HAYA NI MAENEO 5 YANAYOKUMBWA NA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM KILA MWAKA

Na Jumia Travel Tanzania Kama sio mwenyeji wa jiji la Dar es Salaam basi ni vema ukauliza kwanza kabla ya kuhamia sehemu na kuanza kuis...

Na Jumia Travel Tanzania

Kama sio mwenyeji wa jiji la Dar es Salaam basi ni vema ukauliza kwanza kabla ya kuhamia sehemu na kuanza kuishi. Usipofanya hivyo kwenye kipindi cha mvua kama hiki usishangae unaamka ukiwa umezungukwa na maji kama sio kuelea kabisa.

Kuwa na vipindi virefu vya jua na joto kali haimaanishi kuwa maeneo yote ya Dar es Salaam hubakia hivyo mwaka mzima. Jumia Travel imekusogezea maeneo haya 5 ambayo miaka nenda rudi lazima yakumbwe na mafuriko. 


Jangwani

Umaarufu wa Jangwani ni kwamba mvua ikinyesha tu, bila hata ya kutazama taarifa ya habari utajua ni lazima mafuriko yamelikumba eneo hilo. Na hii yote ni kutokana na jiografia ya eneo hili kupakana na mto Msimbazi ambao hupokea maji kutoka mito mbalimbali jijini Dar es Salaam kuelekea bahari ya Hindi ambayo ipo mita chache tu. Kwa muda mrefu wakazi wa eneo hili wamekuwa wakiambiwa na serikali kuhama lakini wamekuwa ni wakaidi. Sababu kubwa inayowafanya wakazi wengi kuling’ang’ania eneo hili ni kwa sababu lipo karibu na katikati ya jiji pamoja na huduma lukuki za kijamii kama vile usafiri. Wakazi wengi wanaoishi eneo hili hutembea kwa miguu kufika maeneo ya kazi.    
Tandale 

Kutokana na msongamano mkubwa wa makazi ya watu imekuwa ni vigumu sana kwa maji kupita kwenye njia yake. Kwa kiasi kikubwa eneo hili lipo kwenye mkondo wa maji na ndio sababu inayopelekea kukumbwa kwa urahisi na mafuriko. Urahisi wa upatikanaji na unafuu wa vyumba vya kupanga katika eneo hili usikudanganye na kujikuta ukataka kuishi. Siku zote nafuu ni gharama kama walivyosema wahenga. Ni kweli maisha ya Tandale ni ya chini sana lakini nakuhakikishia gharama utakazokuja kuingia kipindi cha mafuriko utajuta kulifahamu hilo eneo.

Buguruni kwa Mnyamani

Eneo la Buguruni lipo kwenye Wilaya ya Ilala ambayo ni maarufu kwa shughuli mbalimbali za kibiashara kama vile masoko ya Karume, Buguruni na Kariakoo. Ikiwa imezungukwa na biashara mbalimbali pamoja na huduma lukuki za kijamii, sio Buguruni yote ni mahali salama kwa makazi ya watu. Ikifika kipindi cha mafuriko Buguruni nayo huingia kwenye anga za habari za waathirika hususani eneo la kwa Mnyamani. Eneo hili kama maeneo mengine yanayokumbwa na mafuriko, wakazi wamejenga kwenye vyanzo vya maji na kuviziba kabisa. 
Kuna athari kubwa sana za kuzuia njia ya maji kwani yakifurika huwa hayachagui mahali pa kupita. Hivyo basi usije ukarogwa ukakubali kwenda kuishi eneo hili hata kama chumba ni bure.

Msasani Bonde la Mpunga

Kutokana na ukaribu wake na katikati ya jiji, eneo hili limevutia uwekezaji mkubwa wa majengo kadhaa ya kibiashara kama vile hoteli, maduka makubwa ya bidhaa, migahawa, ofisi, kumbi za filamu na mikutano, na kadhalika. Kwa asilimia kubwa wakazi wa eneo hili ni mchanganyiko wa maisha duni na wa hali ya kati. 

Eneo hili nalo ni sehemu ambayo miaka yote hukumbwa na mafuriko na sababu kubwa ni kwamba eneo hili lina asili ya majimaji. Sababu pekee ambazo zinawafanya watu kung’ang’ania eneo hili licha ya mafuriko ni upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii, uwepo wa vitega uchumi vingi hivyo kutoa fursa za ajira lakini pia ni takribani kilometa 6 mpaka kufika katikati ya jiji. Hivyo endapo utakwenda kuishi eneo hili tegemea kwamba kila ifikapo kipindi cha mvua basi ujue mafuriko ni lazima.  

Bonde la Mto Kigogo  

Eneo kubwa la Kigogo limepakana na mto Kigogo ambao hupokea maji kutoka mifereji mbalimbali na kisha kuungana na mto Msimbazi ambao humwaga maji yake katika bahari ya Hindi. Kutokana na wakazi wengi kujenga pembezoni mwa mto huu, ni jambo la kawaida ikifika kipindi cha mvua kukumbwa na mafuriko. 

Mvua zikiwa kubwa sana mto hutapika kwenye kingo zake na kusambaa eneo la karibu yake ambalo kwa kiasi kikubwa limevamiwa na makazi ya watu. Wakazi wa eneo hili ni mchanganyiko wa maisha ya chini na ya kati mbali na hapo pia ni karibu kufika katikati ya jiji ukiwa unaishi Kigogo. 
Kama utakuwa umegundua kitu ni kwamba wakazi wengi katika maeneo yaliyotajwa hapo juu wana sababu zinazofanana. Wengi wameng’ang’ania maeneo hayo kutokana na upatikanaji wa huduma za kijamii, unafuu wa maisha pamoja na ukaribu wa katikati ya jiji ambapo ndipo hufanyia shughuli zao. Lakini hizo hazitoshi kuwa sababu za kuhatarisha maisha yako, Jumia Travel inakushauri kwamba siku zote huduma za kijamii huwafuata watu na sio kinyume chake. 

COMMENTS

Name

Anga,11,Arusha,27,Burudani,302,burundani,1,come rain,1,come sun,1,Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe,1,dahh sijui kweli mbona shida,1,Dar utakuja je tumejiandaa,1,daraja sahau nini,1,demokrasia ya upanga,1,Dodoma,77,Dole tupu vijana wa zamani,1,Duhh bibie endeleza libeneke,1,Duhh kaisikie Walibana,1,duhh kwa mbagala mama lazima awe supa,1,Fedha za maiti haziliwi bure,1,Fedha za watu kwa maendeleo ya watu,1,Fikira,14,filamu,238,Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa,1,flamu,7,Gandamiza Kibara baba ake,1,Habari,4816,habari. dodoma,24,hadithi,19,hakika tumeweka historia,1,hakuna noma jongwe,1,hapa kwetu inakuwaje vile,1,hasira hasara,1,hata maji,1,hataki masikhara na maisha yake,1,hatubonyezi kizenji,1,haya ndiyo mambo ya Ulaya,1,haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira,1,haya wabongo na mambo kutoka nje,1,He he he wananikumbusha upishi wa shaba,1,Headline,1,Hii hurejesha uhai,1,Hii iko sawa kweli?,1,Hii imekaa vizuri,1,Hii inakaaje vile,1,Hii kweli noma,1,Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula,1,Hii mexico,1,Hii mihasira mingine bwana,1,Hii ndio moro sio mpaka dar,1,hii ni hatari,1,Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu,1,Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele,1,Hii si lukwangule,1,hii staili mpya,1,hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88,1,Hivi ni ngoma tu,1,hivi nini siri za serikali,1,hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii,1,hivi vitu bwana,1,Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia,1,Hizi imani nyingine ni hatari,1,Hizi takwimu hizi mhh,1,Hongera bibie,1,Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji,1,Hongera sana,1,huhitaji mifedha kuwa msafi,1,Huko Ulaya,1,Huu ndio ustaarabu,1,huu ujiko utakuwa mkubwa,1,imetosha,1,Inahitaji nidhamu fulani,1,inakuuma au...,1,Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu,1,Inaonekana watanzania hatukuwepo,1,Ipo kazi Maximo,1,Iringa,22,Isiwe mijineno tu manake mihela hubadili watu kweli,1,Itakuwa laki moja ya halali,1,jamani huu kama si ushamba kumbe nini,1,Jamani mbona Mungu anatupigania,1,Jamani watoto wanatakiwa kupendwa,1,jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie,1,Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie,1,je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza,1,Je watanzania wanalipa kodi,1,jela kwa raha,1,Jolie,1,juhudi za lazima kuinua filamu,1,kama si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa,1,Kama kweli ndio kweli basi kila heri,1,Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi,1,kama unajua kuyarudi nenda Malta,1,kama wao wanaweza sisi je,1,Kamua baba waache wakanyagane,1,karibu nyumbani dada yote maisha tu,1,karibu Tatiii,1,KARIBUNI,1,Katavi,5,kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa,1,kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini,1,kazi na burudani,1,keep it up bloggers,1,kero ya usafiri sasa kwisha,1,Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti,1,kila kitu kina vitu,1,Kila la Heri jamila,1,kila la heri kwani ni changamoto,1,Kipya,51,Kiuno bila mfupa,1,Kolelo mzimu ambao bado hai,1,KUBWA,1,Kudumisha urafiki wa dunia,1,Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika,1,kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje,1,Kuu,113,kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha,1,Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu,1,Kwa mihasira hajambo,1,kweli,1,Kweli ina mkono mrefu tuone,1,Kweli duniani tunatofautiana,1,la maana ni kuwa na jiko au vipi,1,labda halitabadilika tena,1,lakini mwafaka lazima,1,lengo ni kutafakari,1,leteni vitu tuvione,1,lets us,1,Lucy wanakuelewa hawa...,1,Lukwangule nyumbani kwetu,2,M ungu bariki mikono ya madaktari wafanikiwe,1,MAARUFU,1,maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane,1,maisha ni vyema kuyaangalia,1,MAJIBU,1,makala,51,mama ni mama tu anapendeza,1,mambo mengine we angalia tu,1,mambo msimamo,1,mambo sasa mchanganyiko,1,Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu,1,Mashabiki wa rhumba mpooooooooo,1,Masitaa,12,Maskani,1,MASOKO,3,Masupa staa mnaoinukia mpoo,1,Matamasha,6,mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa,1,Mbeya,11,Mchakamchaka anti Asmah,1,Mchanganyiko,81,MCHANYATO,1,mchezo,5,mengi wanayoyaita siri ni public information,1,mfumuko wa bei mpaka noma,1,Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje,1,Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani,1,Michezo,501,Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe,1,miguu,1,miguu babu,1,Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala,1,MIMI NI KISURA NAJITAMBUA,1,Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu,1,Mimi simo,1,mimi sisemi,1,mkiwa chumvi basi mkoze,1,Mkiwa taa mulikeni,1,Mnaonaje je hii imekaa vyema,1,Mnaweza wakwetu hapa,1,Morogoro,51,mrithi wa mwanadada Whitney Houston,1,Mtwara,4,Mungu aiweke mahali pema roho yake,4,Mungu amrehemu,1,Mungu amweke pema peponi,1,Mungu awabariki sana,1,Mungu awe nao,1,Mungu ibariki Tanzania,1,Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina,1,mungu tufanye tuwe na upendo,1,Mungu twaomba utuhurumie,1,Muziki,350,muziki na fasheni,5,Mwanahabari,33,Mwanza,6,Mwendo mdundo dada,1,Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130,1,Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki,1,Mzee wa Farasi nakupa saluti,1,Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali,1,N i dar mpaka Moro au bao tatu bila,1,Na sisi je,1,Naam kama haiwezekani hapa,1,Nairobi waanzisha tena utalii,1,namna bora ya kusaidia jamii,1,nani abebe hukumu na lawama,1,nani asiyejua utamu wa pipi,1,Nani kama baba,1,naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja,1,ndoa za mastaa huwa na mgogoro,1,nenda mwaya nenda,1,New Zanzibar Modern Taarab na wapenzi big up,1,news,5,Ni bikini kwa kwenda mbele,1,Ni Dar mpaka Moro au.. tatu bila,1,ni furaha za muungano,1,Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni,1,Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia,1,ni mfumuko wa bei au mfumuko wa nchi,1,Ni muhimu kutazama afya yako,1,ni muziki kwa kwenda mbele,1,Ni muziki mpaka China,1,Ni raha tupu,1,Ni Serengeti Premium Lager,1,Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa,1,Ni wakati wa kuujadili utamaduni,1,Ni zaidi ya jazz,1,Nitasubiri and welcome home,1,nje je?,1,NUKUU YA LEO,1,nyie mnasemaje kuhusu hili,1,Ona Kolelo na sindikizwa na Wazee wa Gwasuma,1,ona vya dunia,1,One step ahead,1,patna mwingine mjamzito,1,Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..,1,picha,494,Pole Jamila hayo ndiyo mashindano,1,poleni sana,1,poleni sana wanyalukolo,1,Powa sana,1,Profesa jamaa wanakumaindi,1,Roho za marehemu zipate pumziko la milele,1,Ruvuma,9,sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia,1,sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka,1,sasa mifedha kila mahali hongereni,1,Sasa ni mavuno,1,Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS,1,SAYANSI,1,SAYANSI ANGA,1,See Uluguru Montains,1,serikali inataka kujihami kwanini,1,Show of support Big Up Madame,1,Si kitu kidogo hata kidogo,1,si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo,1,Siasa,346,siasa habari,2,Sijui kama City wanajua Mbagala noma,1,Sijui tunaishi karne gani yailahi,1,Sinema,9,sio advencha....kaaa ...niko kibaruani,1,Sisi ndio tunaanza vitongoji,1,Sisi yetu macho na masikio,1,Slow slow jamani,1,sto,1,tabasamu kali la mwenge wa olimpiki,1,Tabora,1,Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako,1,TEKNOLOJIA,1,Thats big man game,1,This is crazy Africa,1,This is Mgeta,1,Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa,1,Titbits collection,1,Tubadili tamaduni,1,Tuchangie mambo yaive,1,tuendeleze sanaa,1,tuienzi na sisi mbona wizara haituambii,1,Tuipeleke kaskazini,1,Tuisaidie serikali shida ya Mererani,1,tujue namna ya kupumzika,1,Tulienda kustarehe au kufanya fujo,1,Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida,1,tunahitaji haya,1,Tunajifunza kweli kutoka kwao,1,Tunapandisha chati tu,1,Tunasubiri,1,tunazidi kuhesabu siku,1,TUNAZISUBIRI ZA VINARA ADAR,1,Tuombe nafuu kwa wagonjwa,1,Tuombe rehema kwa mungu,1,Tuone yatufae,1,Tusingoje wengine watusemee,1,tutampa tafu kubwa Prof,1,tuuenzi utamaduni au vipi,1,Tuukuze na kuulinda,1,tuvipende,1,tuwalinde maalbino,1,Tuwe kweli wakweli,1,ubunifu siku zote hulipa,1,uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji,1,udumu muungano,1,Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili,1,Ukiiona kolelo utaipenda,1,Ukirejea salama kila mtu anafurahi,1,Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa,1,unaposaka uwakilishi wa dunia,1,urafiki,1,Usisahau wazee wa Ngwasuma,1,UTAMADUNI,1,Video,2,Vionjo vipya ndani ya Gwasuma,1,Vita dhidi ya ufisadi,1,vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza,1,Vitu vikali vyazidi kuingia Dar,1,Vituko,77,Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa,1,VIVALO,1,Wacha tujifue,2,Wadau ilitolewa kiingereza,1,wakali wa ubunifu,1,wala usibabaike mwakwetu hii noma,1,wanadamu wanapotaka kujua zaidi,1,wanasema mpaka kieleweke,1,Wanataka kujua mali za JK na wengine,1,Wanawake wenye mvuto: Monroe,1,Wapo mabinti wa matawi ya juu,1,watu wanapofanya weli kwenye sanaa,1,waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba,1,Wazee tupo kusindikiza,1,waziri,1,welcome dar baby,1,Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia,1,wewe unasemaje,1,wigo mpana wa utamaduni,1,wilaya ya 'Mbagala' mlie tu,1,Yaaani sijui itawezekana,1,Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority,1,yeye mbele sisi nyuma,1,Yote maisha dada,1,ZA MOTOMOTO,1,Zanzibar,79,zawadi zinatakiwa ziende shule,1,ZILIZOTIA FORA,1,zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme,1,
ltr
item
Lukwangule Entertainment: HAYA NI MAENEO 5 YANAYOKUMBWA NA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM KILA MWAKA
HAYA NI MAENEO 5 YANAYOKUMBWA NA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM KILA MWAKA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgySp72DX4-7IBlNL0xrXy1jAtLaRw2yHC8r4SiuHI4qpm10tHIKXbBnNVWsmX-ZvH084VWGPbgNknyHN2l5JX3USB0-aGqJ10Oh97Wo0BJN-udylkz64z1D4sl_uA6r8vv7oY3jQZYktWg/s320/bondelakigogo.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgySp72DX4-7IBlNL0xrXy1jAtLaRw2yHC8r4SiuHI4qpm10tHIKXbBnNVWsmX-ZvH084VWGPbgNknyHN2l5JX3USB0-aGqJ10Oh97Wo0BJN-udylkz64z1D4sl_uA6r8vv7oY3jQZYktWg/s72-c/bondelakigogo.jpg
Lukwangule Entertainment
http://lukwangule.blogspot.com/2017/04/haya-ni-maeneo-5-yanayokumbwa-na.html
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/
http://lukwangule.blogspot.com/2017/04/haya-ni-maeneo-5-yanayokumbwa-na.html
true
934549962738256429
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy