ZIARA YA KIKAZI YA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA(NUU) UMOJA WA MATAIFA

Wabunge wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ya Bunge la  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Waziri M...

Wabunge wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ya Bunge la  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Lowassa wakiwa katika kikao na Maafisa wa Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa  wakati wabunge hao walipofika  Ubalozi hapo wakiwa katika ziara ya kikazi na Mafunzo.


Wabunge wa  Kamati ya  Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) ya Bunge la  Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania, wameanza ziara yao ya kikazi na mafunzo hapa Umoja wa Mataifa. New York
Wabunge hao watano wakiongozwa na mwenyekiti wa Kamati, Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Lowassa ( Mb),  waliwasili Jijini  New   York siku ya Alhamisi, ambapo siku ya  Ijumaa walianza ziara yao kwa kuutembelea  Ubalozi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa.
Wabunge hao ni Mhe. Beatrice Shelukindo, Mhe. Rachel Masishanga, Mhe. Khalifa Khalifa na Mhe. Vita Kawawa.
Akielezea  madhumuni ya ziara hiyo, baada ya kutakiwa kufanya hivyo na mwenyekiti wa Kamati. Mhe. Beatrice Shelukindo aliwaeleza maafisa wa Ubalozi kwamba, ziara yao ilikuwa inalenga  pamoja na mambo mengine, kujifunza na kupata uelewa wa shughuli mbalimbali zinazofanywa na Balozi za Tanzania nje ya nchi.
Aidha akasema  ziara hii ni ya kwanza ya aina yake kufanywa na kamati hiyo na kwamba itawapa fursa ya,  siyo tu kufahamu kazi  zinazofanywa na Balozi, lakini pia namna bora ya  kuishauri serikali hususani katika kuangalia ni kwa namna gani bora zaidi ambapo balozi za Tanzania zinaweza kuchangia katika kukuza pato la taifa, lakini pia kutekeleza kwa ufanisi na tija sera ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi.
Halikadhalika wabunge  hao, kupitia ziara hiyo wanataka kujifunza  mafanikio ya yatokanayo na kazi za kila siku zinazofanywa na Balozi hizo, changamoto wanazokabiliana nazo, na maeneo gani yanayotakiwa kutiliwa mkazo au kutafutiwa ufumbuzi.
Wabunge wakiwa hapa  New York watapata pia fursa ya kutembelea  na kukagua majengo yanayomilikiwa na serikali
Wabunge na Maafisa wa Ubalozi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo ya kupeana taarifa  ya kazi na majukumu ya Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, kutoka kushoto ni Maura Mwingira, Afisa Ubalozi, Mhe. Vita Kawawa(Mb), Ellen Maduhu, Afisa Ubalozi, Mhe, Edward Lowassa ( Mb) na Mwenyekiti wa Kamati, Dkt. Justin Seruhere, Kaibu Balozi, Mhe. Khalifa Khalifa ( MB) Mhe. Beatrice Shelukindo ( Mb),Meja Wilbert Ibuge, Mwambata Jeshi, Noel Kaganda, Afisa Ubalozi na Rose-Linda Mkapa Afisa Obalozi.   Walio simama mstari wa Nyuma ni Modest Mero, Afisa Ubalozi, Alfred Swere, Afisa Ubalozi,  Mhe. Rachel Masishanga ( Mb) na Bw. A. Ramadhani Afisa wa Bunge 

Wakiwa ubalozini hapa, walipata fursa ya  kuwasikiliza  maafisa wa Ubalozi wanaosimamia Kamati  Sita za Balaza Kuu la Umoja wa Mataifa. Wakiongozwa na Kaimu Balozi, Dkt. Justin Seruhere   kila mmoja alitoa muhtasari wa kamati anayoifanyia kazi, akielezea mafanikio na changamoto wanazokabiliana zao wakati  wa utekelezaji wa majukumu yao.
Baada ya kipindi cha maswali na majibu, wabunge hao pia walipata fursa ya kwenda  Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa ambapo walihudhuria majadiliano ya mikutano miwili mikubwa inayoendelea kwa sasa hapa   Umoja wa Mataifa.
Mikutano waliyohudhuria wabunge hao ni ule  wa mchakato wa maandalizi ya Mkataba wa  Biashara ya Silaha ( ATT), na  Mkutano wa Baraza la  Umoja wa Mataifa linalohusika na  Masuala ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii ( ECOSOC). Mikutano hii imeanza  mwanzoni mwa wiki hii.
Wakiwa  katika ukumbi wa mkutano wa majaliano ya ATT, wabunge waliweza kujionea  na kufuatilia namna ambavyo majadiliano  yalivyokuwa yakifanyika, huku kila nchi ilivyokuwa ikiwasilisha hoja  huku zikiteteza misimamo  na maslahi ya nchi zao.
Mkutano wa nchi wanachama kuhusu Mkataba wa   Biashara ya Silaha Duniani, ambao Tanzania inashiriki kikamilifu na  kufuatilia kwa karibu   masuala ya udhibiti  wa silaha ndogo ndogo na za kati .   Silaha ambazo zimekuwa na madhara mkubwa kwa maisha na uhai wa watu barani  Afrika.
Mkutano huu  ambao ni  na nyeti dhumuni na lengo lake kuu ni kuandaa    Mkataba wa kisheria utakaoratibu  na kudhibiti biashara ya  silaha  Duniani.
Tanzania katika   mkutano huu ukiacha maafisa wa ubalozi, inawakilishwa  na ujumbe mzito wa wataalamu kutoka,  Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ), ambao ni Brigedia  Generali Dkt. Charles Muzanila, na Brigedia Generali  Venance Mabeyo, kutoka Jeshi la Polisi ni Kamishina Msaidizi, Esaka Mugasa,    Bw. Theobald Kazora kutoka Ofisi ya Rais ( Ikulu) na Bw. John Kinuno, wakili wa Serikali kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Kwa  Upande wa  Mkutano wa katika mkutano wa ECOSOC ambao ajenda yake kuu ni uhuishaji na uchagiaji wa ajira kwa vijana ujumbe wake unaongozwa na Mhe. Gaudentia Kabaka(Mb) Waziri wa  Kazi na  Ajira, ujumbe ambao unaojumuisha pia wawakilishi kutoka Serikali ya  Mapinduzi ya Zanzibar. 
source:Mwandishi maalumu ,Ubalozi wa TZ UN New York


COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,301,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4810,habari. dodoma,23,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: ZIARA YA KIKAZI YA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA(NUU) UMOJA WA MATAIFA
ZIARA YA KIKAZI YA KAMATI YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA(NUU) UMOJA WA MATAIFA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnxGFDsHX4SszvH0gbM5wJie6_KpLRIrKvw6KqXzNoPI4d2vTRfzRa_qKtrqcZ7kyUt48rtYYVssi3PASzIaTLCMi1l7kVqL0O_9cUgrKmfSSV4lYsu6KNOkdTDc5jyuRrJA_etD9DvITg/s320/un+tanzania.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnxGFDsHX4SszvH0gbM5wJie6_KpLRIrKvw6KqXzNoPI4d2vTRfzRa_qKtrqcZ7kyUt48rtYYVssi3PASzIaTLCMi1l7kVqL0O_9cUgrKmfSSV4lYsu6KNOkdTDc5jyuRrJA_etD9DvITg/s72-c/un+tanzania.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2012/07/ziara-ya-kikazi-ya-kamati-ya-mambo-ya.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2012/07/ziara-ya-kikazi-ya-kamati-ya-mambo-ya.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy