SERIKALI YATAKA 'BRAND NAME' YA KITANZANIA
HomeHabari

SERIKALI YATAKA 'BRAND NAME' YA KITANZANIA

Na Beda Msimbe, BSKY Media, Kibaha SERIKALI imeagiza Kituo cha Uwekezaji Tanzania – TIC kuona muhimu mkubwa wa bidhaa zinaoztengenezwa ha...

Na Beda Msimbe, BSKY Media, Kibaha SERIKALI imeagiza Kituo cha Uwekezaji Tanzania – TIC kuona muhimu mkubwa wa bidhaa zinaoztengenezwa hapa nyumbani kubeba jina la nyumbani hata kama inatengenezwa na kampuni ya kigeni. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa wakati akizuru eneo la Kongani la viwanda la Tanzania na China, SINO TAN lilipo Kwala, Vigwaza halmashauri ya Kibaha mkoani Pwani. Alitoa agizo hilo wakati akikagua utengenezaji wa vilainishi katika kampuni ya Hengli Petrochemical. Kampuni hiyo inatengeneza vilainishi aina ya Lishuang. Msigwa alisema ni rahisi watanzania wakatambua bidhaa zinazotengenezwa hapa nyumbani zenye ubora mkubwa ambapo pia zikiwa na majina ya nyumbani zitaelekeza dunia mahali ambapo bidhaa hiyo inatengenezwa. " Tunapofanya kampeni ya tumia vya nyumbani na bidhaa zikiwa na Katika jina la kigeni tutawachanganya Watanzania na pia waliopo nje hawatajua kwamba bidhaa hizo zimetoka Tanzania" alisema Msigwa. Katibu mkuu huyo pia alimuuliza msimamiziwa Kongani hiyo kama kuna shida yoyote kutumia majina ya kitanzania kama Serengeti, akasema kwamba hakuna shida. Alisema kwa kutumia majina ya nyumbani watengenezaa bidhaa hao watajenga uaminifu na Urafiki, kwani wateja mara nyingi huamini zaidi bidhaa zinazotumia majina yanayofahamika na yanayohusiana na mazingira yao. wataalamu wanasema kwamba jina la nyumbani linaweza kuleta hisia za ukaribu na kuwafanya wateja wajisikie kama bidhaa hiyo imetengenezwa kwa ajili yao. Aidha katika soko la dunia lenye ushindani mkubwa, jina la nyumbani linaweza kusaidia bidhaa kujitofautisha na bidhaa zingine zinazofanana na pia kuimarisha Utambulisho wa Chapa na kusaidia kujenga chapa yenye nguvu na yenye ushawishi katika soko. Kongani ya viwanda ya SINO-TAN ni eneo la mradi wa kimkakati lililoko Kwala, Mkoa wa Pwani lenye ukubwa wa ekari 2,500. Aidha eneo hilo lenye mtaji wa mwekezaji wa dola za Marekani milioni 327 (sawa na shilingi Bilioni 882),mradi utakapokamilika, utakuwa na viwanda vikubwa na vya kati 200 na viwanda vidogo 300 vinavyohusiana na usindikaji wa vyakula,utengenezaji wa vifaa, viwanda vya dawa, vifaa vya ujenzi,usindikaji wa viatu na nguo na Viwanda vya kemikali. Akijibu swali katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu viwanda katika eneo hilo alisema kwamba pamoja na kwamba kwa sasa wanatengeneza bidhaa za nguo kutokana na majora yanayoletwa kutoka nje, mpangfo ni kuwepo kwa kiwanda cha kusokota nyuzi ambazo zitatumika katika kutengeneza bidhaa mbalimbali ikiwamo maduveti. Katika mkutano wake na waandishi wa habari Msemaji wa Serikali Msigwa alisema kwamba kongani hilo linatarajiwa kutoa ajira za moja kwa moja 100,000 na ajira zisizo za moja kwa moja 500,000 na litajengwa kwa awamu Tano. Aidha, ujenzi wa awamu ya kwanza ulioanza Mei, 2022 upo katika hatua za mwisho; na mpaka sasa kuna viwanda 3 ambavyo tayari vinazalisha na vingine 3 vipo katika hatua za mwisho za kufunga mitambo huku viwanda vingine 4 vikitarajiwa kuanza ufungaji wa mitambo ifikapo mwisho wa mwezi Aprili 2025. Pia alisema kweamba eneo hilo litakuwa na uwezo wa kuzalisha bidhaa zenye thamani ya dola za Marekani bilioni 6 (sawa na shilingi Trilioni 16.2) kwa mwaka na Serikali itakusanya kodi na ushuru kila mwaka kwa makadirio ya shilingi trilioni 1.2. Tayari serikali imeweka mazingira wezeshi ambapo mwekezaji anayatumia kuvutia wawekezaji wengine. Baadhi ya mambo ambayo serikali imeyafanya ni pamoja na uunganishaji wa awali wa maji kupitia mamlaka zinazohusika, kwa ajili ya matumizi ya ujenzi. Pia Serikali inaendela na mpango wa kuiunganisha kongani hii na maji ya kutosha kwa ajili ya uzalishaji viwandani, Jambo jingine ni ujenzi wa barabara za zege zinazounganisha kongani hii na Barabara ya Morogoro, kuunganisha mtandao wa nyaya za Fiber Optic (Mkongo wa Taifa), na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kumalizia kazi ya kuunganisha kongani hii na umeme wa Megawati 50.
Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,313,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,246,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,Habari,5003,habari dodoma,20,habari. dodoma,31,habaria,1,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,512,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,351,muziki na fasheni,6,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,2,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,2,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: SERIKALI YATAKA 'BRAND NAME' YA KITANZANIA
SERIKALI YATAKA 'BRAND NAME' YA KITANZANIA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1NqZlxz4ozhGVN67siwi4_gvmwtH5Z5KzbRbl5BWcyKMoGI6qwGONvKDFiRPca3HA2uu8GAs2_dtFLaHjt9AizyaoSguB-ml54IJrLkOcjtA9IdrpIO1yKnFmcZRBmNkoAuv112HQXVACAmcLyMn2GMMSEcmx8pG76TPjXPkMikv7kwMSThwsLBs9uPJC/s400/msigwa%20kiwandani%202.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1NqZlxz4ozhGVN67siwi4_gvmwtH5Z5KzbRbl5BWcyKMoGI6qwGONvKDFiRPca3HA2uu8GAs2_dtFLaHjt9AizyaoSguB-ml54IJrLkOcjtA9IdrpIO1yKnFmcZRBmNkoAuv112HQXVACAmcLyMn2GMMSEcmx8pG76TPjXPkMikv7kwMSThwsLBs9uPJC/s72-c/msigwa%20kiwandani%202.jpg
Lukwangule Entertainment
https://lukwangule.blogspot.com/2025/03/serikali-yataka-brand-name-ya-kitanzania.html
https://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2025/03/serikali-yataka-brand-name-ya-kitanzania.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy