TPDC na Energetech-Tantel washusha msasa Sekta ya Gesi!

Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), Mussa Makame,(kushoto), Mwenyekiti wa Tantel, Moshe Schlisser, (katikati) na Ofisa M...

Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), Mussa Makame,(kushoto), Mwenyekiti wa Tantel, Moshe Schlisser, (katikati) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Energetech-Tantel, Alistair Naiken wakiwa wameshikilia mikataba yao baada ya kutia saini hati ya Makubaliano jijini Dar es salaam jana. Energetech ni kampuni yenye makao makuu yake nchi za Falme za Kiarabu. (Na Mpigapicha Wetu)


Na Beda Msimbe wa BSKY Media

Kampuni ya Energetech yenye makao makuu yake Dubai, Falme za Kiarabu (UAE), kupitia kampuni yake tanzu ya Energetech-Tantel zimetiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU)na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) itakayowezesha usindikaji na usafirishaji wa gesi asilia nchini kote kwa mfumo wa kimiminika.

Utiaji saini wa tukio hilo la kihistoria, ulishuhudiwa Kamishna wa Petroli na Gesi, Wizara ya Nishati nchini Tanzania Bw. Goodluck Shirima, akiwakilisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dk. Doto Biteko.

Mradi huo, unaokadiriwa kuwa na thamani ya Dola za Marekani milioni 80–100, unatarajiwa kuanza kazi baada ya miezi 12 .Awamu ya kwanza itahusisha ujenzi wa mtambo wa LNG wa kisasa utakaobadili gesi kuwa kimiminika ili iweze kusafirishwa katika mitungi maalumu.

Kwa mujibu wa Shirima uzalishaji wa awali unakadiriwa kuwa kati ya futi za ujazo milioni 20 hadi 30 (scf) kwa siku, utatanuka kwa kadri ujenzi wa kiwanda unavyoendelea hadi kufikia zaidi ya futi za ujazo milioni 100, ili kukidhi kukidhi mahitaji ya nishati yanayokua.

Alisema kuwepo kwa SGR kutawezesha mikoa ya kati kupata gesi hiyo mapema zaidi huku nchi za Malawi na Zambia zikihitaji gesi hiyo katika migodui ambayo inatumia mafuta mazito kuzalisha nishati.

Alisema gesi hiyo ambayo itasafirishwa kama kimiminika itafikishwa kwa wateja baada ya kubadilishwa tena katika kituo chake cha mapokezi.

Aidha Shirika alisema ushirikiano wa TPDC na kampuni hiyo ni matokeo ya ubadilishaji wa sera na sheria na na maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuifanya Tanzania kama kitovu cha nishati safi.

MoU hiyo inaelekeza mpango kazi kabambe wa miaka miwili unaojumuisha tafiti , vibali muhimu, uhandisi wa kina, upatikanaji wa fedha, na hatimaye, uzalishaji wa kimiminika cha gesi( LNG).

Naye Mkurugenzi Mtendaji, TPDC Bw. Mussa Makame alisema wanamatumainij makubwa ya mradi huo kwanik mwekezaji ameonesha nia ya kutaka kuaminiwa.

"Katika TPDC, tunashabikia ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi kama huu unaotoa suluhisho kwa Watanzania," alisema Makame.

Aidha alisema kwamba mkataba huo umelenga kuwezesha nishati safi kuwafikia wananchi kwa kasi badala ya matumizi ya bomba ambapo mradi wake unakwenda polepole sana.

Gesi kwa matumizi ya na viwandani kwa sasa inapatikana kwa njia ya bomba katika mikoa minne tu ya Lindi, Mtwara, Pwani na Dar es salaam.

“Tunajivunia kushirikiana na Energetech-Tantel katika uzalishaji wa gesi kwani ni muhimu kwa mkakati wetu kuendeleza matumizi makubwa zaidi ya gesi asili nchini,"alisema Makame.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Energetech-Tantel. Bw. Alistair Naiken alisema kuwa mkataba huo sio wa ushirikiano tu bali ni ahadi ya pamoja ya kubadilisha sekta ya nishati Tanzania.

"Tunajenga suluhisho za nishati halisi ambazo zitabadilisha jamii, tukitoa gesi mahali na kwa wakati tukiipeleka inapohitajika zaidi, huku lengo kuu ni kuhakikisha Watanzania wanatumia nishati hii kwanza, hasa wateja wa viwandani, kama nishati safi ."

Rais na COO, Tantel Holdings,Bw. Daniel Gabai, akitoa maoni yake amesema: "Tanzania ni nchi yenye matumaini zaidi Afrika Mashariki. Katika Tantel Holdings, hatuwekezi tu katika uwezekano bali katika watu, tukikumbatia changamoto kubwa za miundombinu.

“Tunaamini Tanzania itakuwa nguvu inayoongoza kwa ukuaji wa kiuchumi barani Afrika katika muongo ujao, na mradi huu utakuwa mradi bora zaidi wa nishati safi barani, ukiwahudumia soko la ndani na kikanda."

"Upatikanaji wa suluhisho za nishati ni muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote," alihitimisha Bw. Moshe Schlisser, Mwenyekiti, Tantel Holdings.

Mradi huu utatoa ajira za moja kwa moja kwa maelfu ya Watanzania na kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuendesha ukuaji wa viwanda,

mwisho

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,339,burundani,2,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,251,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,habar,1,Habari,5200,habari dodoma,29,habari. dodoma,32,habaria,1,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,531,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,miochezo,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,353,muziki na fasheni,6,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,5,SAYANSI ANGA,3,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,13,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,urembo,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTALII,1,UTAMADUNI,3,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: TPDC na Energetech-Tantel washusha msasa Sekta ya Gesi!
TPDC na Energetech-Tantel washusha msasa Sekta ya Gesi!
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPfPL0L7KWzKimbiekgSFyWfspo_CVToJ__O6qb1r2scruxmiHt0qv0zyNFBIdBfpvxtmIcv-VTpxFQmdssPxvTSu-tiHeqKd85wjqduu1YsBkSAKiYM4flfc7v7nb5GgeFBoB_uKLVHHDRhwnqkO76kR83gx1y7Ifu4vj-eZQKAOqpznfAS_niWPLjzFd/s320/tpdc.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPfPL0L7KWzKimbiekgSFyWfspo_CVToJ__O6qb1r2scruxmiHt0qv0zyNFBIdBfpvxtmIcv-VTpxFQmdssPxvTSu-tiHeqKd85wjqduu1YsBkSAKiYM4flfc7v7nb5GgeFBoB_uKLVHHDRhwnqkO76kR83gx1y7Ifu4vj-eZQKAOqpznfAS_niWPLjzFd/s72-c/tpdc.jpeg
Lukwangule Entertainment
https://lukwangule.blogspot.com/2025/07/tpdc-na-energetech-tantel-washusha.html
https://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2025/07/tpdc-na-energetech-tantel-washusha.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy