Kitabu cha Maida chazinduliwa kwa serikali kutaka ujasirimali

Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega akiteta jambo na mtunzi wa kitabu Maida Waziri Na Mwandishi wetu WATANZANIA wametakiwa ...

Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega akiteta jambo na mtunzi wa kitabu Maida Waziri
Na Mwandishi wetu

WATANZANIA wametakiwa kuwa na msukumo wa kuthubutu kuanzisha shughuli za ujasiriamali ambazo zitakua na kuleta tija kwake yeye  mwenyewe na kwa taifa kwa ujumla.
 Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama katika hotuba iliyowasilishwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega katika hafla ya uzinduzi wa kitabu cha ujasiriamali mwishoni mwa wiki. 
Mkuu wa itifaki Aman Christopher akiwaongoza Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulege (katikati) na mtunzi wa kitabu Maida Waziri

Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega akisalimiana na mtunzi wa kitabu Maida Waziri katika Red Carpet

Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulege akiongozana na Maida na waziri na waalikwa wengine wanazuoni Dk Goodluck Urasa (kulia),Godfrey Sembeye na Kaimu Rais wa TCCIA Octavian Mshiu (kushoto) wakiiingia ukumbini tayari kwa uzinduzi 

Alisema Serikali inahimiza watu kutumia fursa zilizopo nchini ambazo ni nyingi, kufanya ujasiriamali ili kukuza na kuuendeleza uchumi ambao unahitaji viwanda vidogo vya kati na vikubwa. 
Akizungumza kabla ya kuzindua kitabu cha Sauti ya Mjasiriamali: Kesho yako ni uthubutu kilichoandikwa na Mjasiriamali mmliki wa kampuni ya ujenzi ya Ibra Contractors, Naibu waziri Ulega alisema historia ya Maida kama ilivyoelezwa katika kitabu inaweka bayana kwamba wananchi wakithubutu wataweza kuibadili Tanzania kuwa ya viwanda. 
Naibu Waziri akiwa katika meza


Wageni wakiwa katika ukumbi wakifuatilia yanayojiri

“Tumeona kupitia wasomi, video iliyooneshwa hapa na hata katika majadiliamoya wanazuoni hakuna njia rahisi ya kufikia mafanikio bali ni kule kuthubutu kuanzisha kitu hata kama huna mtaji “ alisema. 
Alitaka wananchi kuondokana na uwoga na kutumia raslimali zilizopo kujipambanua na kuupiga vita umaskini.
“ Ukisoma maandishi yake utabaini kwamba wote tunaweza kuwa wajasiriamali kinachotukwamisha ni uwoga wetu wa kuthubutu kama mwenzetu Maida alivyofanya kuanzia kuuza mitumba,kumiliki boti za uvuvi, kuuza maziwa hadi kuwa mkandarasi mwenye sifa hapa nchini “ alisema Ulega. 
Alisema kwa kuwa ujasiriamali ni chanzo kikuu cha bidhaa na huduma mbalimbali wananchi wanaweza kuufahamu ukweli wa kusonga mbekle kwa kupata maarifa kutoka kwenye kitabu hicho ambacho kinahimiza ujasiriamali endelevu. 

Abbysolo akiwa katika hafla akitumbuiza akili ya fedha

Naibu Waziri akiteta jambo  na Maida



Kitabu hicho chenye sura 12 kina historia kimegawanyika awamu tatu ya kwanza ikiwa ni wasifu wa Maida waziri, pili mapambano yake ya kujijenga kijasiriamali na tatu kanuni na tabia za mijasirimali. 
Naibu Waziri Ulega pamoja na kumpongeza Maida Waziri kushirikisha Watanzania maisha yake kupitia kitabu ili kila anayemwangalia aweze naye kufanya ujasiriamali na kujipatia mbinu na weledi kutoka katika kitabu hicho, atafikisha hoja kwa wenzake kuona namna bora ya kufikisha kitabu hicho kwa wanafunzi ili waelewe ujasiriamali kutoka wakiwa wadogo. 
Katika hafla ya uzinduzi wa kitabu hicho, wanazuoni walipata nafasi ya kukijadili kitabu kwa njia ya mdahalo na washiriki kupata nafasi ya kuuliza maswali. 
Dk Donath Olomi akizungumza

Akizungumzia fikira muhimu za kitabu Dk Donath Olomi kutoka taasisi ya IMED alisema kwamba amekuwa mwalimu wa ujasiriamali kwa miaka zaidi ya 30 na katika muda wote huo hajawahi kupata kusoma kitabu chenye uhalisia kama cha Maida waziri  kuhusu ujasirimali. 
Alisema Maida Waziri ameonesha njia ya kwamba katika ujasiriamali unaanza na kile kinachowezekana kama yeye alivyoanza na sh Elfu kumi kununulia mitumba na sasa anamiliki kampuni tano ikiwamo ya ukandarasi ya Ibra Contractors. 
Alisema kutokana na kitabu hicho taifa linatakiwa kuona umuhimu wa kuanza kufundisha ujasiriamali katika shule ili kuongeza ufahamu na mbinu za kuushiriki. 
“Maida amekuwa mwalimu, mtafiti na mshauri mkubwa katika tasnia ya ujasiriamali kupitia kitabu chake akitoa mchango mkubwa katika ajenda ya kujenga ujasirimali nchini “ alisema Dk Olomi. 
Dk Goodluck Urasa akizungumza

Naye Dk Goodluck Urassa kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam  alimsifu Maida kwa kuandika kitabu hicho ambacho kina nguvu kubwa kutokana na kuelezea maisha yake na jinsi alivyothubutu katika ujasiriamali. 
“Vitabu vinaandikwa vya namna mbili. Moja kinaandikwa maisha ya watu wengine kupitia utafiti na kusoma na mbili ni kuandika kitabu kueleza maisha yanayokugusa. Hii aina ya pili ina nguvu kubwa na dada Maida  ameweza” alisema Dk Goodluck. 
Mtaalamu huyo alisema kitabu kimeeleza na kuonesha kwamba hakuna njia ya mkato katika kukabvili umaskini na kufanya ujasirimali bali ni kuthubutu na kuchukua hatua. 
Aidha Dk Goodluck alitaka wazazi kuanza kutambua umuhimu wa malezi kwani yanachangia mtu kuwa mbunifu. 
“Unashangaa mtoto mkubwa katika nyumba hajui wapi alipoweka begi lake la shule dada anaagizwa amtafutie” alisema Dk Goodluck ambaye alisema tabia hiyo inachochea uvivu na udumavu wa maamuzi. 
Maida Waziri akizungumza


Naibu Waziri Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega akiangalia kitabu baada ya kukizindua

Tabasamu baada ya kazi nzito kitabu kikioneshwa kwa washiriki wa hafla

Naye mtunzi wa Sauti ya Mjasiriamali: Kesho Yako Ni Uthubutu, Maida Waziri amewataka watanzania  kuchota maarifa na weledi kutoka kwenye kitabu hicho ambacho kimeelezea historia ya maisha yake na jinsi alivyopambana katika ujasiriamali. 
Aidha alisema katika kitabu hicho ameeleza sifa za mjasiriamali na kanuni anazostahili kuzifuata ili kuwa na mafanikio. 

Naye Mhariri mzalishaji wa magazeti ya serikali Beda Msimbe ambaye alipitia kitabu hicho aliwataka wale wanaopenda kuupiga vita umaskini kuhakikisha kwamba wanakisoma kwa kuwa kimejaa maarifa na kutia moyo.

Kitabu hicho kinapatikana kupitia www.maidawaziri.com
mwisho

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,301,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,23,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Kitabu cha Maida chazinduliwa kwa serikali kutaka ujasirimali
Kitabu cha Maida chazinduliwa kwa serikali kutaka ujasirimali
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcJcPjJPKC60waBHRyXAx3ypFh3i-hDsHeWTlhpcmIbSQZTqOYFrsIE_hyphenhyphen9bWmcXN4fIlGEfayGkfiUyI5e8jespRdsyP0k7zcZCilokjcylWUP-4uhpQdZ-y0Y48Ffhj_1VZPGtJ7Ivv2/s320/IMG_7775.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcJcPjJPKC60waBHRyXAx3ypFh3i-hDsHeWTlhpcmIbSQZTqOYFrsIE_hyphenhyphen9bWmcXN4fIlGEfayGkfiUyI5e8jespRdsyP0k7zcZCilokjcylWUP-4uhpQdZ-y0Y48Ffhj_1VZPGtJ7Ivv2/s72-c/IMG_7775.JPG
Lukwangule Entertainment
https://lukwangule.blogspot.com/2018/10/kitabu-cha-maida-chazinduliwa-kwa.html
https://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2018/10/kitabu-cha-maida-chazinduliwa-kwa.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy