hamad afichua siri za maalim Seif kuhusu serikali 2

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Hamad Rashid Mohamed amemchana wazi wazi Makamu wa Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzib...

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Hamad Rashid Mohamed amemchana wazi wazi Makamu wa
Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu
wa Chama cha Wananchi-CUF, Maalim Seif Rashid Hamad kuwa ni kiongozi hatari na
kigeugeu ambae awali alikuwa na msimamo wa Serikali tatu lakini sasa anasimamia
muungano wa mkataba.
Hamad ambaye mbali na ujumbe wa Bunge Maalumu ni Mbunge wa Jimbo la Uwakilishi la Wawi
kupitia chama cha CUF, nafasi aliyorejeshewa na mahakama baada ya kutaka
kunyang’anywa na chama chake, amesema mwaka 1992, uongozi wa CUF ulisimamia
serikali tatu lakini juzi Maalim Seif katika mikutano ya hadhara anasema
msimamo wa chama hicho ni Muungano wa mkataba.
“Tuangalieviongozi wanaobadilika badilika, mwaka 1992 msimamo wa CUF ulikuwa serikali
tatu, juzi serikali ya mkataba, kila baada ya dakika tatu, ‘posti’ nafasi
inabadilika kila wakati, kiongozi wa aina gani huyu?,” alihoji Hamad.
Alisema wakati wakidai Katiba mpya, CUF na vyama vingine vya upinzani viliandamana na
kuwaingiza watu kwenye ulemavu, wajane na watoto, wanafunzi walikosa masomo na
leo badala ya kuhakikisha Katiba inapatikana, wanahatarisha amani na kutaka
mapinduzi tena.
Hamad aliyasema haya jana jioni, bungeni mjini hapa, akichangia mjadala wa Raismu ya Katiba
kuhusu sura ya kwanza na ya sita.
Alihoji kati yake na Maalim Seif, msaliti ni nani kwani wakati wakiwa wanatafuta serikali ya
umoja wa kitaifa, walikutana sehemu mbalimbali ikiwemo Dodoma na kuafikiana
namna ya kufanya serikali hiyo, lakini alishangaa wenzake watano akiwemo Maalim
Seif walijifungia ndani, wakaja na masuala ya mkataba, na kuhoji kama ni
usaliti, nani msaliti wa wenzake.
“Tulienda kwenye kikao cha Halmashauri Kuu na ikapendekezwa Mwinyi (Rais Ali Hassan) agombee
Urais na kwa vyovyote Maalim Seif awe Waziri Mkuu…..kama haitoshi, wakati Idrisa
akiwa Rais, Seif aliendelea kuwa Waziri Kiongozi Zanzibar, sasa Wazanzibari
msaliti mnamfahamu,” alisema Hamad.
Alisema Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1992 walienda kwake wakiwa saba na aliwaambia kama kuna
makosa amefanya ni kuitambua Biafra na kuwatambua wao lakini alisema hiyo ni
siasa na kusema Nyerere katika yote hayo, aliwaagiza kuhakikisha kuwa Muungano
unabaki hai.
“Kwanza tushukuru tuna Rais mstaarabu, mvumulivu, watu wanampa  ‘ultimatum’ (masharti ya
shinikizo) siku saba lakini anacheka tu, kwa wenzetu hili halitokei…utakuwa jela,’ alisema Hamad.
Akisisitiza zaidi, alisema Bunge hilo linapaswa kufanya uamuzi kwamba ni theluthi mbili ya wajumbe
kutoka Bara na vivyo hivyo kutoka Zanzibar na si vinginevyo. “Ukawa hawana
theluthi mbili wala Tanzania Kwanza, wenye mamlaka ni Bunge hili.
“Theluthi mbili pande zote tukae, hakuna dhambi tutafanya, tumeendesha maandamano na kudai
Katiba, Tume Huru, watu wameumia na wengine kupoteza maisha, leo Katiba inapatikana,
hutaki, tukae tuhakikishe Katiba inapatikana,” alisistiza Hamad.
Akielezea zaidi kuhusu Ukawa kutoka nje, Hamad alisema, “Hata kama hoja yako ni ya wachache,
vizazi vitafanya utafiti na kusema huyu alisema hili, unapotoka nje kutunga
sheria au Katiba unafanya uuaji  na hili
ni jambo bay asana.
“Bunge hili baada ya kumaliza kazi ndio tunaenda kwa wananchi, mbona unatangulia bila
safari kuanza, tuangalie viongozi wa aina hii, mwaka 1984 Maalim Seif alitaka
serikali mbili, mwaka 1992 akiwa CUF msimamo ukawa Serikali tatu, juzi mkataba,
huyu ni kiongozi wa aina gani, ni kuwaongopea watu,” alisema Hamad.
Alisema yeye
tangu mwaka 1982 yupo Tanzania Bara na kwamba uhusiano wake na Bara si wa
kawaida, ni wa kindugu wa damu na kusema kama kuna watu wanasema yeye
amekimbia, hakimbii mapambano wala hakimbii tendo la kihistoria.
“Mheshimiwa
Mwenyekiti nilifiwa mimi, mtu wa kwanza kuja alikuwa Kingunge Kombare Mwiru
(Mjumbe wa Bunge hilo) ndio wengine wakafuata, undugu wetu si wa kawaida,”
alisisitiza
Hamad.
Alisema juzi walipodai amekimbia, alikuwa kwenye mkutano Mexico mitatu tofauti nchini humo
ukiwemo wa masuala ya Rasilimali na alishangaa kuona kuwa hata washiriki wa
mikutano hiyo wanafuatilia na kuzungumzia mchakato unaoendelea nchini.
“Wanashangaa nyie Watanzania ndio walimu wetu lakini leo mmepata kichaa gani mnamsema vibaya
Nyerere na Karume, kama ingekuwa ni hapa kwetu, mgeipata habari yenu,” alisema
na kuongeza kuwa muungano ni hazina na jambo adimu duniani, unapaswa kuutunza
na kutoudharau kamwe.
Akizungumzia
safari za tiba za viongozi, Hamad alisema kiongozi mmoja kama Makamu wa Rais,
hutumia sh zaidi ya milioni 400 kutubiwa India hivyo gharama hizo kwa kuongeza
serikali nyingine, ni kuwabebesha mzigo wananchi.
Alisema kuna
watu wanajinadi kuwatetea Wazanzibar kuwa wao ndio Wazanzibar wa kweli bila
wanzanzibari wenyewe akitaka Watanzania kuwa macho na watu wa aina hiyo.
Alionya wasiwaingize
kwenye mapinduzi mengine  kwa kuwa
Wanzanizbar wataikataa Katiba itakayosema Serikali Tatu kwa kuwa wao kw amujibu
wa Tume ya Warioba, asilimia 61 walitaka serikali ya mkataba hivyo si sahihi
kusema wanataka serikali tatu, wakati Bara ni Serikali mbili kupitia mabaraza
ya Katiba ya Kata na Wilaya.
Baada ya
kumaliza kuchangia, Hamad alivishwa skafu ya bendera ya Taifa na Mjumbe Mwigulu
Nchemba kuonesha kazungumza mambo ya utaifa na Mwenyekiti Samuel Sitta,
alitangaza kuwa amevishwa bendera ya Taifa.
SOURCE Habarileo

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: hamad afichua siri za maalim Seif kuhusu serikali 2
hamad afichua siri za maalim Seif kuhusu serikali 2
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2014/04/hamad-afichua-siri-za-maalim-seif.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2014/04/hamad-afichua-siri-za-maalim-seif.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy