Miaka Mitano ya JPM: Watanzania Waaswa Kumuenzi kwa Vitendo, Uzalendo na Uthubutu

  Katika kuadhimisha miaka mitano tangu kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Watanzania wamekumbushwa kuishi na ...

 




Katika kuadhimisha miaka mitano tangu kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Watanzania wamekumbushwa kuishi na kuyaendeleza maono ya uongozi wake yaliyojikita katika uthubutu, uzalendo na uchapakazi usiolala. 

Wito uliotolewa katika maadhimisho hayo yaliyofanyika Chato, mkoani Geita, unawataka wananchi kutofanya kumbukizi hiyo kuwa ya maneno pekee, bali wachote busara zake na kuzifanyia kazi kwa vitendo ili kuliisukuma mbele gurudumu la maendeleo ya Taifa.

Hayati Dkt. Magufuli anakumbukwa kama kiongozi shupavu na mtetezi wa wanyonge ambaye aliacha alama zisizofutika kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati. Miradi kama Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere (JNHPP), ujenzi wa daraja la J.P. Magufuli (Kigongo-Busisi), na upanuzi wa reli ya kisasa (SGR) imetajwa kama kielelezo cha maono yake ya kujenga uchumi imara. Dhamira yake ya kuhakikisha "maskini wanapumua" ilijidhihirisha katika mapambano yake dhidi ya rushwa, ubadhirifu wa mali za umma, na kuimarisha nidhamu ya kazi kwa watumishi wote.

Viongozi mbalimbali waliohudhuria misa hiyo ya kumbukizi, akiwemo Makamu wa rais Dk Emmanuel Nchimbi,Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, na wote wamemsifu Hayati Magufuli kwa kuwa mzalendo wa kweli aliyeweka maslahi ya Taifa mbele. 

Uwepo wa viongozi hao uliambatana na ujumbe wa amani, umoja, na staha miongoni mwa Watanzania, huku wakisisitiza kuwa njia bora ya kumpa heshima ya kweli ni kwa kila mmoja katika nafasi yake—iwe ni askari, mwanasiasa, au mfanyakazi—kutumika kwa uadilifu na kumlinda mwananchi wa kawaida.

Makamu wa Rais  Dkt. Nchimbi, ambaye amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alisema maadhimisho hayo yamekuwa jukwaa la kutathmini na kuenzi misingi ya uthubutu, ujasiri, na uzalendo uliotukuka ambao Hayati Magufuli aliishi katika kipindi chote cha uongozi wake.

Akitoa salamu za Serikali, Dkt. Nchimbi amesisitiza kuwa njia bora ya kumuenzi kiongozi huyo ni kwa kila Mtanzania kujitoa na kufanya kazi kwa bidii, akirejea falsafa yake ya “Hapa Kazi Tu” kama mwarobaini wa umaskini kuanzia ngazi ya kaya hadi Taifa. 

Makamu wa Rais amebainisha kuwa maisha ya Hayati Magufuli yalikuwa ni "darasa la uongozi," akimmulika kama kiongozi aliyekuwa na kipawa cha kipekee cha kunena na kutenda yale aliyoyaamini kuwa na manufaa kwa nchi, hususan katika kupiga vita uzembe, rushwa, na kusimamia rasilimali za taifa zibaki mikononi mwa Watanzania wenyewe.

Katika kielelezo cha dhati cha kuenzi urithi huo, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha shilingi milioni 100 zilizokuwa zimebaki ili kukamilisha ujenzi wa makumbusho ya Hayati Magufuli yaliyopo Chato, hatua inayolenga kuhifadhi historia ya kiongozi huyo kwa vizazi vijavyo.

Naye Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, naye ametoa wito kwa Watanzania kudumisha amani na mshikamano wa Muungano, akimuelezea JPM kama muumini mkubwa wa uwajibikaji na mtetezi wa wanyonge aliyerejesha nidhamu ya utumishi wa umma nchini.

Majaliwa amesisitiza kuwa JPM alikuwa kiongozi asiyeyumba katika kupambana na wala rushwa, wezi, na wabadhilifu wa mali za umma, na kwamba kutokana na msimamo huo wa kutetea wanyonge, kumbukumbu yake itabaki imara na haiwezi kufutika kwenye mioyo ya wananchi. Alitoa wito kwa kila mmoja, kuanzia askari hadi viongozi wa vyama, kutumika kwa uadilifu, kulinda amani, na kuacha chokochoko zinazoweza kubomoa umoja wa Taifa.

Majaliwa amesisitiza kuwa kumbukumbu ya JPM haitafutika mioyoni mwa watu kutokana na uthubutu wake wa kupambana na ubadhirifu na kuweka misingi ya uwajibikaji inayopaswa kuendelezwa na kila mtumishi wa umma.

Katika ibada hiyo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Mhashamu Severine Niwemugizi, alitoa homilia iliyojikita katika amani, haki, na staha, akiwakumbusha waumini kuwa amani ya nchi ndiyo kila kitu na ni wajibu wa kila mmoja kuilinda.

Mhashamu Severine Niwemugizi, alisema amani, haki, na upendo ni nguzo kuu za kulinda umoja wa kitaifa. 

Askofu Niwemugizi amewakumbusha waumini kuwa kumuombea na kumuenzi kiongozi huyo ni pamoja na kuishi maisha ya utakatifu na unyenyekevu, huku akitoa faraja kwa familia na kusisitiza kuwa amani ndiyo kila kitu kwa ustawi wa nchi.

Kwa upande wake, Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amebainisha kuwa Magufuli ameacha "muujiza" wa kuishi mioyoni mwa watu kutokana na kazi zake kubwa, akisisitiza kuwa njia bora ya kumuenzi ni kufanya maridhiano ya kweli na kurekebisha changamoto za kidemokrasia ili kuliweka Taifa katika mstari ulionyooka mbele za Mungu.

Aidha, Askofu Bagonza,  ametoa rai kwa taifa kutumia kumbukizi hiyo kurekebisha pale palipokuwa na changamoto ili kujenga Tanzania yenye haki na maridhiano ya kweli.

Naye  kada wa ACT-Wazalendo ,Luhaga Mpina, ametoa wito kwa viongozi na wananchi kuacha kumsifia Magufuli kwa maneno pekee na badala yake waige uadilifu wake katika kulinda uchumi wa nchi. Mpina amesisitiza kuwa msiba wa Magufuli uliacha pengo kubwa si tu Tanzania bali duniani kote, hivyo njia bora ya kuziba pengo hilo ni kuhakikisha miradi ya kimkakati aliyoiacha, kama Daraja la Magufuli na ujenzi wa miundombinu, inalindwa na kukamilishwa kwa viwango vya juu. 

Maadhimisho haya ya miaka mitano yameonyesha kuwa licha ya kupita kwa muda, misingi ya "Hapa Kazi Tu" na utetezi wa wanyonge bado ni dira muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi nchini.

Naye kada mkongwe wa CCM, Stephen Wasira, amesisitiza kuwa ni vigumu kuifuta historia ya Magufuli kwani kazi alizozifanya, hususan miradi mikubwa ya maendeleo na madaraja, ni mashahidi tosha watakaomkatalia yeyote atakayejaribu kuzihujumu. 

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,415,burundani,2,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,277,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,habar,2,Habari,6576,habari dodoma,38,habari. dodoma,32,habaria,1,hadithi,23,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,6,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,692,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,miochezo,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,370,muziki na fasheni,19,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,7,SAYANSI ANGA,7,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,17,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,urembo,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTALII,1,UTAMADUNI,4,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Miaka Mitano ya JPM: Watanzania Waaswa Kumuenzi kwa Vitendo, Uzalendo na Uthubutu
Miaka Mitano ya JPM: Watanzania Waaswa Kumuenzi kwa Vitendo, Uzalendo na Uthubutu
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitjYRa1qnGS5iXI3yCWQ2LOe-qM03xUeTZszMzBZqBrQLtaW-y_Vt8eNlRnN3xmk4PCaJtF60cgvKGDjSme_NjZJpSf57OgDHB4RxGFwptYFuQ_WKWhSIiF5K-FwJ3ADrKEl53rlt17zfPOwTuM5Wp1QXtlrIwjD_2bIMyXfZKmPLYvAxN6t9j3kQS4qoY/s320/makamu%20chato.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitjYRa1qnGS5iXI3yCWQ2LOe-qM03xUeTZszMzBZqBrQLtaW-y_Vt8eNlRnN3xmk4PCaJtF60cgvKGDjSme_NjZJpSf57OgDHB4RxGFwptYFuQ_WKWhSIiF5K-FwJ3ADrKEl53rlt17zfPOwTuM5Wp1QXtlrIwjD_2bIMyXfZKmPLYvAxN6t9j3kQS4qoY/s72-c/makamu%20chato.jpg
Lukwangule Entertainment
https://lukwangule.blogspot.com/2026/03/miaka-mitano-ya-jpm-watanzania-waaswa.html
https://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2026/03/miaka-mitano-ya-jpm-watanzania-waaswa.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy