SIKU YA KUSOMA DUNIANI: ROOM TO READ WADHAMIRIA KUONDOA UJINGA KWA VITENDO

 Watoto wanafunzi wa Darasa la kwanza kutoka Shule ya msingi ya Zinga wakiwa wanaweza kusoma vitabu wakiwa na miezi sita tuu ya dar...

 Watoto wanafunzi wa Darasa la kwanza kutoka Shule ya msingi ya Zinga wakiwa wanaweza kusoma vitabu wakiwa na miezi sita tuu ya darasani kupitia Programu ya Room to read
 Watoto wa Darasa la kwanza Shule ya Msingi ya Zinga iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani wakiwa wanajifunza matamshi ambapo mpaka sasa wanaelewa vizuri na hizi ni juhudi kubwa zinazofanywa na Shirika la Room to Read.
 Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Zinga Msafiri Tolla akielezea namna walivyoweza kunufaika na Programu ya Room to Read ambapo amelishukuru shirika hilo na  ameeleza mafanikio waliyo yapata kutokana na kujengewa Maktaba na Darasa ikiwa ni pamoja na kuwa imesaidia kupunguza upungufu wa Madarasa, katika Maktaba imeweza kusaidia kiwango cha usomaji kwa wanafunzi na kufanya wanafunzi wengi kupenda kusoma shuleni hapo, na imewawezesha hata wanajamii wanayo izunguka shule kuwa na utaratibu wa kujisomea katika Maktaba hiyo, mwisho alisema kuwa kwa sasa wanafunzi wanaweza kujisomea wenyewe bila matatizo
Afisa Elimu Taaluma Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani Bi. Ester Lumato akielezea umuhimu wa Shirika la Room to Read ambapo katika shule ya Msingi Zinga walianza kufanya nao kazi kuanzia mwaka 2015,alisema miaka ya nyuma iliyopita taaruma ilikuwa chini lakini baada ya kuanza kufanya kazi na Room to Read kiwango hicho cha taaluma kimeongezeka zaidi. Ameongeza kuwa zamani mwanafunzi alikuwa anamaliza darasa la Saba hajui kusoma wala kuandika lakini kwa sasa wanamaliza wakiwa wanajua hayo yote kwa sababu ya shirika hilo kutoa Maktaba na Vitabu vya kutosha, mwisho alitoa wito kwa Mashirika mengine kujitoa kama Room to Read
 Joackim Kawa Meneja wa mradi wa Usomaji na maktaba kutoka Shirika Room to Read akielezea miradi ambayo wanaendesha ikiwa katika shule za Msingi wanatekeleza Mradi wa Maktaba na Kusoma ambapo kuna walimu maalum  katika shule 62 za Bagamoyo wanaandaliwa kuhakikisha wanafunzi wanaweza kusoma na na kuandika vizuri,ambapo mradi huu umetekelezwa Mkoani Morogoro pia aliongeza kuwa wanampango wa kupanua wigo zaidi wa miradi yao katika maeneo mengine nchini Tanzania
 Hii ni maktaba ambayo imewezeshwa na Shirika la Room to Read ambapo kuna vitabu vya aina mbalimbali vya masomo kuanzia Darasa la Kwanza mpaka la Saba 
Wanafunzi wakiwa wametulia wanasoma vitabu katika maktaba yao ambapo kila mmoja anaamua asome kwa namna gani  
Wanafunzi wa Darasa la kwanza wakiwa wanaendelea kusoma
Hapa kila mmoja anaelewa anacho kisoma hii ni kutokana na kuwa na walimu ambao wamewezeshwa na Shirika la Room to Read ambapo wamekuwa wanaweza kusoma na kuandika vizuri 
Wanafunzi wa Darasa la kwanza Shule ya ya Msingi Zinga wakiwa wanafurahia kupata Vitabu kutoka Shirika la Room to Read
 Wanafunzi wakiwa wanachambua vitabu kwa ajili ya kujisomea katika maktaba ambayo imewezeshwa na Shirika la Room to Read.
 Hii ni Maktaba ya Shule ya Msingi ya Kiromo ambayo imewezeshwa na Shirika la Room to Read
 Mwalimu Naomi anangisye ambaye anafundisha darasa la kwanza Shule ya Msingi Kiromo alieleza kuwa kabla ya Shirika la Room to Read hawajaanza kufanya kazi katika shule hiyo kulikuwa na shida ya ufundishaji katika madarasa yao,lakini baada ya Shirika hilo kuanza kazi katika shule hiyo waliwapa mafunzo ambayo yamewasaidia kwa kiasi kikubwa katika ufundishaji na kwa sasa wanafunzi wengi wanajiweza katika kusoma, aliwaomba Shirika la Room to waendelee hivyo ili kuja kutokomeza kabisa tatizo la Ujinga
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Kiromo Bi. Flora Mlowe  alisema kuwa mradi wa Room to Read umeinufaisha sana shule yake kwanza wameweza kupata chumba cha kusomea amacho kimewasaidia sana wanafunzi tofauti na ilivyokuwa mwanzoni, aliongeza kuwa mradi huo umewafanya wanafunzi waweze kuongeza juhudi za kujisomea, wanasoma kwa burudani na pia wanapata maarifa mbalimbali kupitia vitabu hivyo, hiyo imesaidia kuondoa kundi kubwa la wanafunzi ambao hawajui kusoma alimaliza kwa kusema kuwa kuwepo kwa Maktaba hiyo kutaongeza zaidi ufauru katika shule yake.
 Furaha Tonya Social Mobilizer wa Shirika la Room to Read Tanzania akiwa katika Shule ya Sekondari Matibwa iliyopo Bagomoyo akielezea mradi wa Elimu kwa mtoto wa Kike Tanzania unaoendeshwa na Shirika la Room to Read ambapo moja ya mambo wanayo fundisha ni Life Skills ambapo lengo kubwa ni kuwataka watoto waweze kujitambua.
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Matibwa Ally Kilasama alisema kwamba mradi huo umeweza kuwasaidia watoto wengi zaidi wa kike kuwepo katika shule hiyo, katika mradi wa life skills alisema kuwa kwa sasa watoto wa kike  wameweze kujitambua zaidi na watoto wa kike wanafanya vizuri zaidi kulipo wale wa kiume, pia kupitia mradi huo kutoka Room to Read wameweza kupata vifaa ya Sayansi na vitabu vya kutosha kwa wanafunzi na kwa sasa wanakarabati madarasa manne hii ikiwa ni juhudi za kutokomeza ujinga.
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kingani wakiwa darasani wanamsikiliza mwalimu
 Kutokana na wanafunzi wakike kuelewa Elimu ya Life Skill wameweza kuwaburuza wanafunzi wa kiume katika ufauru darasani ambapo katika Kidato cha tatu Mchepuo wa Sayansi shule ya Sekondari Kingani Mwanafunzi mmoja tu wa kiume  ndiye ameweza kuingia katika kumi Bora ambapo hapa anaelezea jinsi kulivyo na changamoto ya ushindani katika darasa hilo na kukili kuwa watoto wakike wanaweza sana 
 Rose Jeremiah Ngalya Mwanafunzi wa Kidato cha Tatu Mchepuo wa Sayansi aliye ongoza na kushika nafasi ya kwanza akieleza namna ya Shirika la Room to Read lilivyo wasaidia katika kuhakikisha wanapata Elimu Bora.

Picha zote na Fredy Njeje/Blogs za Mikoa


COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: SIKU YA KUSOMA DUNIANI: ROOM TO READ WADHAMIRIA KUONDOA UJINGA KWA VITENDO
SIKU YA KUSOMA DUNIANI: ROOM TO READ WADHAMIRIA KUONDOA UJINGA KWA VITENDO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjhBzbD0zF4CJMil5R4XU0bfjB8UVqfrOMgswAAuHt7wnr20Oq08gOr42qWNwZcIPC-c3PIVeFoqFXutsiFONzKXUptjDeWwJIvTcKWAjycByWjTFZCiZR8jzKAWkIB4ossSXLNQ84q8JqZ/s640/8.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjhBzbD0zF4CJMil5R4XU0bfjB8UVqfrOMgswAAuHt7wnr20Oq08gOr42qWNwZcIPC-c3PIVeFoqFXutsiFONzKXUptjDeWwJIvTcKWAjycByWjTFZCiZR8jzKAWkIB4ossSXLNQ84q8JqZ/s72-c/8.JPG
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/siku-ya-kusoma-duniani-room-to-read.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/siku-ya-kusoma-duniani-room-to-read.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy