INAUGURATION OF THE EXTENSION OF ULYANKULU SECONDARY SCHOOL

from left Hon. Fatma A. Mwassa (Tabora Regional Commissioner), Ms. Chansa Kapaya (Acting Representative of UNHCR) and H.E. Mr. Masak...



from left Hon. Fatma A. Mwassa (Tabora Regional Commissioner), Ms. Chansa Kapaya (Acting Representative of UNHCR) and H.E. Mr. Masaki Okada (Ambassador of Japan) in the newly-built classroom

The Regional Commissioner Honourable Ms. Fatma A. Mwassa inaugurated the extension of Ulyankulu Secondary School on Thursday 2nd of August, 2012 in Urambo District, Tabora Region. The extension project was funded by the Japanese Government through UNHCR with the aim of providing a more conducive learning environment for former Burundian refugees, now commonly referred to as Newly Naturalised Tanzanians (NNTs) and local Tanzanian students in the District.

Japanese assistance to Mpanda and Ulyankulu Districts including the extension of the Ulyankulu Secondary School was funded as a part of the country’s financial support to the UNHCR operations in Northwest Tanzania, contributing a total of 6 million USD, equivalent to around 9 billion Tanzanian Shillings, since the year 2008. The extension includes nine classrooms, two pit latrine blocks and three water reserve tanks and will bring relief to the now congested facility.

 Ulyankulu Secondary School is the only one in the settlement currently enrolling new students, while the two other secondary schools have stopped, pending a final decision from the Government on the modalities of the NNTs Local Integration. Nearly 1000 students, both NNTs and Tanzanians, will now be able to enjoy the new fully furnished classrooms.

Speaking at the inauguration ceremony, the Regional Commissioner of Tabora Region Hon. Fatma A. Mwassa expressed her gratitude to the Government of Japan and UNHCR for their commitment towards promoting the development of social services in Tabora Region. She also encouraged the NNTs to continue to be patient as the Government’s view is for them to live happily and in harmony, and she anticipates the decision will be issued soon.

Representing the students of Ulyankulu Secondary School, Alex G., a form 3 student, delivered his vote of thanks, stressing that the support to the school has given the students a conducive environment for studying. He promised that they will make use of this opportunity to study hard and strive for excellence and make sure that the buildings and furniture are going to last as anticipated.
(from left) Ms. Chansa Kapaya (Acting Representative of UNHCR) and H.E. Mr. Masaki Okada (Ambassador of Japan) and Hon. Fatma A. Mwassa (Tabora Regional Commissioner).
The UNHCR Acting Representative Ms. Chansa Kapaya in her remarks reminded the context of this inauguration. She explained that subsequent to the Government of Tanzania’s announcement in 2010 of its intention to provide citizenship to more than 162,000 Burundian refugees, donor countries, including the Government of Japan committed to providing financial support for the local integration process through UNHCR in Tabora and now Katavi region in order to pave the way and facilitate the local integration process. She further stated that providing access to education in a safe and adequate environment is a priority for UNHCR, and that counting on the ongoing support of donors in this regards is of utter importance.
On his side, the Japanese Ambassador to Tanzania H.E. Mr. Masaki Okada acknowledged the exceptional generosity of the Government of Tanzania to have granted naturalization to those former Burundian refugees, as well as the commitment by the local government and people of Tabora, who have been accommodating and supporting the Burundian population for 40 years. Moreover, touching upon the uncertain situation that the NNTs are currently facing with their reintegration plan, he expressed his wish that by tightened cooperation between the Government of Tanzania and UNHCR, and more importantly through a thorough dialogue with the NNTs, the uncertainty of their future is removed as soon as possible.
The event which took place at the Ulyankulu Secondary School was also attended by other government officials from Urambo and Kaliua Districts.

Hii ndifo hutuba ya kiswahili ya balozi wa Japan 
from left Hon. Fatma A. Mwassa (Tabora Regional Commissioner), Ms. Chansa Kapaya (Acting Representative of UNHCR) and H.E. Mr. Masaki Okada (Ambassador of Japan) in the newly-built classroom

(from left) Ms. Chansa Kapaya (Acting Representative of UNHCR) and H.E. Mr. Masaki Okada (Ambassador of Japan) and Hon. Fatma A. Mwassa (Tabora Regional Commissioner).

HOTUBA YA MHESHIMIWA MASAKI OKADA, BALOZI WA JAPANI
KATIKA SHEREHE YA UFUNGUZI WA MRADI WA UPANUZI WA MAJENGO
YA SHULE YA SEKONDARI YA ULYANKULU
YALIYOFADHILIWA NA SERIKALI YA JAPANI
TAREHE 2 AGOSTI 2012,
WILAYANI KALIUA, TABORA
Ni heshima kubwa sana kwangu mimi, kwa niaba ya Serikali naWatu wa
Japani, kupata hii nafasi leo ya kufungua majengo ambayo ni upanuzi wa shule ya
sekondari ya Ulyankulu.
Kwa miaka kadhaa nyuma, Serikali ya Japani imekuwa ikifadhili shughuli za
Shirika la UNHCR kaskazini magharibi mwa Tanzania, ikichangia jumla ya Dola za
Kimarekani milioni sita (6), ni karibu sawasawa na shilingi bilioni tisa (9) za
Kitanzania, tangu mwaka elfu mbili na nane (2008). Ufunguzi wa leo ni matokeo ya
sehemu ya mpango wa shirika hili la UNHCR ambao tumekuwa tukiufadhili.
Nimefurahi kushuhudia kuwa mradi umefanikiwa kuboresha mazingira ya
kujifunzia kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ulyankulu kwa kuongeza
madarasa mapya tisa (9) ambayo yapo mbele yetu, ambayo yatanufaisha watoto
wote kutoka kwenye makazi ya Ulyankulu na jamii zinazoizunguka.
Ninapenda kuchukua nafasi hii, nizungumzie kidogo kuhusu mwelekeo wa
baadhi ya shughuli za nchi yetu Mkoani Tabora na hasa Ulyankulu. Ubalozi wa
Japani umetekeleza mradi wa kuchimba visima Ulyankuru miaka kumi na tano (15)
iliyopita, hivi karibuni, baadhi yenu mnaweza kukumbuka kwamba mwezi Februari
mwaka elfu mbili na kumi (2010), Mtanzania aliyekuwa mkimbiaji wa mbio za
marathoni, Juma Ikangaa, wakimbiaji wawili wa mbio za Marathoni wa Kijapani, na
Kikundi cha wanafunzi wa Kijapani walitembelea Ulyankulu na kuandaa
mashindano ya mbio za marathoni pamoja na wenyeji wa hapa. Katika Mkoa wa
Tabora, Ubalozi wetu umejenga hosteli ya wasichana na zahanati katika Mkoa huu.
Mashirika mengi yasiyokuwa ya kiserikali ya Kijapani na makampini ya kibiashara
yamechangia katika Mpango wa Milenia wa Kijiji (Millennium Village Initiative)
katika Kijiji cha Milenia cha Mbola. Zaidi ya hayo, mazao ya biashara yanayolimwa
Tabora, kama vile majani ya tumbaku na mbegu za ufuta, ndiyo bidhaa kubwa
inayosafirishwa kutoka Tanzania kwenda Japani. Kwa kuongezea, hivi sasa, kuna
mradi wa uwekezaji unaoandaliwa wa utengenezaji wa vitambaa vya nguo kwa
kutumia pamba ya hapa hapa nchini. Ninatumaini kwamba, kutokana na shughuli
zote hizi za kiserikali na kibiashara, tutaweza kuchangia kuboresha hali ya maisha
katika mkoa huu.
Mabibi na Mabwana,
Ninapenda kuutambua ukarimu wa kipekee wa Serikali ya Tanzania ambayo
imewapa uraia karibu raia Watanzania wapya laki moja na sabini elfu (170,000) hali
kadhalika na kujitolea kwa serikali ya Mkoa wa Tabora na watu wake, ambao
wamekuwa wakiwapa makazi na kuwasaidia Waburundi kwa miaka arubaini (40).
Miongoni mwa mazingira ambayo raia Watanzania wapya sasa hivi
wanakumbana nayo ni mpango wa baadaye wa maisha yao. Ni matamanio yangu ya
kweli kwamba kwa kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Shirika la
UNHCR, na muhimu zaidi kwa njia ya mazungumzo na raia Watanzania wapya,
mashaka ya maisha yao ya baadaye yanaondolewa haraka iwezekanavyo. Uwazi wa
matarajio yao ya baadae, ninaamini, ndicho kitu muhimu katika kutengeneza
mazingira ya kufaa kwa wanafunzi.
Mabibi na Mabwana,
Zaidi ya hayo, ninapenda kutoa shukrani zangu kwa ukaribisho mliotupatia
hapa Ulyankulu. Nilipata nafasi ya kutembelea makazi ya Katumba wakati wa ziara
ya mabalozi iliyoandaliwa na UNHCRMei mwaka huu, na kupata uzoefu mkubwa
kwa kuona kwa macho yangu maisha ya raia Watanzania wapya na kuzungumza
nao ambapo walitoa maoni yao kuhusu mazingira na hali yao ya baadae. Natarajia
kufahamiana zaidi na wakazi wa Ulyankulu mara hii, ambapo kwa hakika
kutapanua zaidi uelewa wangu wa ukweli wa “Makazi ya Zamani”.
Kabla ya kumaliza maelezo yangu, ningependa kutoa heshima zangu kwa
kwa wafanyakazi wa Shirika la UNHCR Tanzania, Serikali kuu na Halmashauri
ambao wapo hapa leo, hali kadhalia wenzao ambao wapo kwenye kazi za nje, kwa
juhudi zao endelevu za kuleta suluhisho la kudumu kwa watu wa eneo hili. Wakati
tukitumaini kuendelea kwa mafanikio ya juhudi hizi, ninaitamani siku moja ambapo
hakutahitajika tena misaada ya nje na watu wataweza kuwa na maisha yao wenyewe
yenye matarajio mazuri kwa siku za baadae.
Asanteni sana kwa kunisikiliza.

COMMENTS

BLOGGER: 1
Loading...
Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,312,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,244,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,Habari,4983,habari dodoma,19,habari. dodoma,31,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,511,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,351,muziki na fasheni,6,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,2,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: INAUGURATION OF THE EXTENSION OF ULYANKULU SECONDARY SCHOOL
INAUGURATION OF THE EXTENSION OF ULYANKULU SECONDARY SCHOOL
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifpOpelUvqGf9vW-Z_fHKehY5UnzXvoVy0MiXcYq71WWmQf3O0idTmCJhfuF1I8dXk5p42MTL3z9Gj3qppdOu7heJhgwR1w3AXWHXSmo2by_K_pgpVCk2DksiH44e3eRm5_BQEy03fb_mX/s320/Pix+one.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifpOpelUvqGf9vW-Z_fHKehY5UnzXvoVy0MiXcYq71WWmQf3O0idTmCJhfuF1I8dXk5p42MTL3z9Gj3qppdOu7heJhgwR1w3AXWHXSmo2by_K_pgpVCk2DksiH44e3eRm5_BQEy03fb_mX/s72-c/Pix+one.JPG
Lukwangule Entertainment
https://lukwangule.blogspot.com/2012/08/inauguration-of-extension-of-ulyankulu.html
https://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2012/08/inauguration-of-extension-of-ulyankulu.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy