Mtunzi wa Willy Gamba, Elvis Musiba afariki dunia

YULE mtunzi wa simulizi za kukata na shoka na mfanyabiashara maarufu hapa nchini Elvis Musiba amefariki dunia leo alfajiri. Taarifa za kifo...


YULE mtunzi wa simulizi za kukata na shoka na mfanyabiashara maarufu hapa nchini Elvis Musiba amefariki dunia leo alfajiri.
Taarifa za kifo hicho zilizofikia Lukwangule saa saba mchana kutoka mmoja wa wapenzi wa riwaya za Musiba, Maganga feruzi, pia zimeripotiwa katika tovuti ya Subi, wavuti.
Musiba ndiye aliyeamsha mioyo ya vijana kusoma riwaya za kiswahili kwa tungo zake ndani ya vitabu vya Kufa na Kupona, Kikomo,Kikosi cha Kisasi,Njama na Hujuma.
Wavuti alisema amepokea taarifa zinazosema kuwa,Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa "Tanzania Chamber of Commerce, Industry & Agriculture" (TCCIA) bwana ELVIS A. MUSIBA amefariki dunia alfajiri ya leo.
Habari za mipango ya mazishi zitafuata mara tu baada ya kupatikana.
Kwa watu walioko London, mnakaribishwa kwa binti yake, Lisa Musiba, anwani ni 6 MANTON RD, ENFIELD MIDDLESEX, LONDON, EN3 6XZ

07949737185

Pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na wale wote mliofikwa na msiba huu.
Roho ya Marehemu Elvis A. Musiba ipumzike pema. AMIN.


Musiba alishawahi kuwa kwenye Tanzania Chamber of Commerce,
Tanzania Private Sector Foundation,TCCIA,East Africa Business Council,Tanzania National Business Council na kuwa ndani ya bodi za Ngorongoro Conservation Area Authority na ni mwanachama wa Tanzania National Business Council

Katika pitapita zangu nikakumbuka kuwa Mwaka 2004 mwandishi mmoja aliandika haya katika Arusha Times kuhusu raha na karaha ya kusoma simulizi za Tanzania na pasi shaka alimsema vyema Musiba katika vitabu vyake. Hii naiweka kwa kuwa naikubali.

Some naked blonde thoughts to book on!

By Valentine Marc Nkwame

Many years ago, before Television sets found their way here and the local youths hadn’t yet discovered Rap, people here used to entertain themselves by reading some Swahili novels, but especially the detective stories about a fictitious, local sleuth, known as, Willy Gamba.

Now, this guy called Willy Gamba, was quite a force to reckon with. The fellow was capable of slaying down an entire gang of about one thousand, fully armed, villains.

The "Licenced to Kill" Gamba, would be sent on extremely dangerous assignments, but he will tackle them with ease and throughout the whole thing, beautiful ladies throw themselves onto the "Handsome" sleuth, blubbering; "I Lurve yoou!"

Like a Total man he was supposed to be. Willy Gamba never hesitated to drag the drooling naked blondes onto his giant Hotel bed, wherever he happened to be.

In another remarkable feat, our indomitable hero would jump over a fast moving train, form a speeding car, while at the same time, holding an Indian damsel in his arms .... Holy Smoke!

Well, the Willy Gamba novels were extremely popular and copies for the books, kept flying from the shelves, making the author, a guy known as, Elvis Musiba, smile all the way to the nearest pub.

This was during the era of Cold war, before America invented the word, "Terrorists!" By then, the US’ biggest enemy, used to be something called, "Communism!" which also spawned vocabularies like; "The Iron Curtain" "The Reds" and "Banana Republic!"

Here in Africa, our biggest foes were a race of people known as, "Makaburu." At least, that was according to Mwalimu Kambarage Nyerere, who was the President of Tanzania.

The English translation of the word, "Makaburu!" Was banned by President Benjamin William Mkapa, here in Arusha two years ago, when we invited him to be the Guest of honour for the Labour’s Day fete, at Sheikh Amri Abeid Stadium.

Anyway, Willy Gamba, the Super-hero used to rescue us from "Makaburu" among other deadly enemies and we loved him for that .... And we loved ourselves for loving him.

The Willy Gamba creator, Elvis Musiba managed to get away with this exaggerated character for years because guys here, had never read anything else .... And certainly not watched a lot of films either.

When finally the Television technology arrived here in the mid eighties, people suddenly realized that Willy Gamba was actually a paler imitation of the British Action Movie Character known as James Bond, whose Modus Operandi was strikingly similar: Fast cars, Fights, Explosives and of course .... Naked blondes!

The discovery killed our sleuth. After watching the thrilling series of James Bond films. Suddenly the once exciting, Willy Gamba stories, became as interesting as the World’s annual Financial report.

Whether played by; Sean Connery, Roger Moore or Tim Dalton. The James Bond character however continued to entertain people. In fact, 007 is still huge today, even after the character was recently taken over by Pierce Brosnan.

As we all know, Willy Gamba is now a forgotten hero and so are his novels, plus the entire former Swahili novels line up .... Elvis Musiba is now a Businessman.

Apparently, that is why it takes, week long campaigns and Orchestrated Reading tents, in order to encourage people to once more take a glimpse on books, reminding them that, reading isn’t exactly a bad idea and definitely a much cheaper alternative to spending a Saturday evening at that place called, "Matongee!"

Unfortunately though, after being fooled by the Willy Gamba franchise for years, nobody seems to be willing to take another chance on books .... And they are not judging the paperbacks by their covers.

Besides, the youthful population have already discovered rap. Rap, according to the ambitious youngsters, is Music.

In reality, rap is fast recitals of verses which has about ten million words each. These are normally being churned out at the verbal speed of one million words per second .... With the volume of combined Chechnyia rebels chants, from inside an under sieged, Russian school.

Their meaning may be irrelevant, but you get about 30 million words from a single rap track, complete with Bass groove, which reminds you of the September 11. Mishaps.

Mind you with Rap, you get everything: Ten million words, Deep bass music and when staged live .... Dancing semi-nude blondes.

Books fall relatively short in comparison. They just have about, ten thousand words per copy and no naked girls .... Unless of course, if you happen to posses those old, James Hadley Chase novels, that used to feature, semi -naked blondes, on their cover sleeves.

So you see. Promoting the alleged, Reading Culture here, should be a clear case of, " Mission Impossible!"

Show me any Tanzanian, who is prepared to buy a single book, at Tsh.8,000, which is also the price for two Music or Video CDs and we might publish another Willy Gamba fairy tale.

COMMENTS

BLOGGER: 3
Loading...
Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,301,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,23,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Mtunzi wa Willy Gamba, Elvis Musiba afariki dunia
Mtunzi wa Willy Gamba, Elvis Musiba afariki dunia
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQOrfHjHWSIXomnNKYf4bi2z9UU4FPfXkB0FR73D7vE9M-95QRsQbUB0JrIxDVDXNFYro_2Qqdv_6Yr017PtdgEqOY9JmbBDTWZhqFhRPcGodI4lxqCl2EIpOOZDDCXhOQp8TT45jOlfhO/s320/musiba.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQOrfHjHWSIXomnNKYf4bi2z9UU4FPfXkB0FR73D7vE9M-95QRsQbUB0JrIxDVDXNFYro_2Qqdv_6Yr017PtdgEqOY9JmbBDTWZhqFhRPcGodI4lxqCl2EIpOOZDDCXhOQp8TT45jOlfhO/s72-c/musiba.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2010/10/mtunzi-wa-willy-gamba-elvis-musiba.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2010/10/mtunzi-wa-willy-gamba-elvis-musiba.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy