Dkt Kalemani aipa Onyo kampuni ya usambazaji Umeme Vijijini

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani  (mwenye suti nyeusi) akizungumza na Wananchi katika kijiji cha  Losinyai w...



Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani  (mwenye suti nyeusi) akizungumza na Wananchi katika kijiji cha  Losinyai wilayani Simanjiro wakati alipokwenda kukagua utekelezaji wa miradi ya usambazaji vijijini, Awamu ya Pili (REA II).
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani ametoa onyo kwa  kampuni ya SPENCON inayosambaza umeme vijijini katika mikoa ya Kilimanjaro na Singida na kuitaka kuhakikisha kuwa inakamilisha kazi ya kusambaza umeme katika mikoa hiyo ifikapo tarehe 15 Oktoba, 2016 baada ya kuonekana inasuasua katika kazi hiyo.

Dkt. Kalemani alitoa onyo hilo mkoani Arusha wakati alipokutana na Watendaji wa kampuni hiyo kabla ya kuanza kwa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa  miradi ya usambazaji umeme vijijini Awamu ya Pili (REA II), wilayani Simanjiro katika vijiji vya Losinyai na Kilombero.

“ Kasi yenu ya usambazaji umeme vijijini hairidhishi katika maeneo yote mnayosambaza umeme, utekeleaji wa miradi yenu umekuwa ukisuasua na ni chini ya asilimia 76, pia nimefuatilia na nikakuta Fedha zenu za kazi mmeshalipwa hivyo ifikapo Oktoba 15 kazi iwe imemalizika na msipokamilisha tutachukua hatua za kisheria,” alisema Dkt. Kalemani.

Aidha akiwa katika kijiji cha Losenyai na Kilombero wilayani Simanjiro, Dkt Kalemani  aliiagiza kampuni inayosambaza umeme vijijini ya CCC Nigeria Engineering International  na  Meneja TANESCO mkoa wa Manyara kuhakikisha kuwa wanawasha umeme katika vijiji hivyo tarehe 27 Septemba, 2016 baada miundombinu ya umeme kukamilika.
 
Mkazi wa Kijiji cha Losinyai, wilayani Simanjiro, Looki Kembele (kulia) akimshukuru Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani  (mwenye suti nyeusi), mara baada ya  kukabidhiwa kifaa kijulikanacho kama UMETA ambacho kitamwezesha Mwananchi huyo kuwashiwa umeme ndani ya nyumba bila kuingia gharama ya kusuka nyaya za umeme. Wanaoshuhudia ni Mbunge wa Simanjiro, James Millya (kushoto) na Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania Chaula (kushoto kwa Naibu Waziri).

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani   akipungia mikono wananchi katika Kijiji cha Kilombero wilayani Simanjiro mara baada ya wananchi hao kumvalisha shuka na kumkabidhi fimbo ikiwa ni ishara ya shukrani kwa  Serikali kwa juhudi za kupeleka umeme katika kijiji hicho. Kushoto kwa Naibu Waziri ni Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania Chaula.


Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani  (kushoto) akisaini Kitabu cha Wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha wakati alipofika ofisini hapo kabla ya kuanza kwa ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme vijijini Awamu ya Pili. Kulia ni Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fabian Daqarro.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani  (mwenye Suti nyeusi) akisalimiana na  wananchi katika Kijiji cha Kilombero wilayani Simanjiro mara baada ya kuwaeleza kuhusu mipango ya Serikali katika kusambaza umeme vijijini. Dkt. Kalemani aliagiza kijiji hicho kiwashiwe umeme tarehe 27 Septemba, 2016.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani  (aliyenyanyua mikono) akizungumza na Wananchi katika Kitongoji cha Sajila wilayani Simanjiro wakati alipokuwa akikagua utekelezaji wa miradi ya usambazaji vijijini, Awamu ya Pili (REA II). Kulia ni Mkuu wa wilaya ya Simanjiro Zephania Chaula.

Sanjari na hilo, Naibu Waziri aliwaagiza Watendaji wa TANESCO kuhakikisha kuwa ifikapo tarehe 1 Oktoba 2016,  wanaanza kubandika   majina ya wakandarasi wanaosambaza  umeme vijijini kwenye ofisi za Shirika hilo ili wananchi wawatambue  na hivyo kuepusha wakandarasi vishoka wanaowaibia wananchi fedha kwa ahadi ya kuwaunganishia umeme.

Awali Mbunge wa Simanjiro,  James Millya alimueleza Naibu  Waziri kuwa kuwashwa kwa umeme katika vijiji hivyo kutawawezesha wananchi kufanya shughuli mbalimbali za maedeleo  ikiwemo biashara na kwamba wananchi wengi ambao ni wafugaji wataweza kujisomea nyakati za jioni mara baada ya kumaliza shughuli zao za ufugaji.

Vilevile Millya alitoa wito kwa wananchi hao kuhakikisha kuwa wanalinda miundombinu ya umeme kwani  Serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi katika ujenzi wake na kuiomba  Serikali kuendelea kusambaza umeme katika vijiji vyote ambavyo havijapata umeme kwenye Jimbo hilo.

Aidha Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani amewaagiza Watendaji wa TANESCO kote nchini, kutokaa ofisini na badala  yake wawafuate wananchi pale walipo na kuwahudumia.

 “ Wafanyakazi wa TANESCO hawatakiwi kufuatwa ofisini na wananchi, wao ndiyo wanaopaswa kuwafuata wananchi pale walipo na kuwapa huduma mbalimbali na kutafuta wateja wapya wanaotaka kuunganishiwa umeme,  hii itapelekea Shirika kuboresha  huduma kwa wananchi na kuongeza mapato ya Serikali,” alisema Dkt. Kalemani.

Dkt. Kalemani alisema kuwa wananchi wengi bado kipato chao ni kidogo hivyo  ili kuwapunguzia mzigo wa gharama wanazotumia kufuata huduma katika Ofisi za Serikali ni lazima watumishi wajenge utaratibu wa kupelekeka huduma hizo kwa wananchi kwa kushirikisha  Ofisi za Serikali za Mtaa, Vijiji  na Kata.
Aliongeza kuwa Serikali ina mpango wa kujenga ofisi za TANESCO katika nchi nzima kwa ngazi ya wilaya na Ofisi nyingine ndogondogo  ili kusogeza huduma kwa wananchi, hata hivyo alisema kuwa utekelezaji wa agizo la kuboresha huduma kwa wananchi hautasubiri ujenzi wa Ofisi hizo.
Source: Teresia Mhagama, Arusha

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Dkt Kalemani aipa Onyo kampuni ya usambazaji Umeme Vijijini
Dkt Kalemani aipa Onyo kampuni ya usambazaji Umeme Vijijini
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjhLQBxys0U_ejTJB9nmjGBAgDfaFb9U-gaGWVAWj2EtMyCzWQ0_XPDHGxkKntAnSzwhwfjMXJBQEIzHqRo5hByxB-ljOOif8P4-x6u5w2OMdCzJ-KY4ov3Sz7GJXkTNCniQmkgnOlz9BQ/s320/picha+moja.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjhLQBxys0U_ejTJB9nmjGBAgDfaFb9U-gaGWVAWj2EtMyCzWQ0_XPDHGxkKntAnSzwhwfjMXJBQEIzHqRo5hByxB-ljOOif8P4-x6u5w2OMdCzJ-KY4ov3Sz7GJXkTNCniQmkgnOlz9BQ/s72-c/picha+moja.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/dkt-kalemani-aipa-onyo-kampuni-ya.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/dkt-kalemani-aipa-onyo-kampuni-ya.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy