Akaniambia piga simu makao makuu nasikia kuna Mbunge wetu wa Viti Maalumu amepata ajali. Mara moja nikashika simu kumpigia ndugu Msafiri Mtemelwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alichoniambia sikuamini. Eti kwamba Regia amepata ajali na amefariki muda mfupi uliopita. Nikamwita rafiki yangu Hatibu Mchange anayeishi jirani yetu kumwambia aje ili anisindikize makao makuu ya chama. Kisha nikamjulisha Bi Shida kuhusu msiba wa rafiki yake na mwanae Regia. Nikamwacha akilia sana. Sikumpa pole wala kumtaka asilie maana kwanza sikuamini kabisa kwamba ni kweli Regia ametutoka. Nikasema mpaka nikamwone mwenyewe kwa macho yangu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku nne kabla ya kifo chake Regia alikuja nyumbani kumsalimu mama yetu (Bi Shida siku zote alimwona Regia kama mwanaye na yeye Regia alimheshimu mama yangu kama mama yake mzazi kabisa). Wakati namsindikiza akaniambia, ‘ naona umeshikia bango suala la ajira kwa vijana. Nakuunga mkono na unipe ‘data’ za kutosha ili kupitia Wizara yangu nilisukume suala hilo kwa nguvu zaidi’. Tukakubaliana. Tukakumbatiana na kuagana. Yeye alikuwa ameambatana na kulwa wake Remija. Kumbe ndio nilikuwa namuaga moja kwa moja dada yangu Regia Estelatus Mtema, mwanasiasa kijana asiye na woga na jasiri haswa. Hii ndio sifa yake kubwa kuliko wanasiasa wengi vijana. Ujasiri!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Regia hakuwa mwanasiasa wa asili ama kurithi. Aliamua kuingia kwenye siasa kwa kwanza ushahiwishi wa ndugu David Kafulila ambaye walikutana huko kwenye Programu ya Mafunzo kwa vijana (YLTP) inayoendeshwa na Shirika la Friedrich Ebert Foundation (FES), mimi ni mwanzilishi wa Programu hii katika YLTP 1. David akiwa mwakilishi wa CHADEMA na Regia akiwa Mwakilishi wa CHAWATA katika YLTP 6. Regia alishawishika na kuingia CHADEMA, chama kikamweka kitengo cha Vijana kama Afisa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati fulani kukatokea matatizo kati yake na Afisa mwenzake ndugu Ali Omar Chitanda kuhusu namna ya kufanya kazi. Regia akiwa na hoja kwamba chama kinajenga ushawishi kwa wasomi na hivyo vijana wasomi tu ndio waendeshe kitengo kile. Wakawa hawawezi kufanya kazi na mwenzake kabisa. Nikiwa Naibu Katibu Mkuu wa chama nikachukua maamuzi ya kumhamisha Regia na kumpeleka kuwa Afisa wa Mafunzo chini ya Kurugenzi ya Mafunzo na Oganaizesheni inayoongozwa na ndugu Benson Kigaila Masalamakali. Regia kwa ujasiri akaniandikia ujumbe mfupi wa simu ‘uamuzi wako sio sahihi’. Sikumjibu bali nikamwita Ofisini siku ya Pili yake. &lt;br /&gt;Nikamweleza namna ambavyo chama kinahitaji kada zote na kwamba wasomi wa vyuo vikuu waje kwenye chama wakijua pia kuna maafisa ambao si wasomi na wana mchango mkubwa katika harakati za kidemokrasia. Nikampa mifano ya namna mtu Kama Samora Machel alivyochaguliwa kiongozi wa FRELIMO ilhali kulikuwa na wasomi zaidi yake kama Joachim Chisano au hata mkewe Graca Machel. Regia alinielewa vizuri sana na mkutano ukaishia kutaniana kuhusu namna ya mitindo ya uongozi. Regia hakuficha kama hakupenda jambo na wala hakuwa anaangalia cheo cha mtu. Alisema anachokiamini na mengine yatabaki mjadala wa baadaye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ujasiri wake wakati mwingine ulimletea shida kwa wakubwa zake lakini hakuna hata mmoja aliyetilia shaka mapenzi yake kwa chama chetu. Hakujali kuudhiwa na alikuwa tayari kukilinda chama muda wote. Huu ni mfano wa pili wa Ujasiri wake kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa uchaguzi Mkuu wa nchi mwaka 2010 Regia alikwenda kugombea Ubunge katika Wilaya ya nyumbani kwao Kilombero. Watu wengi hawakumpa nafasi kubwa ya kushinda. Aliliandaa jimbo lake kwa mikutano ya mara kwa mara. Alishinda kura za maoni katika mchakato wa ndani ya chama. Katika kikao cha Kamati Kuu mmoja wa Wakurugenzi wa Chama akasema tunaye mgombea mwingine mzuri sana, Mwanasheria. Regia akaombwa kukaa pembeni. Akakubali. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamati Kuu ikampitisha mtu ambaye hakwenda kwenye kura za maoni na wala hatukuwa tunamjua maana tuliambiwa na mtu tunayemwamini kwamba ni mgombea mzuri. Regia hakufurahishwa na uamuzi ule lakini kwa heshima na utiifu wa hali ya juu akakubali kutogombea. Siku za kurejesha fomu za kugombea zilipokuwa zinakwisha yule mgombea akatoa nje. Hakuonekana, kwa sababu mbalimbali ambazo sisi tuliokuwa mbali na Dar es Salaam na Morogoro hatuzijui. Chama hakikuwa na namna isipokuwa kurudi kwa Regia kumwomba aokoe jahazi. Regia hakusita. Akaendesha kampeni za uhakika akiwa hana mali wala jina kisiasa. Akaaminiwa na watu wa Kilombero. Akapata kura nyingi sana ambazo hata zilileta utata wa uhalali wa matokeo ya uchaguzi katika Jimbo lile. Ujasiri na nidhamu ya namna hii ni nadra sana kwa wanasiasa sio tu vijana hata waliobobea kwenye siasa. Huyu ndio Regia. Ndiye tunamsindikiza kwenye nyumba yake ya milele. Regia mwenye upendo wa dhati kwa watu aliowapenda. Regia aliyekuwa tayari kusaidia kwa hali na mali wenzake wanapohitaji msaada. Hii ni sifa yake ya nyingine ya kipekee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara baada ya Uchaguzi Mkuu na yeye kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalumu, Spika alitugawa kwenye Kamati Wabunge wote. Kazi ya kwanza ya Kamati hizi ilikuwa ni kuchagua wenyeviti na makamu wao. Regia alijua mimi napenda kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (uwekezaji umma). Hata hivyo alijua nina wakati mgumu sana kutokana na mazingira ya kisiasa yaliyokuwapo wakati ule kati ya Wabunge wa CCM na CHADEMA. Regia ni Mbunge pekee (ukiachana na wajumbe wa kamati ya POAC kutoka CHADEMA) aliyezunguka nami usiku kucha na kupiga simu kwa kila Mbunge mjumbe wa Kamati yangu kuniombea kura. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge mwenzangu na Rafiki yangu wa karibu kutoka Ludewa Deo Filikunjombe atamkumbuka Regia kwa aina ya kampeni aliyopiga. Deo aliniambia kwamba alipokea simu ya mwanamke anaongea Kipangwa (moja ya Lugha ya watu wa Ludewa). Mwanamke yule mwenye sauti nyembamba na ya kutulia alikuwa anamwombea kura Zitto kuwa mwenyekiti wa POAC. Deo alifurahishwa na namna Regia alivyoweza kutumia lugha ya nyumbani kwao kuniombea kura. Hata tulipopata taarifa kwamba Kamati ya Wabunge wa CCM imeamua kwamba atakayepewa kura sio mimi, Regia alinitia moyo na kuendelea na kampeni. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Asubuhi ya siku ya kura alimpitia kila mjumbe wa Kamati POAC aliyemwona na kumkumbusha kunipa kura hata kama CCM imewakataza. Nilimcheka sana Regia kwa kumwambia wewe sio mzoefu hapa. Hao wakishakaa ndio maamuzi hayo. Akaniambia hapana watabadilika. Ghafla Waziri Mkuu akatangaza kikao kingine cha Wabunge wa CCM na huko wakaelezwa kwamba kamchagueni Zitto. Ningekata tamaa bila kuendelea na juhudi usiku kucha kama nilivyoshauriwa na regia kwa kweli nisingeshinda nafasi ile. Regia alikuwa mtu wa kwanza kumjulisha matokeo ya uchaguzi nilipopata kura 13 kati ya 15 zilizopigwa. Huyu ndiye Regia ambaye alikuwa na uwezo wa kufanya kila mbinu ili mwenzake apate msaada. Ni lazima watu watoe machozi. Ni lazima Wabunge watoe machozi. Ni lazima wana CHADEMA wamlilie. &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mimi sitawafuta machozi na nimekataa kulia.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikao cha mwisho cha chama ambacho nilishiriki na Regia nilihudhuria kwa muda mfupi sana. Wenzangu watakumbuka mengine katika kila kikao kile. Mimi ninakumbuka moja tu ambalo ni moja ya sifa pekee aliyokuwa nayo na wanayo wanasiasa wachache sana na hasa wanasiasa vijana (ambao hupenda zaidi siasa za kuridhisha kwa kusema watu wapendacho). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Regia alikuwa na uwezo mkubwa wa kusema usichopenda kusikia. Alisema tu. Katika kikao kile wajumbe na Wabunge walikuwa katika ‘emotion’ sana kuhusiana na muswada wa mchakato wa kuandika Katiba. Mjadala ulikuwa mkali sana. Mwenyekiti wetu akampa nafasi Regia aseme.&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;‘mimi nashauri tuombe kuonana na Rais Kikwete’&lt;/span&gt; yalikuwa ni maneno yake makali kupenya kwenye ngome za masikio ya wengi na yalipokelewa kwa mguno mkubwa. Mwenyekiti akaamrisha wajumbe na Wabunge watulie kwani Regia ana haki ya kutoa maoni yake. Mimi niliondoka baada ya muda mfupi maana nilikuwa ndio nimetoka nchini India kwa matibabu na nilikuwa na masharti ya kupumzika muda mrefu. Ushauri wa Regia (pamoja na wajumbe na viongozi wengine wa chama walioshauri ama waziwazi au kwa chinichini) ndio uliofuatwa na sasa kumekuwa na mazungumzo ya mara kwa mara ya viongozi kuhusu sheria ile ya mchakato wa kuandika Katiba. Huyu ndio dada Regia. Maisha mafupi lakini mafunzo makubwa katuachia vijana wenzake kwenye medani ya siasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Nakuagaje Regia?&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilikataa kuamini kuwa umekufa. Nikasema mpaka nikuone.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipofika Tumbi, nikasema hujafa na wala siingii ‘motury’ kukuona.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa eti nakuandikia Tanzia . Kwa nini nikuage?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Halafu nakuagaje REGIA?&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukikutana na Shelembi Magadula, mwambie kile kiti chake cha udiwani tulikitunza, akija atakikuta. Ukikutana na Chacha Wangwe Mwambie bado tunaendelea na harakati Nyamongo. Ukikutana na Amina mwambie asilie tena vijana wengi wameingia Bungeni na sasa wanaelekea Ikulu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukikutana na Bibi Titi mwambie sasa wanawake hata wanawake walemavu wanaweza bila hata kuwezeshwa, wanajiwezesha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Nakuagaje dada yangu mpenzi? Haya.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mungu atupe subira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Kabwe Zuberi Zitto, Mb&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;DSM, 16 Januari 2012.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7194878716254949130?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7194878716254949130/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7194878716254949130' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7194878716254949130'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7194878716254949130'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/zitto-kabwe-akataa-kumlilia-regia-mtema.html' title='Zitto kabwe akataa kumlilia Regia Mtema... soma sababu zake hapa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-5N0LO5K3dGY/TxU3FGPPUkI/AAAAAAAAPVE/Tyq9CNzEZDk/s72-c/zitto.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6900968129797886429</id><published>2012-01-17T08:21:00.002+03:00</published><updated>2012-01-17T08:45:08.050+03:00</updated><title type='text'>Toni Braxton yuko hospitali anaumwa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-xaUHzV4y3Hg/TxUK3izukzI/AAAAAAAAPU4/Z1yLn4Gq8FM/s1600/toni_braxton2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 227px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-xaUHzV4y3Hg/TxUK3izukzI/AAAAAAAAPU4/Z1yLn4Gq8FM/s320/toni_braxton2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698472852860080946" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mwimbaji Toni Braxton ambaye kwa hivi akribuni ametamba na vibao vyake kama“Un-Break My Heart”, “You’re Makin’ Me High”, “He Wasn’t Man Enough” na “Breathe Again”  yupo hospitalini akikabiliwa na maradhi ambayo wazungu wanasema yanasababishwa na systemic lupus (SLE).&lt;br /&gt;Mambo hayo husababisha kinga za mwilini za kujihami kuparaganyika na kuleta matata kama kwenye ngozi, joints, kidneys, ubongo, nakadhalika.&lt;br /&gt;Dalili hutofautiana japo ugonjw ahuu hushambulia zaidi wanawake hasa wale waliokatika kipindi cha uzazi.&lt;br /&gt;Mwimbaji huyo wa kimarekani aliyezaliwa Severn, Maryland  Oktoba 7, 1967 na kupewa jina la Toni Michelle Braxton-Lewis ambaye pia ni mwigizaji na mtunga mashairi amesema katika twita kuwa hali yakje inaendelea vyema.&lt;br /&gt;Alisema mwenyewe kwamba anakabiliwa na Systemic Lupus Erythematosus (SLE) ugonjwa ambao unadhuru mwili kwa kushambulia seli zake tishu na organs.&lt;br /&gt;Hii si mara ya kwanza kwa Toni Braxton kukumbwa na tatizo la afya yake.&lt;br /&gt;Mwaka 2008, alilazimika kukatisha maonesho yake huko Las Vegas bada ya kupata matibabu kwa ajili ya pericarditis, a viral inflammation of the heart.&lt;br /&gt;Baadaye mwaka huo huo alifanya upasuaji wa kuondoa kansa katika titi lake muda mfupi tu baada ya kushiriki American version of Strictly Come Dancing.&lt;br /&gt;Toni Braxton ambaye anajulikana sana uingeza kwa nyimbo zake za Un-Break My Heart, He Wasn't Man Enough na kolabo yake ya Yesterday akiwa na mwimbaji wa R and B Trey Songz.&lt;br /&gt;Aliachia albamu yake ya 10, Pulse mwkaa jana. Albamu hiyo ilifikia nafasi ya 28 katika UK album chart.&lt;br /&gt;Alianza muziki wake kama  mwimbaji katika kundi la wadada wanne wa  R&amp;B ,The Braxtons.&lt;br /&gt;Braxton alitanga hadharani kuwa na lupus  Novemba 2010.&lt;br /&gt;Lady Gaga, ambaye pia naye anakabiliwa na tatizo la lupus alimwandikia ujumbe Toni wa kumtakia nguvu huku akimwambia kama mwanamke ambaye familia yake imeathirika na Lupus anafahamu mateso anayokabiliana nayo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6900968129797886429?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6900968129797886429/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6900968129797886429' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6900968129797886429'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6900968129797886429'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/toni-braxton-yuko-hospitali-anaumwa.html' title='Toni Braxton yuko hospitali anaumwa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-xaUHzV4y3Hg/TxUK3izukzI/AAAAAAAAPU4/Z1yLn4Gq8FM/s72-c/toni_braxton2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2064686876374407118</id><published>2012-01-17T07:44:00.001+03:00</published><updated>2012-01-17T07:47:10.424+03:00</updated><title type='text'>Dawa feki za maleria feki</title><content type='html'>MAMILIONI ya watu hasa wanaokaa katika maeneo yaliyoathirika sana na ugonjwa wa maleria wapo katika hatari ya kuonja mauti bila lazima kutokana na kukithiri kwa dawa feki za maleria mtaani.&lt;br /&gt;Wataalamu wamesema hali ilivyo kwa sasa hasa bara la Afrika ni tishio kubwa.&lt;br /&gt;Maleria inaaminika inaua watu 800,000 kwa mwaka.&lt;br /&gt;Imeelezwa kuwa dawa feki na zile zisizokuwa na viwango zinatishia juhudi za kudhibiti vifo vinavyotokana na maleria katika bara la Afrika.&lt;br /&gt;Dawa hizo feki zimeelezwa kuchochea malaria sugu zinatengeneza usugu ambao ni hatari kwa watu.Baadhi ya dawa hizo zinaaminika kutokea China.&lt;br /&gt;The counterfeit medicines could harm patients and promote drug resistance among malaria parasites, warns the study, funded by the Wellcome Trust.&lt;br /&gt;Malaria is believed to kill about 800,000 people a year.&lt;br /&gt;Some of the fake tablets are said to have originated in China.&lt;br /&gt;The researchers, from the Wellcome Trust-Mahosot Hospital-Oxford University Tropical Medicine Research Collaboration, published their work in the Malaria Journal.&lt;br /&gt;They examined fake and substandard anti-malarial drugs that were found on sale in 11 African countries between 2002 and 2010.&lt;br /&gt;They discovered that some counterfeits contained a mixture of the wrong pharmaceutical ingredients which would initially alleviate the symptoms of malaria but would not cure it.&lt;br /&gt;Some of the ingredients in the tablets could cause potentially serious side effects, the study found, especially if they were mixed with other drugs a patient might be taking, like anti-retrovirals to treat HIV.&lt;br /&gt;Drug resistance &lt;br /&gt;The malaria parasite can, after a period of time, develop resistance to the drugs being used to treat it.&lt;br /&gt;This has happened in the past with medicines such as chloroquine and mefloquine.&lt;br /&gt;The researchers warn that the fake drugs could lead to the same effect on artemisinin, one of the most effective drugs now being used to treat malaria.&lt;br /&gt;They say small quantities of artemisinin derivatives are being put in some of the counterfeit products to ensure that they pass authenticity tests.&lt;br /&gt;However, at the level it is present, these drugs are unlikely to rid the body of malaria parasites, but could enable them to build up resistance to artemisinin, the study warns.&lt;br /&gt;The Asian origin of the fake drugs was identified using traces of pollen found in some of the tablets.&lt;br /&gt;The lead researcher on the study, Dr Paul Newton, called for urgent measures from African governments to tackle counterfeit anti-malarials.&lt;br /&gt;"Failure to take action will put at risk the lives of millions of people, particularly children and pregnant women," he said.&lt;br /&gt;"The enormous investment in the development, evaluation and deployment of anti-malarials is wasted if the medicines that patients actually take are, due to criminality or carelessness, of poor quality and do not cure."&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2064686876374407118?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2064686876374407118/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2064686876374407118' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2064686876374407118'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2064686876374407118'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/dawa-feki-za-maleria-feki.html' title='Dawa feki za maleria feki'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5755331153510256409</id><published>2012-01-17T06:38:00.003+03:00</published><updated>2012-01-17T06:40:29.465+03:00</updated><title type='text'>RAIS KUANGALIA NGOMA YA LIZOMBE</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-dRtGu2rJp7Q/TxTtj8n5OnI/AAAAAAAAPUs/XAStS5KFwdY/s1600/RAIS%2BKUANGALIA%2BNGOMA%2BYA%2BLIZOMBE-2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-dRtGu2rJp7Q/TxTtj8n5OnI/AAAAAAAAPUs/XAStS5KFwdY/s320/RAIS%2BKUANGALIA%2BNGOMA%2BYA%2BLIZOMBE-2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698440630355180146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Kikwete, ( mwenye suti nyeusi) akiangalia ngoma ya lizombe&lt;br /&gt;inayochezwa na watu wa kabila la Wangoni wa Mkoa Ruvuma kutoka Kikundi cha&lt;br /&gt;Sanaa cha Dira cha Manispaa ya Morogoro, kabla ya kufungua Jengo la Ofisi&lt;br /&gt;ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali, Tawi la Morogoro jana ,mjini&lt;br /&gt;hapa ( mwenye kushika makaratasi)  ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za&lt;br /&gt;Serikali ( CAG) Ludovick Utouh na ( kulia ) na anayefuatia mwenye kuvaa tai&lt;br /&gt;ni  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera.&lt;br /&gt;Source: John Nditi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5755331153510256409?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5755331153510256409/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5755331153510256409' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5755331153510256409'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5755331153510256409'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/rais-kuangalia-ngoma-ya-lizombe.html' title='RAIS KUANGALIA NGOMA YA LIZOMBE'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-dRtGu2rJp7Q/TxTtj8n5OnI/AAAAAAAAPUs/XAStS5KFwdY/s72-c/RAIS%2BKUANGALIA%2BNGOMA%2BYA%2BLIZOMBE-2.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6513448607969013695</id><published>2012-01-16T19:59:00.003+03:00</published><updated>2012-01-16T20:10:52.141+03:00</updated><title type='text'>Askofu ataka tusihuzunike kwa kifo cha Regia</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-ofEMvHZn9ho/TxRYSmFX2FI/AAAAAAAAPUc/N7cIbP5riI8/s1600/libena.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-ofEMvHZn9ho/TxRYSmFX2FI/AAAAAAAAPUc/N7cIbP5riI8/s320/libena.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698276505014491218" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mhashamu askofu wa jimbo jipya la Ifakara akifukiza ubani katika jeneza lililobeba mwili wa Regia&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Askofu wa Jimbo jipya la kanisa katoliki la Ifakara,Salitarus Libena ambaye aliongoza misa ya wafu ya Regia Mtema aliyefariki kwa ajli wiki iliyopita amewataka aliwataka waumini kutosikitikia kifo hicho na badala yake wajiandae wao wenyewe.&lt;br /&gt;Askofu alisema hayo kukumbusha ni kwa namna gani kifo hakina hodi.&lt;br /&gt;Regia alikufa kwa ajali ya gari alilokuwa akiendesha katika eneo la Ruvu, mkoani Pwani akitokea nyumbani kwake Mbezi-Makabe, Dar es Salaam kuelekea eneo la Vigwaza shambani akiwa na watu wengine saba garini akiwemo mama yake mlezi, Bernadeta Mtema.&lt;br /&gt;Taarifa za polisi mkoani Pwani zinadai kuwa alilipita lori na kukutana na lori jingine uso kwa uso ndipo alipojaribu kurudi upande wake na kukosa uelekeo na kupinduka, alifariki papo hapo.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-E1pighloAXg/TxRYRkTxdFI/AAAAAAAAPT4/FkIfSdYL9-w/s1600/REGIA%2BMTEMA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-E1pighloAXg/TxRYRkTxdFI/AAAAAAAAPT4/FkIfSdYL9-w/s320/REGIA%2BMTEMA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698276487358149714" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mtema alisoma elimu ya msingi kati ya mwaka 1989 na 1995. Alijiunga na Shule ya Sekondari Forodhani, Dar es Salaam mwaka 1996 na kuhitimu kidato cha nne mwaka 1999. Kidato cha sita alihitimu mwaka 2002 katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Machame iliyopo mkoani Kilimanjaro.&lt;br /&gt;Mwaka 2003 hadi 2006 alisoma Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na kupata Shahada ya Maarifa ya nyumbani na Lishe na baada ya kuhitimu alifanya kazi katika taasisi mbalimbali kabla ya kujiunga na Chadema alikofanya kazi mbalimbali ikiwemo kuteuliwa kuwa Ofisa Mwandamizi katika Kurugenzi ya Vijana ya chama hicho.&lt;br /&gt;Baadaye aliteuliwa kuwa Ofisa Mwandamizi katika Kurugenzi ya Mafunzo ya Chadema kabla ya kuingia katika kinyang’anyiro cha kuwania Jimbo la Kilombero kwa tiketi ya chama hicho. Aliposhindwa jimboni katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, aliteuliwa na chama chake kuwa Mbunge wa Viti Maalum mwaka huo huo.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-0D_D7qwUATM/TxRYRzhm05I/AAAAAAAAPUE/h0GlqtA5Wqs/s1600/REGIA%2BMTEMA-2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-0D_D7qwUATM/TxRYRzhm05I/AAAAAAAAPUE/h0GlqtA5Wqs/s320/REGIA%2BMTEMA-2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698276491442705298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza katika ibada ya kumuaga Regia leo alasiri katika Kanisa Katoliki la Segerea, Baba wa marehemu, Estelatus Mtema alisema mwanaye hakupenda kuonekana mlemavu.&lt;br /&gt;Alisema mwanaye alipenda kufanya kila kitu sawa na mtu asiye na ulemavu.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Mtema, marafiki wa Regia walimfanyia vipimo kwa ajili ya kupatiwa mguu wa bandia na kuvipeleka Hospitali ya Taifa Muhimbili.&lt;br /&gt;Hata hivyo, urasimu wa kupata kiungo hicho kwa mujibu wa Mtema, ulisababisha Regia kukataa kuwekewa kiungo cha bandia na kumtaka baba yake aachane na mpango wa kumpatia mguu wa bandia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-XCZxIkeMsCI/TxRYSe5emMI/AAAAAAAAPUM/zbWikw0s4bA/s1600/REGIA%2BMTEMA-3.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-XCZxIkeMsCI/TxRYSe5emMI/AAAAAAAAPUM/zbWikw0s4bA/s320/REGIA%2BMTEMA-3.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698276503085553858" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6513448607969013695?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6513448607969013695/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6513448607969013695' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6513448607969013695'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6513448607969013695'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/askofu-ataka-tusihuzunike-kwa-kifo-cha.html' title='Askofu ataka tusihuzunike kwa kifo cha Regia'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-ofEMvHZn9ho/TxRYSmFX2FI/AAAAAAAAPUc/N7cIbP5riI8/s72-c/libena.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1163201221383047548</id><published>2012-01-16T19:43:00.002+03:00</published><updated>2012-01-16T19:47:01.494+03:00</updated><title type='text'>Jki ataka fedha ziwanenepeshe watanzania si watu binafsi</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-QvmI01awLs0/TxRUbc3FtwI/AAAAAAAAPTs/adAKCRpGsTI/s1600/u1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-QvmI01awLs0/TxRUbc3FtwI/AAAAAAAAPTs/adAKCRpGsTI/s320/u1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698272259110975234" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt; &lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Rais Jakaya Kikwete akizindua jengo jipya la Ofisi za Mdhibiti na&lt;br /&gt;Mkaguzi Mkuu wa Serikali la Mkoa wa Morogoro mjini Morogoro leo January 17,&lt;br /&gt;2012. Nyuma yake ni   Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali Bw Ludovick&lt;br /&gt;Utouh na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Joel Bendera&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa wajibu mkubwa wa Serikali kwa sasa ni kuhakikisha kuwa fedha za umma zinawanenepesha wananchi wa Tanzania badala ya kunenepesha maofisa wachache wa umma.&lt;br /&gt;Rais Kikwete pia amesema kuwa siyo yeye binafsi ama Serikali yake itajaribu kuingilia kazi na majukumu ya NAO kwa sababu wajibu na majukumu ya Ofisi hiyo yanatokana moja kwa moja kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.&lt;br /&gt;Aidha, Rais Kikwete ameiambia Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (NAO) kuwa vita kubwa ya ofisi hiyo iwe ni kuthibitisha uaminifu wa viongozi wa umma katika matumizi ya fedha za umma.&lt;br /&gt;Rais Kikwete ameyasema hayo leo, Jumatatu, Januari 16, 2012 wakati alipozindua rasmi jengo jipya la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali, Mkoa wa Morogoro, katika shughuli iliyohudhuriwa na mamia ya wakazi wa Manispaa ya Morogoro.&lt;br /&gt;Akizungumza kabla ya hajafungua jengo hilo lililojengwa kwa gharama ya sh. 1,160, 580, 210.80, Rais Kikwete amesema kuwa wajibu wa Serikali na vyombo vyake ni kuhakikisha kuwa fedha ya umma zinawanufaisha na kuwanenepesha wananchi wa Tanzania badala ya kunufaisha na kunenepesha watumishi wachache wa umma kwa njia ya wizi na udanganyifu.&lt;br /&gt;“Kama ofisa wa Serikali ni mwizi ama anachezea mali ya umma kwa kuiba pelekeni habari zake moja kwa moja kwa Taasisi ya Kudhibithi na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) bila kukawia ili ashughulikiwe,” Rais Kikwete amesema huku akishangiliwa na mamia ya wananchi waliohudhuria sherehe hiyo ya uzinduaji wa jengo hilo.&lt;br /&gt;Rais Kikwete amesifia kazi inayofanywa na NAO lakini akaongeza kuwa vita kubwa ya ofisi hiyo ni kuthibitisha uaminifu wa watumishi wa umma.&lt;br /&gt; “Hili tulitie mkazo zaidi kwa sababu sasa watu wamekuwa na uhodari mkubwa wa kuandika vitabu lakini ukienda kufanya ukaguzi daraja halipo, darasa halipo, lakini vitabu vimeandikwa kwa uhodari mkubwa sana.”&lt;br /&gt;Rais Kikwete pia amerudia ahadi yake kwa NAO kwamba siyo yeye ama Serikali wataingilia kazi na wajibu wa Ofisi yake. “Sisi hatutawaingilia kamwe katika utendaji wenu wa kazi. Kama taarifa ya ukaguzi inaonyesha upungufu basi ina upungufu huo hautaboreshwa kwa Serikali kuingilia kazi ya NAO. Msipate woga, msitishwe na yoyote. Na kama mimi sitawaingilia nani huyo atakuwa na mamlaka na madaraka ya kuwaingilia.”&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1163201221383047548?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1163201221383047548/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1163201221383047548' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1163201221383047548'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1163201221383047548'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/jki-ataka-fedha-ziwanenepeshe.html' title='Jki ataka fedha ziwanenepeshe watanzania si watu binafsi'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-QvmI01awLs0/TxRUbc3FtwI/AAAAAAAAPTs/adAKCRpGsTI/s72-c/u1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3531903374307629594</id><published>2012-01-16T17:16:00.002+03:00</published><updated>2012-01-16T17:23:21.670+03:00</updated><title type='text'>MAFUNZO YA UKOCHA WA UBONDIA  KIBAHA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-UF_79rlSmk0/TxQx9mwu6OI/AAAAAAAAPTU/J04alxb1TTI/s1600/diof%2Bsuper.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-UF_79rlSmk0/TxQx9mwu6OI/AAAAAAAAPTU/J04alxb1TTI/s320/diof%2Bsuper.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698234362977249506" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kocha wa Mchezo wa Ngumi Rajabu (Super D) kulia akibadilishana mawazo na mkufunzi wa makocha wa Masumbwi wa kimataifa Josef Diouf kutoka Shirikisho la Dunia la mchezo wa ngumi (AIBA)  katikati ni Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-h06TtpvDQ_s/TxQx91iM9sI/AAAAAAAAPTg/DhkK0oplwMI/s1600/darasa.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-h06TtpvDQ_s/TxQx91iM9sI/AAAAAAAAPTg/DhkK0oplwMI/s320/darasa.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698234366942836418" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya makocha mbalimbali kutoka mikoa ya TAnzania Bara wakiwa katika kozi hiyo iliyoanza kibaha leo&lt;br /&gt;SOURCE &lt;br /&gt;www.superdboxingcoach.blogspot.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3531903374307629594?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3531903374307629594/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3531903374307629594' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3531903374307629594'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3531903374307629594'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/mafunzo-ya-ukocha-wa-ubondia-kibaha.html' title='MAFUNZO YA UKOCHA WA UBONDIA  KIBAHA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-UF_79rlSmk0/TxQx9mwu6OI/AAAAAAAAPTU/J04alxb1TTI/s72-c/diof%2Bsuper.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5559808411261853608</id><published>2012-01-16T17:02:00.003+03:00</published><updated>2012-01-16T18:21:18.012+03:00</updated><title type='text'>Kanisa katoliki Tanzania lapata jimbo jipya.. askofu wake ni Libena</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-QQ-UmD0HZTg/TxQxNy0GYcI/AAAAAAAAPTI/GuC_Yimj9rk/s1600/LIBENA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-QQ-UmD0HZTg/TxQxNy0GYcI/AAAAAAAAPTI/GuC_Yimj9rk/s320/LIBENA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5698233541578875330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;KANISA KATOLIKI nchini limepata jimbo jipya, jimbo hilo ni la Ifakara.&lt;br /&gt;Taarifa ya Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican, yamesema kwamba maamuzi hayo yamefanywa na kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Benedect XVI.&lt;br /&gt;Jimbo hilo litakuwa chini ya Jimbo Kuu la Dar es salaam katika mfumo wa uendeshaji wa kanisa hilo.&lt;br /&gt;Aidha Papa amemteua askofu msaidizi wa jimbo kuu la Dar es salaam Salutaris Melchior Libena kuwa Askofu wa jimbo hilo jipya ambalo limeanzishwa kwa kumegwa kwa jimbo la Mahenge.&lt;br /&gt;Jimbo jipya la Ifakara lipo katika wilaya ya Kilombero na kaskazini inapakana na jimbo la Mahenge na Mashariki inapakana na jimbo la Morogoro huku kusini inapakana na jimbo kuu la Songea na  jimbo la Njombe.&lt;br /&gt;Kanisa la Mtakatifu Patrick ndilo linakuwa kanisa la kiaskofu yaani kathederali.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5559808411261853608?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5559808411261853608/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5559808411261853608' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5559808411261853608'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5559808411261853608'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/01/kanisa-katoliki-tanzania-lapata-jimbo.html' title='Kanisa katoliki Tanzania lapata jimbo jipya.. askofu wake ni Libena'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-QQ-UmD0HZTg/TxQxNy0GYcI/AAAAAAAAPTI/GuC_Yimj9rk/s72-c/LIBENA.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry></feed>
