padri mtuhumiwa kulawiti Sixtus Kimaro afia Msumbiji

MTUHUMIWA wa kesi ya kulawiti mtoto wa kiume, aliyekuwa akitafutwa na Mahakama ya Rufaa, Sixtus Kimaro,(pichani) ambaye alikutwa na tuhum...

MTUHUMIWA wa kesi ya kulawiti mtoto wa kiume, aliyekuwa akitafutwa na Mahakama ya Rufaa, Sixtus Kimaro,(pichani) ambaye alikutwa na tuhuma hizo wakati akiwa Padri katika Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, amefia nchini Msumbiji na mwili wake umesafirishwa kuja Dar es Salaam.
Taarifa za kifo cha Kimaro zilifikia gazeti hili jana kuwa mwili wa Kimaro, ulikuwa umeshafikishwa katika Hospitali ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo.
Baadaye taarifa hizo zilithibitishwa na Katibu wa Askofu Mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam, Padri Denis Wigila. Akizungumza na gazeti hili, Padri Wigila alisema Kanisa limepata taarifa za kifo hicho kilichotokea nchini Msumbiji.
“Kimaro siyo Padri, kwani aliishaacha kuwa Mlei, hivyo Kanisa halishiriki katika utaratibu wa mazishi kikanisa,” alisema Padri Wigila.
Padri Wigila alisema taratibu za mazishi, zinafanywa na familia ya marehemu kama ilivyo kwa muumini mwingine, na familia hiyo inatarajia kusafirisha mwili wake leo kwenda mkoani Kilimanjaro kwa maziko.
Kwa upande wake, Msemaji wa Baraza Kuu la Maaskofu (TEC), Padri Anatoly Salawa, alipohojiwa kuhusu tukio hilo, alisema walipata taarifa ya kifo hicho na kuelezwa kuwa mwili wa marehemu ulikuwa ukitokea nchini Msumbiji na kupelekwa katika Hospitali ya JWTZ Lugalo.
Kutoroka
Julai mwaka huu, Mahakama ya Rufaa ilishindwa kusikiliza rufaa ya Jamhuri dhidi ya Kimaro, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na baadaye kuachiwa na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.
Kushindwa kusikilizwa rufaa hiyo, kulitokana na Kimaro kutokujulikana alipo, kwa vile alishaacha kutoa huduma katika kanisa hilo.
Kabla ya hatua hiyo, Wakili wa Serikali, Salum Malick alieleza kuwa wamepata taarifa kwa Msajili wa Mahakama hiyo, kwamba mhusika alipelekewa hati ya wito kwa mwajiri wake, Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Dar es Salaam, lakini waliambiwa kuwa kwa sasa Kimaro siyo mwajiriwa wao tena na hawajui mahali alipo.
Jela
Kimaro alihukumiwa kwenda jela miaka 35 katika kesi ya msingi namba 786 ya mwaka 2005, iliyokuwa ikimkabili, ambapo alikuwa na mashitaka matatu, yakiwamo ya kumlawiti mtoto wa kiume wa miaka 17, shambulio la aibu na kumdhalilisha mtoto huyo.
Padri huyo alikamatwa na askari Polisi wa doria Mei 18, 2005 usiku katika eneo la Changanyikeni jijini Dar es Salaam, ambapo katika kesi yake aliyekuwa Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Pelagia Khaday, Agosti 9, 2006, alimtia hatiani kwa mashitaka yaliyokuwa yakimkabili.
Kimaro baada ya kupatikana na hatia katika makosa yote, alihukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 35 jela. Katika kosa la kwanza alihukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela, na katika kosa la pili alihukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka mitano jela na akaamuriwa kumlipa mtoto huyo fidia ya Sh milioni mbili.
Kuachiwa
Hata hivyo, Kimaro alikata rufaa Mahakama Kuu ambayo ilisikilizwa na Jaji Robert Makaramba, akipinga hukumu ya Mahakama ya Kisutu. Katika hoja zake alidai kuwa Jamhuri haikutoa ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani kwa mashitaka yaliyokuwa yakimkabili.
Jaji Makaramba alikubaliana na rufaa hiyo na Machi 14, 2008, alimwachia huru akisema kuwa ameridhika kwamba hapatakuwa na ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani.
Jaji Makaramba alisema kuwa hitimisho lake katika hukumu yake kulingana na muda na mahali mjibu rufani na mtoto huyo walikokutwa, ni ushahidi wa kimazingira.
Alisisitiza kuwa shahidi wa pili na wa tatu wa mashitaka, ambao ni askari waliodaiwa kumkuta Kimaro akitenda kosa hilo na mtoto huyo, hawakueleza kwa uhakika kile ambacho mjibu rufani alikuwa akikifanya.
Jamhuri katika rufaa yake, iliwasilisha jumla ya hoja saba kupinga hukumu ya Mahakama Kuu ya kumwachia huru Kimaro.
Serikali katika hoja zake, ilidai Jaji aliyesikiliza rufaa hiyo, pia alikosea kisheria na kiukweli kueleza kuwa hapakuwa na ushahidi wa moja kwa moja wa nini mjibu rufani alikuwa akifanya eneo la Changanyikeni Dampo.
Jaji huyo aliyesikiliza rufaa, alidaiwa kuwa alikosea kisheria na kiukweli kwa kutotambua ushahidi wa shahidi wa nne katika mashitaka hayo, bila kutoa sababu zenye nguvu na kwamba alikosea kisheria kwa uamuzi wake kuegemea kwenye ushahidi wa mazingira.
Aidha, upande wa Serikali ulieleza kuwa Jaji huyo alikosea kisheria kueleza kuwa shahidi wa nne wa mashitaka na mjibu rufani, walilazimishwa na uchunguzi wa kitabibu na kwamba Fomu ya Polisi Namba 3 (PF3) iliyowasilishwa mahakamani, ilikuwa ni kusudi la utambuzi tu.
Katika hoja hizo za Serikali, Jaji huyo alidaiwa kupotosha kwa kuhusisha sheria inayohusu ushahidi wa kimazingira na kwamba alikosea kisheria na kiukweli kusema kuwa hapakuwa na ushahidi wa kuunga mkono ushahidi wa shahidi wa nne.
Pia, Serikali ilidai kuwa Jaji aliyesikiliza rufaa, alikosea kisheria na kiukweli kueleza kuwa hapakuwa na ushahidi wa kutosha kuthibitisha mashitaka.
source:Habarileo Jumapili

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: padri mtuhumiwa kulawiti Sixtus Kimaro afia Msumbiji
padri mtuhumiwa kulawiti Sixtus Kimaro afia Msumbiji
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVlR6sjrLQlaIWoAFgSQgvv7qybpHilX_OF8mqgemHOe4s5TYNvpnngAqX4B9x8aslX0kBLF-HwmWe6_slIX8o9CqnitsQybDzHYxrDAfQLTd3npv8KnhWbKJI6z-U68-iBY9wxPtM8N0/s1600/sixtus-kimaro_300_172.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVlR6sjrLQlaIWoAFgSQgvv7qybpHilX_OF8mqgemHOe4s5TYNvpnngAqX4B9x8aslX0kBLF-HwmWe6_slIX8o9CqnitsQybDzHYxrDAfQLTd3npv8KnhWbKJI6z-U68-iBY9wxPtM8N0/s72-c/sixtus-kimaro_300_172.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2014/11/padri-mtuhumiwa-kulawiti-sixtus-kimaro.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2014/11/padri-mtuhumiwa-kulawiti-sixtus-kimaro.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy