Wakandarasi wanaofunga nyaya za umeme watakiwa na kuwa na kibali cha TANESCO

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani akiwaonyesha wananchi wa kijiji cha Mutuka wilayani Babati,   kifaa cha umeme...


Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani akiwaonyesha wananchi wa kijiji cha Mutuka wilayani Babati,  kifaa cha umeme kijulikanacho kama UMETA ambacho kinaweza kuwasha umeme ndani ya nyumba bila kufunga nyaya za umeme. Naibu Waziri alifika katika kijiji hicho kukagua utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme vijijini ya Awamu ya Pili.


Wakandarasi wote wanaofanya kazi ya wanaofunga nyaya za umeme ndani ya nyumba (wiring),  wametakiwa  kuhakikisha kuwa hawafanyi kazi hiyo mpaka wawe wamepata idhini kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri  wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani  wakati akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini katika wilaya ya Babati na Mbulu mkoani Manyara.
“Baadhi ya Wakandarasi hawa wanaofanya wiring, wamekuwa wakitoza gharama kubwa ya kutoa huduma hiyo na matokeo yake inapelekea wananchi kuchelewa kuunganishwa na huduma ya umeme,” alisema Dkt Kalemani.
Aliongeza kuwa,  baadhi ya wakandarasi wamekuwa wakifanya kazi hiyo chini ya viwango na kupelekea matatizo mbalimbali kwa wananchi ikiwemo nyumba kupata hitilafu za umeme na kusababisha majanga kama ya moto na kusisitiza kuwa yeyote atakayekiuka agizo hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria.
Wakati huohuo, Dkt. Kalemani aliwaagiza Watendaji wa TANESCO kutoa elimu kwa wananchi  kuhusu faida ya kutumia kifaa kijulikanacho kama UMETA (Umeme Tayari) ambacho huwasha umeme ndani ya  nyumba bila mteja kulazimika kuingia gharama za kufunga nyaya za umeme ndani ya nyumba.
“Kifaa hiki gharama yake ni shilingi 36,000 tu  na kinaweza kutumika kwenye nyumba ya chumba kimoja hadi vitano hivyo TANESCO mnapaswa kutoa elimu kwa wananchi ili wakitumie kifaa hiki,”alisema Dkt.Kalemani.
 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani (mwenye suti ya Bluu) akiwahutubia  wananchi wa kijiji cha Magala wilayani Babati,  wakati alipofika katika kijiji hicho ili kukagua utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme vijijini ya Awamu ya Pili.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt Medard Kalemani (katikati) akivalishwa mgololo na  wananchi wa kijiji cha Magala wilayani Babati,  wakati alipofika katika kijiji hicho ili kukagua utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme vijijini ya Awamu ya Pili. Wananchi walimvalisha mgololo huo kuonyesha shukrani zao kwa Serikali baada ya kijiji hicho kupata umeme kupitia miradi ya usambazaji umeme vijijini ya Awamu ya Pili.

Aidha Dkt Kalemani aliwaagiza Watendaji wa  TANESCO nchi nzima,  kupeleka wataalam wawili katika sehemu zenye uhitaji mkubwa wa umeme ambazo kuna shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii ili kusogeza huduma kwa wananchi badala ya wananchi hao kuwafuata TANESCO ofisini na kueleza kuwa hiyo itasaidia kuongeza idadi ya wateja wanaotumia huduma ya umeme na Shirika kuongeza mapato yake..
Aidha akizungumza na watendaji wa mkoa wa Manyara, Dkt Kalemani  alisema kuwa  matumizi ya umeme katika mkoa ni chini ya megawati 8 huku uwezo wa mitambo ukiwa ni megawati 40 hivyo kuwataka watendaji hao kuhamasisha wawekezaji mbalimbali kwenda kuwekeza kwenye mkoa ili kuongeza matumizi ya umeme huo.
“Hamasisheni Wawekezaji ili kiwango cha matumizi ya umeme kiongezeke na TANESCO hamasisheni wananchi kutumia umeme kwa kutoa elimu kwa wananchi kuhusu gharama za umeme kwani wengi wanasuasua kuunganisha umeme kwa kuhofia kuwa gharama ni kubwa .
Akizungumza kuhusu hali ya umeme katika mkoa huo, Kaimu Mkuu wa mkoa wa Manyara, Mhandisi Raymond Mushi alisema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba 2016, TANESCO imeunganisha umeme kwa wateja wapya 1919, huku lengo likiwa ni kuunganisha wateja 825 na hivyo kuvuka lengo kwa lililowekwa.
Kuhusu miradi ya usambazaji umeme vijijini Awamu ya Pili inayokamilika Oktoba 15, 2016, Mhandisi Mushi alisema kuwa miradi hiyo itanufaisha vijiji 96 ambapo wilaya ya Babati  itakuwa na vijiji 56 vitakavyounganishwa na huduma ya umeme, wilaya ya Mbulu itakuwa na vijiji 7, Hanang Vijiji 8 na Simanjiro ni vijiji 15.
Kuhusu vijiji ambavyo havijapata umeme katika Awamu hiyo ya Pili, Dkt Kalemani alisema kuwa vijiji vyote ambavyo havina umeme  nchini vitaunganishiwa umeme kupitia miradi ya REA ya Awamu ya Tatu ambayo utekelezaji wake utaanza mwishoni mwa mwaka huu.
Source: Teresia Mhagama,




COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Wakandarasi wanaofunga nyaya za umeme watakiwa na kuwa na kibali cha TANESCO
Wakandarasi wanaofunga nyaya za umeme watakiwa na kuwa na kibali cha TANESCO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSC7OJVP7cYgGionSUCVD3WxBSunF-SAYraLAaUP6HWHWXYxrRiXTeHJG18q87tXtnvzqoQMyXvPltZUw85-d0g6An_lUqaJXgszjiuKGK6eAKqshWISuWPoJ8RHyzwqLG1nAzp8u4ij4/s320/UMETA.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSC7OJVP7cYgGionSUCVD3WxBSunF-SAYraLAaUP6HWHWXYxrRiXTeHJG18q87tXtnvzqoQMyXvPltZUw85-d0g6An_lUqaJXgszjiuKGK6eAKqshWISuWPoJ8RHyzwqLG1nAzp8u4ij4/s72-c/UMETA.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/wakandarasi-wanaofunga-nyaya-za-umeme.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2016/09/wakandarasi-wanaofunga-nyaya-za-umeme.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy