Filamu ya Gauni la Harusi

GAUNI LA HARUSI: Kiukweli unapoumizwa kimapenzi,                      lazima kizunguzungu chake kikukumbe KUNA wakati una...



GAUNI LA HARUSI: Kiukweli unapoumizwa kimapenzi,
                     lazima kizunguzungu chake kikukumbe


KUNA wakati unapotaka kuwa mkweli unakuwa na shida na unapolazimika kutumia njia nyingine kuwasilisha mambo yako ambayo unadhani kwamba lazima mwenzako ajue unazama zaidi na kuharibu mambo.
Hayo ndiyo yaliyotukia katika sinema hii ambayo kimsingi inataka kuwashawishi watu kuwa waangalifu katika maelezo na maamuzi yao.
Pamoja na nusu ya sinema kuonesha uchizi unaomkuta mtu baada ya maamuzi mabaya dhidi yake katika mapenzi, waigizaji waliweza kuchukua nafasi ya kutenda vyema japo uchukuaji picha unaweza kuwa na walakini.
Naam, ni filamu ambayo inaanza na dhiki kubwa na kumalizwa na dhiki hiyo hiyo kama vile mhusika wake amepigwa laana.
Katika sinema hii kijana Dick anatimuliwa katika kazi yake kiwanda cha matofali kwa dai la kuwa yeye ni mwizi japokuwa alisaidia kuimarika kwa kiwanda hicho tangu awali. Kosa lake kubwa unaweza kusema ni kuwawezesha jamaa zake kuajiriwa hapo na hao hao wakamtengenezea fitna iliyomtoa kazini.
Baada ya kutoka kazini akabaki nyumbani hoi kiakili, atafanya nini wakati maisha ni mabaya akiwa na mdogo anayemtegemea achange karata ili aweze kuendelea na shule? Baba naye uwezo hana.
Rafiki yake Emma anamtuliza kwamba yeye ni mwanaume na anaweza kupata kazi.Anaenda kwa rafiki yake wa kike pia anamliwaza. Kijana anaendelea kutafuta kazi lakini ndiyo hivyo tena!
Akiwa bado hana kazi, rafiki yake wa kike anamwambia anahitaji gauni la harusi kwa ajili ya harusi ya mdogo wake. Jamaa anasema hawezi, lakini anashawishika na anakubalika na jamaa anahaha mitaani kutafuta fedha za gauni la harusi ili mpenziwe akamsimamie vyema mdogo wake.
Siku ya harusi mchiriku unapigwa, tahamaki anayeolewa ni mchuchu wake jamaa anaanguka na kuzimia. Anapoamka akili imepata taharuki haamini akaishia kuwa nusu mwehu nusu mwenye akili.
Anakuwa mvuta bangi, anajidunga anapora, system nzima inakuwa imevurugika na  mwishoni mwa siku anakuwa mtu anayehitaji msaada zaidi.
Baba anchanganyikiwa, mdogo mtu anachanganyikiwa na habari zinapomfikia mhusika na tibutibu hilo anajikuta akiwaza afanye nini. Anakuja kubaini kwamba ameharibu, amelikoroga na hawezi kulinywa baada ya juhudi ya kutaka kulinywa kikombe kupasuliwa na baba yake Dick aliyewatoa baruti yeye na rafiki yake kwa panga.
Kule alikoenda kuolewa mwali Yule, mambo hayakuwa mambo, jamaa alikuwa kipanga na alikuwa ana wapanga wanawake kama vile mashati katika maduka.
Mume hakuwa mume, alikuwa kumbe analipiza kisasi kwa wanawake kwa kujikuta anaukimwi.  Binti alipogundua kwamba kumbe naye kaachwa na ukimwi anahaha lakini mwishoni mwa siku anarejea nyumbani anaandika barua kwa mpenzi wake wa zamani, teja na kumtaka radhi kwa kuvuruga penzi halisi.
Anamwachia nyumba na kila kitu ambacho alitakiwa kukimiliki baada ya mume yule kuondoka kwenda kuendeleza libeneke lake kwingine huku akimwachia hati ya nyumba na kila kitu.
Kabla hajaondoka jamaa alimwambia alifanya hivyo na ataendelea kufanya hivyo kwa kila mwanamke atakayejipendekeza kutaka hela kwake kama sehemu ya maisha yake yaliyobaki.
Sinema hii inamalizika bila kuonesha suluhu ya dhiki, ni kwa teja Yule kusema neno la mshangao.
Je ujumbe  umefika? Ujumbe gani? Ujumbe wa moyo ukipasuka unakuwa na matatizo? Yes kwani wa kuutibu ni Yule Yule aliyeupasua. La msingi ni kuwa maamuzi yetu yasiwe na pupa na lazima tuone nini kitatokea baada ya maamuzi na kuona kama matokeo hayo ndiyo tunayotaka.
Kwa maana mdada kwenye sinema hii alitaka kununuliwa gauni iwe mwisho wa mapenzi yake na Dick lakini kumbe ndio akaja kugundua kwamba Dick alimuona yeye ni kila kitu na alipovuruga nay eye akavurugika.
Maleba na muonekana wa Dick kwa sinema nzima ni wa kichizi zaidi kuliko teja, mateja wengi ni nadhifu au kwa kuwa Dick alishaanza maisha kwa dhiki? Mtengeneza sinema ndiye mwenye majibu mimi nimefanya kuandika tu kuhusu hadithi hii.
Washiriki ni Rakheem David 'Kuch Kuch(aliyekuwa anasambaza miwaya) Salma Goha ,Sadik Senya  pamoja na Mohamed Fungafunga.
mwisho

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,308,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,243,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4974,habari dodoma,19,habari. dodoma,31,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,510,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,351,muziki na fasheni,6,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,2,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Filamu ya Gauni la Harusi
Filamu ya Gauni la Harusi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMzxO_YgA1xaHAYV4xp-UwW1J5bFd9twr4rJxzNou_kpXh7QbTaUo2pjZMGtxi7KA58BZnO0gk5aGAmzX4TNCyqIr8xumEj4kbkvTrs_8Cy-kwP7W4hEGY00xtLcVa-cl6YHYsK7XKm48/s1600/Gauni+la+harusi+posta.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMzxO_YgA1xaHAYV4xp-UwW1J5bFd9twr4rJxzNou_kpXh7QbTaUo2pjZMGtxi7KA58BZnO0gk5aGAmzX4TNCyqIr8xumEj4kbkvTrs_8Cy-kwP7W4hEGY00xtLcVa-cl6YHYsK7XKm48/s72-c/Gauni+la+harusi+posta.jpg
Lukwangule Entertainment
https://lukwangule.blogspot.com/2014/10/filamu-ya-gauni-la-harusi.html
https://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2014/10/filamu-ya-gauni-la-harusi.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy