Inatosha: Ubadhilifu Fedha za Walipa Kodi Ukomeshwe!

Taarifa kwa Vyombo vya Habari 22 Aprili, 2012 Inatosha: Ubadhilifu Fedha za Walipa Kodi Ukomeshwe! Sikika imesikitishwa na ...


Taarifa kwa Vyombo vya Habari
22 Aprili, 2012


Inatosha: Ubadhilifu Fedha za Walipa Kodi Ukomeshwe!

Sikika imesikitishwa na kushtushwa na ripoti ya iliyotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG) iliyoibua matumizi mabaya ya fedha za umma na kiwango kikubwa cha misamaha ya kodi.

Ripoti hiyo inaonesha kuwa misamaha ya kodi iliyotolewa imeongezeka kutoka shilingi za Tanzania bilioni 680.7 mwaka 2009/2010, hadi kufikia trilioni 1.016 mwaka 2010/2011. Ongezeko hili ni sawa na 18% ya mapato yote yanayotakiwa kukusanywa nchini. Hiki ni kiwango kikubwa ukilinganisha na majirani zetu wa Kenya na Uganda. Mbaya zaidi, misamaha hii imetolewa kwa watu wenye uwezo na makampuni makubwa ya kimataifa yenye mitaji mikubwa jambo linalolikosesha taifa mapato.

Fedha zilizopotea kutokana na misamaha hii ya kodi, zingeweza kugharamia rasilimali watu katika mpango mkakati wa maendeleo ya sekta ya afya uliohitaji kiasi cha shilingi bilioni 500. Katika bajeti ya mwaka 2011/2012, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ilihitaji shilingi bilioni 66.3 ili kuimarisha rasilimali watu kwa ajili ya maendeleo ya afya.  Cha kustaajabisha,  Serikali ilitenga bilioni 13.2 tu na hadi kufikia Januari mwaka huu ni 20% tu ya kiasi hicho ndiyo iliyokuwa  imetolewa. Huu ni mzaha mkubwa unaofanywa na Serikali, ukilinganisha na upotevu wa fedha uliotokana na misamaha hiyo ya kodi yenye utata.

Pia, ripoti ya CAG inaeleza kwamba kiasi cha shilingi bilioni 31 zilitumika kununua bidhaa kwa matumizi ya Serikali pasipo kutolewa ufafanuzi, huku shilingi bilioni 8 zikitumika bila kufuata utaratibu maalumu. Aidha, ripoti inaonyesha kuwa shilingi milioni 143 zilitumiwa na serikali kulipa mishahara kwa wafanyakazi hewa, watoro na waliokwisha staafu.

Wakati huo huo,  ripoti inaonesha kuwa shilingi bilioni 1.5 zilitumika pasipo maelezo yoyote na kuwepo kwa ongezeko kubwa la malipo ya posho. Upotevu wa fedha za umma pia uliongezeka kupitia madai yasiyoeleweka ambayo yaliongezeka kutoka  shilingi bilioni 11 kwa kipindi cha mwaka 2009/2010 hadi kufikia shilingi bilioni 13 mwaka 2010/2011.

Wakati upotevu huu wa mabilioni  ya walipa kodi ukitokea nchini, bado nchi inakabiliwa na matatizo lukuki ya  upatikanaji wa huduma bora  za jamii. Mathalan, kumekuwepo na upungufu wa rasilimali watu katika sekta ya afya, madawa, mfumo mbovu wa usambazaji wa madawa na vifaa tiba pamoja na uduni wa vifaa vya kutolea huduma za afya.

Ripoti hiyo ya CAG inaonesha matumizi mabaya ya fedha kidogo zinazotengwa kwa ajili ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Mfano,  Wizara hiyo imeripotiwa kufanya malipo mengine ya shilingi milioni 77 bila kufuata utaratibu wa malipo ya vocha, milioni 50 kwa wafanyakazi wanaodaiwa kustaafu na shilingi milioni 32 kwa malipo yasiyo na umuhimu.

Imeripotiwa hivi karibuni kwamba Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii  ilitumia karibu shilingi bilioni 1 kwa maadhimisho ya Nanenane. Ni katika mwaka huo huo wa fedha ambapo Wizara hiyo iliingia kwenye mgogoro na madaktari waliokuwa mafunzoni kwa kushindwa kuwalipa posho ya shilingi milioni 176 tu. Hii ni takribani moja ya kumi ya fedha zilizotumika kwa maonesho ya Nanenane. Kushindwa kupanga matumizi ya fedha kwa kuzingatia vipaumbelea ndiko kulikosababisha mgomo wa madaktari nchini.
Fedha zilizotumiwa na Wizara ya Afya kwa sherehe za Nanenane, zingeweza kutatua matatizo mbalimbali yanayoikabili sekta ya afya kama vile kununua bandeji, mipira ya mikononi, madawa na vifaa vingine.
Ripoti ya CAG pia inaonesha kuwa mapendekezo mengi yaliyotolewa kipindi cha nyuma hayakufanyiwa kazi. Hii inadhihirisha ukosefu wa uwajibikaji kwa upande wa Serikali  hivyo kusababisha upotevu mkubwa wa fedha kujirudia kila mwaka. Hali hiyo inapelekea Serikali kuendelea kuwa ombaomba na kutegemea misaada ya wafadhili.

Sikika inatoa wito kwa mamlaka husika kuyafanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na CAG na kuwawajibisha watendaji wa Serikali waliohusika na upotevu huo. Tunapongeza kazi kubwa na nzuri iliyo fanywa na CAG kwa kuibua ubadhilifu mkubwa wa fedha za umma uliofanywa na baadhi ya watumishi wa umma na taasisi za Serikali.

Sikika imekuwa mstari wa mbele kuishinikiza Serikali kuwajibika kwa wananchi na inaitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuwa makini katika matumizi ya fedha za walipa kodi ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima na kuokoa maisha ya watanzania.


Bw. Irenei Kiria, Mkurugenzi Mtendaji wa Sikika, S.L.P 12183 Dar es Salaam,
Simu: +255 222 666355/57, Simu ya kiganjani: 0784 274039, Faksi: 2668015,
barua pepe: info@sikika.or.tz,
Twitter: @sikika1, Facebook: Sikika Tanzania, Website: www.sikika.or.tz

COMMENTS

Name

Anga,12,Arusha,27,batiki,1,Burudani,447,burundani,2,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,78,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,288,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,haba,1,habar,3,Habari,7077,habari dodoma,39,habari. dodoma,32,habaria,1,hadithi,23,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,52,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,6,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,739,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,miochezo,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,376,muziki na fasheni,20,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,10,SAYANSI ANGA,12,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,17,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,urembo,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTALII,1,UTAMADUNI,4,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Inatosha: Ubadhilifu Fedha za Walipa Kodi Ukomeshwe!
Inatosha: Ubadhilifu Fedha za Walipa Kodi Ukomeshwe!
http://img2.blogblog.com/img/video_object.png
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2012/04/inatosha-ubadhilifu-fedha-za-walipa.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2012/04/inatosha-ubadhilifu-fedha-za-walipa.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy