Tigo yashirikiana na Milvik kutoa huduma za bima ya afya

Meneja mkazi wa Milvik Tanzania, Tom Chaplin(kushoto)  akiongea na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo, kwenye uzinduzi wa hu...


Meneja mkazi wa Milvik Tanzania, Tom Chaplin(kushoto) akiongea na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo, kwenye uzinduzi wa huduma iliyoboreshwa ya bima kwa simu za mkononi kwa kutumia Tigopesa ijulikanayo kama Bima Mkononi, Pembeni yake ni Mkuu wa Huduma za Kifedha kwa Simu wa Tigo, Ruan Swanepoel.


Mteja aliyenufaika Melikizedeki Nyalufujo mkazi wa kimara , akitoa ushuhuda

Mteja aliyenufaika na huduma ya Bima Mkononi kwa kutumia Tigo pesa , Hawa Ramadhani mkazi wa Kibaha Maili Moja akiongea na waandishi wa jijini Dar Es Salaam leo, kwenye uzinduzi wa huduma iliyoboreshwa ya bima kwa simu za mkononi. Wengine kutoka kushoto Meneja mkazi wa Milvik Tanzania, Tom Chaplin, Mteja aliyenufaika Melikizedeki Nyalufujo mkazi wa kimara na Mkuu wa Huduma za Kifedha kwa Simu wa Tigo, Ruan Swanepoel.

Mkuu wa Huduma za Kifedha kwa Simu wa Tigo, Ruan Swanepoel(kulia) , akiongea na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo, kwenye uzinduzi wa huduma iliyoboreshwa ya bima kwa simu za mkononi kwa kutumia Tigopesa ijulikanayo kama Bima Mkononi, Pembeni yake ni Meneja Mkazi wa Milvik Tanzania,Tom Chaplin.

 Dar es Salaam, Machi 2017- Moja ya makampuni yanayoongoza kwa bima ndogo Tanzania  ambayo inatumia teknolojia ya simu za mkononi katika kutoa huduma za bima ya afya inaleta mapinduzi katika sekta ya ndani ya  bima  kupitia TigoPesa.  
Kampuni ya Tigo kwa kushirikiana na kampuni Milvik ziliingia katika makubaliano ya kutoa Huduma hii tangu mwaka jana kwa kutoa Huduma ya bima kwa simu za mkononi ijulikanayo kama Bima Mkononi ambayo inatoa bidhaa za kipekee na za hali ya juu kama vile,bima ya maisha, ugonjwa na ajali kwa wateja wanaotumia Huduma ya TigoPesa.
Ikiwa na wateja hai zaidi ya 200,000, BimaMkononi ni mfumo mpya wa bima kwa Watanzania wa kawaida ambayo inawawezesha kuwakinga dhidi ya matukio yasiyotarajiwa yanayoweza kuwa na athari kubwa kwa hali ya kifedha kama wasingekuwa wamejiunga na huduma au mpango huu wa bima.  
Tayari BimaMkononi ishalipa fidia ya zaidi ya shilingi milioni 27 katika miezi sita iliyopita.
Hawa Ramadhani  ambaye ni mama wa watoto watatu  kutoka wilaya ya Kibaha, mkoa wa Pwani  ni mmoja wa wanufaika wa BimaMkononi. Akieleza jinsi BimaMkononi  ilivyobadilisha maisha yake alisema; “Nilikuwa nimelazwa katika Hospitali ya tumbi kwa siku 21 na baada ya kuruhusiwa kutoka, niliwasilisha  taarifa za hospitali katika duka la Tigo la huduma kwa wateja na nilifurahi waliponiita baada ya siku tatu  na kupokea  kitita cha 840,000/-! Alisema kuwa aliambiwa  bima  imemfidia kwa kipindi  alichokuwa amelazwa hospitalini.
“Kwa pesa hizo niliweza  kulipia ada ya shule ya watoto iliyokuwa imebaki, pamoja na kukuza  biashara yangu ndogo,” alisema na kuwashauri wale ambao hawajajiunga na mpango huu  kufanya hivyo ili wavune faida.
Mwingine ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Uhandisi na Teknolojia cha St. John,  Dar es Salaam Melikizedeki Nyalufujo ambaye ni mnufaika mwenye furaha wa BimaMkononi baada ya kupokea 86,000/- kufuatia kulazwa kwake hospitalini kwa siku mbili kutokana na jeraha alilolipata.
“Mara ya kwanza nilipoelezwa kuhusu BimaMkononi nilikuwa na wasiwasi lakini nilijiunga. Hata hivyo nilishawishika kujiunga baada ya kupokea fedha hizo ndipo  nilithibitisha kwamba ilikuwa ni kweli. Ankara za hospitali  ilikuwa ni 16,000/-; hivyo kwa fedha  hii ya ziada  niliweza kulipia  gharama nyingine  kama vile kujikimu  chuoni, kununia vifaa  vya masomo na kulipia baadhi ya madeni madogo ambayo nilikuwa nimekopa  hapo awali. Naishukuru mno BimaMkononi,” alisema Nyalufujo kwa furaha.
Kwa mujibu wa Meneja wa Milvik Tanzania,Tom Chaplin huduma ya BimaMkononi imetengenezwa makusudi  kutoa bidhaa za Bima kwa Watanzania wote ambao wanaihitaji  ambao vinginevyo wasingeweza  kumudu huduma hiyo.
“Mteja anaweza kwenda  kujisajili hospitali yoyote  kwa vile hatuweki kizuizi  cha hospitali gani mteja anaweza kutumia- tutayafanyia kazi madai wanapotutumia taarifa sahihi (taarifa ya kuruhusiwa kutoka, taarifa ya madai ya hospitali, fomu ya madai ya bima iliyosainiwa). Kitambulisho cha mteja ni  ni namba yake ya simu na anaweza kujisajili kwa  kutumia namba *148*15#,  huduma  hii inafikia wateja kupitia simu za mkononi kusaidia  kufikiwa kwa urahisi  kadri inavyowezekana  kwa wakazi wa  mjini na vijijini. Bima Mkononi  hadi sasa imekuwa na matokeo makubwa  katika kusukuma mbele  kujumuishwa kifedha ndani ya  sekta isiyo rasmi kwa kuwawezesha Watanzania  kuzifikia  huduma  za bima wanazozimudu  kutoka ndani ya simu zao.”
Tom Chaplain  alieleza kuwa  huduma hiyo imetengenezwa  mahsusi kwa  kuwapatia watu wote bima za maisha, afya na huduma binafsi ya ajali  ambazo zinaweza kuzisaidia  familia zao  kusimamia madhara ya kifedha ambayo yanaweza kusababishwa na matukio yasiyotarajiwa.
Mkuu wa Huduma za Kifedha kwa Simu wa Tigo, Ruan Swanapoel  alisema kwamba ushirikiano huu wa Tigo na Milvik katika kutoa huduma  hii ni moja ya mkakati wa Tigo katika kuendeleza mageuzi ya kidijitali  na kuendelea kuongoza katika kutoa huduma za kibunifu na zenye ubora wa hali ya juu kuwezesha BimaMkononi kupatikana kwa kutumia TigoPesa.
“Huduma hii imekuwa ni fursa kubwa kwa wateja wa Tigo kuifikia bima kwa urahisi kwa sababu BimaMkononi  inalenga kuwapatia Watanzania  njia mbadala wanayoimudu katika bima ya afya na maisha,” alisema Swanepoel.
Kujisajili kwa ujumla wanachokihitaji wateja kufanya ni  kupiga *148*15# na kufuata maelekezo.  Kudai piga namba: 0659071001 na tutakusaidia namna unavyoweza kufungua madai. 
 Mwisho

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: Tigo yashirikiana na Milvik kutoa huduma za bima ya afya
Tigo yashirikiana na Milvik kutoa huduma za bima ya afya
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEga-p6ztFYepb7iZqijOo2cdBPJhr1_iHU69-lJPNKotA7VbR379ymxvXE-l7kSSpDxC12vo4OSrthqt-GR6d8iMQn3jF7IK78Q2tbrTZapLxoHdDkFW7PnH82OEgP1k5WyatIdAkGkywo/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEga-p6ztFYepb7iZqijOo2cdBPJhr1_iHU69-lJPNKotA7VbR379ymxvXE-l7kSSpDxC12vo4OSrthqt-GR6d8iMQn3jF7IK78Q2tbrTZapLxoHdDkFW7PnH82OEgP1k5WyatIdAkGkywo/s72-c/1.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2017/03/tigo-yashirikiana-na-milvik-kutoa.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2017/03/tigo-yashirikiana-na-milvik-kutoa.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy