Mahindi ni zaidi ya sembe unayokula

KWA tulio wengi mahindi yanalimwa kwa ajili ya chakula. Lakini kiukweli mahindi ni mali ghafi ya kutengenezea bidhaa zaidi ya 12 bidh...



KWA tulio wengi mahindi yanalimwa kwa ajili ya chakula. Lakini kiukweli mahindi ni mali ghafi ya kutengenezea bidhaa zaidi ya 12 bidhaa ambazo zingelitengenezwa hata soko la mahindi lingekuwa kubwa sana hapa nchini.
Uwapo wa teknolojia wa kutengeneza bidhaa hizo kunafanya zao la mahindi lisiwe la chakula tu bali, la biashara kusaidia uwapo wa viwanda vingine.
Unapokuwa unajua hilo hoja ya Naibu katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Chakula na ushirika Raphael Daluti  la kuwataka wafanyabiashara wa mahindi nchini kuachana na uchuuzi na kusaidia wakulima kupata kipato zaidi kwa kuanzisha viwanda vya kutengeneza bidhaa zinazotokana na mahindi ni muhimu sana.
Kauli hiyo ambayo ilitolewa katika mahojiano na  gazeti hili hivi karibuni inataka kueleza ukweli kuwa mavuno mengi yaliyopatikana msimu uliopita,na hoja za wananchi serikali kutafuta masoko zaidi, hazina maana kama wafanyabiashara wa Tanzania wangeachana na tabia za kichuuzi na kuanza kuwekeza nguvu katika kutengeneza bidhaa zinazotokana na mahindi.
Kuyumba kwa soko la mahindi kunatokana na wakulima kutegemea uuzaji wa mahindi yao kwa wasagishaji sembe, chakula kinachokuw amaarufu sana nchini Tanzania kwa sasa.
Bidhaa ambazo zinaweza kusindikwa kutokana na mahindi ni pamoja na chakula cha wanyama kutokana na mabaki ya kukandamizwa kwa mahindi ili kutoa mafuta ya kula, mafuta ya kuendeshea mitambo na kutengeneza bidhaa muhimu kwa ajili ya utengenezaji wa siagi .
Kwa taifa lililotengeneza ziada ya tani milioni moja na zaidi ya mahindi,  ziada ya hiyo ingelimezwa kirahisi kabisa na viwanda vya kusindika bidhaa mbalimbali.
Kwa kuangalia  mwenendo wa soko na maisha  hakika wakati umefika kwa wafanyabiashara wetu kubadilika na si kusubiri serikali ili kuweka mambo sawa na kulifanya taifa hili kutegemea bidhaa za viwandani katika kutengeneza fedha za kigeni badala ya kilimo.
Jasi tunazotumia kutengeneza dari (gypsum board) katika majumba yetu kuna kiasi cha wanga maalumu unatokana na mahindi . Kitu hiki kinaitwa kitaalamu kama fabrilose maalumu.Hii fabrilose pia hutumika kiwandani kwa ajili ya mashine za spidi kali za kutoa vipimo vya nyuzi.
Wanga huu maalumu  kwa maneno mengine unatumika katika viwanda vya nyuzu na  jasi za dari.
Aidha katika mahindi kuna vimeng’enya ambavyo hutumika pia kutengeneza sirapu inayosaidia kuzuia kuharibika kwa bidhaa na pia kuwezesha shughuli za uokaji kuwa sahihi.
Ndio kusema hizi ashkrimu, uokaji mikate na bidhaa nyingine huongezwa sirapu hii ili kuweza kuwa bora zaidi.
Aidha mahindi hutoa kemikali aina ya sorbitol hutumika katika kutengeneza dawa ya kifua, dawa ya meno na vifaa vingine vya usafi, pia vipodozi, rangi na sigara.
Ndio kusema kemikali hii inatumika katika telnoknolojia ya viwanda.
Imeelezwa kuwa kemikali hiyo inauwezoa wa kuchangamana na kemikali nyingine kutengeneza  kitu kinachotakiwa kwa ajili ya kukabili pia bacteria kuliko sukari.
Aidha majimaji kutoka katika mahindi kitaalamu yanajulikana kama CSL husaidia uzalishaji wa antibayotiki mbalimbali ikiwamo penicillin na pia kutumika katika chakula cha wanyama.
Mahindi pia hutumika kutengeneza Anhydrous Dextrose IP/BP/USP  ambayo husaidia sana kwa wagonjwa wa  kuharisha na wale walipigwa na joto.
Ndio kusema kilimo cha mahindi ni muhimu kwa kuangalia namna ambavyo mahindi yanatoa bidhaa mbalimbali za msingi zaidi ya sembe tunayotumia kula.
Na maana yake siku dunia ikiacha kuzalisha mahindi kuna tatizo linaweza kuzuka katika viwanda vyua madawa na hata wale wanaotumia teknolojia ya mahindi kupata mchanganuo mbalimbali wa bidhaa.
Vyakula vingi katika mahoteli wakati mwingine husawazishwa na mahindi katika mfumo mwingine.
Mahindi pia hutengenezwa shampuu  na hutumika  kutengeneza daipa za watoto ili kuwaweka wakavu.
Ndio kusema kama tanzania , wawekezaji wakapewa elimu hii ya bidhaa mbalimbali zinazotokana na mahindi, tegemeo la mahindi katika bidhaa moja tu ya chakula kitaisha kwani pia mahindi yanaweza kutoa mafuta ya kuendeshea mitambo.



Tunastahili kujifunza mambo mengi ili kupata mwanga wa kutambua kwamba tunahitajika kubadilika katika uwekezaji na kutumia mali ghafi za kilimo kuzalisha bidhaa za viwandani zenye kipato kikubwa hali itakayofanya maisha ya wakulima,pia yabadilike.

Kwa Tanzania ambako kariobu mikoa yote inamalia mahindi ni dhahiri kwamba soko la mahindi ni tatizo lakini kama viwanda vitaanzishwa kutengeneza mahindi kwa maana ya matumizi mbalimbali uzalishaji utazidi kuongezeka na wakulima kufaidika.

Mahindi ambalo ni zao la 5 la kutegemewa nchini Tanzania kwa thamani yake kwa mwaka 2005 hadi 2010 hutoa asilimia 25 ya nishati inayotakiwa katika maisha ya watanzania walio wengi.

Pamoja na kwamba ni zao linalotumika kutengeneza usalama wa chakula ambapo wakala wa taifa wa hifadhi ya Chakula (NFRA) huyanunua na kuyahifadhio kilio cha soko bado ni kubwa kwa kuwa NFRA haikutengenezwa kimuundo kununua mahindi kwa sababu za kibiashara.

Kutokana na ukweli huo, zao la mahindi halionekani kumtoa mkulima kwa sababu hakuna mnunuzi baada ya NFRA na mahindi yanatumika zaidi kwa  ajili ya kuzalisha sembe.


COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,312,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,246,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,Habari,4988,habari dodoma,19,habari. dodoma,31,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,511,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,351,muziki na fasheni,6,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,2,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Mahindi ni zaidi ya sembe unayokula
Mahindi ni zaidi ya sembe unayokula
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMIpZql6x-T1s7Da2NJax2JZvlvJ9m5iCrIykUkMn3t_jntGfVVVNhInpFPhxX4yR2_tzlZ9kfGUhrzHCLr3PmBCg2EROCyF9AWPHM2MV1F9y4VS63jxFbzdvt7e9tzhxuIyXQCqvlFfU/s320/dawa+za+mswaki+pia+hutumia+mahindi.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMIpZql6x-T1s7Da2NJax2JZvlvJ9m5iCrIykUkMn3t_jntGfVVVNhInpFPhxX4yR2_tzlZ9kfGUhrzHCLr3PmBCg2EROCyF9AWPHM2MV1F9y4VS63jxFbzdvt7e9tzhxuIyXQCqvlFfU/s72-c/dawa+za+mswaki+pia+hutumia+mahindi.jpg
Lukwangule Entertainment
https://lukwangule.blogspot.com/2015/05/mahindi-ni-zaidi-ya-sembe-unayokula.html
https://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2015/05/mahindi-ni-zaidi-ya-sembe-unayokula.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy